Habari za asubuhi,
-- Tafadhali pokea CODES hapa chini
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong><a style="color: #000080;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/DSC_0068.jpg" rel="attachment wp-att-4328"><img class="size-full wp-image-4328 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/DSC_0068.jpg" alt="DSC_0068" width="702" height="468" /></a></strong></span></div>
<h4 class="rc" style="text-align: center;" data-hveid="32"><span style="color: #000080;"><strong><em>Naibu Waziri Dk. Kigwangalla akikagua mahabara ya hospitali hiyo ambayo alikutana na matatizo mbalimbali ikiwemo mashine na vifaa kutotumika ipasavyo na kuagiza uongozi wa kufanya maboresho ndani ya miezi mitatu huku akiahidi kuifungia endapo itashindwa kutekeleza maagizo hayo.</em></strong></span></h4>
<h4 style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><a style="color: #000080;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwangaccszz.png" rel="attachment wp-att-4330"><img class="size-full wp-image-4330 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwangaccszz.png" alt="kigwangaccszz" width="702" height="468" /></a></em></span></h4>
<h4 style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akiangalia moja ya maeneo ya wodi hizo ambapo alikuta hali ya uchafu pamoja na kuwa na mpangilio mbovu wa namna ya utoaji wa huduma.</strong></em></span></h4>
<h4 style="text-align: center;"><em><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwanj.jpg" rel="attachment wp-att-4327"><img class="size-full wp-image-4327 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwanj.jpg" alt="kigwanj" width="702" height="468" /></a></em></h4>
<h4 style="text-align: center;"><em><span style="color: #000080;"><strong>Dk. Kigwangalla akitoa maelezo kwa Mganga mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Njombe-Kibena, Dk. Samwel Mgema wakati wa maagizo hayo ndani ya siku 90 na endapo hawatafanya utekelezaji ataichukuia hatua ya kuifungia.</strong></span></em></h4>
<h4 style="text-align: center;"><strong><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwaza.jpg" rel="attachment wp-att-4347"><img class="size-full wp-image-4347 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwaza.jpg" alt="kigwaza" width="702" height="468" /></a></strong></h4>
<h4 style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000080;"><em>Naibu Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akielekea kwenye baadhi ya majengo ya hospitali hiyo wakati wa ukaguzi huo.</em></span></strong></h4>
<h4 style="text-align: center;"><strong><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/Kigwangala.jpg" rel="attachment wp-att-4348"><img class="size-full wp-image-4348 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/Kigwangala.jpg" alt="Kigwangala" width="702" height="468" /></a></strong></h4>
<h4 style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000080;"><em>Naibu Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akikagua eneo la kutolea huduma ikiwemo wagonjwa wanaoingia kumuonna Daktari. (Picha zote na Andrew Chale,modewjiblog-Njombe).</em></span></strong></h4>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Uongozi wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Njombe umepewa muda wa siku 90 kurekebisha mapungufu ya utoaji wa huduma za afya, lazima hospitali hiyo itafungwa.</strong></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kauli hiyo imetolewa jana jioni na Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla wakati akizungumza na viongozi Mganga Mkuu wa Mkoa, Samwel Mgema na na Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Imelda Mwenda na watumishi wa hospitali hiyo.</strong></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Dkt. Kigwangalla alitoa agizo kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa hospitali, vituo vya afya na zahati ili kuweza kubaini changamoto na mafanikio waliyoyapata baada maagizo mbalimbali kutolewa na Serikali.</strong></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Miongoni mwa maagizo hayo ni uboreshaji wa huduma kwa kuwepo na vifaa tiba na vya maabara za kisasa, dawa za kutosha, kuaanza malipo ya mtandao.</strong></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Katika ziara hiyo Naibu Waziri huyo alibaini kwamba hospitali hiyo haina baadhi ya vifaa vya maabara, ambavyo ni muhimu kwa uchunguzi wa magonjwa mbalimbali, ikiwemo mashine ya CT-Scan na kuwepo kwa vifaa vibovu ambayo havijafanyiwa matengenezo, ukiwemo mfumo mbovu wa ukusanyaji taka ngumu na nyepesi.</strong></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Sijaridhishwa na uendeshaji wa hospitali hii na utoaji wa huduma zinazotolewaa ninakuagiza Mganga Mkuu wa Wilaya, John Luanda kurekebisha mapungufu yaliyopo baada ya miezi mitatu nitarudi nikikuta huduma bado hairidhishi nitakifunga kituo.," alisema Dkt.Kigwangalla.</strong></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aliongeza kuwa akikuta huduma hadhirishi atafunga hospitali hiyo licha ya kuwa ya Serikali, hivyo hatasubiri kutumbuliwa jipu.</strong></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Dkt. Kigwangalla aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuandaa mpango kazi na mkakati wa kuboresha mapungufu yaliyopo katika hospitali hiyo na kuuwasilisha kwake.</strong></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aliutaka uongozi wa hospitali huo kujenga chumba cha upasuaji cha wakina mama na watoto.</strong></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa Njombe, Mgema alisema watatekeleza maagizo hayo.</strong></span></div>
KAWAIDA
Naibu Waziri Dk. Kigwangalla akikagua mahabara ya hospitali hiyo ambayo alikutana na matatizo mbalimbali ikiwemo mashine na vifaa kutotumika ipasavyo na kuagiza uongozi wa kufanya maboresho ndani ya miezi mitatu huku akiahidi kuifungia endapo itashindwa kutekeleza maagizo hayo.
Naibu Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akiangalia moja ya maeneo ya wodi hizo ambapo alikuta hali ya uchafu pamoja na kuwa na mpangilio mbovu wa namna ya utoaji wa huduma.
Dk. Kigwangalla akitoa maelezo kwa Mganga mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Njombe-Kibena, Dk. Samwel Mgema wakati wa maagizo hayo ndani ya siku 90 na endapo hawatafanya utekelezaji ataichukuia hatua ya kuifungia.
Naibu Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akielekea kwenye baadhi ya majengo ya hospitali hiyo wakati wa ukaguzi huo.
Naibu Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akikagua eneo la kutolea huduma ikiwemo wagonjwa wanaoingia kumuonna Daktari. (Picha zote na Andrew Chale,modewjiblog-Njombe).
Uongozi wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Njombe umepewa muda wa siku 90 kurekebisha mapungufu ya utoaji wa huduma za afya, lazima hospitali hiyo itafungwa.
Kauli hiyo imetolewa jana jioni na Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla wakati akizungumza na viongozi Mganga Mkuu wa Mkoa, Samwel Mgema na na Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Imelda Mwenda na watumishi wa hospitali hiyo.
Dkt. Kigwangalla alitoa agizo kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa hospitali, vituo vya afya na zahati ili kuweza kubaini changamoto na mafanikio waliyoyapata baada maagizo mbalimbali kutolewa na Serikali.
Miongoni mwa maagizo hayo ni uboreshaji wa huduma kwa kuwepo na vifaa tiba na vya maabara za kisasa, dawa za kutosha, kuaanza malipo ya mtandao.
Katika ziara hiyo Naibu Waziri huyo alibaini kwamba hospitali hiyo haina baadhi ya vifaa vya maabara, ambavyo ni muhimu kwa uchunguzi wa magonjwa mbalimbali, ikiwemo mashine ya CT-Scan na kuwepo kwa vifaa vibovu ambayo havijafanyiwa matengenezo, ukiwemo mfumo mbovu wa ukusanyaji taka ngumu na nyepesi.
"Sijaridhishwa na uendeshaji wa hospitali hii na utoaji wa huduma zinazotolewaa ninakuagiza Mganga Mkuu wa Wilaya, John Luanda kurekebisha mapungufu yaliyopo baada ya miezi mitatu nitarudi nikikuta huduma bado hairidhishi nitakifunga kituo.," alisema Dkt.Kigwangalla.
Aliongeza kuwa akikuta huduma hadhirishi atafunga hospitali hiyo licha ya kuwa ya Serikali, hivyo hatasubiri kutumbuliwa jipu.
Dkt. Kigwangalla aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuandaa mpango kazi na mkakati wa kuboresha mapungufu yaliyopo katika hospitali hiyo na kuuwasilisha kwake.
Aliutaka uongozi wa hospitali huo kujenga chumba cha upasuaji cha wakina mama na watoto.
Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa Njombe, Mgema alisema watatekeleza maagizo hayo.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





0 comments:
Post a Comment