Friday, 12 February 2016

Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA ASEMA ATAENDELEA KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI KUTUMBUA MAJIPU YANAYOKWAMISHA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA

Naam. Kufunga kufuli si ni kuwaambia walinzi fungua, Funga? haya mengine yanahitaji ajifungie. Kwa Kigwa hii si kazi kubwa ili mradi atelekeze kwanza kupenda kamera.
--------------------------------------------
On Fri, 2/12/16, Lushengo Lutinwa <lutinwa@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA ASEMA ATAENDELEA KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI KUTUMBUA MAJIPU YANAYOKWAMISHA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, February 12, 2016, 11:27 AM

inawezekana nguvu nyingi inatumika kuliko
akili
2016-02-12 8:20 GMT+03:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Akikaa
kutafuta majipu atachelewa. badala yake azame katika
kurekebisha mipan go ibovu inayojali tiba kuliko kinga kana
kwamba tunachohitaji ni watanzania kutibiwa. Tunahitaji
watanzania wenye afya wanaougua kwa bahati mabaya sio wenye
kawaida ya kuugua. Hapo ndipo atakuwa amemsaidia Rais.
majipu ni hatari tu na Police na DPP  na TAKUKURU wapo.
Yeye arekebishe mipango ya wizara ilenge kuleta afya,
kujenga tabia za watanzania zinazoimarisha afya. NI USHAURI
TU.

--------------------------------------------

On Thu, 2/11/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com>
wrote:



 Subject: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA ASEMA ATAENDELEA
KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI KUTUMBUA MAJIPU YANAYOKWAMISHA
UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA

 To:

 Date: Thursday, February 11, 2016, 9:59 PM



 Habari za

 jioni,

 Tafadhali pokea CODES hapa chini.



 <p style="text-align:

 center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa111-1.jpg"

 rel="attachment wp-att-4054"><img

 class="size-full wp-image-4054 aligncenter"

 src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa111-1.jpg"

 alt="kigwa111" width="702"

 height="468" /></a></p>

 <h4 style="text-align:

 center;"><span style="color:

 #000080;"><em><strong>Naibu Waziri
wa

 Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dk.
Hamisi

 Kigwangalla (aliyekaa) akiwa katika ibada maalum ya
kuombea

 wagonjwa duniani iliyofanyika leo katika Hospitali ya

 Ndala,Nzega Mkoani Tabora. Wengine kulia ni Rudrovic

 Mwananzila na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Nzega,

 Jacqueline

 Liana.</strong></em></span></h4><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Naibu

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na
Wazee

 Dk. Hamisi Kigwangalla amesema kwamba wao kama viongozi

 wataendelea kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

 Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kutumbua majibu

 yanayokwamisha kutokupatikana kwa huduma bora za afya,
bila

 kuogopa wala kumwonea mtu kwa ajili ya maslahi ya

  taifa.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Aidha

  Dkt. Kigwangalla alisema watafanya hivyo kwa kufuata

 sheria, kanuni na taratibu ili kuhakikisha kila mtu

 anatimiza wajibu

 ipasavyo.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:

 #000000;"><strong>Dk.Kigwangalla
ameyasema

 hayo leo 11 Februari wakati wa maadhimisho ya 24 ya
ibada

 maalum ya kuwaombea wagonjwa Duniani ambayo Kitaifa

 yamefanyika katika jimbo kuu la Tabora na baadae kwenye

 Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala, Wilaya ya
Nzega,

 mkoani

 Tabora.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:

 #000000;"><strong>"Tutaendelea kutumbua

 majibu bila ya kmwonea mtu kwa kuwa tunafanya hivyo kwa

 kuangalia sheria, kanuni na taratibu. Haiwezekani mtu
akaiba

 dawa ambazo zinawasaidia wananchi masikini, halafu sisi

 tukamwaangalia tu," alisema

 Dkt.Kigwangalla.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Alisema

 majipu hayo yatatumbuliwa kwa watendaji ambao
watakaozembea,

 wasio waadilifu na wasiowajibika katika sekta hiyo ya

 afya.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Aliongeza

 kwamba Serikali ya Awamu ya Tano itakuwa inafanya kazi
kwa

 kuwafuata wananchi hususani wanyonge (masikini) mahali

 walipo ili kuhakikisha baada ya miaka kumi ijayo
Tanzania

 itakuwa na maendeleo ya kiwango cha

 juu.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Naibu

 Waziri huyo aliwaomba viongozi wa dini kuendelea
kuwaombea

 kwa kuwa kazi ya kutumbua majibu si

 rahisi.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Aliuomba

 uongozi wa hospitali hiyo kuboresha mfumo wa ukusanyaji

 mapato kwa kutumia njia ya ki-elekroniki kwa sababu

 umeonyesha matokeo chanya katika hospitali

 nyinigine.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:

 #000000;"><strong>Akizungumzia kuhusu suala
la

 upungufu wa bajeti, Dkt. Kigwangalla alisema ni vema

 viongozi hao wadini, asasi za kijamii na taasisi zisizo
za

 kiserikali zinazotoa huduma za afya kutafuta vyanzo
mbadala

 vya kuongeza fedha za kuboresha huduma hizo, kwa kuwa
si

 sekta hiyo pekee yenye changamoto

 hiyo.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color: #000000;"><strong>Pia

 vipaumbele vya shughuli mbalimbali za kuwaletea
maendeleo

 wananchi viko vingi, wakati rasimali fedha

 haitoshelezi.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Aliwataka

 uongozi wa hospitali hiyo na nyinginezo za mashirika ya

 hiari kuwasilisha taarifa za (data cleaning)  UTUMISHI

 ikiwa ni pamoja na kuorodhesha watumishi wanaotakiwa

 kuondolewa kwenye malipo ya mshahara  ili waweze
kupatiwa

 kibali cha kuajiri kwani bila kufanya hivyo kibali

 hakitaweza

 kutolewa.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color: #000000;"><strong>Dkt.

 Kigwangalla aliongeza kwamba hivi sasa wizara yake iko

 katika mchakato wa kuhakikisha Watanzania wote wanapata

 huduma za matibabu za kwa kutumia mifuko ya bima ya
afya.

 </strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:

 #000000;"><strong>Maadhimisho hayo ni ya
kila

 mwaka ya siku 11 Februari, Wakristo wote wanafanya sala

 maalum ya kuwaombea wagonjwa wanaosumbuka na maradhi na

 kuwaombea wapone haraka huku wakiyapokea mateso hayo na

 kuyaunganisha na mateso ya kristo na kanisa lake hii ni

 pamoja na kuwaombea ndugu wa wagonjwa katika kuwasaidia

 wagonjwa wao wakati wa

 kuwauguza.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:

 #000000;"><strong>Maadhimisho hayo
yanaenda

 sambamba pamoja na kuwahudumia na kutoa misasada

 mbalimbali.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color: #000000;"><strong>Kwa

 upande wake Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludocivk Mwananzila

 aliwataka Watanzania kuwa na tabia ya kuwatembelea
wagonjwa

 na wafungwa ili waweze kupata

 faraja.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:

 #000000;"><strong>Kihistoria, Hospitali
hiyo

 ya Ndala, ilianza miaka ya 1930 kama Zahanati ndogo chini
ya

 Masista Wamissionary wa Afrika (Missionary of Our Lady
of

 Afrika-White Sisters) katika jimbo kuu hilo la

 Tabora</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Mwaka

 1963 ilikuja kuwa Hospitali kamili huku ikianza na
vitanda

 115 na wauguzi 15 na daktari mmoja, hata hivyo hadi sasa
ina

 jumla ya vitanda 152, wafanyakaz 125 huku wakiweza
kutoa

 huduma kwa wagonjwa wa nje wapatao 38,917 na wagonjwa
wa

 kulazwa

 8,428.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Hospitali

 hiyo baadae ikapandishwa ngazi ya Hospitali huku ikiwa
na

 vitanda 152 huku ikiwa na madaktari

 mbalimbali.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Wakitoa

 shukrani zao ni pamoja na serikali ya Tanzania kupitia

 Wizara ya Afya kwa kuweza kushirikiana bega kwa bega
ikiwemo

 kutoa ruzuku kwa baadhi ya watumishi, posho za
watumishi,

 vitanda vulivyohainishwa, madawa, mafunzo ya watumishi,
na

 mambo

 mbalimbali.</strong></span></p>

 <h4 style="text-align:

 center;"></h4><h4

 style="text-align:
center;"><em><span

 style="color:
#000000;"><strong><a

 style="color: #000000;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa3333.jpg"

 rel="attachment wp-att-4053"><img

 class="alignnone size-full wp-image-4053"

 src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa3333.jpg"

 alt="kigwa3333" width="702"

 height="468"

 /></a></strong></span><strong><span

 style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla
akitoa

 zawadi kwa mmoja wa akina mama waliokuwa kwenye  wodi
ya

 wazazi katika Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya
Ndala,

 Wilaya ya Nzega, mkoani

 Tabora.</span></strong></em></h4><h4

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000080;"><strong><a

 style="color: #000080;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/KIGWA1.jpg"

 rel="attachment wp-att-4055"><img

 class="alignnone size-full wp-image-4055"

 src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/KIGWA1.jpg"

 alt="KIGWA1" width="702"

 height="468" /></a><em>Baadhi
ya

 wananchi wakiwa katika tukio hilo. (Picha zote na
Andrew

 Chale,modewjiblog-Nzega.)</em></strong></span></h4>



 KAWAIDA

 Naibu

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na
Wazee

 Dk. Hamisi Kigwangalla (aliyekaa) akiwa katika ibada
maalum

 ya kuombea wagonjwa duniani iliyofanyika leo katika

 Hospitali ya Ndala,Nzega Mkoani Tabora. Wengine kulia
ni

 Rudrovic Mwananzila na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya
ya

 Nzega, Jacqueline Liana.Naibu

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee

 Dk. Hamisi Kigwangalla amesema kwamba wao kama viongozi

 wataendelea kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

 Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kutumbua majibu

 yanayokwamisha kutokupatikana kwa huduma bora za afya,
bila

 kuogopa wala kumwonea mtu kwa ajili ya maslahi ya 

 taifa.Aidha 

 Dkt. Kigwangalla alisema
watafanya hivyo kwa kufuata sheria,

 kanuni na taratibu ili kuhakikisha kila mtu anatimiza
wajibu

 ipasavyo.Dk.Kigwangalla

 ameyasema hayo leo 11 Februari
wakati wa maadhimisho ya 24

 ya ibada maalum ya kuwaombea wagonjwa Duniani ambayo
Kitaifa

 yamefanyika katika jimbo kuu la Tabora na baadae kwenye

 Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala, Wilaya ya
Nzega,

 mkoani Tabora."Tutaendelea

 kutumbua majibu bila ya kmwonea mtu kwa kuwa tunafanya
hivyo

 kwa kuangalia sheria, kanuni na taratibu. Haiwezekani
mtu

 akaiba dawa ambazo zinawasaidia wananchi masikini,
halafu

 sisi tukamwaangalia tu," alisema

 Dkt.Kigwangalla.Alisema

 majipu hayo
yatatumbuliwa kwa watendaji ambao watakaozembea,

 wasio waadilifu na wasiowajibika katika sekta hiyo ya

 afya.Aliongeza

 kwamba Serikali ya Awamu ya
Tano itakuwa inafanya kazi kwa

 kuwafuata wananchi hususani wanyonge (masikini) mahali

 walipo ili kuhakikisha baada ya miaka kumi ijayo
Tanzania

 itakuwa na maendeleo ya kiwango cha

 juu.Naibu

 Waziri huyo aliwaomba viongozi
wa dini kuendelea kuwaombea

 kwa kuwa kazi ya kutumbua majibu si

 rahisi.Aliuomba

 uongozi wa hospitali hiyo
kuboresha mfumo wa ukusanyaji

 mapato kwa kutumia njia ya ki-elekroniki kwa sababu

 umeonyesha matokeo chanya katika hospitali

 nyinigine.Akizungumzia

 kuhusu suala la upungufu wa
bajeti, Dkt. Kigwangalla alisema

 ni vema viongozi hao wadini, asasi za kijamii na
taasisi

 zisizo za kiserikali zinazotoa huduma za afya kutafuta

 vyanzo mbadala vya kuongeza fedha za kuboresha huduma
hizo,

 kwa kuwa si sekta hiyo pekee yenye changamoto

 hiyo.Pia

 vipaumbele vya shughuli
mbalimbali za kuwaletea maendeleo

 wananchi viko vingi, wakati rasimali fedha

 haitoshelezi.Aliwataka

 uongozi wa hospitali hiyo na
nyinginezo za mashirika ya

 hiari kuwasilisha taarifa za (data cleaning)  UTUMISHI

 ikiwa ni pamoja na kuorodhesha watumishi wanaotakiwa

 kuondolewa kwenye malipo ya mshahara  ili waweze
kupatiwa

 kibali cha kuajiri kwani bila kufanya hivyo kibali

 hakitaweza kutolewa.Dkt.

 Kigwangalla aliongeza kwamba
hivi sasa wizara yake iko

 katika mchakato wa kuhakikisha Watanzania wote wanapata

 huduma za matibabu za kwa kutumia mifuko ya bima ya

 afya. Maadhimisho

 hayo ni ya kila mwaka ya siku 11 Februari, Wakristo
wote

 wanafanya sala maalum ya kuwaombea wagonjwa wanaosumbuka
na

 maradhi na kuwaombea wapone haraka huku wakiyapokea
mateso

 hayo na kuyaunganisha na mateso ya kristo na kanisa lake
hii

 ni pamoja na kuwaombea ndugu wa wagonjwa katika
kuwasaidia

 wagonjwa wao wakati wa kuwauguza.Maadhimisho

 hayo yanaenda sambamba
pamoja na kuwahudumia na kutoa

 misasada mbalimbali.Kwa

 upande wake Mkuu wa Mkoa wa
Tabora, Ludocivk Mwananzila

 aliwataka Watanzania kuwa na tabia ya kuwatembelea
wagonjwa

 na wafungwa ili waweze kupata faraja.Kihistoria,

 Hospitali hiyo ya Ndala,
ilianza miaka ya 1930 kama Zahanati

 ndogo chini ya Masista Wamissionary wa Afrika (Missionary
of

 Our Lady of Afrika-White Sisters) katika jimbo kuu hilo
la

 TaboraMwaka

 1963 ilikuja kuwa Hospitali
kamili huku ikianza na vitanda

 115 na wauguzi 15 na daktari mmoja, hata hivyo hadi sasa
ina

 jumla ya vitanda 152, wafanyakaz 125 huku wakiweza
kutoa

 huduma kwa wagonjwa wa nje wapatao 38,917 na wagonjwa
wa

 kulazwa 8,428.Hospitali

 hiyo baadae ikapandishwa ngazi
ya Hospitali huku ikiwa na

 vitanda 152 huku ikiwa na madaktari

 mbalimbali.Wakitoa

 shukrani zao ni pamoja na
serikali ya Tanzania kupitia

 Wizara ya Afya kwa kuweza kushirikiana bega kwa bega
ikiwemo

 kutoa ruzuku kwa baadhi ya watumishi, posho za
watumishi,

 vitanda vulivyohainishwa, madawa, mafunzo ya watumishi,
na

 mambo mbalimbali. 

 Dk.

 Kigwangalla akitoa zawadi kwa mmoja wa akina mama
waliokuwa

 kwenye  wodi ya wazazi katika Hospitali ya Ndala,
iliyopo

 Kata ya Ndala, Wilaya ya Nzega, mkoani

 Tabora.Baadhi

 ya wananchi wakiwa katika tukio
hilo. (Picha zote na Andrew

 Chale,modewjiblog-Nzega.)







 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment