Thursday 29 January 2015

Re: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'

Au tujiulize: Anazitengeneza yeye hoja hizi au anatendenezewa? Mbonba huwa hajibu chochote kwenye mijadala ya hoja zake? Niliwahi kumsikia bwege mmoja akitaka kuijibu simu ilipoanza kumwambia 'Mteja unayemtafuta hapatikani kwa sasa' yeye akaingilia "akirudi mwambie anipigie''. alifikiri anajibizana na mtu. nasi tunahitaji kujiuliza: "tunajibizana na nini?"
--------------------------------------------
On Thu, 1/29/15, 'lesian mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, January 29, 2015, 11:27 PM

kasomea sheria
ukubwan nahis na hata hivyo hakua makini darasani nahis
maana naona hoja zako anataka kuona kua lawyer ndio mtu
muhim sanaaa, kuna watu si lawyers lakini ni bush lawyers
nao woote ni lawyers....ila simshangai hata anachoongea humu
sijamwelewe sana ushaur wake usichukuliwe seriously,lawyer
kubiase masuala ndio kwa mara ya kwanza namsikia huyu sawa
na journalist alitakiwa kua neutral na kutetea kwenye haki
kama akipewa chance......anyway ni kawaida ya dada yetu
msomi ya sheria



From:
'geofrey msemwa' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
To:
wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, January
29, 2015 8:53 AM
Subject: Re:
[wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'

Bila shaka huyu mwandishi ni Mwanasheria wa
Shetani, haiwezekani mwanasheria wa kweli mada zake iwe
kutetea Ufisadi na Uvunjifu wa haki za binadamu. Hiyo sheria
unayosoma haina component za haki za binadamu, utawala wa
sheria na yanayoendena na hayo. Kama kweli we ni msomi wa
sheria, kazi ipo. Inaonekana una mahaba sana na mafisadi.
--------------------------------------------
On Thu, 1/29/15, 'kokulibe@yahoo.com'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

Subject: Re:
[wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, January 29, 2015, 5:54 PM


Yaani
kweli ukikosa HEKIM umekosa kitu
muhimu
sana katika maisha.
Sent from my HTC
Phone
----- Reply message -----
From: "'ELISA MUHINGO' via
Wanabidii"
<wanabidii@googlegroups.com>
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA
'UMEBUGI MEN'
Date: Thu, Jan 29,
2015 14:55
Allan.
Mimi
nafikiri huyu anawakilisha haiba ya chuo. Ndivyo
kilivyo. Isingekuwa hivyo angeishaondolewa.
Haiwezekani
wakawa hawajayaona haya
anayoyawakilisha humu na haiwezeka
akawa na
sura tofauti akiwa chuoni

--------------------------------------------
On Wed, 1/28/15, 'allanlawa@yahoo.co.uk'
via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

  Subject: Re:
[wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI

MEN'
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Wednesday, January 28, 2015, 11:06
PM
 
  Happiness tumia
lugha yenye staha
  katika maandishi yako
kwani unabeba haiba ya chuo kikuu cha
 
Bagamoyo. Wewe ni mwanafunzi wa sheria na siyo msomi wa
  sheria. Huu ni ushauri wangu kwako
utaheshimika kwa kujenga
  hoja na siyo kwa
kutukana.
  Sent
  from
Yahoo Mail on Android
             

                 
                     
 
                 
   
                       
 
                         
   
                       
     
                     
            From:
             
               
           
                  'lucas haule' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>; 
           

   
         
 
     
                       
   
                              To:
                             

                           
 
  <wanabidii@googlegroups.com>; 
                     

                               
                   
 
                             

                           
      Subject:
                 
           
               
              Re: [wanabidii] PROFESSA
LIPUMBA
  'UMEBUGI
MEN'                           
 
                 
           
               
                  Sent:
       
                     
     
                        Wed, Jan 28, 2015
11:26:58 AM 

       
                 
 
                         
                             

 
               
              Maumivu ya kichwa huanza
  polepole.
 
--------------------------------------------
  On Wed, 1/28/15, 'Happiness
Katabazi'
  via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
 
  Subject:
[wanabidii] PROFESSA
  LIPUMBA 'UMEBUGI
MEN'
  To:
 
"WANABIDII" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Wednesday, January 28, 2015, 2:24
PM
 
  PROFESSA
LIPUMBA
  'UMEBUGI MEN'
 
  Na
 
Happiness Katabazi
 
 

  JANUARI 27 Mwaka huu, jeshi la Polisi
Mko wa Kipolisi
  Temeke, liliamua kutumia
Nguvu kuwatawanya
  wafuasi
  wa Chama
  cha Wananchi
(CUF) na kufanikiwa
  kumkamata Mwenyekiti
wa
  Taifa wa Chama
 
hicho Profesa Ibrahim  Lipumba na
 
wenzake
  .
 
  Polisi walidai
  wamekiuka
sheria za nchi ikiwemo Kutenda
 
  kosa  la kukaidi amri ya Jeshi Hilo
iliyozuia
  wasiandamane.
 
  Kwa mujibu wa taarifa
ya Jeshi la Polisi ,
  ilisema CUF il
  iliandika barua ya kuomba
  Kibali cha kufanya maandamano na
  mkutano
  eneo la Mbagala
Zakhem Jana lakini Jeshi Hilo
  lilikataa
ombi Hilo na Kabla ya kufika siku ya
  Jana
Jeshi
  Hilo lilikuwa limeishakipelekea
  Chama cha CUF, barua ya
 
Jeshi Hilo
  inayozuia CUF isifanye
maandamano Jana na CUF na
  Lipumba hadi
Jana alikuwa hajawasilisha
  maandishi
pingamizi
  la amri hiyo ya Jeshi
  la Polisi.
 
  Matokeo yake
  Profesa
Lipumba na wafuasi wake Jana waliamua
 
kutoka ofisini Kwao huku wakitembea  kwa
 
miguu kwa
  kisingizio Kuwa wanaenda
  kuairisha mkutano huo.
 

 
  Lakini Wakati
Lipumba na wenzake wakitumia mbinu hiyo ya
  kutoti waliyofikiti itawasaidia kuwapiga
  chenga ya mwili
  Polisi
,na CUF wakisahau
  Msemo usemao
'katika msafara wa
 
  Mamba,Kenge Pia wamo'.
 
  Jeshi la  Polisi
kupitia 'mawashawasha
  wao'
yaani
  makachero wao ,muda mrefu
  sana Kumbe walikuwa wameishaibini
  mbinu
  hiyo ya Lipumba na
wafuasi wao ya kukaidi kiaina amri
  ya
jeshi la Polisi iliyotaka CUF
 
wasiandamane.
 
  Hiyo
Polisi
  gani kwenye akili timamu
angeshindwa kubaini
  hiyo mbinu ya CUF
waliyoitumia
  Jana ilikuwa na Lengo la
  kukaidi amri ya
  Jeshi la
Polisi iliyowataka za
 
 
wasiandamane?
 
 
  Ndipo Jeshi la Polisi lipoutangazia umati
ule
  wa CUF Kuwa
 
watawanyike kwasababu
  wanachokifanya ni
kinyume cha Sheria
  lakini
  baadhi ya wafuasi waliokaidi ndiyo Polisi
waliamua
  kutumia mabomu ya Machozi na
kuwaadhibu
  waliokaidi na Kisha
  Kumtia nguvu ni 
 
Lipumba Ambaye ndiye alikuwa Kinara wa
 

  maandamano hayo haramu.
 
 
 
Ieleweke wazi kuna taarifa Kuwa Lipumba anataka Kugombea
  Ubunge jimbo la Temeke kwasababu
amechoka
  Kugombea nafasi ya
  urais ambayo
 
ameishagombea zaidi ya Mara Tatu na amekuwa
 
  akishindwa.
 
  Kwa hiyo
  kumbukizi hiyo ya Mauji ya waliokuwa
wanachama wa
  CUF kule
 
Pemba ambayo alikuwa akiyaongoza Jana ,ilikuwa ni
  Karatasi ya kisiasa iliyokuwa imepangwa
  kutumiwa na Lipumba
 
kuanza kujipitisha kwa
  wakazi wa Jimbo la
Temeke lakini
  wajuzi wa
  mambo wamelibaini Hilo Mapema wanamcheka
Ujinga.
 
 
Wafuatiliaji wa siasa za
  nchi hii
tunajiuliza  ni
  kwanini kabla ya
  mwaka Huu wa uchaguzi mkuu , Lipumba na
CUF
 
  yake imekuwa
haifanyi kumbukizi hiyo kwa Maandalizi
 
makubwa
  kiasi hicho hadi Mwaka huu wa
  uchaguzi Mkuu wa 2015 ndiyo
  Lipumba na
  Chama Chake
kiwe na kimuemue cha kufanya
 
  kumbukizi hiyo kwa Maandalizi kabambe?
 
  Kuna ajenda gani ya
siri ya kumbukizi hii ya
  mauji ya
  Pemba.Yaani msiba utoke Pembe -
  Zanzibar halafu maandamano
  ya kumbukizi
  ikafanyiwe
Mbagala - Dar es Salaam, wakati
 
  wakazi wa Mbagala siyo wafiwa wa Msiba wa
kumbukizi hiyo
  ya
 
Mauji ya Pemba?
 
 
Watoto wa mjini tunasema Profesa Lipumba una
  Lako jambo na
  Si jingine
ni unataka Ubunge
  wa Jimbo la Temeke.
Lipumba
  Umebugi Men.
 

  Hao marehemu mnaowafanyia
  kumbukizi nao waliotuhumiwa
  kuwachinja
  Askari wa
Jeshi la Polisi huko Zanzibar , Mbona
 
CUF haifanyi kumbukizi ya kukumbuka Askari
  wale
  waliochinjwa?
 
    Kila siku wabunge
Bungeni wanaomba Jeshi la
  polisi
  liongezewe fedha za kununulia
  vitendea kazi kama mabomu,
  silaha za
  kisasa,
virungu, uniform Na Polisi waboreshewe
 
mishahara na makazi Yao.
 
  Nauliza mnataka hivyo virungu Vya
  Polisi,mabomu ya Machozi
 

  yanayomilikiwa na Jeshi la Polisi 
hayo mabomu ya
  Machozi yakatumike
kufanyia Uvuvi haramu wa
  Samaki? Au
hivyo
  virungu Vya Polisi mnataka
  Wapewe watu wa Kabila la Wamasai
  wakatumie
  virungu hivyo
kuchungia Ng'ombe na Mbuzi?
 
  Virungu na Mabomu ya Machozi
  ni matumizi sahihi kwa watu
  wakorofi Kama
  Lipumba na
wenzake .
 
  Cha
  Msingi hapa ni wananchi watii Sheria bila
shuruti
  .Ukitii Sheria bila shuruti
utakuwa umeepuka
  kupigwa virungu
  na mabomu ya
 
machozi,mitama,nakozi na Matoke na kung'atwa na
  Mbwa wa Polisi.
 
  Binadamu wote ni sawa Mbele ya Sheria na
Ibara
  ya 13(1) ya
 
Katiba ya Jamhuri ya Muungano
  wa Tanzania
ya Mwaka 1977 ,
  inasomeka HIvi;
  ' Watu wote ni sawa mbele ya Sheria 
na
  wanayo haki , bila ya ubaguzi
wowote
  ,kulindwa  na
 
kupata haki sawa  Mbele ya
 
Sheria'.
 
  Kwa
Tafsiri
  nyepesi ya Ibara hiyo ,Jeshi la
polisi
 
  limetekeleza
matakwa ya ibara hiyo kwa kukukamata wewe na
  wenzako licha unayo madaraka makubwa na
  kukufikisha katika
 
mkondo wa sheria
  kwasababu watu wote ni
sawa mbele ya
 
 
sheria.
 
  Kwani
wasomi wa
  sheria tunaposema  Usawa mbele
ya
  sheria 
  basi
usawa huo auangalii umri wa ,elimu
 
  ,itikadi wala rangi kwani binadamu wote ni
sawa mbele ya
  jicho la sheria.
 
  Nalipongeza Jeshi la
Polisi chini ya IGP-
  Ernest Mangu kwa
  kuzinduka usingizini sasa
  kuanza kuwatia 'displine'
viongozi
 
  wa juu wa
vyama Vya siasa Kama Lipumba Jana
 
mlivyomtia adabu
  .
 

  Nalipongeza sana mAana hawa viongozi wa
juu wa
  baadhi ya
 
vyama siasa ni Kama mashetani
  wamekuwa na
tabia chafu ya
  kuwana na ajenda
  zao binafsi za kuleta Uvunjifu wa Amani
 
  nchini ambazo wafuasi
wao Wengi hawazijui wanaamua
  kuwaunga
  mkono mwisho wa siku wafuasi wao
  Ndio wanaishia
 
kushughulikiwa na Jeshi la
  Polisi.
 
  Rais wa
  Zimbambwe  Robert Mugabe na Rais wa
Uganda
 
  ,Yoweri
Mseveni  huwa hawataki kuendekeza viongozi wa
  aina hiyo, wanausalama wa majeshi hayo
uwa
  wanaanza
 
kuwashughulikia kwa vipigo
  vitakatifu Hao
viongozi wa juu wa
  vyama Vya
  upinzani na viongozi wa juu wa Makundi
mengine
  ambayo yanaamasisha wafausi Hao
washiriki
  maandamano
 
haramu.
 
 
Tulimshuhudia Rais Mugabe alivyotoa adabu
 
aliyekuwa kiongozi
  wa upinzani nchini
  Zimbabwe ,Tsvangirai na rais Mseveni
 
  alipomtia adabu Besige
hadi Leo hii hao vinara wa
  Chokochoko
  wamefyata Mkia.
 
 
  Enzi za Utawala wa Rais
Benjamin Mkapa
  wakati jeshila Polisi
  likiongozwa na IGP-
  Omar
Mahita aliweza kudhibiti na
  kumaliza
  Nguvu za baadhi ya wanasiasa wa upinzani
na
 
  wanaharakati
uchwara waliokuwa hawana ajenda zenye
 
mashiko
  waliokuwa wakikaidi amri ya
Jeshi
  la Polisi .
 
 
  Mchana wa Leo ,Mbunge
wa kuteuliwa James
  Mbatia aliliomba
  Bunge liairishwe ili
 
waweze kujadili hoja ya kwanini Jeshi
 
la
  Polisi limempatia ' mkong'oto
heavy ' Lipumba
  Jana Kwani
  eti Lipumba ni kiongozi
 
mkubwa,watoto na
  waandishi wa Habari
  walioumizwa Jana.
 
  Spika Anne Makinda akitumia
  mamlaka yake na Kusema ametumia
  madaraka
  yake kuimuru
serikali Kesho ije kujieleza bungeni
 
kuhusu tukio Hilo.
 
 
Wakati Makinda akitoa agizo Hilo, baadhi ya
  wabunge 
  kwakweli mi
nadiriki kuwaita ni
  wendawazimu na ambao
hawana
  nidhamu wala
 
staha,waliinuka na kuanza kupinga agizo Hilo la
  Makinda tena bila kutoa kipengele gani
  kinawaruhusu kufanya
 
hivyo hali
  iliyosababisha zogo Kuzuka
bungeni utafikiri watu
  wapo Sokoni.
 
  Jamani, Kama Bunge la
Tanzania ambalo wabunge
  wake ndiyo
  watunga Sheria na Ndio baadhi
  Yao wanakuwa wakwanza
 
kutoheshimu na kutii
  maagizo ya kiongozi
wao yaani Spika,
  HIvi
 
tunaweza Kusema
  tunawatunga Sheria kweli
?
 
  Nikisema kuna
baadhi ya wabunge wa upinzani ni
 
wendawazimu
  nitakuwa nakosa?Nidhamu
na
  busara kwa wabunge Hao wa
  upinzani Iko
  wapi? Eti
hawa ndiyo Watanzania turuhusu vyama
  Vya
upinzani kiongozi taifa hili kwa tabia
 
Kama hizi za
  kiuwenda
wazi?haiwezekani.
 
 
Mbatia aliyoyasema Leo
  Bungeni HIvi
haramu Mbele ya
  Wanasheria wa
  namuona ni Mtu wa ajabu sana?
 
  Maana Kifungu cha 8
cha Sheria ya Kanuni ya
  Adhabu ya
Mwaka
  2002, inasema kutofahaumu
  Sheria siyo kinga yakutoadhibiwa.
 
  Mbatia haelewi Sheria
na Huyo Lipumba
  hawaelewi Sheria hivyo
  ndiyo mAana
  wanafikiri
hawawezi kufadhiliwa.Mnajidanganya.
 
Mbatia Leo bungeni Kasema eti waliwahi
 
kuzungumza na Rais wa
  Nchi wakasema
eti
  viongozi wa juu nawatapigwa?
 
  HIvi rais wa nchi, IGP
ni Sheria?Rais wa nchi,
  IGP wote
  Taasisi zao zimeanzishwa kwa
  mujibu wa Sheria na wanatakiwa
  wafanyakazi
  zao kwa
mujibu wa Sheria.Kama kweli mlikubaliana
 
hiyo basi waliamua kuwageuza viongozi wa
 
upinzani
  'Mambululala'
kwasababu
  hamfahamu Sheria na Nyie kwa
Ujinga
  wenu
 
mkakubaliana.
 
 
Mbatia acha
  Sheria Ufuate mkono wake ,
Mbona Halima Mdee,
  Sheikh Ponda Issa
Ponda walivyoamua tea na
  kufikishwa
  mahakamani Mbona hatukukona
  ukisimama bungeni kuomba Bunge
  liarishwe
  ili Mjadili
kwanini Mdee ,Ponda wamepigwa na
 
kufikishwa mahakamani?
 
  Na kwa taarifa yenu Nyie wabunge ambao
  mmezusha zogo Bunge
  Leo
kwa
  Shinikizo la kutaka ombi la Mbatia
la kujadili
  kipigo kwa Lipumba
lijadiliwe Leo, kwa taarifa
  yenu sisi
  wasomi wa Sheria tunasema imekula
  kwenu, Kwani Tayari
 
Mkurugenzi wa Mashitaka
  (DPP), Biswalo
Mganga
  kaishamwandilisha
  hati Mashitaka Lipumba na atafikishwa
 
  mchana huu Katika
Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam .
 
  Na akishasomewa Mashitaka ya
  nayomkabili ndiyo basi tena
  Bunge linakuwa
 
limefungwa mikono kujadili Kesi iliyopo
 

  mahakamani. Kwa Tafsiri nyepesi  Nyie
wabunge
  'wendawazimu' mliozusha
zogo Leo
  Bungeni mmejiaribia wenyewe
  .
 
 
Mlijiona mnaakili sana
  kuliko Spika
Makinda.Mnamzarau
  kwasababu ni
  mwanamke? Sasa mjanja nani Kati ya Nyie
wabunge
  'machizi' na
Makinga?Mjanja ni Makinda
  na
  Jeshi la Polisi na
 
Ofisi ya DPP.
 
  Kama
mnampenda sana Lipumba
  jichangisheni
Fedha
  kumuwekee  Mawakili
  wazuri au pandeni  Ndege
 
nendeni
  makamuwekee dhamana Katika
Mahakama ya Kisutu.
 
 
Nashauri Kanuni na sheria ya
  Bunge
ifanyiwe mabadiliko
  ambayo
  yataingizwa kipengele cha kuruhusu matumizi
ya
  virungu na mabomo ya machozi 
yatumike ndani
  ya bunge
  pindi wabunge wakorofi wanapozusha
  ukorofi ndani ya bunge n
 
kusababisha muda
  wa bunge kuairishwa
kwasababu ya vuugu
 
 
hizo.
 
 
Tumeishabaini
  Sababu ya wewe Lipumba
kuamisha  msiba wa
 
 
Pemba Kuja Mbagala ni kwasababu  wewe Lipumba
  umeanza  kampeni za Ubunge jimbo la
Temeke
  Kama
 
mlivyokubalana na viongozi wenzio wa
 
UKAWA katika
  vikao
 
vyenu vya siri  kuwa nyie viongozi
  wa
juu wa vyama
  vinavyounda UKAWA 
mgawane
  majimbo yaani mkagombee
  ubunge badala ya
  urais
kwani tayari mmeishaona nafasi ya
 
  urais hampati.Hilo limejulikana.
 
  Profesa Lipumna Kama
una huruma na Marehemu 
  wale
  siungeenda Pemba ukawakusanya wafiwa
  Ukawapikia  Pilau
  na
Biliani na Tende na
  Haruwa ungewapatia na
ungeita na
  viongozi
 
wa dini na Kisomo mngewasomea marehemu wale.
 
  Fanya Kama Mwenyekiti
wa
  Makampuni  ya IPP, Reginal
  Mengi yeye
  anawaonea
huruma Maalbino,walemavu wa viungo
  hivyo
kila Mwaka amenitengea siku Moja
 
kuwaandalia Mlo wa
  Mchana anakula nao
na
  kuwasaidia.
 
  Lipumba Janja
  yako ya
kutaka Ubunge jimbo la Temeke
 
  imejulikana, na siyo kosa kisheria kutaka
Kugombea jimbo
  ila
 
kosa ni kukaidi amri Hali za mamlaka
 
husika.Usitumie
  Kumbukumbu za misiba
ya
  watu kujifanyia kampeni katika
jimbo
  ka
  Temeke,
mizimu ya marehemu Hao itakusurubu. Lipumba
  umebugi  Men.
 
  Chanzo: Happy Katabazi
 
Blog:
  www.katabazihappy.blogspot.com
  Januari 28
  Mwaka
2015.
  0716 774494
 
 
 
 
Sent from my iPad
 
 
--
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this
Forum bears the sole
  responsibility
  for any legal consequences
  of his or her postings, and hence
 
  statements and facts
must be presented responsibly. Your
 
continued membership signifies that you agree
  to this
  disclaimer and
pledge to abide by
  our Rules and
Guidelines.
  ---
  You
received this message because you are
 
subscribed to the
  Google Groups
  "Wanabidii" group.
  To unsubscribe
  from this
group and stop receiving emails
 
  from it, send an email to

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
 

  https://groups.google.com/d/optout.
 
  --
 
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma Email
kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata
  Email ya kudhibitisha
ukishatuma
 
 
Disclaimer:
  Everyone posting to
  this Forum bears the sole responsibility for
any legal
  consequences of his or her
postings, and hence statements
  and facts
must be presented responsibly. Your continued
  membership signifies that you agree to this
disclaimer and
  pledge to abide by our
Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message
 
because you are subscribed to the
  Google
Groups "Wanabidii" group.
  To
unsubscribe from this group and stop
 
receiving emails from it, send an email to

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
 
https://groups.google.com/d/optout.
     
               
           
     
             
 
 
 
  --
 
 
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 

  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha
ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this
Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her
postings, and
hence
 
statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you
agree to this
  disclaimer and pledge to
abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 

  You received this message because you
are subscribed to the
  Google Groups
"Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
  from it, send an email
to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are
subscribed to the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails

from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--

Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda


wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:


Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.


---

You received this
message because you are subscribed to the

Google Groups "Wanabidii" group.


To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.


--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment