Kingwangalla-amsaidie pia Mh Rais Magufuli kuweka mipango ya utendaji wa maendeleo ya uwiano (integrated Development) na wizara nyingize zote zinazohusika na binadamu.
Kwa mfano-wananchi wanapolipwa kwa cheque hela zao zinazotokana na kuuza mazao yao, kuhamishwa wakati wa ujenzi wa miundo mbinu na malipo ya kazi fulani-pesa zitolewe ktk malipo hayo wakatiwe kadi za afya kwa familia zao hapo hapo siku ya malipo hao watu/taasisi wa Kadi za Afya (CHF) wawepo. Kama kuna Valuation ya nyumba na mazao mtu analipwa 10 million sioni sababu kwa nini asiwe na kadi ya afya ya mwaka mmoja ya gharama ya elfu 10 kwa watu wazima 6 ktk kaya yake na elfu mbili kwa mwaka kwa kila mtoto asomae.
Kuhamasisha ununuzi wa kadi za afya uende na kuboresha huduma na miundombinu ya zahanati, vituo vya afya na huduma za afya wilaya, mkoa. Kwa sababu unapohamasisha watoto waende shule elimu bure, kuwakatia kadi ya afya, mipango ya hamasa za kupima Ukimwi, kansa-Unaongeza mahudhurio Zahanati na katika huduma nyingine za afya. Attendance inakuwa kubwa kuliko uwezo wa huduma hiyo ambayo zamani ilizoea kuhudumia labda watu 50 kwa siku. Sasa wanafika 1,000 na daktari ni mmoja na nurse wake. Halafu kitanda cha mapumziko ni kimoja ward ya me na ke pia kimoja. Capacity ya huduma ya serikali inakuwa ndogo. Inakuwa kama hii ya kuhamasisha elimu bure ;lakini madarasa, vyoo hakuna na walimu waligomea kukaa mahala hakuna nyumba bora, umeme na choo. Ni sawa na kutoa mikopo ya wanafunzi kwa wanafunzi wengi lakini facilities za mabweni, madarasa, vyoo na huduma ya maji ni ile ile ya mwaka 47. Matokea watoto 30 wanasoma darasani 50 wanazunguka nje ya darasa kusikiliza lecture kupitia madirishani!
Amsaidie kwa kuzingatia mipango kabambe mpaka ya kushirikiana na Wizara ya Ardhi na Idara zake za Afya mkoa, wilaya, Kata kuona kuwa-watanzania wanaelewa katika ubongo wao jinsi maradhi yanayozuilika kuweza kuzuiliwa nao wenyewe. Kuona kuwa watu hawaishi ktk mazingira ya uchafu na majengo ya serikali yanakuwa Mfamo Bora. Kusiwe na kukuta jengo la Wizara yake vyoo vinavuja, vimefungwa haviingilingi, vimebomoka. Choo cha huduma ya afya-Kituo cha afya-kinafura kinyesi na maji ya kinyesi? Wizara na taasisi zote ziwe mfano wa kuigwa. Itakuwaje Bwana Afya Kata yupo Ofisi ya Kata lakini hapo hakuna choo bora-Fukuza kazi!! Bibi Maendeleo yupo na Maendeleo ufundi ila na kijiji resources zote zipo lakini jengo la Ofisi alipo kuta zimebomoka, paa linavuja tena la nyasi na nyasi au makuti yapo. Alisomea maendeleo gani kama kuhamasisha wananchi hajui, self-help haielewi, mafundi vijiji wapo anafanya nini hapo asifukuzwe kazi?
Kwa nini Kingwangalla awepo na mfumo wa kusimamia Waste stabilization ponds upo, wa kusimamia madampo ya solid waste upo, Wizara ya Ardhi ipo jirani ya Wizara yake lakini kuwepo na watu waliojenga nyumba za makazi na wanaofanyia biashara hapo dapo za solid na liquid waste na Mitaa/Vijiji vinakusanya kodi? Anaelewa magonjwa ya malaria, mabusha, deque na sasa Zika. Anapita yeye na Ummu wanaona-Mabibo, Mikocheni, Kigogo, Buguruni Sukita na Buguruni Mnyamani na madampo mengineyo. Kingwangalla anafahamu madhara ya Mercury lakini wananchi wanakoshea unga wa dhahabu mitoni kwa kutumia mercury na maji hayo yanaingia ziwa Victoria tunakula dagaa na samaki zenye kuweka madini hayo mwilini mwao. Pia maziwa na nyama za mifugo inayozurura machimboni na kunywa maji hayo!
Kingwangalla anaelewa kuwa Industrial officer wa Wizara yake na Wale wa NEMC wanatakiwa washirikiane katika kuangalia design ya kiwanda na elaborations za process za kitakachozalishwa kama nchi inakubali uwekezaji huo. Kuchua aina ya chemicalas zitakazo kutumika na chemical levels zitakazokuwepo katika maji machafu yatakayotoka kiwandani na jinsi yatakavyokuwa processed kabla ya kuingia mtoni au katika mfumo wa public wa liquid waste disposal. Kikijengwa hicho kiwanda na kabla hakijaruhusiwa kuzalisha kuwa wanakwenda kuangalia finally jengo na kuwa treatment plants zipo na zimezingatia national na international standards. Leo inakuwaje Kiwanda kinajengwa, kinatupa taka hovyo au kinatumia kuni ambazo ni kumaliza misitu au kinamwaga chemical hovyo bila ya treatment kufikia emissions zinazoruhusiwa kimataifa ili kulinda mazingira na afya za watu, mimea na wanyama pori na wafungwao? Mwenyeji au mgeni (mwekezaji) anaweka kiwanda na kufanya atakavyo kisha eti anapewa muda kujirekebisha, kujenda hiki na kile-nani aliruhusu hiyo design na process ipitishwe apewe kibali cha kuanza uzalishaji? aliyesaini ruksa hiyo na ujenzi huo nani? ANATAFUTA KAZI KINGWANGALLA WAKATI ANAYO YA MAZUALA YA AFYA NA MAZINGIRA? NI MAJUKUMU YAKE SIO KUWA YUPO TAYARI KUMSAIDIA MH MAGUFULI!!
Hapo Jangwani Kingwangalla si anapita daily? Kushoto ukitoka mataa kuna nyumba zipo bondeni mto msimbazi zimezungukwa na maji machafu na wanajenga ktk matete ya wetlands. Ni jirani na Jangwani Sec School na Muhimbili National Hospital wanakofundisha madaktari Chuo cha Madaktari kipo hapo? Lini hata vyuo vya madaktari maeneo kuzunguka vyuo vyao watayaadopt na kufanya ni sites za field practice kuondoa mazingira machafu ya vyuo ambako wanasoma sanitary engineers, medical doctors and health officers, nurses, occupational officers and industrial officers lakini nje ya vyuo hivyo na ndani uchafu umekithiri? Practical training sio lazima tusafiri kwenda Lindi au Dodoma (a posho and nigh allowance disease), hapo nje ya mijengo yetu panaweza kuwa ni site ya mafunzo na pa kujengea ujirani mwema kwa kuhamasisha usafi na maendeleo.
Hakuna haja ya kutafuta Jipu wala Ukurutu wa kukuna au kukamua, Azame katika kutekeleza yanayoonekana katika sekta yake. Hata Choo kinachovuja Wizara ya Afya au kunguru anayeruka na Placenta Ward ya akina mama kwa chumba cha uchafu kukosa kipaa ni Jipu la kumwita Mangufuli atumbure?
Kama asemavyo Elisa Muhingo-rekebisha yaliyowazi. Mtanzania anatakiwa aache PUMBA zake za kutegemea serikali imsafishie mitaro, vyoo na uchafu aliotupa mwenyewe ambao umeziba matundu ya open-strorm water drainage system. taka zimekwama ktk matundu na ni majani, viroba, matenda ya biashara zake. Mbele ya nyumba yake mtaro umejaa mchanga na majani, na mvua ikija biashara hauzi maji mpaka mlangoni. Lakini jua likitoka-hana muda wala nia na wala hasafishi mtaro-anaongeza takataka. Akili za kutegemea Bure usichangie kitu bali unywe pombe ukitegemea kodi za wafanyakazi ndio zije kumnunulia daftari mwanao na kiatu cha mtumba. Ile elimu ya afya kwa umma irudi na kile kitengo kilikuwa muhimbili na kilikuwa na wachoraji picha za kuelimisha jamii wakishirikiana na Idara ya Maendeleo na wachoraji wao -kiboreshwe na vipindi vyake vya radio na vipeperushi. Tunaiona kansa inavyoongezeka na kipindupindu kinavyojaza watu hospitali, tunaona mifugo inavyohamahama kwenda kokote inakotaka na kuingiza kinyesi mitoni, mabwawa ya maji na kuweka acaricides humo madawa waogayo na maji twanywa-tupo tunajadili magari ya 90 au 120 million mkopo kwa wabunge!
Kwa sasa Wizara yake imeunganishwa na Ya Maendeleo-integration ya elimu ya afya, usafi wa mazingira, chakula, biashara za chakula, utupaji taka, vyoo bora, nyumba bora na indoor air quality, haki za watoto na jinsia, kuhamasisha maendeleo endelevu kikaya na kijiji kumepata mwelekeo mzuri wa integration wa shughuli za jamii na kuboresha afya na kipato kwa kuzingatia misingi ya afya. Kazi kwao sasa kukaa na watumishi wa ugani, kusaidia kuweka malengo na watumishi watathiminiwe na kupandishwa cheo kwa alilofanya linaloonekana au-hajafanya kitu-Afukuzwe ili kuondoa kuwepo na kudororesha maendeleo uko mahala kama picha tu unangojea mshahara basi!!
Kama kawa
--------------------------------------------
On Fri, 12/2/16, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA ASEMA ATAENDELEA KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI KUTUMBUA MAJIPU YANAYOKWAMISHA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, 12 February, 2016, 8:20
Akikaa kutafuta majipu atachelewa.
badala yake azame katika kurekebisha mipan go ibovu
inayojali tiba kuliko kinga kana kwamba tunachohitaji ni
watanzania kutibiwa. Tunahitaji watanzania wenye afya
wanaougua kwa bahati mabaya sio wenye kawaida ya kuugua.
Hapo ndipo atakuwa amemsaidia Rais. majipu ni hatari tu na
Police na DPP na TAKUKURU wapo. Yeye arekebishe
mipango ya wizara ilenge kuleta afya, kujenga tabia za
watanzania zinazoimarisha afya. NI USHAURI TU.
--------------------------------------------
On Thu, 2/11/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com>
wrote:
Subject: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA ASEMA ATAENDELEA
KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI KUTUMBUA MAJIPU YANAYOKWAMISHA
UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA
To:
Date: Thursday, February 11, 2016, 9:59 PM
Habari za
jioni,
Tafadhali pokea CODES hapa chini.
<p style="text-align:
center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa111-1.jpg"
rel="attachment wp-att-4054"><img
class="size-full wp-image-4054 aligncenter"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa111-1.jpg"
alt="kigwa111" width="702"
height="468" /></a></p>
<h4 style="text-align:
center;"><span style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dk.
Hamisi
Kigwangalla (aliyekaa) akiwa katika ibada maalum ya
kuombea
wagonjwa duniani iliyofanyika leo katika Hospitali ya
Ndala,Nzega Mkoani Tabora. Wengine kulia ni Rudrovic
Mwananzila na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Nzega,
Jacqueline
Liana.</strong></em></span></h4><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na
Wazee
Dk. Hamisi Kigwangalla amesema kwamba wao kama viongozi
wataendelea kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kutumbua majibu
yanayokwamisha kutokupatikana kwa huduma bora za afya,
bila
kuogopa wala kumwonea mtu kwa ajili ya maslahi ya
taifa.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aidha
Dkt. Kigwangalla alisema watafanya hivyo kwa kufuata
sheria, kanuni na taratibu ili kuhakikisha kila mtu
anatimiza wajibu
ipasavyo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Dk.Kigwangalla ameyasema
hayo leo 11 Februari wakati wa maadhimisho ya 24 ya ibada
maalum ya kuwaombea wagonjwa Duniani ambayo Kitaifa
yamefanyika katika jimbo kuu la Tabora na baadae kwenye
Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala, Wilaya ya
Nzega,
mkoani
Tabora.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>"Tutaendelea kutumbua
majibu bila ya kmwonea mtu kwa kuwa tunafanya hivyo kwa
kuangalia sheria, kanuni na taratibu. Haiwezekani mtu
akaiba
dawa ambazo zinawasaidia wananchi masikini, halafu sisi
tukamwaangalia tu," alisema
Dkt.Kigwangalla.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Alisema
majipu hayo yatatumbuliwa kwa watendaji ambao
watakaozembea,
wasio waadilifu na wasiowajibika katika sekta hiyo ya
afya.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aliongeza
kwamba Serikali ya Awamu ya Tano itakuwa inafanya kazi kwa
kuwafuata wananchi hususani wanyonge (masikini) mahali
walipo ili kuhakikisha baada ya miaka kumi ijayo Tanzania
itakuwa na maendeleo ya kiwango cha
juu.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Naibu
Waziri huyo aliwaomba viongozi wa dini kuendelea kuwaombea
kwa kuwa kazi ya kutumbua majibu si
rahisi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aliuomba
uongozi wa hospitali hiyo kuboresha mfumo wa ukusanyaji
mapato kwa kutumia njia ya ki-elekroniki kwa sababu
umeonyesha matokeo chanya katika hospitali
nyinigine.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Akizungumzia kuhusu suala la
upungufu wa bajeti, Dkt. Kigwangalla alisema ni vema
viongozi hao wadini, asasi za kijamii na taasisi zisizo za
kiserikali zinazotoa huduma za afya kutafuta vyanzo
mbadala
vya kuongeza fedha za kuboresha huduma hizo, kwa kuwa si
sekta hiyo pekee yenye changamoto
hiyo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Pia
vipaumbele vya shughuli mbalimbali za kuwaletea maendeleo
wananchi viko vingi, wakati rasimali fedha
haitoshelezi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aliwataka
uongozi wa hospitali hiyo na nyinginezo za mashirika ya
hiari kuwasilisha taarifa za (data cleaning) UTUMISHI
ikiwa ni pamoja na kuorodhesha watumishi wanaotakiwa
kuondolewa kwenye malipo ya mshahara ili waweze kupatiwa
kibali cha kuajiri kwani bila kufanya hivyo kibali
hakitaweza
kutolewa.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Dkt.
Kigwangalla aliongeza kwamba hivi sasa wizara yake iko
katika mchakato wa kuhakikisha Watanzania wote wanapata
huduma za matibabu za kwa kutumia mifuko ya bima ya afya.
</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Maadhimisho hayo ni ya kila
mwaka ya siku 11 Februari, Wakristo wote wanafanya sala
maalum ya kuwaombea wagonjwa wanaosumbuka na maradhi na
kuwaombea wapone haraka huku wakiyapokea mateso hayo na
kuyaunganisha na mateso ya kristo na kanisa lake hii ni
pamoja na kuwaombea ndugu wa wagonjwa katika kuwasaidia
wagonjwa wao wakati wa
kuwauguza.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Maadhimisho hayo yanaenda
sambamba pamoja na kuwahudumia na kutoa misasada
mbalimbali.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Kwa
upande wake Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludocivk Mwananzila
aliwataka Watanzania kuwa na tabia ya kuwatembelea
wagonjwa
na wafungwa ili waweze kupata
faraja.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Kihistoria, Hospitali hiyo
ya Ndala, ilianza miaka ya 1930 kama Zahanati ndogo chini
ya
Masista Wamissionary wa Afrika (Missionary of Our Lady of
Afrika-White Sisters) katika jimbo kuu hilo la
Tabora</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mwaka
1963 ilikuja kuwa Hospitali kamili huku ikianza na vitanda
115 na wauguzi 15 na daktari mmoja, hata hivyo hadi sasa
ina
jumla ya vitanda 152, wafanyakaz 125 huku wakiweza kutoa
huduma kwa wagonjwa wa nje wapatao 38,917 na wagonjwa wa
kulazwa
8,428.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Hospitali
hiyo baadae ikapandishwa ngazi ya Hospitali huku ikiwa na
vitanda 152 huku ikiwa na madaktari
mbalimbali.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Wakitoa
shukrani zao ni pamoja na serikali ya Tanzania kupitia
Wizara ya Afya kwa kuweza kushirikiana bega kwa bega
ikiwemo
kutoa ruzuku kwa baadhi ya watumishi, posho za watumishi,
vitanda vulivyohainishwa, madawa, mafunzo ya watumishi, na
mambo
mbalimbali.</strong></span></p>
<h4 style="text-align:
center;"></h4><h4
style="text-align: center;"><em><span
style="color: #000000;"><strong><a
style="color: #000000;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa3333.jpg"
rel="attachment wp-att-4053"><img
class="alignnone size-full wp-image-4053"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa3333.jpg"
alt="kigwa3333" width="702"
height="468"
/></a></strong></span><strong><span
style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla akitoa
zawadi kwa mmoja wa akina mama waliokuwa kwenye wodi ya
wazazi katika Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala,
Wilaya ya Nzega, mkoani
Tabora.</span></strong></em></h4><h4
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong><a
style="color: #000080;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/KIGWA1.jpg"
rel="attachment wp-att-4055"><img
class="alignnone size-full wp-image-4055"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/KIGWA1.jpg"
alt="KIGWA1" width="702"
height="468" /></a><em>Baadhi ya
wananchi wakiwa katika tukio hilo. (Picha zote na Andrew
Chale,modewjiblog-Nzega.)</em></strong></span></h4>
KAWAIDA
Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na
Wazee
Dk. Hamisi Kigwangalla (aliyekaa) akiwa katika ibada
maalum
ya kuombea wagonjwa duniani iliyofanyika leo katika
Hospitali ya Ndala,Nzega Mkoani Tabora. Wengine kulia ni
Rudrovic Mwananzila na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya
Nzega, Jacqueline Liana.Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na
Wazee
Dk. Hamisi Kigwangalla amesema kwamba wao kama viongozi
wataendelea kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kutumbua majibu
yanayokwamisha kutokupatikana kwa huduma bora za afya,
bila
kuogopa wala kumwonea mtu kwa ajili ya maslahi ya
taifa.Aidha
Dkt. Kigwangalla alisema watafanya hivyo kwa kufuata
sheria,
kanuni na taratibu ili kuhakikisha kila mtu anatimiza
wajibu
ipasavyo.Dk.Kigwangalla
ameyasema hayo leo 11 Februari wakati wa maadhimisho ya 24
ya ibada maalum ya kuwaombea wagonjwa Duniani ambayo
Kitaifa
yamefanyika katika jimbo kuu la Tabora na baadae kwenye
Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala, Wilaya ya
Nzega,
mkoani Tabora."Tutaendelea
kutumbua majibu bila ya kmwonea mtu kwa kuwa tunafanya
hivyo
kwa kuangalia sheria, kanuni na taratibu. Haiwezekani mtu
akaiba dawa ambazo zinawasaidia wananchi masikini, halafu
sisi tukamwaangalia tu," alisema
Dkt.Kigwangalla.Alisema
majipu hayo yatatumbuliwa kwa watendaji ambao
watakaozembea,
wasio waadilifu na wasiowajibika katika sekta hiyo ya
afya.Aliongeza
kwamba Serikali ya Awamu ya Tano itakuwa inafanya kazi kwa
kuwafuata wananchi hususani wanyonge (masikini) mahali
walipo ili kuhakikisha baada ya miaka kumi ijayo Tanzania
itakuwa na maendeleo ya kiwango cha
juu.Naibu
Waziri huyo aliwaomba viongozi wa dini kuendelea kuwaombea
kwa kuwa kazi ya kutumbua majibu si
rahisi.Aliuomba
uongozi wa hospitali hiyo kuboresha mfumo wa ukusanyaji
mapato kwa kutumia njia ya ki-elekroniki kwa sababu
umeonyesha matokeo chanya katika hospitali
nyinigine.Akizungumzia
kuhusu suala la upungufu wa bajeti, Dkt. Kigwangalla
alisema
ni vema viongozi hao wadini, asasi za kijamii na taasisi
zisizo za kiserikali zinazotoa huduma za afya kutafuta
vyanzo mbadala vya kuongeza fedha za kuboresha huduma
hizo,
kwa kuwa si sekta hiyo pekee yenye changamoto
hiyo.Pia
vipaumbele vya shughuli mbalimbali za kuwaletea maendeleo
wananchi viko vingi, wakati rasimali fedha
haitoshelezi.Aliwataka
uongozi wa hospitali hiyo na nyinginezo za mashirika ya
hiari kuwasilisha taarifa za (data cleaning) UTUMISHI
ikiwa ni pamoja na kuorodhesha watumishi wanaotakiwa
kuondolewa kwenye malipo ya mshahara ili waweze kupatiwa
kibali cha kuajiri kwani bila kufanya hivyo kibali
hakitaweza kutolewa.Dkt.
Kigwangalla aliongeza kwamba hivi sasa wizara yake iko
katika mchakato wa kuhakikisha Watanzania wote wanapata
huduma za matibabu za kwa kutumia mifuko ya bima ya
afya. Maadhimisho
hayo ni ya kila mwaka ya siku 11 Februari, Wakristo wote
wanafanya sala maalum ya kuwaombea wagonjwa wanaosumbuka
na
maradhi na kuwaombea wapone haraka huku wakiyapokea mateso
hayo na kuyaunganisha na mateso ya kristo na kanisa lake
hii
ni pamoja na kuwaombea ndugu wa wagonjwa katika kuwasaidia
wagonjwa wao wakati wa kuwauguza.Maadhimisho
hayo yanaenda sambamba pamoja na kuwahudumia na kutoa
misasada mbalimbali.Kwa
upande wake Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludocivk Mwananzila
aliwataka Watanzania kuwa na tabia ya kuwatembelea
wagonjwa
na wafungwa ili waweze kupata faraja.Kihistoria,
Hospitali hiyo ya Ndala, ilianza miaka ya 1930 kama
Zahanati
ndogo chini ya Masista Wamissionary wa Afrika (Missionary
of
Our Lady of Afrika-White Sisters) katika jimbo kuu hilo la
TaboraMwaka
1963 ilikuja kuwa Hospitali kamili huku ikianza na vitanda
115 na wauguzi 15 na daktari mmoja, hata hivyo hadi sasa
ina
jumla ya vitanda 152, wafanyakaz 125 huku wakiweza kutoa
huduma kwa wagonjwa wa nje wapatao 38,917 na wagonjwa wa
kulazwa 8,428.Hospitali
hiyo baadae ikapandishwa ngazi ya Hospitali huku ikiwa na
vitanda 152 huku ikiwa na madaktari
mbalimbali.Wakitoa
shukrani zao ni pamoja na serikali ya Tanzania kupitia
Wizara ya Afya kwa kuweza kushirikiana bega kwa bega
ikiwemo
kutoa ruzuku kwa baadhi ya watumishi, posho za watumishi,
vitanda vulivyohainishwa, madawa, mafunzo ya watumishi, na
mambo mbalimbali.
Dk.
Kigwangalla akitoa zawadi kwa mmoja wa akina mama
waliokuwa
kwenye wodi ya wazazi katika Hospitali ya Ndala, iliyopo
Kata ya Ndala, Wilaya ya Nzega, mkoani
Tabora.Baadhi
ya wananchi wakiwa katika tukio hilo. (Picha zote na
Andrew
Chale,modewjiblog-Nzega.)
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment