Friday 4 November 2016

Re: [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?

Mugyabuso.
Ninamshukuru sana Mungu kupata comment yako hii. Unajua kuna methali isemayo Muacha asili sio jasili. Ulimwengu umejaa mikakati ya kuua makabila na tamabuni. Utasikia misemo kuwa 'mila potofu'. Watu wanatoa hela ili kuua kila kitu. Wakitaka kuingilia kitu wanatangulia kupotosha au kuunganisha na "human rights" Wameanzisha ngono za ajabu na kuziunganisha na human rights. Huko mbele watrakuja kusema mwanamme kuon mwanamke ni mila potofu. Chochote alichokuw anafanya Kamara kwa kujua au bila kujua alikua anaelekea kuleta ufaribifu katika akili za watu. Natamani agundue.
--------------------------------------------
On Thu, 11/3/16, Mugaga Mugyabuso <mugyabuso@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, November 3, 2016, 2:24 PM

Samahani, wewe ni
Kamala kweli ama unatumia jina tu?
Kitu ulichokiweka katika mada yako mwanzo kabisa
sijawahi kukisikia, unless unafanya makusanyo ya taarifa ili
hypothesis yako ambayo hatuijui uweze kuitengenezea maelezo
ya kuikataa ama kuikubali. Mbali na hapo uliyoyaweka mwanzo
kuhusu jinsi mapacha wanavyotendewa huko Buhaya ni ubatili
mtupu. Hawa watu kama Ishengoma, Kakuru, Nyakato, Nyangoma,
Kato, usingesikia majina yao kabisa, maana hao ni
mapacha.


2016-10-27 14:51
GMT+03:00 J L Kamala <jlkamala@gmail.com>:
Kakuru
Asante Kwa kuchangia.  I think nitachukua
sehemu ya mchango wako huu kama input katika utafiti
Wangu.
Umeonyesha the real positive side of mapacha.
Kuna negative pia kama nilivyouliza hapo mwanzo.  Can you
share with us?
On Oct 27, 2016 10:46
AM, "Ireneus Kakuru Mushongi" <ireneuskakurumushongi@gmail.
com> wrote:
Nitaomba niwe sehemu ya mada hii. Mimi ni
pacha na ndio maana naitwa Kakuru..niko na dada yangu
anaitwa Nyakato (Regional UWT Secretary in one of the lake
zone regions). Bahati mbaya tunafunga kizazi au ni vitinda
mimba kwa mama yetu ma Nyinabarongo. Ninasema Bahati mbaya
sababu tulikuwa na wadogo zetu wengine (mapacha pia) lakini
Mungu aliwapenda zaidi so hawakusurvive baada ya kuzaliwa.
Ninampeda dada yangu beyond imagination. Hata anapokuwa huku
kizazi au kifamilia, hawezi kulala kwa ndugu yeyote Zaidi ya
nyumbani kwangu. huko ataembea tu na kurudi,  iko hivyo na
itakuwa hivyo kama tuko hai. Kila mmoja anaelewa na
ameridhika na Hakuna anayepinga.
Katika vitu ambavyo ninamuomba mwenyezi Mungu
usiku na mchana ni kunipatia watoto mapacha na niko
confident kwamba nitawapata. Dada zangu mama zangu Shangazi
zangu wote wana mapacha.
Taking my personal experience, mapacha ni Baraka,
nimezingatia namna ambavyo tumekuwa treated tangu tunazaliwa
mapaka leo. Kila mmoja wetu anatupenda na tumejikuta
tumekuwa kama kiunganisha cha familia yetu. Utamaduni na
mila zipo kuhusiana na mapacha jinsi ya kuwahandle.
Nakumbuka nilikuwa siwezi kufanyiwa kitu peke yngu au dada
peke yake. Nilipotoroka kwenda shule (Baada ya kukataliwa
kuwa bado umri wangu ulikuwa hauruhusu) test Fulani ya
kusoma insha I think I was by then, nikapitishwa kuanza
darasa la kwanza, automatically hata dada akaanzishwa kwa
vile tulikuwa hatuwezi kufanya chochote tofauti. So
tukajikuta tuko wanne ndani ya darasa moja from same family
wawili wakiwa kaka zetu.
Mapacha ni wazuri, wanapendwa, na wanapendana
sana; na kila mmoja angependa azae mapacha. Ninaweza kwenda
Zaidi kusema kuwa hata kina mama when they know you are one,
wanajisikia kuwa na wewe kwa expectation kuwa wanaweza
kupata mapacha, kwanini? Sababu mapacha ni Baraka, na kwa
usawa huu ambapo watu wanahitaji kuzaa fasta na kuanza
kulea, watu wengi wamekuwa wakiprefer mapacha sababu unapata
zaidi ya mtoto mmoja kwa mara moja!
Baada ya mada hii, nafikiria kupropose tuanzishe
Umoja wetu sisi wote tuliozaliwa mapacha!
Naomba nishirikishwe kwenye utafiti huu
pia.
Kakuru

Omukunirwa Ireneus 



 

2016-10-27 6:37
GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Naisubir kwa hamu naandaa miwani ya
kuisomea

------------------------------ --------------

On Wed, 10/26/16, J L Kamala <jlkamala@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?

 To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Wednesday, October 26, 2016, 10:20 PM



 Muhingo

 Nimefanya utafiti.  Nitakushirikisha pa kupata

 report yangu

 On Oct 26, 2016 9:56 PM,

 "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

 wrote:

 Pamoja na

 hayo yote lakini ni muhimu pia kuweka wazi kuwa mila za

 Buhaya hakuna inayoona mapacha kama laana au balaa. Na
kwa

 kweli nimetembesa karibu nchi zote za Africa Mashariki

 sikumbuki kusikia hilo. Mapacha mara nyingi wametumika

 kuondoa migogoro katika familia kama ilikuwepo..



 Mnajua wadau kuna notion ya kudhaalilisha mila zetu.

 Tunaapokea mila za hovyo kutoka nje na haziguswi kwa

 visingizio mbalimbali. Inapofika zetu tunazidhalilisha.
Ni

 muhimu jambo hili kuwa wazi katika mjadala huu-HAKUNA
MILA

 YA BUHAYA INAYOWAONA MAPACHA KAMA BALAA WALA MIKOSI.

 Anayejua tofauti afafanue tujue.



 Muhingo



 ----------------------------- - --------------



 On Wed, 10/26/16, 'Sylvanus Kessy' via Wanabidii

 <wanabidii@googlegroups.com>

 wrote:







  Subject: Re: [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?



  To: "wanabidii@googlegroups.com"

 <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: Wednesday, October 26, 2016, 4:00 PM







  Nipo mkoa wa Mtwara. Nimeshuhudia wanawake



  wakikimbiwa na waume sababu ya kuzaa



  mapacha. 



  Darasa zito linatakiwa katika jamii kuondokana na



  mwono huu. Naunga mkono Bwana Dominick kuwa Mapacha ni



  baraka ya pekee kwa familia. Mbona si hivyo kwa wote.



  Mapacha ni neema. Na wakilelewa vizuri wanaleta

 mapinduri



  makubwa katika familia. Nimeshughudia



  hayo. 











    From: 'Dominick



  Rukokelwa' via Wanabidii



  <wanabidii@googlegroups.com>



   To:



  "wanabidii@googlegroups.com"



  <wanabidii@googlegroups.com>
;



  "wanabidii@googlegroups.com"



  <wanabidii@googlegroups.com>



   Sent: Wednesday,



  October 26, 2016 1:00 AM



   Subject: Re:



  [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?











  Hakika



  watoto mapacha hawana ubaya wowote na hawana uhusiano

 wowote



  na mabalaa au majanga. MUNGU anapokupa watoto mapacha

 anajua



  ndani yako kuna uwezo mkubwa wa kuwatunza. Ukiona

 unataabika



  kuwatunza ujue kuna mahali umezembea ila ndani yako upo



  uwezo usiotumika(dormant power). Mapacha ni baraka
ndani

 ya



  baraka. Ukiona baraka unapata baraka. Ukiona laana na

 mikosi



  unapata laana na mikosi. Hata mtoto mmoja ukitaka awe

 mkosi



  anakuwa. Kwa maana MUNGU aliviumba vitu vyote ili

 vipate



  kuwako na nguvu za uzazi zilizomo ulimwenguni ni za

 kuleta



  siha wala hakuna ndani yake sumu yoyote ya uharibifu.



  Senaili



  from Yahoo Mail on Android



     On



  Tue, Oct 25, 2016 at 12:58, 'ELISA MUHINGO' via



  Wanabidii<wanabidii@

 googlegroups.com>



  wrote:   Kamala wacha kabisa



  kujidanganya na kudanganya watu.



  Mimi



  nilizaliwa saa nane usiku wa kuamkia 5 September 1952.



  Nimezaliwa Bukoba na kukulia Bukoba mpaka shule

 zilipoanza



  kunitoa. katika familia yetu kumezaliwa mapacha.. Haya



  unayoyasema kiasi cha kuomba msaada wa kuzuia mapacha



  kunyanyapaliwa ni jambo jipya kulisikia. Ni Buhaya gani

 hiyo



  ambayo unaileta hapa? Una umri gani ambao huenda hayo



  yalikuwepo kabla yangu. Nimezaliwa kiziba na kutembea

 maeneo



  mengi ya Buhaya. Nina maana na Karagwe ambayo siku hizo



  ilikuwa sehemu ya wilaya ya Bukoba.



  Unahitaji kufanya kazi kudhibitisha maneno yako



  au omba mssamaha haraka



  ---------------------------- -- --------------



  On Tue, 10/25/16, J L Kamala <jlkamala@gmail.com>



  wrote:







   Subject:



  [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?







  To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>



   Date: Tuesday, October 25, 2016, 5:41 AM







   ---------- Forwarded



   message ----------



   From:



  "J L Kamala" <jlkamala@gmail.com>







  Date: Oct 25, 2016 05:38



   Subject: Mapacha n



  Laana, mikosi?



   To: "Wanazuoni"



  <Wanazuoni@yahoogroups.com>



   Cc:







   Wakuu



  nimekuwa nikizitafakali jamii Za mkoa wa







  kagera na haswa wahaya.  Jamii hii inachukulia

 kuzaliwa



  kwa



   mapacha ktk familia Kama laana fulani



  au mikosi tena mibaya



   inayoweza kuleta



  balaa isipotambikiwa vyema.



   Moja wapo ya



  mabalaa ni Yale majanga ya asili



   kama vile



  ukame, vimbunga, kukosa mvua na hata tetemeko la



   ardhi



   Wazee wa mkoa huu



  wanasisitiza kuwepo Kwa



   umakini wa hali ya



  juu ili mapacha wasilete Tabu kama vile







  kuugua ugonjwa WA ngozi ujulikanao kama viligo yaan mtu



   anakuwa kama albino fulani







  Hii kwa vyovyte inapelekea kunyanyapaliwa kwa



   mapacha.  Je kuna maoni yapi au uhakika Juu



  ya hili?  Nini



   kifanyike kusaidia watu



  hawa ambao yawezekana wanauwawa au







  kubaguliwa kimyakimya?























   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com











    











  Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata



  Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:











  Everyone posting to this Forum bears the sole



  responsibility



   for any legal consequences



  of his or her postings, and hence







  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



   continued membership signifies that you agree



  to this



   disclaimer and pledge to abide by



  our Rules and Guidelines.











  ---







   You received this



  message because you are subscribed to the







  Google Groups "Wanabidii" group.











   To unsubscribe from this group and stop



  receiving emails



   from it, send an email to



  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







   For more options, visit



  https://groups.google.com/d/

 optout.











  --



  Send



  Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata



  Email ya kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to



  this Forum bears the sole responsibility for any legal



  consequences of his or her postings, and hence

 statements



  and facts must be presented responsibly. Your continued



  membership signifies that you agree to this disclaimer

 and



  pledge to abide by our Rules and Guidelines.



  ---



  You received this message



  because you are subscribed to the Google Groups



  "Wanabidii" group.



  To unsubscribe



  from this group and stop receiving emails from it, send

 an



  email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



  For more options, visit



  https://groups.google.com/d/

 optout.



















  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings, and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings, and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googleg
roups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/op
tout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/op
tout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/op
tout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.




--
==========
Mugyabuso, M.L.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment