Monday 27 February 2017

Re: [wanabidii] KIFO CHA UPINZANI TANZANIA: ZAMU HII NANI MCHAWI?

Maskini bifabusha. Maskini vijana wa kizazi hiki! Kwa mawazo yako mtanzania mwenye akili kama mimi anaweza kutamani chama cha upinzani kufa?? Soma tena makala yangu utaelewa mimi ni nani! Vichukulie vyama kama makampuni ya mabasi. Ukipanda Bunda Express unatamani magari ya OTA yaanguke? Kesho utapanda nini? Leo kulikuwa na gazeti limeona ni muhimu kumnukuu Ridhiwani akisema JK na lowasa wanawasiliana. Hii ni habari eti Isiyo habari ni kuwa wanagombana, hawasalimiani. magazeti kama haya yalishangaa kukuta Mstaafu Bush na Obama wanakutana na kusalimiana wakiwa Tanzania. Walishangaa kwa sababu huyu ni mrepublican na huyu ni Mdemocrat. Hao ndio wanaoniona mimi muumini wa sera za CCM kuandika makala ya kulalamikia kifo cha upinzani kwa sababu wanafikiri nilistahili kushabikia? Wengine wanafikiri naongea kinafiki! Lakini kibaya sana ni kukuta na wewe hulielewi hili? Ulikula ndizi utotoni kweli?

Elisa Muhingo
Mtanzania
--------------------------------------------
On Mon, 2/27/17, 'Jovi kamuntu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] KIFO CHA UPINZANI TANZANIA: ZAMU HII NANI MCHAWI?
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Monday, February 27, 2017, 9:38 AM

Lengo la
chama chochote ni kushika dola nashangaa kuona Muhingo Kada
wa CCM wa kujitegemea anataka vyama vingine
visife.
Kwa akili
yako unadhani Marufuku ya kuzuia mikutano ya vyama vya siasa
ni kuokoa vyama vingine mbadala visife?.
 Jovin
Bifabusha
DIRECTOR
KWFF LTD

P. O. Box 313
Skype: jovin.bifabusha
+255-765-010235
Karagwe,
Tanzania


On Sunday, February 26, 2017 9:00 PM,
Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:


Self projection.
Wenye matatizo ni wale wanaotamani au wanaochukua hatua za
kuua upinzani.Akiwemo Magufuli.em

2017-02-26 4:22 GMT-05:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Una
matatizo kuliko nilivyofikiri.

------------------------------ --------------

On Sat, 2/25/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] KIFO CHA UPINZANI TANZANIA:
ZAMU HII NANI MCHAWI?

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Saturday, February 25, 2017, 9:40 PM



 Upinzani

 umekufa katika fikra zako tu. Labda na
Magufuli.em





 2017-02-25 10:53 GMT-05:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 Kila mtu

 mwenye ufahamu anafurahishwa na hilo. Ni kama
wachezaji

 kumsikiliza mtazamaji. Ni busara kubwa. aliye nje ni
rahisi

 kuona makosa.



 ----------------------------- - --------------



 On Thu, 2/23/17, Emmanuel

 Muganda <emuganda@gmail.com>

 wrote:







  Subject: Re: [wanabidii] KIFO CHA UPINZANI
TANZANIA: ZAMU

 HII NANI MCHAWI?



  To: "wanabidii@googlegroups.com"

 <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: Thursday, February 23, 2017, 9:32 PM







  Huwa



  nafurahi kuona ushauri kwa Chadema
kutoka kwa watu

 wasio



  wa Chadema.em



  2017-02-23 5:27 GMT-05:00



  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:



  Kama kuna



  nchi iliwahi kunufaika na siasa za vyama vingi
vya

 siasa,



  Tanzania ni moja kati ya hizo.







  Nchi hii imekuwa chini ya Chama kimoja toka
miaka ya 60

 hadi



  92 vyama vya siasa viliporuhusiwa. Chama Cha
Mapinduzi,



  chama chenye sera nzuri kiliharibika kwa sababu
ya

 viongozi



  wake kujisahau na kudhani hakuna wa
kuking'oa

 madarakani.



  Ufisadi ulilelewa na kujisahau huko, Upendeleo,
Rushwa,



  matumizi mabaya ya mali za umma na pengine
kuhalalisha

 jinai



  vilijitokeza hapa nchini na viongozi wa CCM

 hawakuonekana



  kushtuka.







  Watu walichoka. Watu waliamua. Bahati nzuri

 kikajitokeza



  Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kuonekana
kuaminiwa

 na



  wananchi kiasi cha kuamua kukikabidhiwa taifa

 kuliongoza



  kupitia uchaguzi.







  Huenda kiogozi wa kwanza kushtuka alikuwa
Speaker wa

 Bunge



  Samwel Sitta. Katika bunge la 2007 alijaribu
kubeza

 hoja



  zilizotolewaa na wabunge wa Chama hiki
(CHADEMA). Hoja

 moja



  ilitolewa na Zitto Kabwe ikihusu Kashfa ya
Buzwagi. Hoja

 ya



  List of shame ikitolewa na Dr. Slaa iliondolewa
bungeni



  baada ya Sitta kuibeza. Baaada ya bunge hilo

 kuahirishwa



  wananchi walionekana wazi kuwakandia wabunge wa
CCM na



  kuwatukuza wabunge wa Upinzani. Hapo ndipo
Sitta



  alipoonyesha ukomavu kwa kuhakikisha wabunge
wachache

 wa



  upinzani wanasikilizwa. Sikumbuki vizuri kama
hakuna

 wabunge



  wa CCM waliotupiwa mayai mabovu. Watu
waliamua.

 Wananchi



  walizielewa hoja za CHADEMA na wakaziona ni
mtetezi

 wao.







  Hasira za wananchi zilijionyesha uchaguzi
uliofuata

 2010.



  Idadi ya wabunge wa upinzani iliongezeka; na
wanaojua

 siri



  za matokeo halali ya urais sina uhakika kama
wako huru



  kusema ukweli na kuendelea kuwa huru.







  Kipindi chote cha 2010 hadi 2015 ilidhihirika
kuwa hata



  wahafidhina walioamini kuwa rais Tanzania lazima
atoke

 CCM



  walikuwa wamepungua na kuwa rais angeweza kutoka
nje ya

 CCM



  katika uchaguzi wa 2015 kwa mara ya kwanza.
Chama Cha



  Mapinduzi kilishtuka. Yale mategemeo kuwa kila
mteule

 wake



  atashinda yalitoswa na kuamua kwenda na
mabadiliko.

 Ndiyo



  mabadiliko tunayoyaona sasa. Mabadiliko ambayo
kutokana

 na



  udhaifu wa Rais hayajaeleweka kwa wengi (Hili
nalo



  naliandalia makala maalum).







  Toka vyama vingi vya siasa vianze hapa nchini

 tumeshuhudia



  vyama vya siasa vikiibuka na kuzama. Tunakumbuka
jinsi



  ambavyo NCCR Mageuzi kilivyotetemesha siasa za
vyama

 vingi



  1995. Mwaka ule ilibidi kutumia nguvu ya
akiba

 kuhakikisha



  CCM inashinda. Baadaye NCCR mageuzi iliyeyuka
na

 kuishia.



  Kikaibuka chama cha Wananchi-CUF. Hata kama
hakikufika



  ilipofika NCCR Mageuzi lakini inafahamika kazi
yake

 Bungeni



  na mitaani. Vyama hivi kwa jinsi
vilivyodhoofika, CCM



  haiwezi kujifanya takatifu. Kuna hisia baina
ya

 watanzania



  kuwa CCM imetumia hata vyombo vya dola
kudhoofisha nguvu

 ya



  vyama hivi. Nakubaliana na hisia hizo na
nilipendekeza



  katiba mpya iliangalie hilo, (la taasisi moja

 kudhoofisha



  nyingine). Bado natafakari na sijaamini kuwa
mgogoro



  unaoendelea ndani ya CUF ni njama za kupindisha
agenda

 ya



  CUF kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.







  CHADEMA sasa inadhoofika. Udhaifu wake
unaonekana wazi

 kwa



  wanaotaka kuuona. Kitu kimoja tunachokubaliana
haraka

 ni



  hiki: CHADEMA haina inaloliongea linalohusu
wananchi.



  Imejikita katika kutetea maslahi ya viongozi wa
chama,

 na



  kujitahidi kulumbana na uongozi (serikali)
uliopo

 kazini



  (madarakani). Huu ni udhaifu mkubwa sana. Lakini
ni

 hujuma



  kutoka wapi? Ni CCM inaihujumu CHADEMA? Ni
vizuri



  kutoharakisha kujibu swali hili ila kwa hoja
makini.







  Lakini ninataka kujielekeza mahala ninapoona
CHADEMA



  imeanzia kuteleza. Toka 2010 mpaka muda mfupi
kabla ya



  uchaguzi CHADEMA ilionekana kama chama chenye
raslimali

 watu



  wenye uwezo wa kuliongoza taifa. Kitendo cha
kujitokeza



  kumchukua mgombea urais kutoka nje ya Chama
katika

 uchaguzi



  wa 2015; tena mgombea ambaye chama chenyewe
kiliwahi



  kumshtaki kama mmoja wa mafisadi wakubwa. Na
sababu

 hiyo



  ikawa sababu ya CCM kumuendua. Sasa CHADEMA
kumchukua;



  ilikuwa ishara kuwa chama hicho hakikiwa na
mtu

 aliyestahili



  kugombea urais. Kwa siasa za Tanzania hili ni
tatizo

 kubwa



  sana. Wakati uvumi ukipita kuwa CHADEMA
inaweza

 kumtawaza



  mtu nje ya wanachama wake kugombea urais
tulijitahidi

 bila



  mafanikio kuzuia janga hilo. Nakumbuka kuandika
mahala

 kuwa



  CHADEMA iliyoshindwa ikiwa imemsimika Dr. Slaa
itakuwa

 imara



  kuliko ile itakayoshindwa ikiwa imemsimika
mgombea

 kutoka



  CCM. Sijui viongozi walilewa nini?
Hawakusikia.







  Katika kampeni za uchaguzi, watu walikuwa
wanakusanyika



  kusikiliza sera. CHADEMA iliyokuwa imevuma
kwa

 kuongelea



  matatizo yanayogusa hisia za watu ilikosa
hicho.

 Ikafika



  mahala watu wakawa wanaangalia wingi wa watu
kwenye

 mikutano



  kuwa tumaini la ushindi, badala ya nini
kimeongelewa

 kwenye



  mikutano hiyo. CHADEMA ikashindwa. Kulikuwa na
hoja

 zisemazo



  kiongozi Fulani wa CHADEMA ameuza chama kwa
shilingi

 bilioni



  kumi. Badala ya kujibu hoja zikawa zinaachwa.
Hii



  ikakigarimu chama kushindwa na kama kawaida
kuanza kelele

 za



  'nimeibiwa'.







  Baada ya uchaguzi CHADEMA tuliyoizoea hatuioni
tena.

 Busara



  ya kujua watu wanataka nini na kusemea hilo
haionekani

 tena.



  Mikutano ambayo baadaye ilizuiliwa wala
haikulenga

 kuongelea



  wananchi wana shida gani. Bungeni mpaka
linaacha

 kuonekana



  live viongozi wetu walionekana kuikandia
serikali badala

 ya



  kuikosoa na kuisahoihisha. Wengine tukawa
tunauliza

 kama



  kuikashfu na kuishambulia serikali ni sehemu ya
kuishauri

 na



  kuisimamia? Mfano mmojawapo ni hali ya chakula
nchini.



  CHADEMA inaona nchi itangaze janga na taifa
liombe msaada

 wa



  chakula baada ya ukame wa mwaka mmoja katika
sehemu za



  taifa. Sudan Kusini ina myaka mitatu ya ukame
ndipo



  inatangaza janga. Tanzania inao upungufu mkubwa
wa

 chakula.



  Kutokana na ukame. Mvua zinanyesha sehemu kubwa
ya nchi

 hii.



  Mvua hizi zinaweza kuwa chache. Serikali imesema
na



  inahimiza watu walime mazao ya muda mfupi.
Upinzani

 ulikuwa



  na wajibu wa kuibana serikali kutoa mbegu.
Hii

 ingeepusha



  taifa kukabiliwa na njaa ambayo sasa haipo.
Haya. Kwa

 sasa



  viongozi Fulani wa CHADEMA wanaona fahari
kukamatwa na



  Polisi na kuhojiwa. Matamshi yao ni wazi kuwa
wana

 chuki



  binafsi na watu Fulani ndani ya serikali. Kwa
herufi

 kubwa



  KAMWE HUU HAUWEZI KUWA NDIO UPINZANI.







  Kama CHADEMA si mali ya mtu inatarajiwa kuwa
itakaa chini

 na



  kufanya tathmini. Mwisho wake tutaona
mabadiliko

 makubwa



  katika safu za uongozi wa chama hiki. Vingine
basi huu

 ndio



  mwisho wake. Hivi ni CCM kweli inahihujumu? Kama
jibu

 ni



  ndiyo basi ni ukaidi wa CHADEMA kukaidi ushauri
wetu



  kutopokea wakimbizi. Nani anajua kama kati yao
kuna



  waliotumwa kwa kazi maalum? Vinginevyo Mchawi wa
zamu hii

 ni



  njaa ya viongozi wake wakuu.







  Elisa Muhingo







  0767 187 507







         --







     







        







     















         Send Emails to wana...@googlegroups.com







     







        







     















          







     







        







     







     







       Kujiondoa Tuma Email
kwenda







     







        







     







     







       wanabidii+...@ googlegroups.com 







     















        Utapata Email ya







     















         kudhibitisha
ukishatuma







     







        







     















          







     







        







     







     







       Disclaimer:







     







        















     







         Everyone







    posting to this Forum bears







      the sole







     







        responsibility







     







         for any legal







    consequences of his or







      her postings,







     







       and







     















        hence







     







         statements and facts
must be







    presented







      responsibly.







     















       Your







     







         continued membership
signifies that







      you agree to







     







       this







     







         disclaimer and pledge
to abide by







    our







      Rules and







     







        Guidelines.







     







        







     







     







       ---







     







        







     







         You received this







    message because you







      are subscribed







     







       to







     















        the







     







         Google Groups
"Wanabidii"







      group.







     







        







     







     







       To unsubscribe from this
group and







     







    stop receiving







     







     







     emails







     







         from







    it, send an email to wanabidii+...@







     







    googlegroups.com.







     







     







      







     







         For more







    options, visit







     







        https://groups.google.com/d/







      optout.







     







        







     







     















     







     







     















      --







     







      Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







     







       







     















      Kujiondoa Tuma Email kwenda







     







      wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 







     Utapata Email ya







     







    kudhibitisha ukishatuma







     







       







     







     







    Disclaimer:







     







      Everyone







    posting to this Forum bears the sole















    responsibility







      for any legal consequences







    of his or her postings, and







     hence







      statements and facts must be
presented







    responsibly. Your







      continued membership







    signifies that you agree to this







     







    disclaimer and pledge to abide by our
Rules and







      Guidelines.







     







      ---







     







     







    You received this message because you are
subscribed



  to







     the







      Google Groups







    "Wanabidii" group.







     







      To unsubscribe from this group and
stop







    receiving emails







      from it, send an email







    to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.







     







      For more options,







    visit















    https://groups.google.com/d/



  optout.







   



   















      























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha



  ukishatuma















  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her
postings, and

 hence



  statements and facts must be presented
responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to
this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules
and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are
subscribed to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop
receiving

 emails



  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.



























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her
postings, and

 hence



  statements and facts must be presented
responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to
this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules
and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are
subscribed to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop
receiving

 emails



  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to
this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed
to the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googleg
roups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to
this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed
to the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/op
tout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/op
tout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment