Hii ndo nchi ya demokrasia? nina makengeza
God created men in LOVE ,let us live with LOVE
On Saturday, October 17, 2015 4:50 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Ni haki kwa watanzania kubaki vituoni kusubiri matokeo. Lengo ni kujua matokeo na kujua kiongozi wako ngazi fulani na kujua mwelekeo wa kiongozi ambaye kura zake zinahitaji jumba toka sehemu nyingine.
Huko nyuma tumeshuhudia hayo. mara kadha nimekuwa nawapigia vijana wangu waliolala vituoni kutaka kujua nani kashinda.
Siku hizo makundi yote yalisimama na kusubiri matokeo. Aliposhinda wa chama fulani wote na wa chama kingine waliungana kushngilia.
Mwaka huu ni tofauti.
Kuna vyama vimetamka wazi kuwa hsi kwamba wanaenda kusubiri matokeo bali wanakwenda kulinda kura. Wanasema kama matokeo yataonesha chama chao kimeshindwa basi kura zao zimeibiwa. Hapa ndio Rais anasema hakuna kulinda kura. Maana yake kuna chama kikitangazwa kushindwa wakati wananchama walioshinda wamesimama pembeni basi hapo ngumi na mateke vinaanza. Wote tunajua kuwa rais anaendesha nchi kwa vyombo vya dola. Ni uelewa gani tena kuwa rais anatishiwa kushitakiwa ICC kwa sababu ya kutumia vyombo vyake vya dola. Kuna kila dalili kuwa kuna watanzania hawathamini tena nchi yao; uongozi wa nchi kwa kudhani kuwa watakwenda kulalamika ICC. WATU HAO WAMECHELEWA. hakuna kugombana. Hakuna kupigana. Wala hakuna kwenda ICC. Kama mtu anafikiri atawapiga mawe Polisi na wasifanywe lolote. HUU NAO NI UPUMBAVU MPYA.
--------------------------------------------
On Fri, 10/16/15, 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: [wanabidii] KIKWETE KAULI HATARI UCHAGUZI
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com, "WANA BIDII" <wanabidii@googlegroups.com>
Cc: "Wanazuoni - Informal Network of Tanzanian Intellectuals" <wanazuoni@yahoogroups.com>
Date: Friday, October 16, 2015, 11:42 AM
RAIS KIKWETE WANANCHI KULINDA KURA
UTAEPUKA KUSHTAKIWA
Na Ananilea Nkya
Uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumapili tarehe 25 Oktoba mwaka
huu 2015 huenda vyombo vya dola vikatumika kifisadi kupora
mamlaka ya wananchi kuchagua kiongozi
wanayemtaka katika ngazi ya Urais, ubunge na udiwani.
Hii ni kwa sababu Rais Kikwete siku
alipozima mwenge wa Uhuru huko Dodoma alitoa kauli
hatari kwamba vyombo vya dola
vitawashughulikia wananchi ambao watakuwa wako karibu na
vituo vya kura kulinda kura zao na kushuhudia
kuwa atakayeshinda atakuwa ameshinda kihalali na
siyo kwa 'goli la mkono' (wizi).
Kinachoshangaza Rais Kikwete ambaye pia ni mwenyekiti
wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametoa
kauli hii huku akijua wazi kuwa sheria ya
uchaguzi inawaruhusu wananchi kukaa mita 200 kutoka
kituo cha kupigia kura kwa lengo la kushuhudia upigaji
kura, kuhesabu kura na kutanga matokeo.
Vyama vya upinzani vikiwepo vinavyounda Umoja wa
Katiba ya Wananchi (UKAWA) –CHADEMA, CUF, NCCR-
Mageuzi na NLD ambavyo vimeamua
kusimamisha mgombea mmoja mmoja kwenye nafasi ya urais,
ubunge na udiwani vimekuwa
vikiwahimiza wananchi kulinda kura.
Kufuatia kauli hiyo ya Rais Kikwete wananchi
wanauliza: Rais ambaye anapaswa kuwa mlinzi namba moja
wa sheria za nchi inakuwaje ametoa kauli inayoashiria kuwa
anakusudia kuvunja sheria ya uchaguzi?
Wananchi wanauliza swali hili kwa sababu Rais
kutumia vyombo vya umma vinavyopaswa
kulinda usalama wa wananchi kama
vile jeshi la polisi au
jeshi la wananchi kunyanyasa wananchi
siku ya kupiga kura kinyume na sheria ya
uchaguzi ni sawa na kufanya ufisadi katika
mchakato wa kupata viongozi wa nchi.
Kufanya ufisadi huo siyo tu
ni kuvuruga amani na demokrasia ya
uchaguzi unaohusisha vyama vingi vya
siasa bali pia ni kukwamisha
juhudi za kukomesha umaskini unaowatafuna wananchi wengi
kutokana ambao chanzo chake ni ufisadi.
Rais Kikwete kutumia vibaya nguvu ya
kimamlaka aliyopewa na
umma kwa
kuagiza vyombo vya
dola kunyima wananchi kulinda kura
zao ni kutaka viongozi
wan chi yetu wapatikane kwa njia za ufisadi na wizi wa kura
na hivyo wakiingia madarakani wataendelea
ufisadi huo huo katika chaguzi zijazo.
Hii ni hatari kubwa kwa taifa kwa sababu madhara yake
ni makubwa kwa maendeleo ya nchi
yetu kudumu kwa amani ya kweli inayotokana
na haki kutendeka kwenye uchaguzi.
Ndiyo sababu wananchi wanauliza lengo
la Rais Kikwete lilikuwa ni nini kutaka
kuvunja sheria ya uchaguzi kama siyo anafanya
hivyo kuandaa mazingira ya kutekeleza azma
ya chama chake ---Chama cha Mapinduzi
(CCM) kutumia 'goli la mkono' kupata ushindi
kwa gharama yoyote kama wanavyozungumza kwenye majukwaa ya
kampeni?
Maswali haya ya wananchi yanatokana na ukweli
kwamba kauli ya Rais
Kikwete kuzuia wananchi kuwa karibu na
vituo vya kupiga kura kinyume na sheria ya
uchaguzi ilianza kutolewa kwa
msisitizo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC) Jaji mstaafu Damian Lubuva.
Lubuva alinukuliwa akihoji: "Tume inashangaa kwa
nini vyama vinang'ang'ania kubaki katika vituo vya
kupigia kura''.
Kadhalika, jambo linaloshangaza wananchi ni
kwamba hata Msajili wa vyama vya siasa ,
Jaji Francis Mutungi naye ameunga mkono uvunjaji huo wa
sheria ya uchaguzi kwa sababu badala ya
kumshauri Rais kufuta kauli yake hiyo , ameuunga
mkono.
Jaji Mutungu amenukuliwa akisema ''ni kweli sheria
imeruhusu wananchi kubaki katika kituo cha kupiga kura kwa
umbali wa mita 200, lakini sheria hiyo ina upungufu ambao
wameuona ndio maana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetoa
kauli hiyo ya kuwezesha uchaguzi kufanyika katika mazingira
ya amani''
Wananchi wanauliza kama sheria ya uchaguzi
ilikuwa na mapungufu ni kwa nini serikali haikuipeleka
Bungeni iweze kufanyiwa marekebisho kabla ya uchaguzi
wakati uchaguzi halikuwa jambo ghafla?
Kadhalika wananchi wanauliza: Rais Kikwete
pamoja na Jaji Lubuva na Jaji Mutungi wamepatwa na
nini gafla kiasi kwamba wameamua
kushabikia uvunjifu wa Katiba ya nchi na sheria ya
uchaguzi kunakoweka rehani amani, usalama na
heshima kubwa ambayo Tanzania imejijengea mbele ya mataifa?
Pengine kinachowafanya wananchi kuamini kuwa
huenda Rais
Kikwete na na CCM yake wanakusudia
kutumia 'goli la mkono' kupata viongozi wa
nchi yetu kwa kutumia ufisadi wa kura ni kwamba
Jaji Lubuva na Jaji Mutungi wote ni
mwanasheria waliobobea na kwa nyadhifa
zao wanapaswa kuitiii Jamhuri ya Muungano
kama walivyoapa siku walipoteuliwa kushika
nyadhifa hizo na siyo vinginevyo.
Kutii Jamhuri maana yake siyo kusema ndiyo
kwa kila analosema, kuagiza au analotaka Rais wa Jamhuri
yetu, bali ni kutumia busara na
kuheshimu kiapo cha utii kwa Jamhuri
kumshauri Rais kuepuka kutoa
kauli au kupanga mambo maovu
yanayoweza kufanya uchaguzi kultumbukiza nchi yetu
kwenye machafuko.
Hebu jiulize ni wanawake wangapi, watoto wangapi, wazee
wangapi na vijana wangapi wataathirika ikitokea hii kauli
hatari ya Rais Kikwete ikitekelezwa na nchi yetu ikakumbwa
na machafuko kwenye uchaguzi mwaka huu?
Rais Kikwete ajue kwamba kwa kauli alioyoitoa kama
atatekeleza hiyo azma yake ni lazima katika uchaguzi wa
mwaka huu kutokee umwagaji mkubwa wa damu kwa sababu kauli
yake imewafanya wananchi kuamini kuwa haki yao ya
kulinda kura inapokonywa na Rais kwa kuamua kuivunja sheria
ya uchaguzi.
Muhimu, wananchi hasa katika wakati huu
nchi inaelekea kwenye siku ya uchaguzi mkuu tarehe
25, wanategemea Jaji Lubuva kuonyesha
hekima, busara na ujasiri wa hali ya kuu kuhakikisha NEC
inasimamia na kutenda ili wananchi
waridhike kwa dhati kabisa kwamba haki imetendeka kwenye
uchaguzi maana bila haki kutendeka hakuna amani ya kweli nay
a kudumu Tanzania.
Aidha wananchi wanatarajia pia kuwa
wadau wakubwa wa amani vikiwepo vyombo vya habari na
hususan wahariri , viongozi wa dini zote, wakuu
wa vyombo vya usalama hususana jeshi la polisi
na jeshi la wananchi, viongozi wa vyama vya siasa,
mashirika ya kiraia NGOs mfano TAMWA, TGNP na LHRC
wasomi, wahanahakati na kila mtu mwenye nia njema na
Tanzania anachukua hatua bila
woga kumtahadharisha Rais Kikwete
kwamba kuvunja sheria ya uchaguzi kwa kuwazuia
wananchi kulinda kura zao ni ufisadi mbaya
utakaoigharimu nchi yetu .
Bila kumtaadharisha Rais Kikwete, ikitokea
vyombo vya dola vikapambana na wananchi walioamua kutumia
haki yao ya kisheria kulinda kura, Jaji
Lubuva na Mutungi hawatakwepa mkono wa sheria za
kimataifa kwa kushiriki jinai
ya kufisadi uchaguzi wa mwaka huu
kwa kuamua kuwasaidia watawala wa
CCM wanaotaka chama chao kung'ang'ania madaraka
kwa gharama yoyote hata kama kitakuwa
kimekataliwa na wananchi.
Tukumbuke kuwa kauli ya kwamba CCM itashinda kwa gharama
yoyote imekuwa ikitolewa na viongozi mbali mbali waandamizi
wa CCM akiwepo Katibu Mkuu wao, Abrahamani Kinana.
Hivi sasa baada ya Jaji Lubuva na Jaji
Mutungi kuungana na Rais Kikwete kutaka
kuvunja Katiba ya nchi yetu na
kukiuka sheria ya uchaguzi ili
kuwanyima wananchi haki ya kukaa karibu na
vituo vyao vya kura hadi mwisho kujua hatma ya
kura yao kumewafanya wananchi kuuliza :
Hivi Tanzania imebinafsishwa
lini na lini na
kugeuzwa kuwa mali binafsi ya
Rais Kikwete na watawala wachache wa
CCM kiasi kwamba wanaweza kufanya lolote
na Watanzania wengine wote hawana tena mamlaka juu ya
nchi yao?
Hivi Tanzania imebinafsishwa kwa
hivyo hivi sasa nchi hii ni
mali binafsi ya Rais KIkwete na
watawala wachache wa CCM kwa hivyo wanaweza
kufanya watakavyo na wananchi hawana tena mamlaka juu
ya nchi yao?
Wananchi wanauliza kama Tanzania
haijabinafsishwa kifisadi Rais Kikwete, Jaji Lubuva na
Jaji Mutungi wanapata wapi kile
Dakta Harrison Mwakyembe alichokiita 'jeuri ya
kifisadi' ya kutaka kuvunja sheria za
uchaguzi kuruhusu vyombo vya dola kunyanyasa
wananchi siku ya uchaguzi ili sauti ya umma inayotaka
mabadiliko ya uongozi isisikike kupitia sanduku huru
la kura?
Wananchi wanauliza maswali haya kwa sababu wanaona kauli
iliyotolewa na Rais Kikwete kwamba ataamuru vyombo vya
dola kushughulikia wananchi watakaokuwa karibu na vituo vya
kupigia kura na kisha kauli hiyo kushabikiwa na Jaji Lubuva
na Jaji Mutungi kunaashiria wanataka Tanzania
iingie kwenye balaa zililozikumba
nchi kadhaa za Afrika ikiwepo nchi
jirani ya Burundi.
Kwa Rais Kikwete kutaka kuivunja sheria ya uchaguzi
juu ya haki ya wananchi, tafsiri yake ni
kwamba anataka kuweka historia mbaya
ya kuingiza Tanzania kwenye machafuko kwa
kulaka kulazimisha CCM kubaki madarakani kwa
'goli la mkono' ambalo ni sawa ni sawa
na uhaini.
Je kwa Rais Kikwete kwa kutaka
kuvunja sheria ya uchaguzi inayoruhusu wananchi kukaa
mita 200 kutoka kituo cha uchaguzi anataka
kuwaambia Watanzania kuwa tarehe 25 Oktoba
2015 amejiandaa kutumia vyombo
vya dola kuwapora wananchi Watanzania mamlaka ya
kuamua nani awe kiongozi wao?
Kama Kikwete ndivyo anataka ni vema ajiandae kushtakiwa
kwenye mahakama ya Kimataifa ya makosa ya
jinai.
Akiamua kutekeleza jinai hiyo siyo tu atakuwa
amejidhalilisha mwenyewe na CCM yake bali pia Wanzania
wote na Tanzania ambayo inaheshimika
duniani kote kutokana na misingi ya haki na
kuheshimu wananchi kulikojengwa na muasisi wa taifa
hili Juliua Nyerere.
Lakini zaidi itakuwa ni aibu kwa CCM ambayo imeongoza
nchi hii miongo mitano kuonekana kuwa
serikali yake haikuanzisha vyama vingi kwa nia
ya dhali kuleta ushindani wa kisiasa kukomesha umaskini
unaotafuna mamilioni ya Watanzania.
Hii ni kwa sababu Rais wa serikali ya CCM kujaribu
kuvunja sheria ya uchaguzi kulazimisha
CCM kubaki madarakani ni kukataa mfumo wa vyama vingi
usifanye kazi kuondoa umaskini.
Huku ni kukataa mabadiliko wakati mmoja wa
waasisi mashuhuri wa CCM, Mzee Kingunge
Ngombale Mwiru ambaye ameamua kuondoka CCM kwa
tuhuma za kukiukwa kwa Kanuni na Katiba ya chama hicho
wakati wa mchakato wa kumpata mgombea urais, amekiri
hatadhani kuwa chama hicho sasa kimechoka, kimekosa
pumzi, uchumi wa nchi umekwama, kinakodisha
mavuvuzela kutukana watu , hivyo madadiliko ni
lazima mwaka huu 2015.
Lakini zaidi Rais Kikwete asipoacha kutekeleza kauli
yake atakuwa ameuthibitishia ulimwengu
kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi
ambazo wanazuoni Daron Acemoglu and James Robinson
kwenye kitabu chao ''Why Nations Fail ''
wanadai kwamba chanzo kundi
kubwa la wananchi kubaki maskini na kikundi kidogo cha
watawala kujajirika kufuru ni chama kinapokuwa
madarakani serikali kukataa mabadiliko ya
uongozi hivyo kutumia vibaya vyombo
vya dola kung'ang'ania madaraka.
Hii itakuwa ni aibu kwa CCM iliyoongoza Tanzania
miongo mitano kuonekana kuwa serikali yake
haikuanzisha vyama vingi vya siasa
kwa nia ya dhati ya kuleta ushindani wa kisiasa
kukomesha umaskini unaotafuna mamilioni ya Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Note: Nimeridhia yeyote anayetaka kuchapisha au kusambaza
andiko hili afanye hivyo. Tuwasiliane: ananilea_nkya@yahoo.com
Ananilea Nkya
E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Huko nyuma tumeshuhudia hayo. mara kadha nimekuwa nawapigia vijana wangu waliolala vituoni kutaka kujua nani kashinda.
Siku hizo makundi yote yalisimama na kusubiri matokeo. Aliposhinda wa chama fulani wote na wa chama kingine waliungana kushngilia.
Mwaka huu ni tofauti.
Kuna vyama vimetamka wazi kuwa hsi kwamba wanaenda kusubiri matokeo bali wanakwenda kulinda kura. Wanasema kama matokeo yataonesha chama chao kimeshindwa basi kura zao zimeibiwa. Hapa ndio Rais anasema hakuna kulinda kura. Maana yake kuna chama kikitangazwa kushindwa wakati wananchama walioshinda wamesimama pembeni basi hapo ngumi na mateke vinaanza. Wote tunajua kuwa rais anaendesha nchi kwa vyombo vya dola. Ni uelewa gani tena kuwa rais anatishiwa kushitakiwa ICC kwa sababu ya kutumia vyombo vyake vya dola. Kuna kila dalili kuwa kuna watanzania hawathamini tena nchi yao; uongozi wa nchi kwa kudhani kuwa watakwenda kulalamika ICC. WATU HAO WAMECHELEWA. hakuna kugombana. Hakuna kupigana. Wala hakuna kwenda ICC. Kama mtu anafikiri atawapiga mawe Polisi na wasifanywe lolote. HUU NAO NI UPUMBAVU MPYA.
--------------------------------------------
On Fri, 10/16/15, 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: [wanabidii] KIKWETE KAULI HATARI UCHAGUZI
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com, "WANA BIDII" <wanabidii@googlegroups.com>
Cc: "Wanazuoni - Informal Network of Tanzanian Intellectuals" <wanazuoni@yahoogroups.com>
Date: Friday, October 16, 2015, 11:42 AM
RAIS KIKWETE WANANCHI KULINDA KURA
UTAEPUKA KUSHTAKIWA
Na Ananilea Nkya
Uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumapili tarehe 25 Oktoba mwaka
huu 2015 huenda vyombo vya dola vikatumika kifisadi kupora
mamlaka ya wananchi kuchagua kiongozi
wanayemtaka katika ngazi ya Urais, ubunge na udiwani.
Hii ni kwa sababu Rais Kikwete siku
alipozima mwenge wa Uhuru huko Dodoma alitoa kauli
hatari kwamba vyombo vya dola
vitawashughulikia wananchi ambao watakuwa wako karibu na
vituo vya kura kulinda kura zao na kushuhudia
kuwa atakayeshinda atakuwa ameshinda kihalali na
siyo kwa 'goli la mkono' (wizi).
Kinachoshangaza Rais Kikwete ambaye pia ni mwenyekiti
wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametoa
kauli hii huku akijua wazi kuwa sheria ya
uchaguzi inawaruhusu wananchi kukaa mita 200 kutoka
kituo cha kupigia kura kwa lengo la kushuhudia upigaji
kura, kuhesabu kura na kutanga matokeo.
Vyama vya upinzani vikiwepo vinavyounda Umoja wa
Katiba ya Wananchi (UKAWA) –CHADEMA, CUF, NCCR-
Mageuzi na NLD ambavyo vimeamua
kusimamisha mgombea mmoja mmoja kwenye nafasi ya urais,
ubunge na udiwani vimekuwa
vikiwahimiza wananchi kulinda kura.
Kufuatia kauli hiyo ya Rais Kikwete wananchi
wanauliza: Rais ambaye anapaswa kuwa mlinzi namba moja
wa sheria za nchi inakuwaje ametoa kauli inayoashiria kuwa
anakusudia kuvunja sheria ya uchaguzi?
Wananchi wanauliza swali hili kwa sababu Rais
kutumia vyombo vya umma vinavyopaswa
kulinda usalama wa wananchi kama
vile jeshi la polisi au
jeshi la wananchi kunyanyasa wananchi
siku ya kupiga kura kinyume na sheria ya
uchaguzi ni sawa na kufanya ufisadi katika
mchakato wa kupata viongozi wa nchi.
Kufanya ufisadi huo siyo tu
ni kuvuruga amani na demokrasia ya
uchaguzi unaohusisha vyama vingi vya
siasa bali pia ni kukwamisha
juhudi za kukomesha umaskini unaowatafuna wananchi wengi
kutokana ambao chanzo chake ni ufisadi.
Rais Kikwete kutumia vibaya nguvu ya
kimamlaka aliyopewa na
umma kwa
kuagiza vyombo vya
dola kunyima wananchi kulinda kura
zao ni kutaka viongozi
wan chi yetu wapatikane kwa njia za ufisadi na wizi wa kura
na hivyo wakiingia madarakani wataendelea
ufisadi huo huo katika chaguzi zijazo.
Hii ni hatari kubwa kwa taifa kwa sababu madhara yake
ni makubwa kwa maendeleo ya nchi
yetu kudumu kwa amani ya kweli inayotokana
na haki kutendeka kwenye uchaguzi.
Ndiyo sababu wananchi wanauliza lengo
la Rais Kikwete lilikuwa ni nini kutaka
kuvunja sheria ya uchaguzi kama siyo anafanya
hivyo kuandaa mazingira ya kutekeleza azma
ya chama chake ---Chama cha Mapinduzi
(CCM) kutumia 'goli la mkono' kupata ushindi
kwa gharama yoyote kama wanavyozungumza kwenye majukwaa ya
kampeni?
Maswali haya ya wananchi yanatokana na ukweli
kwamba kauli ya Rais
Kikwete kuzuia wananchi kuwa karibu na
vituo vya kupiga kura kinyume na sheria ya
uchaguzi ilianza kutolewa kwa
msisitizo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC) Jaji mstaafu Damian Lubuva.
Lubuva alinukuliwa akihoji: "Tume inashangaa kwa
nini vyama vinang'ang'ania kubaki katika vituo vya
kupigia kura''.
Kadhalika, jambo linaloshangaza wananchi ni
kwamba hata Msajili wa vyama vya siasa ,
Jaji Francis Mutungi naye ameunga mkono uvunjaji huo wa
sheria ya uchaguzi kwa sababu badala ya
kumshauri Rais kufuta kauli yake hiyo , ameuunga
mkono.
Jaji Mutungu amenukuliwa akisema ''ni kweli sheria
imeruhusu wananchi kubaki katika kituo cha kupiga kura kwa
umbali wa mita 200, lakini sheria hiyo ina upungufu ambao
wameuona ndio maana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetoa
kauli hiyo ya kuwezesha uchaguzi kufanyika katika mazingira
ya amani''
Wananchi wanauliza kama sheria ya uchaguzi
ilikuwa na mapungufu ni kwa nini serikali haikuipeleka
Bungeni iweze kufanyiwa marekebisho kabla ya uchaguzi
wakati uchaguzi halikuwa jambo ghafla?
Kadhalika wananchi wanauliza: Rais Kikwete
pamoja na Jaji Lubuva na Jaji Mutungi wamepatwa na
nini gafla kiasi kwamba wameamua
kushabikia uvunjifu wa Katiba ya nchi na sheria ya
uchaguzi kunakoweka rehani amani, usalama na
heshima kubwa ambayo Tanzania imejijengea mbele ya mataifa?
Pengine kinachowafanya wananchi kuamini kuwa
huenda Rais
Kikwete na na CCM yake wanakusudia
kutumia 'goli la mkono' kupata viongozi wa
nchi yetu kwa kutumia ufisadi wa kura ni kwamba
Jaji Lubuva na Jaji Mutungi wote ni
mwanasheria waliobobea na kwa nyadhifa
zao wanapaswa kuitiii Jamhuri ya Muungano
kama walivyoapa siku walipoteuliwa kushika
nyadhifa hizo na siyo vinginevyo.
Kutii Jamhuri maana yake siyo kusema ndiyo
kwa kila analosema, kuagiza au analotaka Rais wa Jamhuri
yetu, bali ni kutumia busara na
kuheshimu kiapo cha utii kwa Jamhuri
kumshauri Rais kuepuka kutoa
kauli au kupanga mambo maovu
yanayoweza kufanya uchaguzi kultumbukiza nchi yetu
kwenye machafuko.
Hebu jiulize ni wanawake wangapi, watoto wangapi, wazee
wangapi na vijana wangapi wataathirika ikitokea hii kauli
hatari ya Rais Kikwete ikitekelezwa na nchi yetu ikakumbwa
na machafuko kwenye uchaguzi mwaka huu?
Rais Kikwete ajue kwamba kwa kauli alioyoitoa kama
atatekeleza hiyo azma yake ni lazima katika uchaguzi wa
mwaka huu kutokee umwagaji mkubwa wa damu kwa sababu kauli
yake imewafanya wananchi kuamini kuwa haki yao ya
kulinda kura inapokonywa na Rais kwa kuamua kuivunja sheria
ya uchaguzi.
Muhimu, wananchi hasa katika wakati huu
nchi inaelekea kwenye siku ya uchaguzi mkuu tarehe
25, wanategemea Jaji Lubuva kuonyesha
hekima, busara na ujasiri wa hali ya kuu kuhakikisha NEC
inasimamia na kutenda ili wananchi
waridhike kwa dhati kabisa kwamba haki imetendeka kwenye
uchaguzi maana bila haki kutendeka hakuna amani ya kweli nay
a kudumu Tanzania.
Aidha wananchi wanatarajia pia kuwa
wadau wakubwa wa amani vikiwepo vyombo vya habari na
hususan wahariri , viongozi wa dini zote, wakuu
wa vyombo vya usalama hususana jeshi la polisi
na jeshi la wananchi, viongozi wa vyama vya siasa,
mashirika ya kiraia NGOs mfano TAMWA, TGNP na LHRC
wasomi, wahanahakati na kila mtu mwenye nia njema na
Tanzania anachukua hatua bila
woga kumtahadharisha Rais Kikwete
kwamba kuvunja sheria ya uchaguzi kwa kuwazuia
wananchi kulinda kura zao ni ufisadi mbaya
utakaoigharimu nchi yetu .
Bila kumtaadharisha Rais Kikwete, ikitokea
vyombo vya dola vikapambana na wananchi walioamua kutumia
haki yao ya kisheria kulinda kura, Jaji
Lubuva na Mutungi hawatakwepa mkono wa sheria za
kimataifa kwa kushiriki jinai
ya kufisadi uchaguzi wa mwaka huu
kwa kuamua kuwasaidia watawala wa
CCM wanaotaka chama chao kung'ang'ania madaraka
kwa gharama yoyote hata kama kitakuwa
kimekataliwa na wananchi.
Tukumbuke kuwa kauli ya kwamba CCM itashinda kwa gharama
yoyote imekuwa ikitolewa na viongozi mbali mbali waandamizi
wa CCM akiwepo Katibu Mkuu wao, Abrahamani Kinana.
Hivi sasa baada ya Jaji Lubuva na Jaji
Mutungi kuungana na Rais Kikwete kutaka
kuvunja Katiba ya nchi yetu na
kukiuka sheria ya uchaguzi ili
kuwanyima wananchi haki ya kukaa karibu na
vituo vyao vya kura hadi mwisho kujua hatma ya
kura yao kumewafanya wananchi kuuliza :
Hivi Tanzania imebinafsishwa
lini na lini na
kugeuzwa kuwa mali binafsi ya
Rais Kikwete na watawala wachache wa
CCM kiasi kwamba wanaweza kufanya lolote
na Watanzania wengine wote hawana tena mamlaka juu ya
nchi yao?
Hivi Tanzania imebinafsishwa kwa
hivyo hivi sasa nchi hii ni
mali binafsi ya Rais KIkwete na
watawala wachache wa CCM kwa hivyo wanaweza
kufanya watakavyo na wananchi hawana tena mamlaka juu
ya nchi yao?
Wananchi wanauliza kama Tanzania
haijabinafsishwa kifisadi Rais Kikwete, Jaji Lubuva na
Jaji Mutungi wanapata wapi kile
Dakta Harrison Mwakyembe alichokiita 'jeuri ya
kifisadi' ya kutaka kuvunja sheria za
uchaguzi kuruhusu vyombo vya dola kunyanyasa
wananchi siku ya uchaguzi ili sauti ya umma inayotaka
mabadiliko ya uongozi isisikike kupitia sanduku huru
la kura?
Wananchi wanauliza maswali haya kwa sababu wanaona kauli
iliyotolewa na Rais Kikwete kwamba ataamuru vyombo vya
dola kushughulikia wananchi watakaokuwa karibu na vituo vya
kupigia kura na kisha kauli hiyo kushabikiwa na Jaji Lubuva
na Jaji Mutungi kunaashiria wanataka Tanzania
iingie kwenye balaa zililozikumba
nchi kadhaa za Afrika ikiwepo nchi
jirani ya Burundi.
Kwa Rais Kikwete kutaka kuivunja sheria ya uchaguzi
juu ya haki ya wananchi, tafsiri yake ni
kwamba anataka kuweka historia mbaya
ya kuingiza Tanzania kwenye machafuko kwa
kulaka kulazimisha CCM kubaki madarakani kwa
'goli la mkono' ambalo ni sawa ni sawa
na uhaini.
Je kwa Rais Kikwete kwa kutaka
kuvunja sheria ya uchaguzi inayoruhusu wananchi kukaa
mita 200 kutoka kituo cha uchaguzi anataka
kuwaambia Watanzania kuwa tarehe 25 Oktoba
2015 amejiandaa kutumia vyombo
vya dola kuwapora wananchi Watanzania mamlaka ya
kuamua nani awe kiongozi wao?
Kama Kikwete ndivyo anataka ni vema ajiandae kushtakiwa
kwenye mahakama ya Kimataifa ya makosa ya
jinai.
Akiamua kutekeleza jinai hiyo siyo tu atakuwa
amejidhalilisha mwenyewe na CCM yake bali pia Wanzania
wote na Tanzania ambayo inaheshimika
duniani kote kutokana na misingi ya haki na
kuheshimu wananchi kulikojengwa na muasisi wa taifa
hili Juliua Nyerere.
Lakini zaidi itakuwa ni aibu kwa CCM ambayo imeongoza
nchi hii miongo mitano kuonekana kuwa
serikali yake haikuanzisha vyama vingi kwa nia
ya dhali kuleta ushindani wa kisiasa kukomesha umaskini
unaotafuna mamilioni ya Watanzania.
Hii ni kwa sababu Rais wa serikali ya CCM kujaribu
kuvunja sheria ya uchaguzi kulazimisha
CCM kubaki madarakani ni kukataa mfumo wa vyama vingi
usifanye kazi kuondoa umaskini.
Huku ni kukataa mabadiliko wakati mmoja wa
waasisi mashuhuri wa CCM, Mzee Kingunge
Ngombale Mwiru ambaye ameamua kuondoka CCM kwa
tuhuma za kukiukwa kwa Kanuni na Katiba ya chama hicho
wakati wa mchakato wa kumpata mgombea urais, amekiri
hatadhani kuwa chama hicho sasa kimechoka, kimekosa
pumzi, uchumi wa nchi umekwama, kinakodisha
mavuvuzela kutukana watu , hivyo madadiliko ni
lazima mwaka huu 2015.
Lakini zaidi Rais Kikwete asipoacha kutekeleza kauli
yake atakuwa ameuthibitishia ulimwengu
kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi
ambazo wanazuoni Daron Acemoglu and James Robinson
kwenye kitabu chao ''Why Nations Fail ''
wanadai kwamba chanzo kundi
kubwa la wananchi kubaki maskini na kikundi kidogo cha
watawala kujajirika kufuru ni chama kinapokuwa
madarakani serikali kukataa mabadiliko ya
uongozi hivyo kutumia vibaya vyombo
vya dola kung'ang'ania madaraka.
Hii itakuwa ni aibu kwa CCM iliyoongoza Tanzania
miongo mitano kuonekana kuwa serikali yake
haikuanzisha vyama vingi vya siasa
kwa nia ya dhati ya kuleta ushindani wa kisiasa
kukomesha umaskini unaotafuna mamilioni ya Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Note: Nimeridhia yeyote anayetaka kuchapisha au kusambaza
andiko hili afanye hivyo. Tuwasiliane: ananilea_nkya@yahoo.com
Ananilea Nkya
E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment