Tuesday, 8 September 2015

RE: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA

Ukiwasikiliza Slaa anaongea mambo ya msingi na Gwajima anaruka yale aliyosema ka kukimbilia masuala madogo ya kifamilia ambayo hayana mashiko. Amekana kama alivyokana kuhusu kumtukana Pengo. !!!!

 

Samuel Wangwe

Executive Director

............................................................

REPOA, undertakes and facilitates research, conducts and coordinates training, and promotes dialogue and development of policy for pro-poor growth and poverty reduction.

Please consider the environment before printing this email.

 

From: wanabidii@googlegroups.com [mailto:wanabidii@googlegroups.com]
Sent: Wednesday, September 09, 2015 2:02 AM
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA

 

Kwa lugha ya vijana wa mjini, naweza kusema kwamba Dr Slaa ameingia choo cha wakwe...atajutia uamuzi wake wa kukubali kununuliwa. Askofu Gwajima amemkaanga vizuri sana; na bado Kubenea yupo nyuma anakuja kummaliza kabisa. Haya ndiyo matatizo ya kuendeshwa kama gari na mwanamke.

 

 

On Wednesday, September 9, 2015 12:54 AM, De kleinson kim <dekleinson@gmail.com> wrote:

 

Nashukuru Mama,

Japo sikutaka umwongelee yeye personaly, nilitaka uhusiano wa kazi yake (as he then was) na maendeleo ya nchi kwa muda huo. Hii ingetupa picha halisi ya huyu mtu kwa mtizamo wako.

Ubarikiwe....

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

 


--
This message has been scanned for viruses and
dangerous content by MailScanner, and is
believed to be clean.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment