Monday, 7 September 2015

Re: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA

Waliotajirika na hicho unachoita sera za Ccm ndio hao wamehamia Chadema baada ya kushtukiwa Ccm na ku fyekwa!!!  sasa kama baada ya kuhamia Cdm sakakafu ya moyo wako inakuelekeza kua  wamegeuka malaika. do!!!  Mama unahitaji kuombewa!!!

ernest




Sent from Samsung mobile

'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Mike nakubali hoja yako. Tukirudi nyuma na kuangalia historia --jinsi  ACT-Wazalendo ilivyoanzishwa--na nini kilikuwa kimetokea nchini ndipo chama hiki kikaanzishwa--utaona  kuna maswali mwengi yanayohitaji majibu kwa watu makini ambao  wanaweka mbele maslahi ya mamilioni ya Watanzania wanaoteseka kwa umaskini . Nilimuuliza maswali kibao  humu jukwaani mwalimu  Prof Kitila hadi leo hajanijibu.

Bila kumumunya maneno, ingawa uhuru wa demokrasia ni haki, ninaona ni kosa kubwa  tena la kusaliti wananchi kama yupo mwanasiasa anayejinasibu  kuwa ni mpinzani lakini hakubali kuwa   bilMike nakubali hoja yako. Tukirudi nyuma na kuangalia historia --jinsi  ACT-Wazalendo ilivyoanzishwa--na nini kilikuwa kimetokea nchini ndipo chama hiki kikaanzishwa--utaona  kuna maswali mwengi yanayohitaji majibu kwa watu makini ambao  wanaweka mbele maslahi ya mamilioni ya Watanzania wanaoteseka kwa umaskini . Nilimuuliza maswali kibao  humu jukwaani mwalimu  Prof Kitila hadi leo hajanijibu.

Bila kumumunya maneno, ingawa uhuru wa demokrasia ni haki, ninaona ni kosa kubwa  tena la kusaliti wananchi kama yupo mwanasiasa anayejinasibu  kuwa ni mpinzani lakini hakubali kuwa   bila nguvu kubwa ya   pamoja ya vyama vya upinzani, CCM itaendelea kubaki madarakani kuendelea na sera zake za  kutajirisha watawala wachache huku mamilioni ya Watanzania wakibaki masikini wa kutupa.

Binafsi kwa ukweli kutoka uvungu wa moyo wangu, ninaona ACT-Wazalendo kwa kukataa kuungana na UKAWA, kama alivyosema Mwalimu Lwaitama, ni kwamba wamekubali kuiunga mkono CCM--wananchi wateseke watawala waendelee kuwa matajiri  wa kutisha kwa kutumia mali za umma.
a nguvu kubwa ya   pamoja ya vyama vya upinzani, CCM itaendelea kubaki madarakani kuendelea na sera zake za  kutajirisha watawala wachache huku mamilioni ya Watanzania wakibaki masikini wa kutupa.

Binafsi kwa ukweli kutoka uvungu wa moyo wangu, ninaona ACT-Wazalendo kwa kukataa kuungana na UKAWA, kama alivyosema Mwalimu Lwaitama, ni kwamba wamekubali kuiunga mkono CCM--wananchi wateseke watawala waendelee kuwa matajiri  wa kutisha kwa kutumia mali za umma.

Aidha  matendo ya wanaojitambulisha kuwa ni wanachama wa ACT -Wazalendo  mfano Ludo yanatia mashaka makubwa maana  CCM ikiguswa kidogo tu utadhani Ludo ni nani sijui huko CCM anakuwa kama vile kaumwa na siafu vile.

Wenye akili zao wanaona mkakati wa kuzuia  wananchi wasifanye mabadiliko ya uongozi hapo tarehe 25 Oktoba 2015  siyo tu unatumia  watu  kama Dr Slaa bali pia vyama ambavyo viko nje ya UKAWA. Tusubiri hadi siku ya uchaguzi tutaona na kusikia mengi.

Lakini la msingi ni kwamba   mabadiliko ni lazima. Hayazuiliki tena.

Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Mon, 9/7/15, 'Mike Zunzu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Monday, September 7, 2015, 12:20 PM
 
 Hatua ya
 kuunda ukawa iko sahihi , na itakuwa sahihi daima, kadiuri
 muda unavyokwenda watu watazidi kuingiwa na ufahamu kuwa
 kwenye vyama vingi vidogo vidogo havina manufaa, bali ni
 kuwatengenezea njia waliopo madarakini, maana, mara hata
 kupata mubunge mmoja wakati mwingine inatokea. Hebu ona
 uchaguzi uliopota kuna vya vilipata 0.0x%, maana yake nini,
 si afadhali hata hivyo vyama vidogo vingeliungana na kupata
 chama cha size ya kati.Ni hivyo hivyo hata vyama kama ACT, ni
 muujiza gani utaotokea washinde urais, heri hata nao
 wangelifanya juhudi kuvutia vyama vingine ili japo wasogee
 mbele, yaani kuwe angalau na vyama vitatu vinavyo
 sound.
 Natambua
 uhuru wako wa kutoa maoni yako, lakini vipi mbona jicho
 latizama CHADEMA na wenzao walioungana tu? Niliuliza suali,
 je vyama vilivyo jiunga vikifa, kwai tatizo? Tena ukiwa
 msomi kama wew hilo wala siyo la kuambiwa na mtu ni
 lakuliona wewe mwenyewe. 
 
 
      On Monday, 7
 September 2015, 11:12, Magora Hassan
 <magorah15@gmail.com> wrote:
    
 
  Hakika huu ni ulofa
 mbaya sana kuwahi kutokea katika historia ya demokrasia ya
 vyama vingiTanzania
 
 2015-09-07 12:25 GMT+03:00
 Kitila Mkumbo <kitilam00@gmail.com>:
 Mike: Namchonganisha nani na nani? Mie natoa maoni
 yangu na wala silazimisha wewe ukubaliane nayo kama ambavyo
 mie sitaki unilazimishe nikubaliane nawe. Ninachopinga kwa
 nguvu zangu zote ni ulofa ulioibuka hivi karibuni kwamba eti
 ili uonekana unapigania mabadiliko na mkombozi wa taifa
 lazima uwe UKAWA. Eti ukiwa chama A ni shetani, lakini
 ghafla ukihamia UKAWA unakuwa malaika. Kwenye huu ulofa mie
 simo! 
 Ninapinga watu
 kujivisha ngozi ya upambanaji ghafla wakati tunajua miaka
 yote wamekuwa wakipinga na kukebehi juhudi za mageuzi.
 Ninapinga ulofa wa kuwatoa wapambanaji waliojipambanua miaka
 na miaka kuwapisha wasaka vyeo ambao tunajua kwamba mara
 watakapokosa hivyo vyeo watarudi walikotoka. Siwezi
 kuudandia huu ujinga wa kimantiki na tafadhali
 tusilazimishane kuwa malofa!! 
 Kitila
 
 
 
 
 2015-09-07 11:18 GMT+03:00
 'Mike Zunzu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Wewe tembeza tu hizo chuki
 za uchonganishaji, naamini zitagonga mwamba, mpango waliofya
 UKAWA ulitakiwa uwe umeshafanyika miaka mingi. Kama
 unakumbuka hata Baba Taifa aliwashauri wapinzani waungane na
 angeliwasaidia kuwapigia kampeni wabunge wao ili wawe na
 wabunge wengi bungeni. Unamuona mpuuzi?
 
 Sasa hivi kilichotokea, viongozi wa vyama
 hivyo wamerudiwa na ufahamu wa hekima. Kwanza nikuulize,
 hata kama vyama hivyo vimekufa kwa mtizamo wako wa kuona
 mwisho tu wa pua  kipi lichopungua? Unashabikia utitiri
 wa vyama, ili wakati wa upigaji kura kura nyingi zisiwe na
 thamani, na za CCM zibaki kuwa nyingi? Pengine
 usingelipoteza muda wako mwingi kujadili
 UKAWA wanafanya nini, ungelielekeza akili zakmsikiliza
 mwakilishi wa CCM anakuahidi nini ili moyo wako
  ukosheke. Hebu waone hao akina ACT na akina
 Labour Pary, unaamini wapo pale kwa maslhi ya wananchi au
 kwa masilahi yao wenyewe lakini jicho na masikio yako ni
 CHADEMA, kama unaona hawafanyi unavyotaka si ujiunge ili
 ukabadilishe wanachokifanya?.
 Kitendo cha UKAWA
 kuunganisha nguvu ni kitu kisichokaribihwa na uongozi wa
 CCM, wametumia kila njama umoja huo ufe, lakini, hebu wakae
 na kuwaza tena, kuwa suala hilo halitafanyika, na usishangae
 hapo baadaye chama kipya kabisa kiweza kikazaliwa, ikawa si
 CHDEMA, CUF, NCR Mageuzi na wala si NDL tena, bali
 chama chenye jina tofauti, na chenye viongozi
 wapambanaji, wapigania haatanzania kwa
 dhata.  
 
      On Monday, 7
 September 2015, 7:52, fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com> wrote:
    
 
  Kaka kitilya
 Kama sikosei Mpombe alishaletaga hoja humu ndani kabla
 hata lowasa hajajiunga na UKAWA na ukwa kuwa chadema
 wanafanya ujanja licha ya kuwa UKawa kuiachia asilimia 70 ya
 majimbo yote nchini lkn wa wanagombea wengine asilimia ktk
 zile 30 za Cuf nccr na nld leo yanaonekana. Naitabiria Act
 kuwa kimbilio la wanyonge baada ya uchaguzi huu na itafanya
 vizuri zaidi mwaka 2020 ingawa wengi humu hawapendi kusikia
 hivyo.
 On Sep 7, 2015 8:00 AM, "De kleinson kim"
 <dekleinson@gmail.com> wrote:
 Dr Kitila,
 Nimependa hii " Ni uzembe wa kifikra
 kudhani kwamba 'wakombozi' wote wa nchi watajiunga
 na UKAWA."
 Hapo tu.
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
    
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 
 
     
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment