Thursday, 17 December 2015

Re: [wanabidii] PROFESSOR MUHONGO: WIZARA YAKO NI YA MADINI NA UMEME AU MADINI NA NISHATI?

Ipo sheria moja inazuia kabisa ukataji mkaa toka misitu ya asili.
Wakati inazinduliwa niliwakebehi wabunge walioipitisha kwa kusema hivi:
Baada ya siku tano mkikuta watu wamezimia na kulaliana kwa sababu wana njaa maana hawajala kwa sababu hawana kuni wala mkaaa hapo mjue sheria imefanikiwa. La sivyo mjue sheria imeshindwa na watu wanaendelea kukata mkaa. Ndivyo ilivyo hadi leo.
Lazima viongozi husika waje na mkakati wa kudhibiti au kuendelea kulinda misitu. Ndiyo maana wizara ya madini na nishati haistahili kutumia muda wote kujadili umeme kama nishati pekee tanzania.
Umeme unatumiwa na watu wachache sana na hakuna mpango wa kuwafanya wapikue umeme siku nyingi zijazo.
--------------------------------------------
On Tue, 12/15/15, Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] PROFESSOR MUHONGO: WIZARA YAKO NI YA MADINI NA UMEME AU MADINI NA NISHATI?
To: "WANA BIDII" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, December 15, 2015, 5:53 PM

Kuna kipindi
fulani mkoa wa pwani walizuia kukata miti na mikaa. Jukwaa
hili watu waliandika vitu vya ajabu na kumsakama mkuu
alietoa tangazo hilo.

Kila tukiwa na matatizo watu wanafikiria visolution simple
simple hadi unajiuliza hivi vyuo vikuu vimejengwa kwa ajili
gani.
Tuna wasomi wazuri wako frustrated wamekuwa
walevi sababu wapumbavu wengi wako madarakani hawajui
kutumia kalamu na Meza walizopewa.
Tutumie wasomi sasa taifa limegaramia hela
nyingi
On Dec 15, 2015 08:38,
"'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Ninaamini
katika move hii ya kubana matumizi bila shaka serikali
itaokoa fedha fulani. Fedha hizo zikielekezwa katika maeneo
fulani taifa litasonga mbele. Moja ni kutoa ruzuku katika
maeneo ya nishati. Kuendelea kutoza kodi vifaa vya biogas na
solar ni sawa na kuendelea kuharibu mazingira. fedha
inayookolewa ielekezwe huko. Kama tuna gas ya ziada basi
ielekezwe kupikuwa majumbani ili misitu ipone. Viongozi
wasikivu hawatasubiri rais aseme bali watawasikiliza
watanzania kama yeye anavyofanya.



--------------------------------------------

On Mon, 12/14/15, Neatness Msemo <nmuzeh@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] PROFESSOR MUHONGO: WIZARA YAKO NI
YA MADINI NA UMEME AU MADINI NA NISHATI?

 To: wanabidii@googlegroups.com

 Date: Monday, December 14, 2015, 12:11 PM



 Nakubaliana na wewe kwa

 asilimia mia kwa mia.kwani ni ukweli usiopingika kuwa
umeme

 huwezi kuthubutu kuupikia labda kama ni mwizi wa mali
ya

 umma ukiwapo Umeme.Mtanzania wa hali ya kati analo jiko

 lakini ni mapambo.



 Kama serikali yetu ni sikivu itaondoa tozo la kodi
kwenye

 solar pamoja na vifaa vya kutengeneza biogas kwani ili
uwe

 na jiko likiwa limekamilika chini ya milion mbili

 hupati.lakini kama ujenzi wake utakuwa na nafuu na
vifaa

 wafugaji wengi watatumia  nishati hii mbadala lakini
pia

 solar ikipunguzwa wengi wa kipato cha chini watapata na

 kufurahia nishati hii na kutunza mazingira.sasa hivi
inabidi

 hata kama unapenda kuona mazingira yakilindwa unabidi

 ulegeze misimamo kadhaa





 On Dec 13, 2015 11:07

 PM, "hmrema11" <hmrema11@hotmail.com>

 wrote:











 maneno na mawazo yako ni kuntu. tuna watanzania wengi

 wasomi lakini ni wachache mno wenye uthubutu wa kufikiri
na

 kutoa mawazo yako. hongera sana. cha kusikitisha kila

 ushauri unaotolewa unaonekana kama ni ukosoaji ambao

 haukubaliki.

  hii ndio changamoto. mawazo yote yaliyokwisha tolewa
kwa

 miaka kumi iliyopita tanzania ingekuwa mbali sana.
ninafiki

 sasa ni muda wa mawazo ya watu wengine ambao hawako
kwenye

 system kuchukuliwa serious kama kweli tuna nia ya

 kuibadilisha tanzania iwe bora

  zaidi.



















 Sent from Samsung Mobile









 -------- Original message --------



 From: 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>





 Date: 13/12/2015 10:45 pm (GMT+03:00)



 To: wanabidii@googlegroups.com





 Subject: [wanabidii] PROFESSOR MUHONGO: WIZARA YAKO NI
YA

 MADINI NA UMEME AU MADINI NA NISHATI?















 Kila inapotajwa neno nishati hapa Tanzania naona kila
mtu

 anakimbilia umeme au TANESCO. Niliwahi kuandika humu
maneno

 ninayotaka kuyarudia na waziri mhusika akanisakama.



 Watanzania zaidi ya 95% wanatumia Mkaa kupikia.
Wanaotumia

 umeme hawafiki 5%. Lakini kila neno nishati likitamkwa
watu

 hukimbilia kufikiri lina maana ya umeme. Najua kupitia
REA

 serikali inajitahidi kufikisha umeme vijijini. Lakini
bado

 umeme huo sanasana unakwenda

  kuwasha taa na kuchaji simu.







 Ninakubaliana na Professor Muhongo kutembelea TANESCO
mara

 baada ya kuapishwa. Ni sehemu ya watanzania bila shaka.

 Lakini mimi nafikiri Muhongo hata kwa kuzingatia usomi
wake

 anastahili kuja na mkakati mpya.



 Vyanzo vya nishati haviwezi kuishia katika umeme
unaotumiwa

 na watu wachache sana. Kwanza itachukua muda umeme huo

 kuanza kutumika kwa matumizi makubwa. Mpaka bei ishuke
watu

 waweze kumudu sio leo.







 Lakini Tanzania ina vyanzo vingi vya nishati ambavyo ni

 muhimu kuviangalia.



 Tuna mavi ya ng'ombe ambayo ni chanzo muhimu cha
nishati

 ya biogas. Tuna jua linawaka masaa 12 kwa siku mwaka
mzima.

 Na maeneo mengi.





 Kufumbia macho ukweli kuwa asilimia kubwa ya watanzania

 wanatumia mkaa na kwa hiyo wanaharibu mazingira

 kutalitumbukiza taifa katika mgogoro wa kukabiliana na

 matokeo ya uharibifu wa mazingira. Nashauri mikakati
ifanywe

 kuhakikisha tunajielekeza katika kulisaidia

  taifa kwa kutafuta nishati mbadala. Inawezekana kwa
kuacha

 kuendelea kuutaja umeme huku tukiharibu misitu. Badala
yake

 tujiulize misitu inaharibika kiasi gani na tunafanya
nini

 kurekebisha hali hiyo. Ni wizara hii inayostahili
kuwekeza

 katika technologia ya

  majiko bora yanayotumia mkaa au kuni kidogo. Ni wizara
hii

 inayostahili kulia na serikali kupunguza kodi
zinazotozwa

 kwenye vyanzo vya nishati mbadala kama solar panel na

 biogas. Ni wizara hii inayostahiliu kutafuta mipango ya

 kushirikiana na wizara zingine

  kama Maliasili na utalii na ofisi ya makamu wa

 rais-mazingira ili wote kwa pamoja waliokoe taifa.



 Nashauri tu.



  



  



  Sent from my iPad



  



  



  



  --



  



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



   



  



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma



  



   



  



  Disclaimer:



  



  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.
Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.



  



  ---



  



  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.



  



  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



  



  



  



  



  



  --



  



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



   



  



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma



  



   



  



  Disclaimer:



  



  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.
Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.



  



  ---



  



  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.



  



  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to

  abide by our Rules and Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

















 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment