Monday, 8 February 2016

Re: [wanabidii] MAANDAMANO YA VIJANA WA CHADEMA: USHAURI KWA MAGUFULI:

Mnzava bora wewe umesema la maana tuandamane kwa katika mambo ya maana

On Feb 8, 2016 11:51 AM, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Ndugu. Maanadamano haya sio ya watanzania. Hawaandamani kwa hayo na serikali imeanza kuyafanyia kazi.
Maandamano ni ya watu fulani. ndiyo maana ya mada ili kujua wanamaandamano wanawatumia watu gani. Yangekuwa ya watanzania yasingekosa kulenga mambo muhimu kama uliyoyataja. lakini hawa wanaotaka kuwatumia watanzania fulani wanaandaa maandamao kwa kuokoteza lolote ili mradi waingie barabarani wakapigwa mateke waiombe ICC kuingilia. Tumewajua
--------------------------------------------
On Mon, 2/8/16, 'mohamed mnzava' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] MAANDAMANO YA VIJANA WA CHADEMA: USHAURI KWA MAGUFULI:
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Monday, February 8, 2016, 7:31 AM

 Mimi
 hyshangazwa na mengi sana hapa Tanzania.Wakati
 mwingine najiuliza iwapo kweli tuna mtazamo wa kimataifa au
 tuna mtazamo wetu wa aina yake ya kipekee . . . . . 
 .Inakuwaje
 watanzania waandamane kwa ajili ya Kukosa kuona Kipindi ktk
 TV!!Ni
 watanzania hawa hawa ambao hawajaweza kuandamana kwa mambo
 ya msingi zaidi ktk maisha kwa mfano -
 Wabunge kujiongezea Mishahara na marupurupu -
 Wabunge kuteka Hoja ya Katiba ya watanzania na kuifanya ni
 Hoja yao -
 Watoto kukuosa Elimu bora na Mikopo ya
 Elimu -
 Rushwa na Ubadhirifu uliokithiri ktk kila Idara na mashirika
 ya serikali -
 Huduma mbovu ktk Hospitali na vituo vya  Afya vya
 Serikali Inanishangaza
 sana kuona watanzania, tena Vijana wanapo amua kuandamana
 kwa ajili ya kutaka kuonyeshwa mijadala ya wabunge wakati wa
 muda wa kawaida wa Kazi!! . . .  .hawa watoto wetu
 hawajawahi hata siku moja kuwaona wabunge wao katika majimbo
 yao!! Hivi hawa
 watoto wetu hawaelewi kuwa mbunge anahitajika KUKUTANA
 na KUONANA nao katika majimbo na KUELEWA matatizo
 na Changamoto zinazo wakabili na kushirikiana nao ili kupata
 UFUMBUZI?
  . .
 .  . Ni MUHIMU sana vijana
 MUELEWE kuwa taratibu tulizo jipangia zinahitaji
 WABUNGE wenu watatue matatizo yenu kwa kuyaona na
 kuyatambua, na si vinginevyo, . . . .  sasa wanataka
 ninyi MUWAANGALIE, MUWAONE katika TV kwa siku 10
 kila baada ya miezi mitatu!!.. .  . . . na
 hata HAWAONEKANI huko VIJIJINI hata kuwasaidia na
 KUSHIRIKIANA nanyi kupata maendeleo!! . . .
 . . WANAKWEPA huko ambapo wakina mama na dada zetu
 wanamaliza siku nzima kwa kutafuta ndoo moja ya maji, .
 . . . . .  wanataka MUWAONE ktk TV wakijiongezea
 POSHO na MARUPURUPU!! . . . . . . je mimi na
 ninyi tunaweza KUZUIA au KUBADILISHA hayo wanayo
 yafanya kupitia ktk TV!! 
 Hawa
 WABUNGE wanawawadanganya ninyi mbaki kuangalia MALUMBANO
 wakati huko mlipo NDIPO kwenye MAJUKUMU yao ya msingi,
 na WANAPAKIMBIA na KUWATELEKEZA!!  . . . . 
 .KAZI za
 KWELI za wabunge ZINAWASUBIRI huko majimboni, na iwapo
 watawajibika huko majimboni TUTAWAONA zaidi kuliko ktk TV, .
 . . wabunge wasitudanganye kujaribu kutueleza kuwa TV
 ndio italeta mabadiliko huko Vijijini, ni UONGO, warudi huku
 vijijini na WAONEKANE, wawajibike, wakishirikiana na KUTATUA
 matatizo wa kweli (ELIMU, MARADHI/ AFYA, MAJI, BARABARA nk)
 ya Mtanzania, . . .  . . wasitafute visingizio, ukweli
 ni kuwa wananchi wanahitaji UWEPO wao huko vijijini na sio
 KUWAONA ktk TV!!
 Poleni
 sana Vijana WADANGANYIKA mnao tumiwa pasipo
 fahamu 





  









     On Sunday, February
 7, 2016 4:33 PM, isack mchungu <isackmn1965@gmail.com>
 wrote:


  Ndg yangu kiwasila
 umesema vizuri lakini wewe mwenyezi ulishaenda 
 kijijini kwako ukawatafuta vijana wasomi ukawaeleza juu ya
 mikopo ya mabenki unayosema inatangazwa na na mabenk? Then
 ukawasaidia njia za kupata mikapo? Labda nikuulize kwa
 kijana aliemaliza chuo kikuu anaweza kwenda kwenye benki
 zetu akapata mkopo? kwa dhamana gani?

 Unafikili elimu ni kigezo cha kupata mkopo?
 Mtu
 ambae hajawahi kufika vijijini TZ ndio ataongea suala la
 watu wasio ajira kumuona rais kumlalamikia. Kwani kama
 umemaliza degrii na huna ajira ndio ukae nyumbani tu? Kuna
 opportunities ngapi zinatangazwa an bank hukusu mikopo kwa
 vikundi na watu binafsi? Na mtu mwenye mkopwa serikali wa
 kusoma chuo kikuu unamkuta pamoja na kuwa ni masikini
 apatapo mkopo shs zake za mwanzo ni kununua gari ya
 kusotasota aonekane. Kutwa yupo mitumbani na baa. Vivalo vya
 kila aina. Haimjii akilini kwamba ile hela angeweka fixed
 deposite account baadae aitumie kupata mkopo au kujiunga na
 wenzake wapate mkopo wa kufanya biashara. Haitowezekana kila
 msomi na asiyesoma kuajiriwa hata kama taasisi za serikali
 hazina watumishi wa kutosha. Kujitambua kwanza ni muhimu kwa
 sisi watanzania.



 Ukifika vijijini ukihoji mtu matumizi ya kutwa ya familia na
 binafsi-utaona kunywa pombe, kuvuta sigara inavyotumia pesa
 nyingi. Utaona kulivyojaa kila aina ya raslimali lakini
 vijana wapo kijiweni -kijijini. Hukusoma-kulima shinda,
 ukisoma ndio utata kabisa kazi za shamba. Na hata
 ufugaji-tata kumuelimisha mzee wako asingatie ufugaji wa
 kisasa na ukimsaidia hata kilimo cha kisasa ulichojifunza.
 Tuna watu wangapi waliomaliza Sokoine kilimo na ufugaji
 lakini vijijini kwao mambo kama yale ya centrury ya 6. Kwani
 wazazi wengine wanaathirika kutokana na watoto wao kuuza
 ardhi au mashamba hovyo bila ya kujali familia na pesa
 kutumia vibaya. Ukipata likizo-hurudi nyumbani unapanga
 mabweni ya chuo hicho kikuu daima upo mabwenini likizo zote
 hurudi home kusaidia wazazi. Wale wa vijiweni kijijini kazi
 yao kuiba mazao yaliyolimwa na wazee kuyabeba na magari
 kuyaleta mijini. Ulaya unamkuta profesa yupo shamba analima
 na mwanafunzi unayesoma nae anatembeza barua za posta nyumba
 hadi nyumba kwa baiskeli anawapelekea wenyewe kuzitoa posta
 apate hela ajilipie ada. Mwingine anasimamia bweni, kuosha
 vyombo cafeteria ajilipie ada na malazi ya bweni. Mwingine
 yupo restaurant au lodging au kuendesha taxi, gari la
 takataka etc. Sisi hapa msomi hata wa std 12 kukosha sahani
 ni kazi ya housegirl, vipi kulima bustani ya nyanya au
 kupanda lori akazinunue zinakooza ngerengere auze term ya
 chuo ikianza ajilipie ada na alishe wazazi?



 Kisha watu wazima na akili-tunagharimia maandamano kulipia
 usafiri wa hao viongozi, posho etc sio kusema tufungue
 account bank kwa hela hizo zije kuwa capital ya kuombea
 mkopo kupata eneo, tuweke drip irrigation wasio ajira walime
 mazao ya bustani wasafirishe China, India, UK na nchi jirani
 tuwajengee cold storage facilities na cold storage Van ya
 kusafirishia mazao hayo yakiwa well packaged. Au-kugharimia
 daraja mahala muongeze kura kipindi kijacho chama kionekane
 cha maana. Au, kuhamasisha wazazi walime mashamba ya shule
 na kuwapelekea mbegu ili watoto wanywe uji shjuleni. Hapana.
 Hii si tija. Ila tunazo za kuigharimia TBC irushe
 majadiliano ya bunge Live ili walio kijiweni wajichane na
 hotuba na kuona wapambe  wanavyoichamba CCM na kurusha
 makonde!

 --------------------------------------------

 On Sat, 6/2/16, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] MAANDAMANO YA VIJANA WA
 CHADEMA: USHAURI KWA MAGUFULI:

  To: wanabidii@googlegroups.com

  Date: Saturday, 6 February, 2016, 23:38



  cha muhimu

  ni maendeleo kutizama bunge wakati barabara mbovu,
 maji

  hakuna, mahakimu hawatoshi, madaktari hawana ujuzi
 stahiki

  haina maana.

  On Feb 4, 2016 7:12 PM,

  "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:

  Hivi

  Isack umeona bendera ya CCM usoni kwangu???



  Kuna mgombeaa mmoja kijana wa chama fulani aligombea
 na

  kupata uenyekiti wa mtaa.



  katika kampeni alikuwa anasema 'Mtuakija kwangu
 kushtaki

  swali la kwanza ni kujua anafanya nini na hii
 lazima

  ihakikiwe. watu wengine wanagombana kwa kuwa hawana
 kazi za

  kufanya ---------'



  Sasa ndugu rais alipokuwa anapiga kampeni
 aliongelea

  kuwaendeleza wananchi wake kiuchumi hasa watu wa
 chini.



  Bunge linajadili habari za maendeleo. Unafikiri kuna
 muda wa

  Rais kukaa na watu wasiona lakufanya kuwasikiliza eti
 ndiyo

  demokrasia??



  Watu hawana kazi. wanataka kukutana na rais. wakitoka
 kesho

  waje wengine. na kesho kutwa waje wengine rais
 anakwenda

  kuwasikiliza? bado hujaona hoja yangu tu? Hutaki
 kuiona



  --------------------------------------------



  On Thu, 2/4/16, isack mchungu <isackmn1965@gmail.com>

  wrote:







   Subject: Re: [wanabidii] MAANDAMANO YA VIJANA WA
 CHADEMA:

  USHAURI KWA MAGUFULI:



   To: wanabidii@googlegroups.com



   Date: Thursday, February 4, 2016, 6:03 PM







   MUHINGO mimi



   naona huna hoja ya msingi! Ktk nchi mnayoiita
 ya



   kidemokrasia kuandamana kupinga/kupongeza jambo
 ambalo

  wao



   waandamanaji wanaona linamanufaa kwao wanayo
 haki hiyo

  bila



   kujali wanayo ajira au hawana, wawe wanalipa
 kodi au



   hawalipiHawaii, ndo maana Kokote duniani hata
 wasiolipa

  kodi



   huandamana!







   Tatizo lenu watu wa ccm mnajiona nyie tu ndo mna
 haki

  ya



   kufanya chochote ktk hii nchi wengine hawana
 haki

  lakini



   kaeni mkijua Mungu kuna siku ataigeuza
 shilingi.



   On Feb 4, 2016 2:30 PM,



   "'ELISA MUHINGO' via
 Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>



   wrote:











   Habari zimejitokeza tena kuwa jumamosi vijana
 wa

  CHADEMA



   wamekusudia kuandamana kwenda kwa Rais. Lengo
 lao ni



   kuishinikiza seriakli iiwezeshe TBC kutangaza
 mijadala

  ya



   bunge. Ninapenda kufikiri kuwa kuna haja ya
 Rais

  kuwapokea



   vijana hao. Wana hoja muhimu. Bunge kusikika
 wakati

  wote



   live. Serikali ilisitisha vipindi hivyo kwa
 sababu

  kadhaa



   ikiwemo ya garama. Nafikiri rais pia anahitaji
 kujua

  kutoka



   kwa kila mmoja wao amelipa kodi kiasi gani ili
 kuipa

  uwezo



   serikali kugarimia vipindi vya TBC. Kila
 kijana

  atakayekua



   ameandamana awe na ushahidi wa shughuli ambayo
 yeye

  anajua



   kwayo kuwa licha ya kumsaidia kujikimu lakini
 na

  serikali



   inapata kodi. Nina maana vijana
 watakaoandamana

  wahakikishe



   ni wakulima, wafugai, wavuvi, wana viwanda,
 au

  wanafanya



   biashara. Hii itatafsiriwea kuwa wanatetea kuona
 vipindi

  vya



   bunge ili kujua maslahim ya kazi zao
 yanazungumzwaje



   bungeni. Au Serikali nakusudia kufanya nini
 katika kazi



   wanazozifanya. Wanataka kujua wawakilishi wao

  wanateteaje



   maslahi yao.















   Ikitokea kati ya waandmanaji akawapo asiye na
 shughuli



   maalum apelekwe mahala wanakopelekwa wazururaji
 maana



   atakuwa ni mzururaji huyo. Haihitaji rais
 kupokea vijana

  wa



   mitaani wasio na wanachokitetea ili mradi
 wamepewa soda

  na



   walioshindwa uchaguzi.  Huenda hiyo ikawa
 dawa ya



   maandamani yasiyo na maana kwa vijana wetu
 kutumwa na



   walioshindwa ili kuipotezea muda serikali
 kufanya kazi

  zake.



   kati yao wapo ''watakaorudi
 kundini''.























    --















    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















     















    Kujiondoa Tuma Email kwenda















    mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com 



   Utapata Email ya







    kudhibitisha ukishatuma















     















    Disclaimer:















    Everyone posting to this Forum bears the
 sole



   responsibility







    for any legal consequences of his or her
 postings,

  and



   hence







    statements and facts must be presented
 responsibly.



   Your







    continued membership signifies that you
 agree to this







    disclaimer and pledge to abide by our
 Rules and



   Guidelines.















    ---















    You received this message because you are
 subscribed

  to



   the







    Google Groups "Wanabidii"
 group.















    To unsubscribe from this group and stop
 receiving



   emails







    from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.















    For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.















   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com 



   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma















   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her
 postings, and

  hence



   statements and facts must be presented
 responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to
 this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules
 and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are
 subscribed to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop
 receiving

  emails



   from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.























   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her
 postings, and

  hence



   statements and facts must be presented
 responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to
 this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules
 and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are
 subscribed to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop
 receiving

  emails



   from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to
 this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed
 to the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.











  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to
 this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed
 to the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment