Ushauri kwa viongozi wa UKAWA na Watanzania wasomi na Wazalendo kwa ujumla: Wakati Magufuli anatoa ahadi mpya mpya kwa Watanzania, orodhesheni ahadi za JK (CCM) 2000 - 2005, na 2010 - 2015 ili Watanzania wajue ni yapi yametekelezwa na yapi yameota mbawa. Baada ya hapo, watanzania tuanze sasa kuzipitia ahadi mpya za Magufulu na kuziamini ama kuzikataa kutokana na tathmini ya japo ahadi za miaka 10 iliyopita zilizotolewa na CCM.
Kupoteza muda mwiiiingi kusema mgombea wa upinzani yupo hivi, mara mdhaifu mara ana kashfa ni kama kulazimisha maji kupanda mlima. Hadithi marudio za mara Rose Kamili si kamili, mara Slaa ambaye kashachukua njia yake mpya ya maisha ya kumalizia uzee wake hapa duniani kasema hivi, mara yupo sawa, mara .... NADHANI KOTE HUKO NI KUTUTOA NJE YA RELI! Tung'ang'ane na kuiuliza CCM, japo kwa ahadi ya miaka 10 tu iliyopita dhidi ya ahadi mpya za 2015 -2020. 2015-09-09 18:21 GMT+03:00 'Gikaro Ryoba' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
CCM hawana jipya, wameanza kutapatapa. Kwanza kabla ya kutoa ahadi mpya wanapaswa wawaambie watanzania wamewafanyia nini tangu mwaka 1961 walipoingia madrakani. sio kila mwaka wanaturundikia ahadi ambazo hazitekelezeki.On Wednesday, September 9, 2015 5:59 PM, 'Mike Zunzu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
--Uzuri wa wale wanaokemea kauli za uchochezi, hawawezi kusema chochote pale kinapotamkwa na mtu wa kutoka upande wao,Mwbari hii kazungumza vizuri sana, kwamba mabadiliko yanayozungumziwa ni mabadiliko ya kidemokrasia, yaani mkwenda mpiga kura, mshindi aliyechaguliwa na wengi anapatikana, ambapo atakayeshinda si lazike CHADEMA au CCM, anaweza kutoka chama chochote. Kwani nani kasema kiongozi mwinginkuja sha kidikkideta? Hayo ni mawazo tu, tema mawazo finyu, cha msingi ni kupanda jukwaani na kumwaga sera zako, tena usizungumzie kwa kirefu kuhusu wapinzani wako.Leo hii nimesoma kuna issue nyingine imezuka, eti kwa nini Lowasa anakuja nyuma alikopita Magufuli, hiyo ni hoja ya kushindwa kuzifikia ndizi mbivu, kama wakiweza wabadilishe iwe Lowasa Maguli afuate, kwanzababishwa na Serikali wenyewe, kinyume chake siku CCM wana launch kapeini yao owasa angelikuwa barabarani, lakin wakawachelewesha ndiyo maana yupo nyuma.yo nayo ni issue, hapo ni dalili za kuona anazidiwa kete..Mimi bado masubiri kuona moto wa mabua ukizimika le wa makaa ya mawe, au miujiza itatokea,ule wa makaa ya mawe utazimika na kuucha wa mabua?
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment