Monday 27 February 2017

[wanabidii] UNESCO KUENDELEA KUSAIDIA REDIO JAMII KUKUZA DEMOKRASIA

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES hapa chini.

Shirika la Kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeahidi kuendelea kuzisaidia redio jamii kwa lengo la kuhakikisha sauti za wanyonge zinapazwa na kusikika ili kukuza demokrasia nchini.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA), Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni  (UNESCO),  Zulmira Rodrigues alisema UNESCO alisema kuwa wakati umefika kwa wadau wa sekta ya habari kufikiri kwa kina namna ya kuhabarisha umma kwa kuangalia namna ya uwasilishaji ambapo kwa sasa changamoto kubwa ni kasi ya ukuaji wa teknolojia ya habari na namna ambapo redio zinaweza kushindana na vyombo vingine.

Alisema kwa wanahabari wanapaswa kuwa makini na taarifa wazitoazo kwa jamii kwani kumekuwa na mazoea ya baadhi yao kuripoti habari bila kufanya uchuinguzi wa kina huku wakitumia chanzo kimoja cha habari badala ya kujiuliza maswali mengi ili kupata taarifa sahihi.

<a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0294.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-463" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0294.jpg" alt="" width="640" height="376" /></a>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><strong>Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Habari wa UNESCO, Ofisi za Tanzania, Christophe Legay akizungumza machache wakati wa mkutano mkuu wa wajumbe wa Bodi ya Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA) unaoendelea katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.</strong></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<p style="text-align: left;">Aliwashauri wanachama wa COMNETA, wawe na umoja, mshikamano na kupendana ili kuepuka migogoro inayoweza kuyumbisha ustawi wa mtandao huo. "Ninawaomba sana, COMNETA, muwe mfano wa kuigwa kwa kuepuka migongano ya wenyewe kwa wenyewe ikiwamo kugombea madaraka ili kuwa umoja wa mfano kwa katika tasnia ya vyombo vya habari hapa nchini'.</p>
<p style="text-align: left;">'Vipindi mbalimbali vya kuhamasisha maendeleo vinavyorushwa na redio hii vimesaidia sana kuhamasisha wananchi na sasa mwamko wa maendeleo umekuwa mkubwa hapo Micheweni" alisema Zulmira Rodrigues</p>
<p style="text-align: left;"><a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/1-5.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-464" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/1-5.jpg" alt="" width="640" height="401" /></a></p>

</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><strong>Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya COMNETA, Mohamed Tibanyendera akizungumza na wadau mbalimbali wa vyombo vya habari jamii waliokutana kwenye mkutano mkuu ili kujadili changamoto na kufanya uchaguzi wa viongozi wapya uliodhaminiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO).</strong></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<p style="text-align: left;">Mwenyekiti wa Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania-COMNETA, Prosper Kwigize alisema kuwa ipo changamoto kwa baadhi ya maafisa habari mikoani na wilayani kuleta urasimu mkubwa katika utoaji wa taarifa zinazohitajika kwa waandishi wa habari hivyo kukwamisha upatikanaji wa habri kwa umma. Pia kuna changamoto mbalimbali kwenye chama hicho hivyo ni vyema kuzitafutia suluhiso la msingi ili mtandao huwe imara.</p>
<p style="text-align: left;">Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya COMNETA, Mohamed Tibanyendera alisema kuwa kwa siku za nyuma redio ilikuwa ni chombo cha kuaminika katika utoaji wa habari hivyo kujijengea umaarufu na kuaminika zaidi tofauti na ilivyo sasa ambapo kuna upotoshaji mkubwa. Pia aliweza kuyatolea majibu maswali yaliyoulizwa na wajumbe wa bodi ya  COMNETA ili kuimarisha uwajibikaji katika Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania-COMNETA.</p>
<p style="text-align: left;"><a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/2-5.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-465" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/2-5.jpg" alt="" width="640" height="399" /></a></p>

</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><strong>Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA), Prosper Kwigize akizungumza na viongozi wa vyombo vya habari jamii wakati wa mkutano mkuu wa COMNETA unaondelea katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.</strong></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirliOKK_XhDhYl59-ieR4uDzVpUU3qkleP6WPixVjH8pFz6q-AbA-EWTQLT3EUS135xVPGsL0MpKmyWCZxdNN21OYQdNKBIHA2hGWry2oGK757fJqT8sVq8L6YNN5mm7VY1Y_s0NkP58w/s1600/DSC_0173.JPG"><img class="aligncenter" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirliOKK_XhDhYl59-ieR4uDzVpUU3qkleP6WPixVjH8pFz6q-AbA-EWTQLT3EUS135xVPGsL0MpKmyWCZxdNN21OYQdNKBIHA2hGWry2oGK757fJqT8sVq8L6YNN5mm7VY1Y_s0NkP58w/s640/DSC_0173.JPG" width="640" height="364" border="0" /></a></span><strong>Mjumbe wa Bodi ya Udhamini ya COMNETA, Balozi Christopher Liundi akizungumza jambo wakati wa mkutano mkuu Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA) unaofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam chini ya udhamini wa UNESCO.</strong></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiWCZjMkSoDp62P0d9VnCJjDUicn8ZVP0VVU2FKkP75catGkGfUqJDTb-DRzG7Bsqw2iVDUq9ahaVaZJkC-3Ntdn_18lqVZFRTPQNXV4OB2BJwai7Zm2XKralppB9wrDWeGwldMk6_lkZg/s1600/DSC_0150.JPG"><img class="aligncenter" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiWCZjMkSoDp62P0d9VnCJjDUicn8ZVP0VVU2FKkP75catGkGfUqJDTb-DRzG7Bsqw2iVDUq9ahaVaZJkC-3Ntdn_18lqVZFRTPQNXV4OB2BJwai7Zm2XKralppB9wrDWeGwldMk6_lkZg/s640/DSC_0150.JPG" width="640" height="468" border="0" /></a></span><strong>  Katibu wa Bodi ya Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA), Marco Mipawa akisoma marejesho kwenye mkutano mkuu unaondelea OUT jijini Dar es Salaam.</strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">
<a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEheXrnfnxdGqrV6mpV1xRU48nZUpV4WTTd_znZSpp_jELKaPVSbTqSD9gVk4SbCtoc3HPSvLWji2GoTTKgf_aK-4VvF7mgP-Y1QhuVvjvxDlH5EwZIRtn4N_jTeWqss6LYnbZNEH30us1g/s1600/DSC_0111.JPG"><img class="aligncenter" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEheXrnfnxdGqrV6mpV1xRU48nZUpV4WTTd_znZSpp_jELKaPVSbTqSD9gVk4SbCtoc3HPSvLWji2GoTTKgf_aK-4VvF7mgP-Y1QhuVvjvxDlH5EwZIRtn4N_jTeWqss6LYnbZNEH30us1g/s640/DSC_0111.JPG" width="640" height="424" border="0" /></a></span><strong>Pichani juu na chini ni Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya COMNETA ambao pia ni Mameneja na wawakilishi wa vituo vya redio jamii nchini wakishiriki kutoa maoni kwenye mkutano mkuu wa COMNETA unaoendelea katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.</strong></div>
<div style="text-align: center;"><a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0115.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-455" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0115.jpg" alt="" width="640" height="426" /></a> <a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0176.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-456" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0176.jpg" alt="" width="640" height="426" /></a> <a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0196.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-457" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0196.jpg" alt="" width="640" height="429" /></a> <a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0201.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-458" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0201.jpg" alt="" width="640" height="433" /></a> <a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0203.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-459" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0203.jpg" alt="" width="640" height="402" /></a> <a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0204.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-460" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0204.jpg" alt="" width="640" height="436" /></a></div>
<div style="text-align: center;"><a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0146.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-461" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0146.jpg" alt="" width="640" height="394" /></a> <strong>Kutoka kushoto ni Afisa Programu wa Mawasiliano na Habari wa UNESCO, Nancy Kaizilege na Mkufunzi wa Redio Jamii UNESCO, Rose Haji Mwalimu wakirekodi mambo muhimu katika mkutano mkuu wa COMNETA unaoendelea jijini Dar es Salaam.</strong></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><a style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiCOROQ2cpkEx6XekcekraG2lFAjaYo7tIGAmPFL2D41g3n50MICGZNntFusjmKpVq-FReFslBdUbtiRh2-a76ccnYpq_1W3mbfW1vpIwtUcOghGFYPfIR4FJlaC8cowIwpf9RtJGhfCfQ/s1600/DSC_0240.JPG"><img class="aligncenter" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiCOROQ2cpkEx6XekcekraG2lFAjaYo7tIGAmPFL2D41g3n50MICGZNntFusjmKpVq-FReFslBdUbtiRh2-a76ccnYpq_1W3mbfW1vpIwtUcOghGFYPfIR4FJlaC8cowIwpf9RtJGhfCfQ/s640/DSC_0240.JPG" width="640" height="354" border="0" /></a></span><strong>Mkutano ukiendelea.</strong></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0158.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-462" src="http://www.thebeauty.co.tz/wp-content/uploads/2017/02/DSC_0158.jpg" alt="" width="640" height="398" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div>

--
Zainul A. Mzige,
Managing Director,
Mzige Media Limited,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment