<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mnano tarehe 7/11/2015, Jumuiya ya watanzania waishio nchini Thailand ilikutana na kujadiliana mambo mbalimbali ya jinsi gani wanaweza kusaidiana katika mambo mbalimbali, TIT ilianzishwa mnano mwezi wa nne mwaka, 2015 na inahusisha watanzania mbalimbali, wanafunzi,wafanyabishara na wafanyakazi waishio na kufanya nchini Thailand. Mkutano mkuu wa Jumuiya ulifanyika katika Hoteli ya Amari Boulevard Mjini Bangkok na kuhudhuriwa na wanajumiya mbalimbali.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Pamoja na kujadiliana mambo mbalimbali kulifanyika uchaguzi wa viongozi ambapo wafuatao walichaguliwa kuwa viongozi wa jumuiya kwa kipindi cha mwaka mmoja:</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Mwenyekiti: Bwana Maumba Mgaya</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>M/Kiti: Bw. Alois Ngonyani</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Katibu: Bw.Andrew Wajama</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Katibu Msaidizi: Bw. Emmanuel Mushi</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Mhazini: Bw. Adolf Kigombola</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Mhazini Msaidizi: Bi.Tumaini Kalindile</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Afisa Mawasiliano: Bw. Emmanuel Nyamageni</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Afisa Mawasiliano Msaidizi: Bw. Jordan Hossea.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Pamoja na uchaguzi kulifanyika sherehe fupi ya kumpongeza Bi Magreth Dionis Mjindo ambaye amemaliza Shahada ya uzamili ya maendeleo ya jamii na anarejea nyumbani kulitumikia Taifa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Jumuiya inapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wadhamini wao Ndugu Florean Rwehumbiza, Dada Lucy Kileo pamoja na Ndugu Kivea Mbwana (Homeboy) kwa kusimamia uchaguzi na kufanikisha kufanyika kwa mkutano huu muhimu. Shukrani za pekee ziende kwa Kampuni ya Broadhurst Pacific, kwa kusimamia, kudhamini na kufanikisha tukio hili muhimu.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mhazini wa Jumuiya Ndugu Adolph Kigombola akisoma taarifa ya fedha.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Tunapenda kuwapongeza na kuwashukuru viongozi waasisi wa jumuiya waliomaliza muda wao ambao ni ndugu Saidi Husein Kitenge Mwenyekiti wa kwanza wa jumuiya na makamu wake Ndugu Masui Vicent Munda na ndugu Antidius Muchunguzi bila kuwasahau maafisa mawasiliano wetu akiwemo ndugu Felix Mwema na Bi Diana Richard.Mungu awabariki kwa kuitumikia vema TIT.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha Jumuiya inawakaribisha watanzania mbalimbali walioko nchini Thailand au wanaotarajia kuja nchini Thailand kushirikiana na jumuiya yetu.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Umoja ni nguvu</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Imetolewa na Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Thailand (TIT)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #0000ff;"><strong>+66947230002/+66972494819</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkutano Mkuu ukiendelea.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya Watanzania Waishio nchini Thailand.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkutanoni.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Timu ya Wadhamini wakisimamia Uchaguzi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Bw. Florean Akikabidhiwa keki ya kuzaliwa na Bi Lucy.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Ndugu Florean akimkabidhi Bi Magreth Zawadi kwa niaba ya Jumuiya.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wanajumuiya Wakipata Chakula cha Pamoja.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Watanzania Waishio Thailand wakipata chakula cha pamoja.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Watanzania Waishio Thailand Wakiwa Katika Picha ya Pamoja.</strong></em></span></p>

Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu.
Mnano tarehe 7/11/2015, Jumuiya ya watanzania waishio nchini Thailand ilikutana na kujadiliana mambo mbalimbali ya jinsi gani wanaweza kusaidiana katika mambo mbalimbali, TIT ilianzishwa mnano mwezi wa nne mwaka, 2015 na inahusisha watanzania mbalimbali, wanafunzi,wafanyabishara na wafanyakazi waishio na kufanya nchini Thailand. Mkutano mkuu wa Jumuiya ulifanyika katika Hoteli ya Amari Boulevard Mjini Bangkok na kuhudhuriwa na wanajumiya mbalimbali.
Pamoja na kujadiliana mambo mbalimbali kulifanyika uchaguzi wa viongozi ambapo wafuatao walichaguliwa kuwa viongozi wa jumuiya kwa kipindi cha mwaka mmoja:
Mwenyekiti: Bwana Maumba Mgaya
M/Kiti: Bw. Alois Ngonyani
Katibu: Bw.Andrew Wajama
Katibu Msaidizi: Bw. Emmanuel Mushi
Mhazini: Bw. Adolf Kigombola
Mhazini Msaidizi: Bi.Tumaini Kalindile
Afisa Mawasiliano: Bw. Emmanuel Nyamageni
Afisa Mawasiliano Msaidizi: Bw. Jordan Hossea.
Pamoja na uchaguzi kulifanyika sherehe fupi ya kumpongeza Bi Magreth Dionis Mjindo ambaye amemaliza Shahada ya uzamili ya maendeleo ya jamii na anarejea nyumbani kulitumikia Taifa.
Jumuiya inapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wadhamini wao Ndugu Florean Rwehumbiza, Dada Lucy Kileo pamoja na Ndugu Kivea Mbwana (Homeboy) kwa kusimamia uchaguzi na kufanikisha kufanyika kwa mkutano huu muhimu. Shukrani za pekee ziende kwa Kampuni ya Broadhurst Pacific, kwa kusimamia, kudhamini na kufanikisha tukio hili muhimu.

Mhazini wa Jumuiya Ndugu Adolph Kigombola akisoma taarifa ya fedha.
Tunapenda kuwapongeza na kuwashukuru viongozi waasisi wa jumuiya waliomaliza muda wao ambao ni ndugu Saidi Husein Kitenge Mwenyekiti wa kwanza wa jumuiya na makamu wake Ndugu Masui Vicent Munda na ndugu Antidius Muchunguzi bila kuwasahau maafisa mawasiliano wetu akiwemo ndugu Felix Mwema na Bi Diana Richard.Mungu awabariki kwa kuitumikia vema TIT.
Aidha Jumuiya inawakaribisha watanzania mbalimbali walioko nchini Thailand au wanaotarajia kuja nchini Thailand kushirikiana na jumuiya yetu.
Umoja ni nguvu
Imetolewa na Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Thailand (TIT)
+66947230002/+66972494819

Mkutano Mkuu ukiendelea.

Baadhi ya Watanzania Waishio nchini Thailand.

Mkutanoni.

Timu ya Wadhamini wakisimamia Uchaguzi.

Bw. Florean Akikabidhiwa keki ya kuzaliwa na Bi Lucy.

Ndugu Florean akimkabidhi Bi Magreth Zawadi kwa niaba ya Jumuiya.

Wanajumuiya Wakipata Chakula cha Pamoja.

Watanzania Waishio Thailand wakipata chakula cha pamoja.

Watanzania Waishio Thailand Wakiwa Katika Picha ya Pamoja.

0 comments:
Post a Comment