Naam. Kufunga kufuli si ni kuwaambia walinzi fungua, Funga? haya mengine yanahitaji ajifungie. Kwa Kigwa hii si kazi kubwa ili mradi atelekeze kwanza kupenda kamera.
--------------------------------------------
On Fri, 2/12/16, Lushengo Lutinwa <lutinwa@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA ASEMA ATAENDELEA KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI KUTUMBUA MAJIPU YANAYOKWAMISHA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, February 12, 2016, 11:27 AM
inawezekana nguvu nyingi inatumika kuliko
akili
2016-02-12 8:20 GMT+03:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Akikaa
kutafuta majipu atachelewa. badala yake azame katika
kurekebisha mipan go ibovu inayojali tiba kuliko kinga kana
kwamba tunachohitaji ni watanzania kutibiwa. Tunahitaji
watanzania wenye afya wanaougua kwa bahati mabaya sio wenye
kawaida ya kuugua. Hapo ndipo atakuwa amemsaidia Rais.
majipu ni hatari tu na Police na DPP na TAKUKURU wapo.
Yeye arekebishe mipango ya wizara ilenge kuleta afya,
kujenga tabia za watanzania zinazoimarisha afya. NI USHAURI
TU.
--------------------------------------------
On Thu, 2/11/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com>
wrote:
Subject: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA ASEMA ATAENDELEA
KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI KUTUMBUA MAJIPU YANAYOKWAMISHA
UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA
To:
Date: Thursday, February 11, 2016, 9:59 PM
Habari za
jioni,
Tafadhali pokea CODES hapa chini.
<p style="text-align:
center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa111-1.jpg"
rel="attachment wp-att-4054"><img
class="size-full wp-image-4054 aligncenter"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa111-1.jpg"
alt="kigwa111" width="702"
height="468" /></a></p>
<h4 style="text-align:
center;"><span style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri
wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dk.
Hamisi
Kigwangalla (aliyekaa) akiwa katika ibada maalum ya
kuombea
wagonjwa duniani iliyofanyika leo katika Hospitali ya
Ndala,Nzega Mkoani Tabora. Wengine kulia ni Rudrovic
Mwananzila na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Nzega,
Jacqueline
Liana.</strong></em></span></h4><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na
Wazee
Dk. Hamisi Kigwangalla amesema kwamba wao kama viongozi
wataendelea kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kutumbua majibu
yanayokwamisha kutokupatikana kwa huduma bora za afya,
bila
kuogopa wala kumwonea mtu kwa ajili ya maslahi ya
taifa.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Aidha
Dkt. Kigwangalla alisema watafanya hivyo kwa kufuata
sheria, kanuni na taratibu ili kuhakikisha kila mtu
anatimiza wajibu
ipasavyo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Dk.Kigwangalla
ameyasema
hayo leo 11 Februari wakati wa maadhimisho ya 24 ya
ibada
maalum ya kuwaombea wagonjwa Duniani ambayo Kitaifa
yamefanyika katika jimbo kuu la Tabora na baadae kwenye
Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala, Wilaya ya
Nzega,
mkoani
Tabora.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>"Tutaendelea kutumbua
majibu bila ya kmwonea mtu kwa kuwa tunafanya hivyo kwa
kuangalia sheria, kanuni na taratibu. Haiwezekani mtu
akaiba
dawa ambazo zinawasaidia wananchi masikini, halafu sisi
tukamwaangalia tu," alisema
Dkt.Kigwangalla.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Alisema
majipu hayo yatatumbuliwa kwa watendaji ambao
watakaozembea,
wasio waadilifu na wasiowajibika katika sekta hiyo ya
afya.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Aliongeza
kwamba Serikali ya Awamu ya Tano itakuwa inafanya kazi
kwa
kuwafuata wananchi hususani wanyonge (masikini) mahali
walipo ili kuhakikisha baada ya miaka kumi ijayo
Tanzania
itakuwa na maendeleo ya kiwango cha
juu.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Naibu
Waziri huyo aliwaomba viongozi wa dini kuendelea
kuwaombea
kwa kuwa kazi ya kutumbua majibu si
rahisi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Aliuomba
uongozi wa hospitali hiyo kuboresha mfumo wa ukusanyaji
mapato kwa kutumia njia ya ki-elekroniki kwa sababu
umeonyesha matokeo chanya katika hospitali
nyinigine.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Akizungumzia kuhusu suala
la
upungufu wa bajeti, Dkt. Kigwangalla alisema ni vema
viongozi hao wadini, asasi za kijamii na taasisi zisizo
za
kiserikali zinazotoa huduma za afya kutafuta vyanzo
mbadala
vya kuongeza fedha za kuboresha huduma hizo, kwa kuwa
si
sekta hiyo pekee yenye changamoto
hiyo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Pia
vipaumbele vya shughuli mbalimbali za kuwaletea
maendeleo
wananchi viko vingi, wakati rasimali fedha
haitoshelezi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Aliwataka
uongozi wa hospitali hiyo na nyinginezo za mashirika ya
hiari kuwasilisha taarifa za (data cleaning) UTUMISHI
ikiwa ni pamoja na kuorodhesha watumishi wanaotakiwa
kuondolewa kwenye malipo ya mshahara ili waweze
kupatiwa
kibali cha kuajiri kwani bila kufanya hivyo kibali
hakitaweza
kutolewa.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Dkt.
Kigwangalla aliongeza kwamba hivi sasa wizara yake iko
katika mchakato wa kuhakikisha Watanzania wote wanapata
huduma za matibabu za kwa kutumia mifuko ya bima ya
afya.
</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Maadhimisho hayo ni ya
kila
mwaka ya siku 11 Februari, Wakristo wote wanafanya sala
maalum ya kuwaombea wagonjwa wanaosumbuka na maradhi na
kuwaombea wapone haraka huku wakiyapokea mateso hayo na
kuyaunganisha na mateso ya kristo na kanisa lake hii ni
pamoja na kuwaombea ndugu wa wagonjwa katika kuwasaidia
wagonjwa wao wakati wa
kuwauguza.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Maadhimisho hayo
yanaenda
sambamba pamoja na kuwahudumia na kutoa misasada
mbalimbali.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Kwa
upande wake Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludocivk Mwananzila
aliwataka Watanzania kuwa na tabia ya kuwatembelea
wagonjwa
na wafungwa ili waweze kupata
faraja.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Kihistoria, Hospitali
hiyo
ya Ndala, ilianza miaka ya 1930 kama Zahanati ndogo chini
ya
Masista Wamissionary wa Afrika (Missionary of Our Lady
of
Afrika-White Sisters) katika jimbo kuu hilo la
Tabora</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Mwaka
1963 ilikuja kuwa Hospitali kamili huku ikianza na
vitanda
115 na wauguzi 15 na daktari mmoja, hata hivyo hadi sasa
ina
jumla ya vitanda 152, wafanyakaz 125 huku wakiweza
kutoa
huduma kwa wagonjwa wa nje wapatao 38,917 na wagonjwa
wa
kulazwa
8,428.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Hospitali
hiyo baadae ikapandishwa ngazi ya Hospitali huku ikiwa
na
vitanda 152 huku ikiwa na madaktari
mbalimbali.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Wakitoa
shukrani zao ni pamoja na serikali ya Tanzania kupitia
Wizara ya Afya kwa kuweza kushirikiana bega kwa bega
ikiwemo
kutoa ruzuku kwa baadhi ya watumishi, posho za
watumishi,
vitanda vulivyohainishwa, madawa, mafunzo ya watumishi,
na
mambo
mbalimbali.</strong></span></p>
<h4 style="text-align:
center;"></h4><h4
style="text-align:
center;"><em><span
style="color:
#000000;"><strong><a
style="color: #000000;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa3333.jpg"
rel="attachment wp-att-4053"><img
class="alignnone size-full wp-image-4053"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa3333.jpg"
alt="kigwa3333" width="702"
height="468"
/></a></strong></span><strong><span
style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla
akitoa
zawadi kwa mmoja wa akina mama waliokuwa kwenye wodi
ya
wazazi katika Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya
Ndala,
Wilaya ya Nzega, mkoani
Tabora.</span></strong></em></h4><h4
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><strong><a
style="color: #000080;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/KIGWA1.jpg"
rel="attachment wp-att-4055"><img
class="alignnone size-full wp-image-4055"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/KIGWA1.jpg"
alt="KIGWA1" width="702"
height="468" /></a><em>Baadhi
ya
wananchi wakiwa katika tukio hilo. (Picha zote na
Andrew
Chale,modewjiblog-Nzega.)</em></strong></span></h4>
KAWAIDA
Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na
Wazee
Dk. Hamisi Kigwangalla (aliyekaa) akiwa katika ibada
maalum
ya kuombea wagonjwa duniani iliyofanyika leo katika
Hospitali ya Ndala,Nzega Mkoani Tabora. Wengine kulia
ni
Rudrovic Mwananzila na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya
ya
Nzega, Jacqueline Liana.Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee
Dk. Hamisi Kigwangalla amesema kwamba wao kama viongozi
wataendelea kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kutumbua majibu
yanayokwamisha kutokupatikana kwa huduma bora za afya,
bila
kuogopa wala kumwonea mtu kwa ajili ya maslahi ya
taifa.Aidha
Dkt. Kigwangalla alisema
watafanya hivyo kwa kufuata sheria,
kanuni na taratibu ili kuhakikisha kila mtu anatimiza
wajibu
ipasavyo.Dk.Kigwangalla
ameyasema hayo leo 11 Februari
wakati wa maadhimisho ya 24
ya ibada maalum ya kuwaombea wagonjwa Duniani ambayo
Kitaifa
yamefanyika katika jimbo kuu la Tabora na baadae kwenye
Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala, Wilaya ya
Nzega,
mkoani Tabora."Tutaendelea
kutumbua majibu bila ya kmwonea mtu kwa kuwa tunafanya
hivyo
kwa kuangalia sheria, kanuni na taratibu. Haiwezekani
mtu
akaiba dawa ambazo zinawasaidia wananchi masikini,
halafu
sisi tukamwaangalia tu," alisema
Dkt.Kigwangalla.Alisema
majipu hayo
yatatumbuliwa kwa watendaji ambao watakaozembea,
wasio waadilifu na wasiowajibika katika sekta hiyo ya
afya.Aliongeza
kwamba Serikali ya Awamu ya
Tano itakuwa inafanya kazi kwa
kuwafuata wananchi hususani wanyonge (masikini) mahali
walipo ili kuhakikisha baada ya miaka kumi ijayo
Tanzania
itakuwa na maendeleo ya kiwango cha
juu.Naibu
Waziri huyo aliwaomba viongozi
wa dini kuendelea kuwaombea
kwa kuwa kazi ya kutumbua majibu si
rahisi.Aliuomba
uongozi wa hospitali hiyo
kuboresha mfumo wa ukusanyaji
mapato kwa kutumia njia ya ki-elekroniki kwa sababu
umeonyesha matokeo chanya katika hospitali
nyinigine.Akizungumzia
kuhusu suala la upungufu wa
bajeti, Dkt. Kigwangalla alisema
ni vema viongozi hao wadini, asasi za kijamii na
taasisi
zisizo za kiserikali zinazotoa huduma za afya kutafuta
vyanzo mbadala vya kuongeza fedha za kuboresha huduma
hizo,
kwa kuwa si sekta hiyo pekee yenye changamoto
hiyo.Pia
vipaumbele vya shughuli
mbalimbali za kuwaletea maendeleo
wananchi viko vingi, wakati rasimali fedha
haitoshelezi.Aliwataka
uongozi wa hospitali hiyo na
nyinginezo za mashirika ya
hiari kuwasilisha taarifa za (data cleaning) UTUMISHI
ikiwa ni pamoja na kuorodhesha watumishi wanaotakiwa
kuondolewa kwenye malipo ya mshahara ili waweze
kupatiwa
kibali cha kuajiri kwani bila kufanya hivyo kibali
hakitaweza kutolewa.Dkt.
Kigwangalla aliongeza kwamba
hivi sasa wizara yake iko
katika mchakato wa kuhakikisha Watanzania wote wanapata
huduma za matibabu za kwa kutumia mifuko ya bima ya
afya. Maadhimisho
hayo ni ya kila mwaka ya siku 11 Februari, Wakristo
wote
wanafanya sala maalum ya kuwaombea wagonjwa wanaosumbuka
na
maradhi na kuwaombea wapone haraka huku wakiyapokea
mateso
hayo na kuyaunganisha na mateso ya kristo na kanisa lake
hii
ni pamoja na kuwaombea ndugu wa wagonjwa katika
kuwasaidia
wagonjwa wao wakati wa kuwauguza.Maadhimisho
hayo yanaenda sambamba
pamoja na kuwahudumia na kutoa
misasada mbalimbali.Kwa
upande wake Mkuu wa Mkoa wa
Tabora, Ludocivk Mwananzila
aliwataka Watanzania kuwa na tabia ya kuwatembelea
wagonjwa
na wafungwa ili waweze kupata faraja.Kihistoria,
Hospitali hiyo ya Ndala,
ilianza miaka ya 1930 kama Zahanati
ndogo chini ya Masista Wamissionary wa Afrika (Missionary
of
Our Lady of Afrika-White Sisters) katika jimbo kuu hilo
la
TaboraMwaka
1963 ilikuja kuwa Hospitali
kamili huku ikianza na vitanda
115 na wauguzi 15 na daktari mmoja, hata hivyo hadi sasa
ina
jumla ya vitanda 152, wafanyakaz 125 huku wakiweza
kutoa
huduma kwa wagonjwa wa nje wapatao 38,917 na wagonjwa
wa
kulazwa 8,428.Hospitali
hiyo baadae ikapandishwa ngazi
ya Hospitali huku ikiwa na
vitanda 152 huku ikiwa na madaktari
mbalimbali.Wakitoa
shukrani zao ni pamoja na
serikali ya Tanzania kupitia
Wizara ya Afya kwa kuweza kushirikiana bega kwa bega
ikiwemo
kutoa ruzuku kwa baadhi ya watumishi, posho za
watumishi,
vitanda vulivyohainishwa, madawa, mafunzo ya watumishi,
na
mambo mbalimbali.
Dk.
Kigwangalla akitoa zawadi kwa mmoja wa akina mama
waliokuwa
kwenye wodi ya wazazi katika Hospitali ya Ndala,
iliyopo
Kata ya Ndala, Wilaya ya Nzega, mkoani
Tabora.Baadhi
ya wananchi wakiwa katika tukio
hilo. (Picha zote na Andrew
Chale,modewjiblog-Nzega.)
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment