Muhingo, je ccm wanaweza chagua mtu asiyekuwa na chama kuwakilisha? Au wakachagua mtu wa chama kingine Mfano wakimchagua tundu lissu atakubalika?
On Nov 14, 2015 9:26 PM, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
-- Ni lazima ateuliwe na chama cha siasa. Chama chaweza kumteua mtu ambaye si mwanachama wake? Ni sahihi mtu kama huyo kuwakilisha chama. Anaweza kutumwa tu.
--------------------------------------------
On Sat, 11/14/15, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] DK.TULIA ACKSON HUFAI KUENDELEA KUWA NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Saturday, November 14, 2015, 9:10 PM
Kwa elimu
yake na weledi wake sidhani kama amekurupuka, nimuulize
happy kuwania uspika lazima uwe mwanachama wa chama cha
siasa?
On Nov 14, 2015 8:50 PM, "'ELISA MUHINGO' via
Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
>
> Naweza kukitafsiri kitendo hicho kuwa huyu sio mwanaCCM
bali katumwa na maadui wa CCM kufanya hiv yo. Kama haitoshi
naweza kutoa maelezo lakini nadhani nimeeleweka.
> --------------------------------------------
> On Sat, 11/14/15, 'Happiness Katabazi' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
>
> Subject: [wanabidii] DK.TULIA ACKSON HUFAI KUENDELEA
KUWA NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
> To: "WANABIDII" <wanabidii@googlegroups.com>
> Date: Saturday, November 14, 2015, 6:28 PM
>
>
>
>
>
> DK.TULIA
> ACKSON HUFAI KUENDELEA KUWA NAIBU MWANASHERIA MKUU
WA
> SERIKALI
>
> Na
> Happiness Katabazi
> NAIBU
> Mwanasheria Mkuu wa Serikali ,Dk.Tulia Ackson
Novemba
> 11 Mwaka huu, amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya
Spika
> kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM).
> Ieleweke
> kwamba Cheo cha Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali ni
Cheo
> Che kiutendaji na hivyo anayeshikilia Cheo hicho ni
mtumishi
> wa Umma kwa maana Kuwa ni Wakili wa Serikali ambaye
Sheria
> ya Utumishi wa Umma ha imruhusu Kuwa mwanasiasa
wala
> kujiunga na vyama vya Vya siasa.
> Lakini
> Dk.Tulia amejidhihirisha wazi Kuwa licha ni mtumishi
wa umma
> mwenye Cheo cha juu serikali ni mwanasiasa wa CCM.
Na
> Watendaji wa idara za Utoaji wa Haki kama Wanasheria
wa
> serikali, Mahakimu na Majaji hawapaswi Kuwa wanasiasa
wala
> kujiunga na vyama Vya siasa kwa Sababu ya kukwepa
kukosa
> kuaminiwa na umma Kuwa hawawezi Kutenda haki
> .
> Naibu
> Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk.Tulia alipoenda
kuchukua
> fomu ya Uspika mapema wiki hii ametudhihirishia yeye
ni
> mwanasiasa na wakati huo huo ni mtumishi wa umma .
> Ni
> wazi hafai kuendelea kushika Cheo hicho endapo
akikosa
> Uspika kwasababu Tayari Utendaji wake umeanza
kutiliwa
> Mashaka Kuwa hawezi Kutenda Haki kwa wananchi
ambao
> siyo wana CCM na ukweli ni kwamba amepoteza
'
> Public Confidence'.
> Ibara
> ya 21(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
ya
> mwaka 1977, inatoa haki kwa wananchi wake ya
kuchagua,
> kuchaguliwa,au kuteuliwa kushiriki katika shughuli
za
> utawala".
> Hivyo Dk. Ackson ambaye ni miongoni
> mwa wagombea Nafasi ya Uspika kupitia Chama cha
> Mapinduzi(CCM) , Ana Haki hiyo ya Kikatiba ya
Kugombea
> nafasi hiyo ya Uspika licha ni Mtumishi wa serikali
tena
> Mwandamizi.
> Itakumbukwa
> Kuwa Septemba 9 Mwaka huu, Rais Mstaafu Jakaya
Kikwete
> alimteua Dk, Ackson Kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa
> Serikali.Kabla ya kuteuliwa kushika wadhifa huo
ambao
> anaushikiria hadi sasa alikuwa ni Mhadhiri wa Sheria
wa Chuo
> Kikuu cha Dar Es Salaam.
> Dk.Ackson
> kwa sasa siyo Mbunge ila anagombea nafasi ya
Spika
> kwasababu Ibara ya 84(1) ya Katiba ya nchi
> inatoa haki kwa mwananchi kugombea nafasi hiyo ya
uspika
> hata kama siyo Mbunge na inasomeka hivi ;
> "
> Kutakuwa na Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa
na
> Wabunge kutoka miongoni mwa watu ambao ni Wabunge au
wenye
> sifa za kuwa Wabunge; atakuwa ndiye kiongozi wa Bunge
na
> atawakilisha Bunge katika vyombo na vikao vingine
vyote nje
> ya Bunge."..
> Nimelazimika
> kuandika makala hii Leo kwasababu uamuzi wa
Dk.Ackson
> Kugombea nafasi ya Uspika wakati akiwa na wadhifa wa
Naibu
> Mwanasheria Mkuu wa serikali ambaye Moja ya jukumu
la
> Mwanasheria Mkuu wa serikali kuishauri serikali
Katika
> masuala yote ya Sheria.
> Kwanza
> napenda kumpongeza Dk.Ackson kwa kuteuliwa Naibu
Mwanasheria
> Mkuu wa serikali mwanamke mwanamke wa kwanza Tanzania
tena
> mwenye umri Mdogo .Hongera sana .
> Pili
> nampongeza kwa ujasiri wake wa kuamua kujianika
hadharani
> bila kujali madaraka makubwa aliyonayo wala miiko ya
Kazi
> yake ya Mwanasheria wa Serikali Kuwa yeye ni
> Mwanachama wa CCM na mwanasiasa.
> Tatu
> nampongeza Dk.Acksonkwa uwazi wake wa kuamua
Kugombea
> nafasi ya Uspika ikiwa ni siku Chache tu tangu
alipoteuliwa
> Kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Septemba 9
Mwaka
> huu. Hatari sana.
> Nne,
> Nampongeza sana Dk.Ackson kwa kuchukua fomu ya
Uspika
> kwasababu ni wazi sasa umedhiirishia umma Kuwa hiyo
Nafasi
> ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ,haitaki na
Cheo
> hicho ni kidogo sana kwake hivyo unataka Cheo
kingine
> kikubwa Uspika.Yangu macho.
> Tuelezane
> ukweli ,licha Dk.Ackson Ana Haki ya Kugombea
nafasi
> hiyo nanina mgombea ashinde licha kwa
asilimia
> 99 hawezi kushinda nafasi ya Spika .Na ikitokea
Akakosa hiyo
> nafasi umma hasa vyama Vya upinzani utamwamini
tena
> Katika Utendaji wake?
> Maana
> siyo Siri Dk.Ackson alipoenda kuchukua fomu
Tayari
> Yale maneno yaliyokuwa yakisemwa na wapinzani Kuwa
Ofisi ya
> Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ina baadhi ya Wanasheria
wa
> serikali wanatumiwa na CCM kwa maslahi ya CCM
licha
> wapinzani Hao hawakuwahi kutoa vielelezo
vinavyoonyesha ni
> Mwanasheria yupi wa serikali ni Mwana CCM.
> Lakini
> kupitia Mgombea Uspika ambaye ni Naibu Mwanasheria
Mkuu wa
> Serikali sasa wapinzani wamepata ushahidi Kuwa
Naibu
> Mwanasheria Mkuu wa serikali ambaye ni mtumishi
Mwandamizi
> wa serikali Mwana CCM na uthibitisho ni kwamba
> ametumia Kadi yake ya uaachama wa CCM kwenda Kugombea
nafasi
> ya Uspika.
> Hivyo
> ni wazi sasa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
hivi sasa
> imebaki Ukitazamwa ndivyo sivyo kwasababu ya Naibu
> Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenda Kugombea nafasi
ya
> Uspika kwa tiketi ya CCM .
> Kama
> hivyo ndivyo, huyu Dk.Ackson uchaguzi wa Spika
> ukimalizika na ikatokea akashindwa hivi akirudi
ofisini
> kwake wananchi tutakuwa tunamtazamaje zaidi ya kubaki
na
> hisia na maswali dhidi yake Kuwa hawezi Kutenda Haki
sawa
> kwa wote kwasababu Tayari ameishaonyesha yeye ni
Mwanachama
> wa CCM wakati hapaswi Kuwa mwanasiasa ?
> Uchaguzi
> Mkuu umekwisha ,Kesi za kupinga Matokeo ya Ubunge
lazima
> zitafunguliwa Katika baadhi ya Mahakama zetu na Kesi
hizo
> mdaiwa wa kwanza ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali,
mbunge
> aliyeshinda na Msimamizi Wa uchaguzi.
> Enzi
> zake Mwanasheria Mkuu wa sasa George Masaju akiwa na
wadhifa
> wa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikuwa
akienda
> Mahakamani Mwenyewe kuiwakilisha serikali pindi
> iliposhitakiwa au serikali ilipofungua Kesi dhidi ya
mtu,au
> Taasisi Fulani.
> Hata
> sasa hivi Mwanasheria Mkuu wa serikali hazuiwi
kwenda
> mahakamani kuendesha baadhi ya Kesi ila kutokana na
jukumu
> zito anaamua kukasimu majukumu Mawakili wa serikali
na
> Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
> Na
> Mfano hai ni Oktoba Mwaka huu, Kada wa Chadema
alifungua
> Kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
akiomba
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar Es Salaam itoe Tafsiri ya
mita 200
> Katika Kesi maarufu ya mita 200 .
> Masaju
> alimtwisha jukumu hiyo Naibu wake Dk.Tulia na
Wanasheria
> wengine wa serikali kwenda kutetea Kesi hiyo hiyo
na
> hatimaye walishinda.
> Swali
> langu Je , itokee siku aliyekuwa mgombea Ubunge wa
vyama Vya
> upinzani Kufungua Kesi ya kupinga Ubunge wa Mbunge wa
CCM
> halafu Dk.Ackson aende kuitetea hiyo Kesi
> mahakamani.
> Je
> Yule mlalamikaji ambaye alikuwa mgombea toka vyama
Vya
> upinzani akiiambia Mahakama Kuwa Hana Imani na
> Dk.Ackson Katika Kesi hiyo kwasababu ni Kada wa CCM
na
> hivyo hatoweza kusaidia Mahakama Kutenda Haki
Atakuwa
> amekosea?
> Sina
> Chuki na Dk.Ackson na sina Sababu ya Kujenga
Chuki
> naye ,ila tu napenda kumweleza kijana mwenzangu Kuwa
Kabla
> ya kuchukua uamuzi aliouchukua wa Kugombea Uspika
> akijitafakari kwanza yeye kwasasa ni nani?Ana
wadhifa
> gani?Anafahamu Jamii itamtafsiri vipi?
> Je
> anapoenda Kugombea Uspika awe na uhakika Kuwa
atashinda na
> asiposhinda basi atakuwa amejipunguzia asilimia
za
> kutoaminiwa Katika suala zima za Utoaji Haki hasa
Katika
> vyombo vyetu Vya Sheria hata kama Atakuwa anatenda
Haki
> kweli kwasababu Tayari ameishauthibitishia umma yeye
ni
> Mwanachama wa Chama Fulani.
> Hivi
> Leo hii itokee Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni
mgonjwa au
> amesafiri nje ya nchi au amefariki ghafla na hivyo
> kusababisha Naibu Mwanasheria wa Serikali Dk.Tulia
kukaimu
> Nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali ,awe Bungeni
anatoa
> ushauri wa kisheria ndani ya Bunge kuhusu muswaada
Fulani au
> jambo Fulani ambalo wabunge wa upinzani hawalitaki
hata kama
> ni kweli Dk.Tulia yupo sahihi kisheria, wale Wabunge
wa
> upinzani wakiamua kumpinga kwa Kigezo yeye anatetea
huo
> muswaada kwasababu pia ni Mwanachama wa CCM, at
akasirika au
> sisi wananchi na viongozi wa serikali hiyo Hali
> watachukuliaje?
> Kwa
> mujibu wa Ibara ya 59(5) ya Katiba ya nchi
inasema
> Mwanasheria Mkuu atakuwa Mbunge kutokana na
wadhifa
> .
> Ibara
> hiyo haijasema Mwanasheria Mkuu wa serikali atakuwa
mbunge
> wa
> Chama Fulani cha siasa.
> Ieleweke
> kwamba uteuzi wa Dk.Ackson ulizua
minong'ono
> na maswali mengi chini kwa chini kutoka Katika Kada
ya
> Wanasheria hasa wa serikali licha ana elimu nzuri
licha tu
> hajawahi Kuwa Wakili wa serikali na Hana udhoefu
wa
> uendeshaji wa Mashitaka.
> Baadhi
> ya watu wa Kada ya Sheria Walisema licha Rais anayo
mamlaka
> ya Kumteua mtu yoyote kushika wadhifa wowote
,Walisema
> aikuwa busara kwa Rais Kikwete kuacha kuteua
> Mawakili wa serikali kushika Nafasi ya Naibu
Mwanasheria
> Mkuu wa Serikali na kwenda kumteua Dk.Ackson
ambaye
> hata miiko ya ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali
hajaijua
> .
> Kumbe
> sasa wale waliokuwa wakipata Mashaka kuhusu Utendaji
wa
> Dk.Ackson kwa upande Fulani sasa tunaweza Kusema
walikuwa
> sahihi kwasababu kitendo cha Dk.Ackson Kugombea
nafasi ya
> Uspika wakati yeye ni mtumishi wa umma na hapaswi
Kuwa
> mwanasiasa tena katika kipindi kifupi tu ni dhahiri
sasa
> miiko ya Kazi yake haifahamu na hakutaka kuifahamu
> akaamua kukurupuka na kufanya hicho
alichokifanya
> ambacho kimesababisha watu kutulia mashaka
utendaji
> wake.Aibu sana.
> Kuna
> taarifa zisizo rasmi Kuwa Dk.Ackson ametumwa kwa
makusudi na
> kiongozi mmoja Mwanamke ambaye ni Waziri na ana
nafasi kubwa
> ndani ya CCM agombee nafasi hiyo ili aende
kuwaganya
> kura za baadhi ya wagombea Uspika ambao ni tisho kwa
hao
> waliomtuma Dk.Ackson.
> Kwa
> Kuwa sina ushahidi na taarifa hizo Mimi nitabaki
kuamini
> Dk.Ackson amegombea Uspika bila kutumwa na mtu.
> Ila
> taarifa hizo ziwe za kweli au siyo za uzushi,
> zinazidi kujengea Mashaka Utendaji wa Dk.Ackson
> kutokana na Cheo Chake na yote hayo yanampata na
yatazidi
> kumpata kwasababu ameamua kuingia Kwenye siasa
> ,asingeingia huko yasingemfika.
>
> Hakuna
> ubishi Kuwa Dk.Ackson kwa kitendo chake cha
kugombea
> uspika licha ana haki ya Kikatiba kugombea,
amedhihirisha
> kuwa yeye ana papara ya kupata madaraka makubwa tena
kwa
> vipindi vifupivifupi ili Hali bado Ana umri Mdogo.
> Ushahidi
> ni huu Septemba 9 kateuliwa na Rais Mstaafu Kikwete
kuwa
> Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Novemba 11
Mwaka huu,
> kachukua fomu ya Kugombea Uspika.
> Hivi
> tukisema Dk.Ackson ameudharau,aupendi na autaki
uteuzi
> Rais Kikwete wa alipomteua yeye Kuwa Naibu
Mwanasheria
> Mkuu wa serikali tutakuwa Tunakosea?
> Maana
> Aiingii akilini kwa Kipindi kifupi hicho
alichoteuliwa
> kushika nafasi hiyo nzito serikali halafu aamue
kwenda
> kuwania nafasi ya Uspika halafu tuache kuamini
kuwa
> Dk.Ackson ile nafasi ya Naibu Mwanasheria Mkuu
wa
> Serikali anaipenda?
> Aipendi
> na ninatabiri anaweza asidumu Katika wadhifa huo kwa
muda
> mrefu kwasababu Tayari ameishaonyesha wazi Ana tamaa
ya
> kupata madaraka makubwa kwa harakahara na hataki
kujifunza
> Kazi kutoka Kwa waiomtangulia na akae akijua baadhi
ya
> watendaji wake wa chini wamekerwa na yeye kiongozi
wao
> kujiingiza Kwenye siasa wakati haruhusiwi Kuwa
Mwanachama wa
> Chama cha siasa.
> Hivi
> wewe Dk.Ackson kama umegombea Uspika sasa
,nikuulize
> Je umepata muda saa ngapi ya kukaa na Mawakili wa
serikali
> wakawa wana kufundisha jinsi ya kuendesha hiyo Ofisi
na wewe
> ukapata uzoefu ?
> Ni
> wazi bado unaitaji kupikwa na Wanasheria wa serikali
ili
> uive lakini ni wazi sasa umeonyesha hata huo muda
wa
> kukaa kitako upikwe na watangulizi wako katika hiyo
ofisi ya
> Mwanasheria Mkuu wa serikali huna unawaza Kugombea
madaraka
> ya kisiasa.Huzuni.
> Minakushauri,
> kuliko kuendelea kushikilia nafasi ya Naibu
Mwanasheria Mkuu
> wa serikali wakati matamanio yako ni Kugombea Uspika
na
> siasa, ni vyema ungeandika barua ya kujihudhuru
wadhifa huo
> mapema ili Rais mpya Dk.John Magufuli ateue mtu
mwingine
> ambaye kwanza ana uzoefu na kazi ya wakili wa
serikali
> ambaye akili zake zimetulia,maana wewe bado hujatulia
ili
> afanyekazi.
> Wewe
> Dk,Ackson tayari umeishaonekana mguu mmoja upo
Ofisi
> ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mguu mwingine upo
CCM
> Kugombea madaraka makubwa ya kisiasa.
> Sasa
> mtu wa aina ya Dk. Tulia ni wazi Utendaji wake
katika
> madaraka aliyonayo hautakuwa mzuri maana muda mwingi
atakuwa
> fikra za kupanga mikakati ya jinsi ya kupata nafasi
nyingine
> kubwa zaidi ya hiyo tena kwa chap chap.
> Dk.Tulia
> unapaswa utambue jambo Moja Kuwa wanasiasa siyo watu
wa
> kuaminika sana.Wakikupa ushauri wa kufanya jambo
lolote hata
> hili la Kugombea Uspika ulitakiwa ulitafakari sana
kwamba
> endapo ukikosa nafasi hiyo wewe hadhi yako Mbele ya
Jamii
> inakuwaje.
> Umeanza
> kutiliwa Mashaka na baadhi ya Jamii,lakini
waliokushauri
> ugombee Uspika hawatakusaidia kuminya fikra za watu
na
> baadhi ya watendaji wako wasikuone wewe ufahai
tena
> kuendelea Kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali
kwa
> kitendo Chako cha Kugombea Uspika kupitia CCM licha
siyo
> kosa la jinai.
> Niitimishe
> kwa Kusema Kuwa Dk.Ackson endapo ukikosa nafasi ya
Spika
> ,hufai kuendelea Kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa
Serikali
> kwasababu Tayari umeonyesha wewe ni mwanasiasa
hivyo
> Utendaji wako unatiliwa Mashaka.
> Pia
> nakushauri acha pupa ya kuwania madaraka ili Hali
wewe
> ni msomi na bado ni binti Mdogo sana licha una elimu
kubwa
> lakini bado unaitaji kuelewa,kupikwa na
waliokutangulia na
> wenye uzoefu Katika eneo la Mawakili wa Serikali
,siasa
> utafanikiwa.
> Au
> kama fikra na moyo wako hautaki uendelee Kuwa na
Cheo
> cha Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ,zinakutuma
kwenda
> kufanya siasa ni vyema basi ukaomba Kibali cha
kumuona Rais
> Magufuli ili umeombe akutoe Katika Cheo hicho au
wewe
> Mwenyewe andika barua ujiudhuru kuliko kufanya
hili
> uliofanya ambalo linakatazwa kabisa Kuwa
Mwanasheria
> wa serikali Kuwa mwanasiasa lakini wewe mwenzetu bila
woga
> tena hadharani umeonyesha wewe ni mwanasiasa wakati
huo huo
> ni mtumishi wa umma.
> Dk.Ackson
> nakupenda ebu punguza kasi kidogo ya matamanio ya
kupata
> madaraka inakusaidia Kwani Mtaka yote ukosa yote
Waswahili
> Walisema.Nakutakia kila la kheri Katika mbiyo zako
za
> Uspika.
> Mungu
> ibariki Tanzania
> Chanzo:
> Blogg: www.katabazihappy.blogspot.comFacebook:
> Happy Katabazi0716 77449414/11/2015
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
> Sent from my iPad
>
>
>
> --
>
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
> kudhibitisha ukishatuma
>
>
>
> Disclaimer:
>
> Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
> for any legal consequences of his or her postings,
and hence
> statements and facts must be presented responsibly.
Your
> continued membership signifies that you agree to
this
> disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
>
> ---
>
> You received this message because you are subscribed
to the
> Google Groups "Wanabidii" group.
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
> from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility for any legal consequences of his or her
postings, and hence statements and facts must be presented
responsibly. Your continued membership signifies that you
agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules
and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to
the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving
emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment