Tuesday 3 December 2013

Re: [wanabidii] TAMKO LA CHASO SAUT MWANZA KUHUSU ZITTO KABWE NA KITILA MKUMBO

'Unthinking intelligence' at work! "Ganda la mua la jana chungu kaona kivuno."


2013/12/2 Johale Magere <johale14@gmail.com>

Francis Kasili

Nadhani una tatizo la kunywa damu ya gwanda kiasi kwamba umekuwa mpofu wa kuchambuwa mada kwa kutoa hoja zaidi ya kushambulia mtu personally.Kila anaetoa maoni yanayoikosoa chadema unamwona CCM na huo ndio mtazamo wa wahadhina wanaoamini kuwa chadema ni chama cha wachagga na Mtu pekee anaefaa kuwa mwenyekiti ni lazima awe ndugu wa Mzee Mtei.Najua utapinga hili na kama huamini mwambie Dr Slaa aende Kigoma aone mapokezi yake yatakuwaje?

Magere  J.

On Dec 2, 2013 7:33 PM, "Francis Kasili" <Francis.Kasili@nmbtz.com> wrote:

Magere, 

 

 Mara ngapi imeainishwa kwamba swala la ukabila,ukanda n.k kuwa siyo hoja ya msingi kabisa hapa. Tatizo lako naliona ni UCCM/ugamba hutaki kusikia japo taarifa njema kwa CDM!. Watanzania tunapaswa kufikiri mambo makumbwa yenye kujenga nchi na kujikomboa na mafisadi waliohujumu nchi yetu lakini kwa mtazamo wako unahusika katika kuibomoa. Sijui WaTZ wengine mnahitaji nini hasa! labda mpingwe na vinyundo kichwani ndipo akili iwajie kuwa hizi ni mbinu za mapambano baina ya vyama vya siasa. Hapo nafikiri mtu mzima amenisoma pia naomba wanajukwaa wenye uelewa zaidi msaidieni huu jamaa atokemo huko aliko. 

 

 

Always darkness will never comprehend light


From: wanabidii@googlegroups.com [wanabidii@googlegroups.com] on behalf of Johale Magere [johale14@gmail.com]
Sent: Monday, December 02, 2013 12:32 PM
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] TAMKO LA CHASO SAUT MWANZA KUHUSU ZITTO KABWE NA KITILA MKUMBO

Matamko yatakuwa mengi sana ila ukweli utabaki palepale kuwa tatizo ni ukabila(uchagga) na ukanda  ukaskaizi.Mbowe na chama chake hawawezi kuingia ikuli kwa kura za Kilimanjaeo na Arusha Mjini.Haiwezekani kurugenzi zote katika  chama ziwe chini ya Wachagga halafu useme unakuZa demokrasia.

Magere J.

On Dec 2, 2013 11:08 AM, "Abdalah Hamis" <hamisznz@gmail.com> wrote:
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA .

Tamko la chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) tawi la SAUT Mwanza,kwa kushirikiana na umoja wa CHADEMA vyuo vikuu kanda ya ziwa.

Ndugu zangu watanzania, lifuatalo ni tamko letu kama wasomi wa CHADEMA tawi la chuo kikuu cha mtakatifu Augustino ,(SAUT) juu ya kinachoendelea ndani ya chama hasa kuhusiana na hatua zilizochukuliwa na kamati kuu ya chama chetu pendwa na kilichobeba matumaini makubwa ya kumkomboa mtanzania.

Sisi wanachama na viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA tawi la SAUT Mwanza ,tunapenda kuunga mkono maamuzi ya kamati kuu ya chama iliyokutana kuanzia tarehe 20-22/11/2013,kilichoazimia kuwavua nyadhifa zote za kiuongozi waliokuwa viongozi wa chama ndugu Zitto Zuberi Kabwe aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chama,Dk Kitila Mkumbo aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama na ndugu Samson Mwigamba aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA Arusha.kwani vitendo walivyokuwa wanafanya na walivyokuwa wamepanga kuvifanya ndani ya chama kama vilivyoelezewa vema na wasemaji wa chama vinakiuka katiba ya chama na maadili ya viongozi kuanzia ibara ya 10.1(viii)(ix)(xii) pamoja na ibara ya 10.2(iv)(v).

Pia tunapenda kuwaambia wanachama na wapenzi wote wa CHADEMA Tanzania,Kwamba chama hiki kimejengwa na kuundwa kwa misingi ya sheria na kanuni sahihi ni sharti kila mwanachama na kiongozi azifuate na kuziheshimu. Hivyo basi chama hiki ni taasisi kubwa na maamuzi yake hutokana na vikao halali ndani ya chama. Na atakaye kiuka kanuni na taratibu hizi za chama hana budi kuwajibishwa.

Pia tunapenda kukanusha TAARIFA ZILIZOSAMBAA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII zikianzia Jamii Forums kwamba sisi wanachama wa CHASO SAUT tunapanga kufanya maandamano kupinga MAAMUZI HALALI YA KAMATI KUU YA CHAMA Hivyo Uongoziwa CHADEMA SAUT na wanachama wake kwa ujumla tunasisitiza kwamba taarifa hizo siyo sahihi na hazina ukweli wowote bali zililenga kupotosha umma na kuzalilisha uongozi wa CHASO na wanachama wake kwa ujumla.

Mwisho uongozi unapenda kumalizia kwa kutoa wito ufuatao.

Tunapenda kuwakumbusha watanzania kwamba CHADEMA ni chama makini,chenye sera,kanuni,taratibu na nia thabiti ya kuikomboa nchi hii kutoka mikononi mwa mafisadi na wezi wa CCM,uongozi unakumbusha kwamba, kuna watu wamefilisika,wamefungwa ,wamefukuzwa kutoka kwenye fursa zao za kimaisha na wengine hata kufariki dunia kutokana na harakati za chama hiki,hivyo kwenda kinyume namaamuzi ya chama ama kupanga kufanya hujuma ama usaliti wa namna yoyote ni kuzisaliti damu za watanzania hao,wanachama tuwe na utaratibu wa KUPENDA CHAMA KAMA TAASISI na si mtu binafsi kwani TAASISI inadumu lakini watu wanakufa,hivyo tujifunze kuheshimu maamuzi ya chama ambayo huamuliwa ndani ya vikao halali vya chama na tusikubali kupotoshwa na propaganda nyepesi nyepesi za watu wasiokitakia mema chama.

LANG'O JACKSON KITALY WILHAD
KATIBU CDM SAUT MKT CDM SAUT
TAREHE 29/11/2013.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
*************************************************************************************** *************************************************************************************** This e-mail and any attachments are proprietary to NMB PLC. Any unauthorized use or interception is illegal. The views and opinions expressed are those of the sender, unless clearly stated as being those of NMB PLC. This e-mail is only addressed to the addressee and NMB PLC shall not be responsible for any further publication of the contents of this e-mail. If this e-mail is not addressed to you, you may not copy, distribute or disclose the contents to anyone nor act on its contents. If you received this in error, please inform the sender and delete this e-mail from your computer.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment