Wednesday, 9 September 2015

Re: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA

Fadhili ninarudia kukueleza kuwa sina chama cha siasa ninachofungamana nacho. Niko upande wa mamilioni ya Watanzania wanaoteseka kwa umaskini ili hali watawala wachache wa wakiwa matajiri wa kukufuru. Watanzania hao maskini hata kama baadhi yao ni wanachama wa CCM lakini siyo sehemu ya watawala wa CCM wanaonufaika na fedha na rasilimali za nchi yetu. Kama huelewi huo uchambuzi basi ishia hapo endelea kung'ang'ania msimamo wako mimi nasonga mbele kuhamasisha mabadiliko ya kubadilisha uongozi wa nchi ili mfumo uliojengwa na CCM kutajirisha watawala wachache na kuwaacha mamilioni ya wananchi wakiwa mafukara ukomeshwe kwa kura ya wananchi kuikataa CCM hapo tarehe 25 Oktoba mwaka huu 2015. Mabadiliko hayaepukiki. Subiri.

Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Wed, 9/9/15, fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wednesday, September 9, 2015, 4:34 AM

Mama nkya hata kama
hauna chama lkn maandiko yako yanakuweka wazi umesimamia
wapi. Usiogope kusema wewe ni chadema au ukawa kama
maandishi yako yanavyoonyesha utakuwa unajiumiza bure na
kujinyima uhuru wakati ukweli humuweka mtu huru. Hakuna
atakayekulaum kwa kua upo chama fulani isipokuwa hapa
tunashindana kwa kujenga hoja n si vinginevyo.
On Sep 8, 2015 4:24 PM,
"'ananilea nkya' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Mwalimu
wangu Prof Kitila.

Nimesoma hoja yako. Hata hivyo nikusahihishe kwamba sina
chama chochote cha siasa  ninachofungamana nacho. Kama
umekuwa ukifuatilia vemakwenye hoja zangu zimekuwa zikilenda
kutetea maslahi ya  mamilioni ya Watanzania ambao siasa
zetu zimekuwa zikiwafanya maskikini ili hali watawala
wachache wakitajirika kupindukia.



Nimetoa hoja kwamba  hali hii inasababishwa na mfumo wa
vyama vingi nchini kutofanya kazi kwa sababu vyama vya
upinzani vilipaswa kuunganisha nguvu ili kuleta siasa zenye
ushindani  mkubwa.



Ndipo nikauliza swali ni kwa nini ACT-Wazalendo hawakujiunga
na UKAWA  ili vyama vya upinzani viwe na nguvu kubwa zaidi?
Wewe umenijibu kwa kebehi kwamba nikaulize UKAWA. Sijui ni
kwa nini unataka nikaulize UKAWA  swali ambalo linapaswa
kujibiwa na ACT-Wazalendo. Mwalimu ni kwa  nini unataka
swali linalohusu chama chako lijibiwe na UKAWA?





Ananilea Nkya

 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com



--------------------------------------------

On Tue, 9/8/15, Kitila Mkumbo <kitilam00@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA

 To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Tuesday, September 8, 2015, 9:05 AM



 Dada

 Ananelia,

 Waingereza

 wanasema 'seek truth from facts'.  Ni muhimu
sana.

 Mambo mengi unayoandika yamejaa hisia zisizoshabiana hata
na

 chembe ya ukweli. Ni vizuri ukatafuta ukweli wote kuhusu
ACT

 na hata mazungumzo yaliyofanyika kuhusu uwezekano wa
chama

 hiki kuwa sehemu ya UKAWA na kitu gani hasa

 kilikwamisha-sababu za msingi na zisizo za msingi. Ongea
na

 makamanda wenzako ndani ya UKAWA/CDM watakwambia ukweli.
Ni

 muhimu sana. 

 Angalizo: kwa mnaojiunga na vyama

 vya siasa vya upinzani ukubwani, kuwa mwanachama wa
chama

 cha siasa sio lazima utetee kila kinachohusu chama
chako.

 Kuna mengine unakaa kimya tu. Kwa maneno mengine, kuwa

 mwanachama wa chama cha siasa hakukufanyi ukapoteza
uhalali

 wako wa kufikiria bila kujipendekeza kwa chama. Uanachama
wa

 chama cha siasa sio kama ulokole ambao unakulazimisha
kusema

 Bwana Asifiwe kwa kila jambo lililopo katika Biblia.

 Nalisema hili kwa sababu naona wanachama wapya katika
vyama

 vya siasa vya upinzani wanatupa kwa kasi misingi ya

 kusimamia ukweli waliojijengea muda mrefu. Yaani hadi

 mnawazidi 'waliokoka' siku nyingi! 

 Kitila. 

 Kitila



 2015-09-08 8:23 GMT+03:00

 De kleinson kim <dekleinson@gmail.com>:

 Mama Kiwasila,

 Ni kweli tupu, ukisema sana wahafidhina

 watakujalia hapa wamefunga kanga nusu, na matarumbeta
ati

 kukusuta.

 Kumbe maskini ya Mungu hawaelewi muda, hawajui

 faida ya uongozi, hawafikiri taifa la kesho,
hawafikirii

 maendeleo ya wengi, wao huamini wao ndio bora! hata

 hawaelewi kwa nini tunatakiwa kuendelea, hawajui kwa
nini

 sie ni maskini?

 Na kama wanajua hayo, si bure wameweka nafsi

 yao mbele, UMIMI!!

 Kinachotusumbua watu weusi ni kile kilichopo

 ndani ya elimu. tunasoma kweli na kufaulu, lakini kama
hiyo

 elimu haikupi akili ya kujiongeza, then still workdone
=

 0!!! umesoma utawala, sheria, IT, e.t.c but still you
cant

 do logic ques.. we ni msomi wa aina gani sasa? labda wa

 mitihani!!

 Kama tutaendelea hivi, tutaishia kuuliza na

 kusifiana "umekuwa wa ngapi?" "ana GPA

 ngapi" "Amepewa Honors" n.k. lakini suluhu
ya

 matatizo ndani ya jamii yetu hakuna!!! tunashangilia

 qualification but not quality of it in return!!!







 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment