Thursday 31 October 2013

Re: [wanabidii] UFISADI WA ZITTO ZUBERI KABWE

Fakhi umetumwa nini?

Rgrds
Magora

On Oct 30, 2013 3:01 PM, "Fakhi Karume" <fkarume@gmail.com> wrote:
kauli yake inadhihirsha tabia zake za kisaliti.
anataka kuficha maovu yake ya kupokea Million 250 CRDB na zile Dolla laki 2 na ushee kupitia German.
Huyu bwana ni msaliti na kwa wajuzi wa mambo mtaona ni kwanini hakuandamana na dr slaa wakati wa kampeni za urais
CCM wana mtumia na walishamtumia siku nyingi na innafaa atemwe cheo chake kabla ya 2015 atakiangamiza chama.
Zito your finished man, nlikuamini lakini baada ya kusoma post inayokuhusu wewe sina imani nawe kanisa
Umethamini hela kuliko maisha ya sisi walalahoi tunaotegemea ukombozi wa kweli...... 

Riporti ya siri inaeleza ukweli 23/6/2008 saa 07:52 ulikutana na kina Wassira na mtu wa usalama wa Taifa sea cliff
30/6/2008 Ulipokea mshiko wako CRDB Bank kiasi 250Tsh Million.
Kisha Jumatano ya tarehe 16/12/2009 majira ya saa 13:12 za mchana
kwa Ujerumani akaunti namba .............................,
ziliingizwa dola za kimarekani 266,000 pesa hizi katika
uchunguzi zimebainika kuwa zilitoka Tanzania katika Benki ya
NMB Dar katika akaunti namba
.............................. ... yenye jina la TSA,

Fedha hizo alizichukua ili kutoa taarifa za siri za chadema na aliezipokea kwa niaba yake huko germani ni mwana mama alisoma nae nae akapewa Dola 25,000 kama ahsante...kweli tanzania hatuna wazalendo

wakatoa na evidence hii Mfano tarehe 7/9/2010 siku ya jumanne saa 11:21 asubuhi,
...............kupitia namba yake ya simu ya kiganjani
......................, alimpigia Zitto kupitia simu ya kiganjani namba
.............................. waliongea mambo mengi japo kwa muda mfupi, na
jambo kubwa lilikuwa ni "vipi kuna kipya ndani ya Chadema?"
Zitto alijibu "yapo mengi lakini hayana impact kwa ccm" 

LISEMWALO LIPO NA KAMA HALIPO LAJA, MIMI SINA UHAKIKA WA HIZI HABAR LAKINI NI HABARI ZA KIUCHUNGUZI.
NIWAULIZE MOOD KWANINI WALITOA HABARI NZIMA ISIACHWE IKASOMWA NA JF TUKAMPIMA ZITO????
nlibahatika kukariri chache.

KAMA SIO MSALITI IWEJE alalamike mambo ya chama nje ya chama?
kwanini asiwaite wahusika wa chama wakafanya vikao vya ndani
sina chama ila kwa CHadema nawashauri huyu bwana ni kirusi ndani ya chama chenu.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment