Thursday, 12 November 2015

[wanabidii] JUMUIYA YA WATANZANIA WAISHIO THAILAND WAMCHAGUA BW. MAUMBA MGAYA KUWA MWENYEKITI WA TIT

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES hapo chini tafadhali.


<span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Meza-Kuu-Kutoka-Kushoto-ni-Ndugu-Maumba-Mgaya-Mwenyekiti-wa-Jumuiya-Bi-Magreth-Mjindo-na-Ndugu-Andrew-Katibu.jpg"><img class="size-full wp-image-150478 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Meza-Kuu-Kutoka-Kushoto-ni-Ndugu-Maumba-Mgaya-Mwenyekiti-wa-Jumuiya-Bi-Magreth-Mjindo-na-Ndugu-Andrew-Katibu.jpg" alt="Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu" width="640" height="425" /></a></strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mnano tarehe 7/11/2015, Jumuiya ya watanzania waishio nchini Thailand ilikutana na kujadiliana mambo mbalimbali ya jinsi gani wanaweza kusaidiana katika mambo mbalimbali, TIT ilianzishwa mnano mwezi wa nne mwaka, 2015 na inahusisha watanzania mbalimbali, wanafunzi,wafanyabishara na wafanyakazi waishio na kufanya nchini Thailand. Mkutano mkuu wa Jumuiya ulifanyika katika Hoteli ya Amari Boulevard Mjini Bangkok na kuhudhuriwa na wanajumiya mbalimbali.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Pamoja na kujadiliana mambo mbalimbali kulifanyika uchaguzi wa viongozi ambapo wafuatao walichaguliwa kuwa viongozi wa jumuiya kwa kipindi cha mwaka mmoja:</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Mwenyekiti:                                                   Bwana Maumba Mgaya</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>M/Kiti:                                                            Bw. Alois Ngonyani</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Katibu:                                                            Bw.Andrew Wajama</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Katibu Msaidizi:                                             Bw. Emmanuel Mushi</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Mhazini:                                                          Bw. Adolf Kigombola</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Mhazini Msaidizi:                                           Bi.Tumaini Kalindile</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Afisa Mawasiliano:                                         Bw. Emmanuel Nyamageni</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Afisa Mawasiliano Msaidizi:                          Bw. Jordan Hossea.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Pamoja na uchaguzi kulifanyika sherehe fupi ya kumpongeza Bi Magreth Dionis Mjindo ambaye amemaliza Shahada ya uzamili ya maendeleo ya jamii na anarejea nyumbani kulitumikia Taifa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Jumuiya inapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wadhamini wao Ndugu Florean Rwehumbiza, Dada Lucy Kileo pamoja na Ndugu Kivea Mbwana (Homeboy) kwa kusimamia uchaguzi na kufanikisha kufanyika kwa mkutano huu muhimu. Shukrani za pekee ziende kwa Kampuni ya Broadhurst Pacific, kwa kusimamia, kudhamini  na kufanikisha tukio hili muhimu.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Mhazini-wa-Jumuiya-Ndugu-Adolph-Kigombola-akisoma-taarifa-ya-fedha.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-150479" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Mhazini-wa-Jumuiya-Ndugu-Adolph-Kigombola-akisoma-taarifa-ya-fedha.jpg" alt="Mhazini wa Jumuiya Ndugu Adolph Kigombola akisoma taarifa ya fedha" width="640" height="425" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mhazini wa Jumuiya Ndugu Adolph Kigombola akisoma taarifa ya fedha.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Tunapenda kuwapongeza na kuwashukuru viongozi waasisi wa jumuiya waliomaliza muda wao ambao ni ndugu Saidi Husein Kitenge Mwenyekiti wa kwanza wa jumuiya na makamu wake Ndugu Masui Vicent Munda na ndugu Antidius Muchunguzi bila kuwasahau maafisa mawasiliano wetu akiwemo ndugu Felix Mwema na Bi Diana Richard.Mungu awabariki kwa kuitumikia vema TIT.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha Jumuiya inawakaribisha watanzania mbalimbali walioko nchini Thailand au wanaotarajia kuja nchini Thailand kushirikiana na jumuiya yetu.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Umoja ni nguvu</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Imetolewa na Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Thailand (TIT)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #0000ff;"><strong>+66947230002/+66972494819</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Mkutano-Mkuu-Ukiendelea.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-150480" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Mkutano-Mkuu-Ukiendelea.jpg" alt="Mkutano Mkuu Ukiendelea" width="640" height="425" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkutano Mkuu ukiendelea.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Baadhi-ya-Watanzania-Waishio-nchini-Thailand.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-150483" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Baadhi-ya-Watanzania-Waishio-nchini-Thailand.jpg" alt="Baadhi ya Watanzania Waishio nchini Thailand" width="640" height="425" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya Watanzania Waishio nchini Thailand.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Mkutanoni.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-150484" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Mkutanoni.jpg" alt="Mkutanoni" width="640" height="425" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkutanoni.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Timu-ya-Wadhamini-wakisimamia-Uchaguzi.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-150492" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Timu-ya-Wadhamini-wakisimamia-Uchaguzi.jpg" alt="Timu ya Wadhamini wakisimamia Uchaguzi" width="640" height="425" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Timu ya Wadhamini wakisimamia Uchaguzi.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Bw.-Florean-Akikabidhiwa-keki-ya-kuzaliwa-na-Bi-Lucy.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-150481" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Bw.-Florean-Akikabidhiwa-keki-ya-kuzaliwa-na-Bi-Lucy.jpg" alt="Bw. Florean Akikabidhiwa keki ya kuzaliwa na Bi Lucy" width="640" height="425" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Bw. Florean Akikabidhiwa keki ya kuzaliwa na Bi Lucy.</strong></em></span></p>
<span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Ndugu-Florean-akimkabidhi-Bi-Magreth-Zawadi-kwa-niaba-ya-Jumuiya.jpg"><img class="size-full wp-image-150486 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Ndugu-Florean-akimkabidhi-Bi-Magreth-Zawadi-kwa-niaba-ya-Jumuiya.jpg" alt="Ndugu Florean akimkabidhi Bi Magreth Zawadi kwa niaba ya Jumuiya" width="640" height="425" /></a></strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Ndugu Florean akimkabidhi Bi Magreth Zawadi kwa niaba ya Jumuiya.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Wanajumuiya-Wakipata-Chakula-cha-Pamoja-.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-150488" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Wanajumuiya-Wakipata-Chakula-cha-Pamoja-.jpg" alt="Wanajumuiya Wakipata Chakula cha Pamoja" width="640" height="425" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wanajumuiya Wakipata Chakula cha Pamoja.</strong></em></span></p>
<span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Watanzania-Waishio-Thailand-wakipata-chakula-cha-pamoja.jpg"><img class="size-full wp-image-150489 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Watanzania-Waishio-Thailand-wakipata-chakula-cha-pamoja.jpg" alt="Watanzania Waishio Thailand wakipata chakula cha pamoja" width="640" height="360" /></a></strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Watanzania Waishio Thailand wakipata chakula cha pamoja.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Watanzania-Waishio-Thailand-Wakiwa-Katika-Picha-ya-Pamoja.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-150490" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Watanzania-Waishio-Thailand-Wakiwa-Katika-Picha-ya-Pamoja.jpg" alt="Watanzania Waishio Thailand Wakiwa Katika Picha ya Pamoja" width="640" height="425" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Watanzania Waishio Thailand Wakiwa Katika Picha ya Pamoja.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/EPVI3455.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-150494" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/EPVI3455.jpg" alt="EPVI3455" width="640" height="425" /></a>



KAWAIDA

Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu

Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu.

Mnano tarehe 7/11/2015, Jumuiya ya watanzania waishio nchini Thailand ilikutana na kujadiliana mambo mbalimbali ya jinsi gani wanaweza kusaidiana katika mambo mbalimbali, TIT ilianzishwa mnano mwezi wa nne mwaka, 2015 na inahusisha watanzania mbalimbali, wanafunzi,wafanyabishara na wafanyakazi waishio na kufanya nchini Thailand. Mkutano mkuu wa Jumuiya ulifanyika katika Hoteli ya Amari Boulevard Mjini Bangkok na kuhudhuriwa na wanajumiya mbalimbali.

Pamoja na kujadiliana mambo mbalimbali kulifanyika uchaguzi wa viongozi ambapo wafuatao walichaguliwa kuwa viongozi wa jumuiya kwa kipindi cha mwaka mmoja:

Mwenyekiti:                                                   Bwana Maumba Mgaya

M/Kiti:                                                            Bw. Alois Ngonyani

Katibu:                                                            Bw.Andrew Wajama

Katibu Msaidizi:                                             Bw. Emmanuel Mushi

Mhazini:                                                          Bw. Adolf Kigombola

Mhazini Msaidizi:                                           Bi.Tumaini Kalindile

Afisa Mawasiliano:                                         Bw. Emmanuel Nyamageni

Afisa Mawasiliano Msaidizi:                          Bw. Jordan Hossea.

Pamoja na uchaguzi kulifanyika sherehe fupi ya kumpongeza Bi Magreth Dionis Mjindo ambaye amemaliza Shahada ya uzamili ya maendeleo ya jamii na anarejea nyumbani kulitumikia Taifa.

Jumuiya inapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wadhamini wao Ndugu Florean Rwehumbiza, Dada Lucy Kileo pamoja na Ndugu Kivea Mbwana (Homeboy) kwa kusimamia uchaguzi na kufanikisha kufanyika kwa mkutano huu muhimu. Shukrani za pekee ziende kwa Kampuni ya Broadhurst Pacific, kwa kusimamia, kudhamini  na kufanikisha tukio hili muhimu.

Mhazini wa Jumuiya Ndugu Adolph Kigombola akisoma taarifa ya fedha

Mhazini wa Jumuiya Ndugu Adolph Kigombola akisoma taarifa ya fedha.

Tunapenda kuwapongeza na kuwashukuru viongozi waasisi wa jumuiya waliomaliza muda wao ambao ni ndugu Saidi Husein Kitenge Mwenyekiti wa kwanza wa jumuiya na makamu wake Ndugu Masui Vicent Munda na ndugu Antidius Muchunguzi bila kuwasahau maafisa mawasiliano wetu akiwemo ndugu Felix Mwema na Bi Diana Richard.Mungu awabariki kwa kuitumikia vema TIT.

Aidha Jumuiya inawakaribisha watanzania mbalimbali walioko nchini Thailand au wanaotarajia kuja nchini Thailand kushirikiana na jumuiya yetu.

Umoja ni nguvu

Imetolewa na Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Thailand (TIT)

+66947230002/+66972494819

Mkutano Mkuu Ukiendelea

Mkutano Mkuu ukiendelea.

Baadhi ya Watanzania Waishio nchini Thailand

Baadhi ya Watanzania Waishio nchini Thailand.

Mkutanoni

Mkutanoni.

Timu ya Wadhamini wakisimamia Uchaguzi

Timu ya Wadhamini wakisimamia Uchaguzi.

Bw. Florean Akikabidhiwa keki ya kuzaliwa na Bi Lucy

Bw. Florean Akikabidhiwa keki ya kuzaliwa na Bi Lucy.

Ndugu Florean akimkabidhi Bi Magreth Zawadi kwa niaba ya Jumuiya

Ndugu Florean akimkabidhi Bi Magreth Zawadi kwa niaba ya Jumuiya.

Wanajumuiya Wakipata Chakula cha Pamoja

Wanajumuiya Wakipata Chakula cha Pamoja.

Watanzania Waishio Thailand wakipata chakula cha pamoja

Watanzania Waishio Thailand wakipata chakula cha pamoja.

Watanzania Waishio Thailand Wakiwa Katika Picha ya Pamoja

Watanzania Waishio Thailand Wakiwa Katika Picha ya Pamoja.

EPVI3455


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment