Sunday 27 October 2013

Re: [wanabidii] Girl writes Exams Hours after giving Birth

Well tatizo watoto wakibeba mimba basi jamii inahukumu bila kujua mazingira yaliyomzunguka. Huyu kama amejifungua na akaomba kurudi kufanya mitihani basi mjue kuna jahili ndo limemplekea matatizo yote la vile hatujui ukweli wa mambo ni rahisi sana kukahukumu.

Maurice ana haki kusema anavyosema kuhusu binti yake. Upendo unasura mbili furaha na huzuni na uhakika mkubwa unatambua hilo. Mie nikupe pongezi tu kma unajiona unatimiza wajibu wako vizuri na si kukatishia kabinti kuwa kakipata mimba hutokanunulia viatu na vinginevyo na kwa kuongeza mwambie shemeji aendelee kumwangalia vyema huyo binti, dunia inahitaji wanawake makini hawatashuka wanatengenezwa


On Sun, Oct 27, 2013 at 8:29 AM, Reuben Mwandumbya <ipyana75@yahoo.com> wrote:
Comrade Maurice;
Akiona busu mate yanajaa mdomoni!! Jiandae tu kama ni mbwa anza kufuga mapema,uzoefu unaonyesha wasichana/wavulana wa aina hiyo wakionja huwa wanakuwa wendawazimu,kama ni mzinga wa nyuki basi anakuwa ameutungua na kukaa nao chini na anakula pamoja na nyuki bila kujali kama wengine wanamuuma na kuchonga mwingine hawezi anaona anachelewa.
Ukiyakosea maisha na kupata muda wa ku-regreat uwezekano wa kufanikiwa huwa mkubwa kama umeamua kwa dhati kurekebisha mapito.
So usishangae huyu binti akaja kufanikiwa sana kielimu au kimaisha.


On Sunday, October 27, 2013 3:25 PM, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
Felix,

Wangu hivi sasa ni 16 , yuko kidato cha 3 na akiona busu kwenye TV kwake kinyaa. She finds it disgusting.

Lakini ta hivo huyu mwanadada wa Form 4 si nimemuombea kila la kheri kwenye mitihani yake jameni !!!!!    Nilicho omba tu kwamba asihurumiwe sana manaake mwenyewe keshafanya blunder na maisha yake at such a young age.

Courage


On Sun, Oct 27, 2013 at 2:29 AM, Mwema Felix <mwema.felix@gmail.com> wrote:
Kaka usitukane mamba kabla hujavuka mto. Si unawatoto wa kike? Wakifika umri wa kidato cha 4 utaniambia!

On Sun, Oct 27, 2013 at 11:20 AM, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
If she's such a wise and an intelligent person, why didn't she prevent the pregnancy or better yet, avoid the boys? She's not too bright in my opinion


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment