Saturday 25 February 2017

Re: [wanabidii] KIFO CHA UPINZANI TANZANIA: ZAMU HII NANI MCHAWI?

Upinzani umekufa katika fikra zako tu. Labda na Magufuli.
em


2017-02-25 10:53 GMT-05:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Kila mtu mwenye ufahamu anafurahishwa na hilo. Ni kama wachezaji kumsikiliza mtazamaji. Ni busara kubwa. aliye nje ni rahisi kuona makosa.
--------------------------------------------
On Thu, 2/23/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] KIFO CHA UPINZANI TANZANIA: ZAMU HII NANI MCHAWI?
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Thursday, February 23, 2017, 9:32 PM

 Huwa
 nafurahi kuona ushauri kwa Chadema kutoka kwa watu wasio
 wa Chadema.em
 2017-02-23 5:27 GMT-05:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Kama kuna
 nchi iliwahi kunufaika na siasa za vyama vingi vya siasa,
 Tanzania ni moja kati ya hizo.

 Nchi hii imekuwa chini ya Chama kimoja toka miaka ya 60 hadi
 92 vyama vya siasa viliporuhusiwa. Chama Cha Mapinduzi,
 chama chenye sera nzuri kiliharibika kwa sababu ya viongozi
 wake kujisahau na kudhani hakuna wa kuking'oa madarakani.
 Ufisadi ulilelewa na kujisahau huko, Upendeleo, Rushwa,
 matumizi mabaya ya mali za umma na pengine kuhalalisha jinai
 vilijitokeza hapa nchini na viongozi wa CCM hawakuonekana
 kushtuka.

 Watu walichoka. Watu waliamua. Bahati nzuri kikajitokeza
 Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kuonekana kuaminiwa na
 wananchi kiasi cha kuamua kukikabidhiwa taifa kuliongoza
 kupitia uchaguzi.

 Huenda kiogozi wa kwanza kushtuka alikuwa Speaker wa Bunge
 Samwel Sitta. Katika bunge la 2007 alijaribu kubeza hoja
 zilizotolewaa na wabunge wa Chama hiki (CHADEMA). Hoja moja
 ilitolewa na Zitto Kabwe ikihusu Kashfa ya Buzwagi. Hoja ya
 List of shame ikitolewa na Dr. Slaa iliondolewa bungeni
 baada ya Sitta kuibeza. Baaada ya bunge hilo kuahirishwa
 wananchi walionekana wazi kuwakandia wabunge wa CCM na
 kuwatukuza wabunge wa Upinzani. Hapo ndipo Sitta
 alipoonyesha ukomavu kwa kuhakikisha wabunge wachache wa
 upinzani wanasikilizwa. Sikumbuki vizuri kama hakuna wabunge
 wa CCM waliotupiwa mayai mabovu. Watu waliamua. Wananchi
 walizielewa hoja za CHADEMA na wakaziona ni mtetezi wao.

 Hasira za wananchi zilijionyesha uchaguzi uliofuata 2010.
 Idadi ya wabunge wa upinzani iliongezeka; na wanaojua siri
 za matokeo halali ya urais sina uhakika kama wako huru
 kusema ukweli na kuendelea kuwa huru.

 Kipindi chote cha 2010 hadi 2015 ilidhihirika kuwa hata
 wahafidhina walioamini kuwa rais Tanzania lazima atoke CCM
 walikuwa wamepungua na kuwa rais angeweza kutoka nje ya CCM
 katika uchaguzi wa 2015 kwa mara ya kwanza. Chama Cha
 Mapinduzi kilishtuka. Yale mategemeo kuwa kila mteule wake
 atashinda yalitoswa na kuamua kwenda na mabadiliko. Ndiyo
 mabadiliko tunayoyaona sasa. Mabadiliko ambayo kutokana na
 udhaifu wa Rais hayajaeleweka kwa wengi (Hili nalo
 naliandalia makala maalum).

 Toka vyama vingi vya siasa vianze hapa nchini tumeshuhudia
 vyama vya siasa vikiibuka na kuzama. Tunakumbuka jinsi
 ambavyo NCCR Mageuzi kilivyotetemesha siasa za vyama vingi
 1995. Mwaka ule ilibidi kutumia nguvu ya akiba kuhakikisha
 CCM inashinda. Baadaye NCCR mageuzi iliyeyuka na kuishia.
 Kikaibuka chama cha Wananchi-CUF. Hata kama hakikufika
 ilipofika NCCR Mageuzi lakini inafahamika kazi yake Bungeni
 na mitaani. Vyama hivi kwa jinsi vilivyodhoofika, CCM
 haiwezi kujifanya takatifu. Kuna hisia baina ya watanzania
 kuwa CCM imetumia hata vyombo vya dola kudhoofisha nguvu ya
 vyama hivi. Nakubaliana na hisia hizo na nilipendekeza
 katiba mpya iliangalie hilo, (la taasisi moja kudhoofisha
 nyingine). Bado natafakari na sijaamini kuwa mgogoro
 unaoendelea ndani ya CUF ni njama za kupindisha agenda ya
 CUF kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.

 CHADEMA sasa inadhoofika. Udhaifu wake unaonekana wazi kwa
 wanaotaka kuuona. Kitu kimoja tunachokubaliana haraka ni
 hiki: CHADEMA haina inaloliongea linalohusu wananchi.
 Imejikita katika kutetea maslahi ya viongozi wa chama, na
 kujitahidi kulumbana na uongozi (serikali) uliopo kazini
 (madarakani). Huu ni udhaifu mkubwa sana. Lakini ni hujuma
 kutoka wapi? Ni CCM inaihujumu CHADEMA? Ni vizuri
 kutoharakisha kujibu swali hili ila kwa hoja makini.

 Lakini ninataka kujielekeza mahala ninapoona CHADEMA
 imeanzia kuteleza. Toka 2010 mpaka muda mfupi kabla ya
 uchaguzi CHADEMA ilionekana kama chama chenye raslimali watu
 wenye uwezo wa kuliongoza taifa. Kitendo cha kujitokeza
 kumchukua mgombea urais kutoka nje ya Chama katika uchaguzi
 wa 2015; tena mgombea ambaye chama chenyewe kiliwahi
 kumshtaki kama mmoja wa mafisadi wakubwa. Na sababu hiyo
 ikawa sababu ya CCM kumuendua. Sasa CHADEMA kumchukua;
 ilikuwa ishara kuwa chama hicho hakikiwa na mtu aliyestahili
 kugombea urais. Kwa siasa za Tanzania hili ni tatizo kubwa
 sana. Wakati uvumi ukipita kuwa CHADEMA inaweza kumtawaza
 mtu nje ya wanachama wake kugombea urais tulijitahidi bila
 mafanikio kuzuia janga hilo. Nakumbuka kuandika mahala kuwa
 CHADEMA iliyoshindwa ikiwa imemsimika Dr. Slaa itakuwa imara
 kuliko ile itakayoshindwa ikiwa imemsimika mgombea kutoka
 CCM. Sijui viongozi walilewa nini? Hawakusikia.

 Katika kampeni za uchaguzi, watu walikuwa wanakusanyika
 kusikiliza sera. CHADEMA iliyokuwa imevuma kwa kuongelea
 matatizo yanayogusa hisia za watu ilikosa hicho. Ikafika
 mahala watu wakawa wanaangalia wingi wa watu kwenye mikutano
 kuwa tumaini la ushindi, badala ya nini kimeongelewa kwenye
 mikutano hiyo. CHADEMA ikashindwa. Kulikuwa na hoja zisemazo
 kiongozi Fulani wa CHADEMA ameuza chama kwa shilingi bilioni
 kumi. Badala ya kujibu hoja zikawa zinaachwa. Hii
 ikakigarimu chama kushindwa na kama kawaida kuanza kelele za
 'nimeibiwa'.

 Baada ya uchaguzi CHADEMA tuliyoizoea hatuioni tena. Busara
 ya kujua watu wanataka nini na kusemea hilo haionekani tena.
 Mikutano ambayo baadaye ilizuiliwa wala haikulenga kuongelea
 wananchi wana shida gani. Bungeni mpaka linaacha kuonekana
 live viongozi wetu walionekana kuikandia serikali badala ya
 kuikosoa na kuisahoihisha. Wengine tukawa tunauliza kama
 kuikashfu na kuishambulia serikali ni sehemu ya kuishauri na
 kuisimamia? Mfano mmojawapo ni hali ya chakula nchini.
 CHADEMA inaona nchi itangaze janga na taifa liombe msaada wa
 chakula baada ya ukame wa mwaka mmoja katika sehemu za
 taifa. Sudan Kusini ina myaka mitatu ya ukame ndipo
 inatangaza janga. Tanzania inao upungufu mkubwa wa chakula.
 Kutokana na ukame. Mvua zinanyesha sehemu kubwa ya nchi hii.
 Mvua hizi zinaweza kuwa chache. Serikali imesema na
 inahimiza watu walime mazao ya muda mfupi. Upinzani ulikuwa
 na wajibu wa kuibana serikali kutoa mbegu. Hii ingeepusha
 taifa kukabiliwa na njaa ambayo sasa haipo. Haya. Kwa sasa
 viongozi Fulani wa CHADEMA wanaona fahari kukamatwa na
 Polisi na kuhojiwa. Matamshi yao ni wazi kuwa wana chuki
 binafsi na watu Fulani ndani ya serikali. Kwa herufi kubwa
 KAMWE HUU HAUWEZI KUWA NDIO UPINZANI.

 Kama CHADEMA si mali ya mtu inatarajiwa kuwa itakaa chini na
 kufanya tathmini. Mwisho wake tutaona mabadiliko makubwa
 katika safu za uongozi wa chama hiki. Vingine basi huu ndio
 mwisho wake. Hivi ni CCM kweli inahihujumu? Kama jibu ni
 ndiyo basi ni ukaidi wa CHADEMA kukaidi ushauri wetu
 kutopokea wakimbizi. Nani anajua kama kati yao kuna
 waliotumwa kwa kazi maalum? Vinginevyo Mchawi wa zamu hii ni
 njaa ya viongozi wake wakuu.

 Elisa Muhingo

 0767 187 507

        --

    

       

    



        Send Emails to wana...@googlegroups.com

    

       

    



         

    

       

    

    

      Kujiondoa Tuma Email kwenda

    

       

    

    

      wanabidii+...@ googlegroups.com 

    



       Utapata Email ya

    



        kudhibitisha ukishatuma

    

       

    



         

    

       

    

    

      Disclaimer:

    

       



    

        Everyone

   posting to this Forum bears

     the sole

    

       responsibility

    

        for any legal

   consequences of his or

     her postings,

    

      and

    



       hence

    

        statements and facts must be

   presented

     responsibly.

    



      Your

    

        continued membership signifies that

     you agree to

    

      this

    

        disclaimer and pledge to abide by

   our

     Rules and

    

       Guidelines.

    

       

    

    

      ---

    

       

    

        You received this

   message because you

     are subscribed

    

      to

    



       the

    

        Google Groups "Wanabidii"

     group.

    

       

    

    

      To unsubscribe from this group and

    

   stop receiving

    

    

    emails

    

        from

   it, send an email to wanabidii+...@

    

   googlegroups.com.

    

    

     

    

        For more

   options, visit

    

       https://groups.google.com/d/

     optout.

    

       

    

    



    

    

    



     --

    

     Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

    

      

    



     Kujiondoa Tuma Email kwenda

    

     wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com 

    Utapata Email ya

    

   kudhibitisha ukishatuma

    

      

    

    

   Disclaimer:

    

     Everyone

   posting to this Forum bears the sole



   responsibility

     for any legal consequences

   of his or her postings, and

    hence

     statements and facts must be presented

   responsibly. Your

     continued membership

   signifies that you agree to this

    

   disclaimer and pledge to abide by our Rules and

     Guidelines.

    

     ---

    

    

   You received this message because you are subscribed
 to

    the

     Google Groups

   "Wanabidii" group.

    

     To unsubscribe from this group and stop

   receiving emails

     from it, send an email

   to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

    

     For more options,

   visit



   https://groups.google.com/d/
 optout.

  
  



     





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment