Thursday, 10 September 2015

Re: [wanabidii] 2015: NI KURA YA MAAMUZI MAGUMU

Kanala, Kapime kwanza ugonjwa mmoja tu, walau, puna Virusi vya UKIMWI, kisha mtuletee hapa jukwaani majibu yako, ndipo tuendelee kujadili ugonjwa wa wengine.Mie nakuona wewe ni mpumbavu tu. Hapa tunataka  hoja za kutujenga. Ugpnjwa wa mtu wewe una kuhusu nini.Basi na wewe ni mgonjwa, usichangie kitu hapa.

On Sep 10, 2015 9:31 PM, J L Kamala <jlkamala@gmail.com> wrote:
Nkya na katiba. nani alete katiba ya wananchi, mgombea huyu mgonjwa au??? fuatilia maoni yake akiwa CCM juu ya katiba mpya kwanza uje kusema hapa

2015-09-10 21:17 GMT+03:00 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

Reuben,
This is how I have decided to contribute to my beautiful country for the time being as an ordinary citizen.  Are you incurring any cost in the process of producing my writings?  Are you forced to read what I write?  Do I use abusive language? If no, why are you bothered then?

Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Thu, 9/10/15, 'Reuben Mwandumbya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] 2015: NI KURA YA MAAMUZI MAGUMU
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Thursday, September 10, 2015, 7:00 PM

 Nkya;
 You
 are writing too much nowdays,that is the hangover of your
 'kengeuko'.
 You need to present a
 lot of literature to justify yourself.
 Itakutafuna sana

 Sent from my Huawei Mobile

 'leonard magwayega' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Ananilea Nkya dear mama
 mwanaharakati wa enzi hizo naona umeshapoteza mwelekeo. Pole
 mama.Leonard Elias Magwayega (Adv).




     On Thursday,
 September 10, 2015 6:40 PM, 'ananilea nkya' via
 Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:



 Ndugu Kim,

 Neno mabadiliko  katika muktadha wa uchaguzi 
 Tanzania mwaka  huu 2015 linatumika kumaanisha wananchi
 kuchagua  serikali mpya  tofauti na serikali ya CCM
 iliyoko madarakani ambayo ilikataa kuandika Katiba Mpya
 inayotokana na maoni ya wananchi.
  
 Katiba Mpya itaweka misingi ya kuzuia serikali
 kuwa chanzo  ufisadi wa  fedha za umma, watawala
 kujitajirisha na kuwatajirisha  wawekezaji kutoka nje  kwa
 kutumia rasilimali za nchi yetu  huku mamilioni ya wananchi
 wakibaki masikini wa kutupa.

 Mfano ufisadi wa   mwaka jana 2014 wa Tegeta
 escrow bilioni 306, ufisadi wa  Richmond bilioni 172
 mwaka  2008 na ufisadi wa EPA bilioni 133 mwaka 2005 na
 hakuna aliyefikishwa mahakamani.

 Mabadiliko ya  kupata serikali  inayoongoza
 na  vyama vingine tofauti na CCM  ikiandika Katiba Mpya
 inayotokana na maoni ya wananchi ---Katiba hiyo  itaweka
 misingi  ambayo pamoja na mambomengine madaraka ya Rais
 yatapunguzwa—kuzuia Rais kuwa Mungu mtu.

 Kadhalika madadiliko 
 yataweka mihimili  isiyoingiliana  ya
 utawala—serikali—bunge na mahakama HIvyo  serikali 
 ikifanya ufisadi kama ule wa Tegeta escrow na EPA  watawala
 hawatakwepa mkono wa sheria  kama walivyokwepa.

 Kadhalika mabadiliko 
 yatazuia   watawala wachache  wakijitajirisha kwa kutumia
 fedha za wananchi  kujilipa mishahara mikubwa, mafao na
 marupurupu wakati  watumishi wengine wa umma madaktari,
 wauguzi, walimu, polisi na wananchi wengi wakibaki
 maskikini.

 Pia Katiba
 Mpya  itaweka misingi mizuri  ya kuwepo usawa wa kijinsia
 katika uongozi hasa 50 kwa 50 wabunge wanawake na wanaume 
 majimboni badala ya hili changa la macho ambalo baadhi ya
 vyama vinajidai eti kwa kuweka wagombea wanawake ni usawa wa
 jinsia.
  
 Je inawezekana
 kuwa  na usawa wa jinsia endelevu kama haijaandikwa kwenye
 Katiba ya nchi? Kama kweli serikali CCM walikuwa wanataka
 nchi iwe na usawa wa jinsia katika uongozi ni kwa nini
 waliikataa Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi
 ambayo ilik

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment