Wednesday 16 October 2013

Re: [wanabidii] UNAFIKI WA BUNGE LA TANZANIA

Maelezo haya yananiridhisha

On Oct 17, 2013 12:53 AM, "Gikaro Ryoba" <gikaroryoba@yahoo.com> wrote:
Mheshimiwa Spika,

Kamati Teule inapendekeza kwamba Serikali ichukue hatua za kinidhanu kwa Ndugu David Kitundu Jairo kwa matumizi mabaya ya madaraka, kukusanya na kutumia fedha za Umma. Vile vile Serikali ichukue hatua za kinidhamu, kwa mujibu, watumishi wote wa wizara ya nishati na madini waliotajwa kwenye taarifa hii kushiriki kwa namna mbalimbali katika mchakato wa uchangishaji na matumizi ya fedha hizi za umma.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa Hoja.

(Eng. Ramo Matala Makini, Mb)

Mwenyekiti

Kamati Teule ya Bunge

Novemba, 2011

Mwisho wa kunukuu.

Maswali yangu:

1. Je kustaafu kwa David Kitundu Jairo na Mh. Philemon Luhanjo ndizo hatua za kinidhamu zilizochukuliwa
?

2. Je baada ya kamati Teule kuwasilisha uchunguzi wake ni jukumu la nani hasa kufuatilia kuhakikisha hatua zinachukuliwa kama ilivyo ainisha?

3. Je bunge halioni kama kuna vaccum katika ufuatiliaji wa matokeo ya hizi tume na hivyo basi kuona haja ya kuunda au kuainisha nani hasa anapaswa kuchukua hatua kama ni DPP au mamraka ya uteuzi au vinginevyo?

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment