Saturday 18 February 2017

Re: [wanabidii] VITA YA MADWA YA KULEVYA: WABUNGE WETU WAKO UPANDE GANI?

Jovin.
1) Jitahidi kujibu wasome wote. Makala zijazo click reply to all. Kuna watu unawanyima uhondo.
2) Nakubaliana na wewe na wote kuwa Kabla mtu hajatajwa kuwe na uhakika mkubwa kuwa anahusika. Ninadhani utasoma nilipomjubu Karugendo. lakini ni kosa pia kutaka kuendeleza vita ya madawa ya kulevya kwa sababu ya kosa la kifundi la makonda, (la kuwataja watu) pia ni wazi kuwa asingewataja wangejulikana kwa kutajwa na vyombo vya habari.
3) Ninajua kuwa hata katika kesi zote ni juu ya watuhumiwa kujisafisha au wakati wa upelelezi au mahakamani
4) "Ngu naiba" Ni msemo wa kihaya. Unajua pia kuwa watu hutafuta namna ya kutoka katika kosa? Unaamini kuwa wengi wanaotaka tuone kosa la Makonda badala ya ubaya wa madawa huenda ni wanufaika wa biashara hii?
Elisa
--------------------------------------------
On Sat, 2/18/17, 'Jovi kamuntu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] VITA YA MADWA YA KULEVYA: WABUNGE WETU WAKO UPANDE GANI?
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Saturday, February 18, 2017, 12:41 PM

Mihingo.


Mjadala
wako wote ni mbwembwe tu. Hoja ya msingi  haijajibiwa.

Labda
niulize swali rahisi, Je unakubaliana na maagizo ya Viongozi
wakuu wa Serikali kwamba Watuhumiwa wa dawa za kulevya
watajwe baada ya kujiridhisha kuwa kweli
wanahusika?
Mimi
nakubaliana nao 100%. Wewe je?. Pia ieleweke kuwa mimi
nakubaliana na ww kuwa vita dhidi ya madawa ya kulevya ni
yetu sote siyo ya mtu mmoja au kundi moja au kikundi cha
watu.  Jovin





On Friday, February
17, 2017 5:56 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Jovin.
Uko sahihi katika kutokuwa sahihi kwako.
Sheria haina upungufu na kmaupo serikali
haijazuiwa mbele kushughulikia tatizo. Kama ulimsikiliza
Rais alidefine serikali. Ndipo akasema kama kuna anayeona
upungufu apeleke mswada bungeni (ambao utakabidhi taasisi
nyingine kushughulikia madawa badala ya serikali) ni vizuri
kusoma alimaanisha nini. Si udhaifu wa sheria
2) Mimi sijui vizuri ukuu wa Bunge juu ya
serikali. najua Bunge huwakilisha wananchi kwa sababu
wamechaguliwa na wananchi. Na rais amechaguliwa na wananchi
hao. Najua Bunge linastahili kuheshimiwa. Hakuna anayeweza
kukosa kuliheshimu. Siamini kuwa bunge litafanya upuuzi
liendelee kuheshimiwa. Wewe ni Mhaya. Unaijua methali
isemayo "Kokunila atajwala olemwa olebayo."
Ukimheshimu anayekaa uchi kwa kuangalia pembeni siku moja
unaamua unamtazama. Unakumbuka 2008 wabunge walipoamua
kutovaa. Akaadhibiwa Zitto. CHADEMA ikaondoa hoja ya List of
shame. Kilichotokea ni wananchi kuamua kutoliheshimu bunge.
Hivyo bunge linaheshimiwa kwa kanuni na kujiheshimu pia na
sawia.
3) Kwamba mimi nina chuki na mtu
binafsi? sijui. lakini najijua. Sina adabu. Hiyo ni mila
yangu. Mtu akiharibu, au nikifikiri ameharibu huwa sijui
ukubwa wake. ndivyo nilivyo toka zamani. ukitaka niambie
nikutumie makala zangu ambazo wengine walidhani zitaniweka
matatani. Naandika makala ya kuisaidia idara ya mahakama
"kuvaa". naona hivyo. Kwa hiyo simchukii mtu. Ila
si mvumilivu ninapoona tunakwenda kulia. Na mtu ninaamini
anajua tunakwenda huko halafu anafanya mambo kama kwamba
haendi tunakokwenda. Simchukii ila siwezi kuuheshimu upuuzi
wake. Tusishabikie siasa kama mpira bali kama dawa ya kutibu
ugonjwa. ukicheza na dawa mtu anakufa. mpira timu
inafungwa.

4) Dawa za
kulevya ni hatari. Kuna wanaoamini makonda alikurupuka
kutaja majina. Sikuwahi kudhani hivyo. Ulikuwa mkakati wa
mfumo. Ninaamini mwizi halali anakamatwa. Hawa waliopimwa
wakakuta walitumia madawa vipimo havikuagizwa baada ya
makonda "kukurupuka". Hakuna cha mwizi halali na
hewa hapa. Wote waliotajwa ni wezi tu. Unajua kubeza
kulikokuwa midomoni mwa wengine kumeyeyuka baada ya kuona
seriousness ya vita. Waliosema wakiitwa polisi kwa masaa
kadhaa watapoteza mamilioni huoni wako kimya sasa? Unaona
wengine wanaanza kuufufua 'UKUTA' uliokwisha vunjika
kuona kama utawaponya. Hizo ni harakati za kutafuta mlango.

Tusaidiane kuyapiga vita madawa. Na haya
tunayoyaandika ni mchango mkubwa.
--------------------------------------------
On Thu, 2/16/17, 'Jovi kamuntu' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

Subject: Re:
[wanabidii] VITA YA MADWA YA KULEVYA: WABUNGE WETU WAKO
UPANDE GANI?
To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, February 16, 2017, 10:33 AM

Nimefurahi kwa mada yako
nzuri Kaka Elisa. Nimefurahishwa na mambo
yafuatayo:-
1.
Kwamba Bunge lilitunga sheria ya kuzuia madawa
ya kulevya.
Ni kweli kabisa. Basi itumike
ipasavyo kuondoa tatizo hili.
Kama serikali
inaona ina mapungufu, basi ipelekwe tena

Bungeni iongezewe makali.
2.
Bunge lilitumia sheria ya Haki na Kinga ya
Bunge kufanya
hayo unayoyaita upuuzi. Hii
itufundishe kuwa mihimili yetu
mitatu
haijakaa sawa sawa kimadaraka. Huenda mipaka ya hii
mihimili haieleweki sawasawa. Kiongozi wa
Serikali anatakiwa
kufahamu ukuu wa Bunge -
Bunge halipaswi kuwa sehemu ya
serikali na
kwamba Bunge liko juu ya Serikali. Ndugu yangu
lazima tukubaliane kuwa Wabunge kwa ujumla wao
wanastahili
heshima, na Mbunge anaweza
kuongea lolote akiwa Bungeni na

asishitakiwe kwa aliyoyasema. Hizo ni sheria zetu
tulizoziweka wenyewe aidha kwa lengo zuri au
baya.
3.
Mwisho naona Kaka
Elisha una chuki Binafsi na Mbunge fulani

japo ukutaka kutaja majina yake. Vua uchama kwanza, pima
hoja zake kwa ujumla wake ndipo useme kuwa ni
mpuuzi au
hapana.

Mimi
ni kwambie, dawa za
kulevya ni hatari sana na kila mtu
lazima
ayachukie kwa kadri atakavyoweza. Serikali ni taasisi
inaundwa na Rais pamoja na Baraza lake la
mawaziri. Mkakati
aliokuja nao Makonda
ulisaidia kuamusha hisia na baadhi ya

vyombo kuanza kufanya kazi. Mimi nilitegemea zaidi ya
hilo
husuan vyombo vyote vya Serikali
kuandaa Mkakati wa Siri
chini ya kiapo wa
kupambana na janga hili.
Siku
moja kulitokea mwizi akaiba baiskeli na watu
wakaanza kupiga
kelele na kumfukuza, bahati
mbaya waliokuwa wanamkimbiza
wakaelekea
Kusini na kumkamata mwizi hewa wakati mwizi

halisi alikimbia kuelekea Kaskazini. Kwa maoni yangu ni
kwamba kuwataja watu hadharani inaweza
kuwafanya wahusika
hasa wauzaji wa madawa
kutoka nje ya nchi kuelekea kaskazini

tukashindwa kukata mnyororo wa madawa kwa sasa.

Jovin
 

 


    On Wednesday,
February 15, 2017 10:25 PM, 'ELISA
MUHINGO' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
 

  Ndaki.
Hakunaatakayekubali
kupimw. Ila uzuri kila anayetajwa
akifika
Polisi (nadhani) Cha kwanza ni kumpima. Wew utaona
kama mbwembwe hazitayeyuka. Waliokwenda
wanamlaani Makonda
wametoka lugha
imebadilika unadhani kwa nini? Wanaoogopa

kwenda Polisi unadhani kwa nini? Waliopandwa pressure?
Ninaamini jamii ikiiunga Mkono serik\li na
kupuuza
habari za magorofa ya makonda vita
hii ushindi hauko mbali.
Mataifa mengine
watakuja kujifunza. KLwa wabunge wetu

wakubali kupimwa au wapimwe kwa nguvu ndipo tusikie lugha
zao

--------------------------------------------
On Wed, 2/15/17, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com>
wrote:

 
Subject: Re:
[wanabidii] VITA YA MADWA YA
KULEVYA: WABUNGE WETU WAKO
UPANDE GANI?
  To: wanabidii@googlegroups.com
  Date: Wednesday, February 15, 2017, 12:58
PM
 
 
Muhingo,
  kama kweli watu wa sheria
wanayachukia madawa
kwa dhati basi
  wangekuwa mstari wa mbele

wao kupimwa kwanza kama wanayo
  mwilini
na
hapo ndio wakaanza kumshutumu Mheshimiwa
RC

Makonda. Vinginevyo
tuseme kama kaka zangu wakurya kuwa
vita
  ni vita tu kila silaha tumia, kuyataja
mateja na
  wanaodhaniwa kuwa
ni washirika ni
jambo jema.
  2017-02-14 23:34 GMT+03:00
  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 
 
  Vita
ya
madawa ya kulevya imeanza rasmi. Si kuwa
hakukuwa na
  juhudi huko nyuma. La. Ila
sasa imeanza na
msukumo mpya.
  Imeanza kwa Mkuu wa Mkoa wa

Dar Es Salaam Paulo Makonda
  kuwataja
watu
wanaohisiwa kujihusisha na madawa
hayo.

Mwanzoni alibezwa
na kuambiwa anacheza na dagaa. Baadaye
 
akaongeza kwa kutaja majina makubwa zaidi.

Hapo ndipo hasa
  misimamo tofauti
ilionekana. Wengine wakasema hawawezi

kwenda kwa sababu Mkuu wa
Mkoa hana mamlaka ya
kushughulikia
  madawa ya kulevya. Wapo

waliotaja hasara watakayoipata kwa
 
kuitikia
wito wa Makonda na vitisho vingine
vingi.


  Madawa haya yameharibu vijana na
yanaendelea kuwaharibu.
 
Vijana wasomi,
wasanii wakishajiingiza
katika madawa basi


wanaharibika na kupoteza mwelekeo. Namfahamu kijana
  aliyekufa baada ya kunywa dawa za kilimo
zilizokuwa
  zimetunzwa na
wazazi wake
nyumbani. Huyo kijana
alikuwa
  anamalizia

degree yake ya kwanza ya computer engineering.
  Alifukuzwa mara mbili kwa sababu ya
kuharibikiwa akili baada
  ya
kutumia madawa
ya kulevya. Alipokosa madawa
na bangi
  ikawa
haimtoshi
akaanza kunywa dawa hiyo kidogo kidogo mpaka
  ilipomuua; na wazazi waligundua baadaye
sana.
Madhara mengi
  tu
huenda kila mmoja ana
mifano yake. Jingine
lililo wasi ni
  habari

kuwa wahusika wakuu wa biashara hii ni wanasiasa;
  Wafayabiashara wakubwa na wasanii. Katika
orodha ya Makonda
  makundi
hayo yote
yalitajwa.
 
 
 
  Kati
ya maneno aliyokaririwa
akitumia Ndugu
Makonda ni
  kusema Wabunge
(Nadhani baadhi) ni wapuuzi na kuwa hufanya

kazi ya kulala bungeni.
 

Wakati
ukweli ukiwa kama nilivyoutia katika utangulizi,
  Wabunge na Bunge lilitoa msimamo kuhusu
maneno
ya Makonda.
 
Maneno yoyote aliyotamka mtu au
taasisi
yanawakilisha
  msimamo wake
kuhusiana na vita ya madawa ya kulevya.
Wabunge
  wetu walijibu juhudi za Makonda
kwa kuzingatia
zaidi maneno
  yake kuhusu wabunge badala ya
lengo lake la kupiga vita
 
madawa ya
kulevya. Sipendi kuungana na
Makonda kuliudhi
  bunge letu lakini nataka
kujielekeza kuhusu
matukio
  yanayoweza kutumika kulishtua bunge
(likitaka kushtuka) na
 
kubadili
mwelekeo.
 
  Mifano:
 
  1       Bunge limetunga

sheria kadhaa kuharamisha madawa
  ya
kulevya
ikiwemo bangi. Siku moja mbunge
mmoja alisimama
  bungeni na kusema kwao
bangi ni halali hivyo
ihalalishwe. Je
  huu si upuuzi kwa mbunge

kutamka hivyo? Kama ni upuuzi; yeye
 
aweza
kuepuka kuwa mpuuzi? Lakini Baada ya
neno kama hili
  kutamkwa na mbunge,
wabunge wengine
walipitisha azimio gani
  kuhusu upuuzi huo?
Reaction
ya bunge zima kuhusu neno la

mwenzao ndilo linarejesha heshima ya bunge au
kuiondoa.
 
 
 
  2       Lakini
tumtafakari mwakilishi
mwingine. Kama
  mbunge kuitwa mpuuzi ni kosa
na utovu wa heshima na madaraka
  ya Bunge,
bila shaka
viongozi wa miimili mingine pia. Sasa
  mtu
anasimama na kusema Rais ni Dictator

uchwara. Mtu huyo
  anasimama na kusema
Tanzania inaongozwa na rais wa ajabu
  ajabu.
Kosa la rais ni
kusema taifa halijafikia mahala pa
  kuomba
chakula kwani japo kuna ukame lakini

mvua
  zinazoendelea zaweza kutumika
kulima
chakula kinachopungua!
  Maneno kama hayo
japo
yametamkwa nje ya Bunge lakini kwa

sababu yametamkwa na Mbunge ningetarajia bunge
kuwa na
  tamko. Kama Bunge likimrudi
mwenzao kama
tulivyoona huko
  nyuma linaweka msingi wa

kutoitwa bunge la wapuuzi.
 
 
 
  3 
   
 Nchi yetu ilipata uhuru 1961. Kabla
ya uhuru
  nchi hii imepitia historia ya
ajabu. Zamani za
kale nchi
  ilikuwa ni chiefdoms ndogo ndogo.
Watu fulani wakakaa na
 
kuziunganisha hizo
kabila na chiefdoms na
kutengeneza kitu

kinaitwa
Tanganyika. Baada ya uhuru wa Tanganyika na
  Zanzibar, viongozi tuliowachagua
wakafanya
uamuzi wa
 
kuziunganisha nchi mbili
zilizokuwa huru.
Sasa ni taifa
  moja.

Linaitwa Tanzania. Tumelitengeneza wenyewe. Lina
  katiba yake. Linatambuliwa hivyo. Lina
changamoto zake ndiyo
  maana
tunajadiliaana
namna bora ya kuliimarisha
na
  kuliendeleza.
Ni
mfano bora wa kujivunia. Africa inajivunia.
  Ni matokeo ya kazi tuliofanya sisi bada
ya
uhuru. Tanzania
  si ya
kwanza kuungana
duniani. Mfano mmojawapo ni
Marekani.

Iliunganisha
mataifa zaidi ya 50. Kuliwahi kutokea

wapuuzi
  fulani wakati wa utawala wa
Abraham
Linchoin wakitaka
  kulitenga taifa (jimbo)

lao. Walipata kichapo kikali
 
hawajathubutu
tena. Naamini hakuna
Mmarekani anaweza kuhoji
  muungano huo
akaishi. Sisi tuna binadamu
mmoja. Tena
ni
  mbunge wa bunge letu

linalostahili kuheshimiwa. Akasema
 
Zanzibar
inatawaliwa na Tanganyika. Na
upuuzi mwingine
  mwingi tu. Mbunge huyo
aliapa kiapo kuulinda
Muungano. Sasa
  je kitendo chake hicho si

cha kipuuzi? Kama ni cha kipuuzi,
  yeye
sio
mpuuzi? Bunge limetoa msimamo gani
kuhusu matamshi
  ya mwenzao? Je Bunge
kumnyamazia mbunge wa
namna hiyo sio
  kitendo cha kipuuzi?

Nakumbuka Speaker aliyepita aliwahi

kuwafyatukia wananchi kuwa bunge linastahili
kuheshimiwa
  baada ya wananchi
kuwashambulia wabunge
kutoana na
matamshi
  ya ajabu. Alitumia
kifungu hikihiki kinachombana Makonda.

Alizimwa na wananchi
walipomvamia kwenye vyombo vya
habari.
  Alichofanya ilikuwa kuwabana
wabunge wajiheshimu ili taswira
  yao mbele
ya umma
wanaowakilishwa bungeni isiendelee

kudhalilika.
 
 
 
  4 
     Nchi yetu; kama
zilivyo nchi
nyingine duniani,
  inakabiliwa
na janga la madawa ya kulevya. Vijana wetu

wameharibika na kwa kweli
huo ni uharibifu wa nguvukazi
ya
  taifa. Inatarajiwa kuwa wananchi,
viongozi wataungana kupiga
 
vita uharibifu
huu. Sababu zi wazi kwa nini
watu wote

kuungana. Licha
ya uharibifu uliopo lakini wanufaika wana
 
uwezo mkubwa kumnunua yeyote. Katika vita kama
hii lazima
  usemi wa Bush
baada ya
shambulizi la Septemba 11
litumike:
  "Kama
hauko
nasi uko kinyume nasi". Vita hii ngumu. Kuna
  waliojaribu na kuishia kusema wanayo orodha
ya
wahusika.
  Hawakutaja
hata jina moja. Sasa
amejitokeza kijana
mdogo.
  Akawa jasiri

kuwataja watu wanaojihusisha na biashara hii.
  Kukanyagana ni jambo la kawaida katika
msafara
wowote. Mtu
 
kuamua kuingilia safari kwa
sababu ya
kukanyagwa haiingii
  akilini.
Kitendo cha wabunge wetu kuungana kutaka
mtu
  aliyethubutu aondolewe kazini, si cha
kawaida.
Wabunge
  kusema
wizara husika zipo na Mkuu
wa mkoa
haimhusu, ni
  ishara mbaya. Haiingii
akilini kuwa viongozi wetu wanaweza

kuonekana wanadhoofisha
juhudi za serikali kushughulikia
  janga
hili.
 



 
  Kimsingi kila mtu
anastahili heshima. Kuheshimiwa kukubwa

huanza kwa mtu kujiheshimu.
Taasisi pia. Kama bunge
haliwezi
  kufanya upuuzi hakuna anayeweza
kulidhania hivyo. Kama
 
wakifanya upuuzi,
hata kama hakuna
aliyewaita haimaanishi


kuwa sio. Kwa kuzingatia kuwa wabunge ni wanansiasa, na
  ilitarajiwa wabunge kama wanasiasa kuwa
waangalifu katiko
  hoja zao.
La sivyo licha
ya kuitwa wapuuzi kwa
haki,
  haiwezekani
wapiga
kura wasitake wawakilishi wao

kuchunguzwa. Hakuna mtu anayeweza kuwaita
wabunge wapuuzi
  kama hawafanyi upuuzi.
 
  Elisa Muhingo
 
  0767 187 507
 
       --
 


 
      



 
 

   
   Send Emails to
wana...@googlegroups.com
 
 
 
      
 
 
 
   
    


 
 
 
 
  
 
 


       Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 
 
      
 
 
 
   
   wanabidii+...@
googlegroups.com 
 
 
 
      Utapata Email ya
 

 
 
 
     kudhibitisha ukishatuma
 
 
 
   
  
 
 
 
        


 
 
   

  
 
 


      
Disclaimer:
 
 
 
      
 
 
 
       Everyone posting to this Forum
bears
 
 
  the sole
 
 
 
      responsibility
 
 
 
      
for any legal
consequences of his or
 
    her postings,
 
 
 
 
 
 and
 
 


      hence
 
 
 
   
  
statements and facts must be
presented
 
   
responsibly.
 
 
 
   

 Your
 
 


      
continued membership signifies
that
 
    you agree to
 
 
 
     this
 


 
       disclaimer and

pledge to abide by our
 
   
Rules and
 
 
 
      Guidelines.
 
 
 
   
  
 
 
 
       ---


 
 
   

  
 
 


      
You received this message because
you
 
    are subscribed
 
 
 
     to
 
 
 
   
  the


 
 
 
 
   Google Groups
"Wanabidii"


    group.
 
 
 
   
  
 
 
 
       To unsubscribe
from this group and
 
 
  stop receiving
 
 
 
     emails
 


 
       from it, send
an
email to wanabidii+...@
 

 
googlegroups.com.
 
 
 
      
 
 
 
      
For more options,
visit
 



 
      https://groups.google.com/d/
 
    optout.


 
 
   

  
 
 


 
 
 
 
 
 
 
 
    --
 

 
 
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
     
 
 

 
    Kujiondoa Tuma
Email
kwenda
 
 


    wanabidii+unsubscribe@


googlegroups.com 
 

 Utapata Email ya
 
   

kudhibitisha ukishatuma
 



 
   
 


 

 
   

Disclaimer:
 
 
 
    Everyone posting to
this
Forum bears the sole
 


 responsibility
 
   
for
any legal consequences of his or her
postings, and
 
 
 hence
 
    statements
and facts must be presented
responsibly.
  Your
 
 
  continued membership signifies that you

agree to this
 
   
disclaimer and pledge to abide by our Rules
and
 
    Guidelines.
 
 
 
    ---
 
 
 
   
You received this message
because you are
subscribed
  to
 
   the
 
 
  Google Groups "Wanabidii"

group.
 
 


    To
unsubscribe from this group and stop

receiving
  emails
 
    from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@
 
googlegroups.com.
 
 
 
    For more options,
visit


 
 https://groups.google.com/d/
  optout.
 
 
 
 
 
  --
 

  Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda



 
wanabidii+unsubscribe@


googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
  ukishatuma
 


 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this

Forum bears the sole responsibility
  for
any
legal consequences of his or her
postings, and hence
  statements and facts
must be presented
responsibly. Your
  continued membership

signifies that you agree to this
 
disclaimer
and pledge to abide by our Rules
and

Guidelines.
 
  ---
 

  You received this message
because you are subscribed to the
  Google
Groups
"Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
  from it,
send an email to
wanabidii+unsubscribe@
  googlegroups.com.
 
  For more options, visit https://groups.google.com/d/
  optout.
 
 
 
 
 
 
  --

 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 

  Kujiondoa Tuma Email kwenda


 
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
 
kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
 
Disclaimer:
 

Everyone posting to this Forum bears the
sole
responsibility
  for
any legal consequences
of his or her
postings, and hence


statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you
agree
to this
  disclaimer
and pledge to abide by
our Rules and
  Guidelines.


  ---
 


You received this
message because you are subscribed to

the
  Google Groups
"Wanabidii"
group.
 
  To unsubscribe
from this group and stop receiving emails

from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options,
visit

https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email
kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:

Everyone posting to
this Forum bears the
sole responsibility for any legal

consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your
continued
membership signifies that you
agree to this disclaimer and
pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message

because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.

To unsubscribe
from this group and stop
receiving emails from it, send an
email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit

https://groups.google.com/d/optout.

   


--

Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda


wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:


Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.


---


You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii"
group.

To unsubscribe
from this group and stop receiving emails

from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.


--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment