Friday 21 April 2017

[wanabidii] TGNP yatoa mafunzo ya Jinsia kwa Club ya Wanafunzi Sekondari ya Makumbusho

[caption id="attachment_78740" align="aligncenter" width="800"]<img class="size-full wp-image-78740" src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2017/04/IMG_3646.jpg" alt="" width="800" height="431" /> Mwezeshaji wa Mafunzo ya Uraghibishi Shule ya Sekondari Makumbusho, Janet Mawinza (kulia) akitoa mafunzo ya kijinsia kwa Club ya Jinsia ya Wanafunzi wa Sekondari ya Makumbusho yaliyotolewa na Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) katika shule hiyo.[/caption]

&nbsp;

[caption id="attachment_78742" align="aligncenter" width="800"]<img class="size-full wp-image-78742" src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2017/04/IMG_3662.jpg" alt="" width="800" height="465" /> Mwezeshaji wa Mafunzo ya Uraghibishi Shule ya Sekondari Makumbusho, Janet Mawinza (kulia) akisisitiza jambo katika mafunzo ya kijinsia kwa Club ya Jinsia ya Wanafunzi wa Sekondari ya Makumbusho yaliyotolewa na Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) katika shule hiyo.[/caption]

&nbsp;

[caption id="attachment_78747" align="aligncenter" width="800"]<img class="size-full wp-image-78747" src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2017/04/IMG_3713.jpg" alt="" width="800" height="431" /> Mwalimu Mlezi wa Kituo cha Shule ya Msingi Mchangani, Goodluck Busago (kulia) akiwasilisha mada katika mafunzo ya Mafunzo ya Siku Tatu ya Masuala ya Kijinsia kwa Club ya Jinsia ya Wanafunzi wa Sekondari ya Makumbusho yaliyotolewa na Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) katika shule hiyo.[/caption]

&nbsp;

[caption id="attachment_78741" align="aligncenter" width="800"]<img class="size-full wp-image-78741" src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2017/04/IMG_3657.jpg" alt="" width="800" height="445" /> Mmoja ya wanafunzi wanaoshiriki mafunzo ya kijinsia kwa Club ya Jinsia ya Wanafunzi wa Sekondari ya Makumbusho akichangia mada katika mafunzo hayo.[/caption]

&nbsp;

[caption id="attachment_78743" align="aligncenter" width="800"]<img class="size-full wp-image-78743" src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2017/04/IMG_3674.jpg" alt="" width="800" height="498" /> Mmoja ya wanafunzi (kushoto) wanaoshiriki mafunzo ya kijinsia kwa Club ya Jinsia ya Wanafunzi wa Sekondari ya Makumbusho akichangia mada katika mafunzo hayo.[/caption]

&nbsp;

[caption id="attachment_78745" align="aligncenter" width="800"]<img class="size-full wp-image-78745" src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2017/04/IMG_3679-1.jpg" alt="" width="800" height="502" /> Mmoja ya wanafunzi (kushoto) wanaoshiriki mafunzo ya kijinsia kwa Club ya Jinsia ya Wanafunzi wa Sekondari ya Makumbusho akichangia mada katika mafunzo hayo.[/caption]

&nbsp;

[caption id="attachment_78746" align="aligncenter" width="800"]<img class="size-full wp-image-78746" src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2017/04/IMG_3700.jpg" alt="" width="800" height="511" /> Mmoja wa wageni waalikwa kutoka katika vituo vya taarifa na maarifa akichangia jambo kwa washiriki mafunzo ya kijinsia kwa Club ya Jinsia ya Wanafunzi wa Sekondari ya Makumbusho.[/caption]

&nbsp;

[caption id="attachment_78748" align="aligncenter" width="800"]<img class="size-full wp-image-78748" src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2017/04/IMG_3731.jpg" alt="" width="800" height="368" /> Picha ya pamoja kati ya wawezeshaji, wageni waalikwa na wanafunzi wanaoshiriki mafunzo ya kijinsia kwa Club ya Jinsia ya Wanafunzi wa Sekondari ya Makumbusho.[/caption]

--
___________________________________________________________________________________
Joachim Mushi, Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na Mhariri Mkuu wa Thehabari.com.
Mail address:- mushi@thehabari.com/ jomushi79@yahoo.com/ info@thehabari.com
Mobile:- 0717 030066 / 0756 469470
Web:- www.thehabari.com  
          http://joemushi.blogspot.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment