Friday, 12 February 2016

Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA ASEMA ATAENDELEA KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI KUTUMBUA MAJIPU YANAYOKWAMISHA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA

inawezekana nguvu nyingi inatumika kuliko akili

2016-02-12 8:20 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Akikaa kutafuta majipu atachelewa. badala yake azame katika kurekebisha mipan go ibovu inayojali tiba kuliko kinga kana kwamba tunachohitaji ni watanzania kutibiwa. Tunahitaji watanzania wenye afya wanaougua kwa bahati mabaya sio wenye kawaida ya kuugua. Hapo ndipo atakuwa amemsaidia Rais. majipu ni hatari tu na Police na DPP  na TAKUKURU wapo. Yeye arekebishe mipango ya wizara ilenge kuleta afya, kujenga tabia za watanzania zinazoimarisha afya. NI USHAURI TU.
--------------------------------------------
On Thu, 2/11/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com> wrote:

 Subject: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA ASEMA ATAENDELEA KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI KUTUMBUA MAJIPU YANAYOKWAMISHA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA
 To:
 Date: Thursday, February 11, 2016, 9:59 PM

 Habari za
 jioni,
 Tafadhali pokea CODES hapa chini.

 <p style="text-align:
 center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa111-1.jpg"
 rel="attachment wp-att-4054"><img
 class="size-full wp-image-4054 aligncenter"
 src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa111-1.jpg"
 alt="kigwa111" width="702"
 height="468" /></a></p>
 <h4 style="text-align:
 center;"><span style="color:
 #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
 Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dk. Hamisi
 Kigwangalla (aliyekaa) akiwa katika ibada maalum ya kuombea
 wagonjwa duniani iliyofanyika leo katika Hospitali ya
 Ndala,Nzega Mkoani Tabora. Wengine kulia ni Rudrovic
 Mwananzila na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Nzega,
 Jacqueline
 Liana.</strong></em></span></h4><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Naibu
 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee
 Dk. Hamisi Kigwangalla amesema kwamba wao kama viongozi
 wataendelea kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
 Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kutumbua majibu
 yanayokwamisha kutokupatikana kwa huduma bora za afya, bila
 kuogopa wala kumwonea mtu kwa ajili ya maslahi ya
  taifa.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Aidha
  Dkt. Kigwangalla alisema watafanya hivyo kwa kufuata
 sheria, kanuni na taratibu ili kuhakikisha kila mtu
 anatimiza wajibu
 ipasavyo.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color:
 #000000;"><strong>Dk.Kigwangalla ameyasema
 hayo leo 11 Februari wakati wa maadhimisho ya 24 ya ibada
 maalum ya kuwaombea wagonjwa Duniani ambayo Kitaifa
 yamefanyika katika jimbo kuu la Tabora na baadae kwenye
 Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala, Wilaya ya Nzega,
 mkoani
 Tabora.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color:
 #000000;"><strong>"Tutaendelea kutumbua
 majibu bila ya kmwonea mtu kwa kuwa tunafanya hivyo kwa
 kuangalia sheria, kanuni na taratibu. Haiwezekani mtu akaiba
 dawa ambazo zinawasaidia wananchi masikini, halafu sisi
 tukamwaangalia tu," alisema
 Dkt.Kigwangalla.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Alisema
 majipu hayo yatatumbuliwa kwa watendaji ambao watakaozembea,
 wasio waadilifu na wasiowajibika katika sekta hiyo ya
 afya.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Aliongeza
 kwamba Serikali ya Awamu ya Tano itakuwa inafanya kazi kwa
 kuwafuata wananchi hususani wanyonge (masikini) mahali
 walipo ili kuhakikisha baada ya miaka kumi ijayo Tanzania
 itakuwa na maendeleo ya kiwango cha
 juu.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Naibu
 Waziri huyo aliwaomba viongozi wa dini kuendelea kuwaombea
 kwa kuwa kazi ya kutumbua majibu si
 rahisi.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Aliuomba
 uongozi wa hospitali hiyo kuboresha mfumo wa ukusanyaji
 mapato kwa kutumia njia ya ki-elekroniki kwa sababu
 umeonyesha matokeo chanya katika hospitali
 nyinigine.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color:
 #000000;"><strong>Akizungumzia kuhusu suala la
 upungufu wa bajeti, Dkt. Kigwangalla alisema ni vema
 viongozi hao wadini, asasi za kijamii na taasisi zisizo za
 kiserikali zinazotoa huduma za afya kutafuta vyanzo mbadala
 vya kuongeza fedha za kuboresha huduma hizo, kwa kuwa si
 sekta hiyo pekee yenye changamoto
 hiyo.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Pia
 vipaumbele vya shughuli mbalimbali za kuwaletea maendeleo
 wananchi viko vingi, wakati rasimali fedha
 haitoshelezi.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Aliwataka
 uongozi wa hospitali hiyo na nyinginezo za mashirika ya
 hiari kuwasilisha taarifa za (data cleaning)  UTUMISHI
 ikiwa ni pamoja na kuorodhesha watumishi wanaotakiwa
 kuondolewa kwenye malipo ya mshahara  ili waweze kupatiwa
 kibali cha kuajiri kwani bila kufanya hivyo kibali
 hakitaweza
 kutolewa.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Dkt.
 Kigwangalla aliongeza kwamba hivi sasa wizara yake iko
 katika mchakato wa kuhakikisha Watanzania wote wanapata
 huduma za matibabu za kwa kutumia mifuko ya bima ya afya.
 </strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color:
 #000000;"><strong>Maadhimisho hayo ni ya kila
 mwaka ya siku 11 Februari, Wakristo wote wanafanya sala
 maalum ya kuwaombea wagonjwa wanaosumbuka na maradhi na
 kuwaombea wapone haraka huku wakiyapokea mateso hayo na
 kuyaunganisha na mateso ya kristo na kanisa lake hii ni
 pamoja na kuwaombea ndugu wa wagonjwa katika kuwasaidia
 wagonjwa wao wakati wa
 kuwauguza.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color:
 #000000;"><strong>Maadhimisho hayo yanaenda
 sambamba pamoja na kuwahudumia na kutoa misasada
 mbalimbali.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Kwa
 upande wake Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludocivk Mwananzila
 aliwataka Watanzania kuwa na tabia ya kuwatembelea wagonjwa
 na wafungwa ili waweze kupata
 faraja.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color:
 #000000;"><strong>Kihistoria, Hospitali hiyo
 ya Ndala, ilianza miaka ya 1930 kama Zahanati ndogo chini ya
 Masista Wamissionary wa Afrika (Missionary of Our Lady of
 Afrika-White Sisters) katika jimbo kuu hilo la
 Tabora</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Mwaka
 1963 ilikuja kuwa Hospitali kamili huku ikianza na vitanda
 115 na wauguzi 15 na daktari mmoja, hata hivyo hadi sasa ina
 jumla ya vitanda 152, wafanyakaz 125 huku wakiweza kutoa
 huduma kwa wagonjwa wa nje wapatao 38,917 na wagonjwa wa
 kulazwa
 8,428.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Hospitali
 hiyo baadae ikapandishwa ngazi ya Hospitali huku ikiwa na
 vitanda 152 huku ikiwa na madaktari
 mbalimbali.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Wakitoa
 shukrani zao ni pamoja na serikali ya Tanzania kupitia
 Wizara ya Afya kwa kuweza kushirikiana bega kwa bega ikiwemo
 kutoa ruzuku kwa baadhi ya watumishi, posho za watumishi,
 vitanda vulivyohainishwa, madawa, mafunzo ya watumishi, na
 mambo
 mbalimbali.</strong></span></p>
 <h4 style="text-align:
 center;"></h4><h4
 style="text-align: center;"><em><span
 style="color: #000000;"><strong><a
 style="color: #000000;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa3333.jpg"
 rel="attachment wp-att-4053"><img
 class="alignnone size-full wp-image-4053"
 src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwa3333.jpg"
 alt="kigwa3333" width="702"
 height="468"
 /></a></strong></span><strong><span
 style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla akitoa
 zawadi kwa mmoja wa akina mama waliokuwa kwenye  wodi ya
 wazazi katika Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala,
 Wilaya ya Nzega, mkoani
 Tabora.</span></strong></em></h4><h4
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000080;"><strong><a
 style="color: #000080;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/KIGWA1.jpg"
 rel="attachment wp-att-4055"><img
 class="alignnone size-full wp-image-4055"
 src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/KIGWA1.jpg"
 alt="KIGWA1" width="702"
 height="468" /></a><em>Baadhi ya
 wananchi wakiwa katika tukio hilo. (Picha zote na Andrew
 Chale,modewjiblog-Nzega.)</em></strong></span></h4>

 KAWAIDA
 Naibu
 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee
 Dk. Hamisi Kigwangalla (aliyekaa) akiwa katika ibada maalum
 ya kuombea wagonjwa duniani iliyofanyika leo katika
 Hospitali ya Ndala,Nzega Mkoani Tabora. Wengine kulia ni
 Rudrovic Mwananzila na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya
 Nzega, Jacqueline Liana.Naibu
 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee
 Dk. Hamisi Kigwangalla amesema kwamba wao kama viongozi
 wataendelea kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
 Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kutumbua majibu
 yanayokwamisha kutokupatikana kwa huduma bora za afya, bila
 kuogopa wala kumwonea mtu kwa ajili ya maslahi ya 
 taifa.Aidha 
 Dkt. Kigwangalla alisema watafanya hivyo kwa kufuata sheria,
 kanuni na taratibu ili kuhakikisha kila mtu anatimiza wajibu
 ipasavyo.Dk.Kigwangalla
 ameyasema hayo leo 11 Februari wakati wa maadhimisho ya 24
 ya ibada maalum ya kuwaombea wagonjwa Duniani ambayo Kitaifa
 yamefanyika katika jimbo kuu la Tabora na baadae kwenye
 Hospitali ya Ndala, iliyopo Kata ya Ndala, Wilaya ya Nzega,
 mkoani Tabora."Tutaendelea
 kutumbua majibu bila ya kmwonea mtu kwa kuwa tunafanya hivyo
 kwa kuangalia sheria, kanuni na taratibu. Haiwezekani mtu
 akaiba dawa ambazo zinawasaidia wananchi masikini, halafu
 sisi tukamwaangalia tu," alisema
 Dkt.Kigwangalla.Alisema
 majipu hayo yatatumbuliwa kwa watendaji ambao watakaozembea,
 wasio waadilifu na wasiowajibika katika sekta hiyo ya
 afya.Aliongeza
 kwamba Serikali ya Awamu ya Tano itakuwa inafanya kazi kwa
 kuwafuata wananchi hususani wanyonge (masikini) mahali
 walipo ili kuhakikisha baada ya miaka kumi ijayo Tanzania
 itakuwa na maendeleo ya kiwango cha
 juu.Naibu
 Waziri huyo aliwaomba viongozi wa dini kuendelea kuwaombea
 kwa kuwa kazi ya kutumbua majibu si
 rahisi.Aliuomba
 uongozi wa hospitali hiyo kuboresha mfumo wa ukusanyaji
 mapato kwa kutumia njia ya ki-elekroniki kwa sababu
 umeonyesha matokeo chanya katika hospitali
 nyinigine.Akizungumzia
 kuhusu suala la upungufu wa bajeti, Dkt. Kigwangalla alisema
 ni vema viongozi hao wadini, asasi za kijamii na taasisi
 zisizo za kiserikali zinazotoa huduma za afya kutafuta
 vyanzo mbadala vya kuongeza fedha za kuboresha huduma hizo,
 kwa kuwa si sekta hiyo pekee yenye changamoto
 hiyo.Pia
 vipaumbele vya shughuli mbalimbali za kuwaletea maendeleo
 wananchi viko vingi, wakati rasimali fedha
 haitoshelezi.Aliwataka
 uongozi wa hospitali hiyo na nyinginezo za mashirika ya
 hiari kuwasilisha taarifa za (data cleaning)  UTUMISHI
 ikiwa ni pamoja na kuorodhesha watumishi wanaotakiwa
 kuondolewa kwenye malipo ya mshahara  ili waweze kupatiwa
 kibali cha kuajiri kwani bila kufanya hivyo kibali
 hakitaweza kutolewa.Dkt.
 Kigwangalla aliongeza kwamba hivi sasa wizara yake iko
 katika mchakato wa kuhakikisha Watanzania wote wanapata
 huduma za matibabu za kwa kutumia mifuko ya bima ya
 afya. Maadhimisho
 hayo ni ya kila mwaka ya siku 11 Februari, Wakristo wote
 wanafanya sala maalum ya kuwaombea wagonjwa wanaosumbuka na
 maradhi na kuwaombea wapone haraka huku wakiyapokea mateso
 hayo na kuyaunganisha na mateso ya kristo na kanisa lake hii
 ni pamoja na kuwaombea ndugu wa wagonjwa katika kuwasaidia
 wagonjwa wao wakati wa kuwauguza.Maadhimisho
 hayo yanaenda sambamba pamoja na kuwahudumia na kutoa
 misasada mbalimbali.Kwa
 upande wake Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludocivk Mwananzila
 aliwataka Watanzania kuwa na tabia ya kuwatembelea wagonjwa
 na wafungwa ili waweze kupata faraja.Kihistoria,
 Hospitali hiyo ya Ndala, ilianza miaka ya 1930 kama Zahanati
 ndogo chini ya Masista Wamissionary wa Afrika (Missionary of
 Our Lady of Afrika-White Sisters) katika jimbo kuu hilo la
 TaboraMwaka
 1963 ilikuja kuwa Hospitali kamili huku ikianza na vitanda
 115 na wauguzi 15 na daktari mmoja, hata hivyo hadi sasa ina
 jumla ya vitanda 152, wafanyakaz 125 huku wakiweza kutoa
 huduma kwa wagonjwa wa nje wapatao 38,917 na wagonjwa wa
 kulazwa 8,428.Hospitali
 hiyo baadae ikapandishwa ngazi ya Hospitali huku ikiwa na
 vitanda 152 huku ikiwa na madaktari
 mbalimbali.Wakitoa
 shukrani zao ni pamoja na serikali ya Tanzania kupitia
 Wizara ya Afya kwa kuweza kushirikiana bega kwa bega ikiwemo
 kutoa ruzuku kwa baadhi ya watumishi, posho za watumishi,
 vitanda vulivyohainishwa, madawa, mafunzo ya watumishi, na
 mambo mbalimbali. 
 Dk.
 Kigwangalla akitoa zawadi kwa mmoja wa akina mama waliokuwa
 kwenye  wodi ya wazazi katika Hospitali ya Ndala, iliyopo
 Kata ya Ndala, Wilaya ya Nzega, mkoani
 Tabora.Baadhi
 ya wananchi wakiwa katika tukio hilo. (Picha zote na Andrew
 Chale,modewjiblog-Nzega.)



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment