Wednesday, 17 February 2016

Re: [wanabidii] NAIBU WAZIRI WA AFYA DK. KIGWANGALLA AUPA SIKU 90 UONGOZI WA HOSPITALI YA MKOA WA NJOMBE-KIBENA KUBORESHA HUDUMA ZAKE LA SIVYO KUIFUNGIA

Ngoja nimtafsiri Dr. Kigwangala:
1) Kwa hiyo warekebishe ili wasifungiwe, sio warekebishe ili watanzania wapate huduma bora. Yaani myoyoni waambiane 'Waki kabla Kigwangala hajaja'.
2) Hivi Kama taasisi ilijenga Hospitali waziri wa maana anastahili kuwatishia kuifunga au kujadiliana nao juu ya raslimali zinazotakiwa na kamawanazo au wanataka msaada ili Wizara iwasaidie?
3) Huyu waziri anayetishia kuifunga hospitali katika mawazo yake alijua kuwa watakaokoma ni wananchi ambao amewekwa huwahakikishia afya njema? katika matamshi hayo mawazoni mwake wanaonekana wahudumiwa au anawakomesha wenye hospitali? Ambao baadhi yao si ajabu hawatibiwi hapo? nataka kujiuliza alichokuwa analenga kusaidia kama waziri wa afya za watanzania.
4) Hilo ni kali mno ngoja nilibakize kwanza.

--------------------------------------------
On Mon, 2/15/16, 'jbifabusha' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] NAIBU WAZIRI WA AFYA DK. KIGWANGALLA AUPA SIKU 90 UONGOZI WA HOSPITALI YA MKOA WA NJOMBE-KIBENA KUBORESHA HUDUMA ZAKE LA SIVYO KUIFUNGIA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, February 15, 2016, 7:55 AM

Waziri
wa serikali anafungia huduma hospitali ya serikali
yake. 
Wakati
mwingine serikali yenyewe ndio chanzo cha majipu.
Angetueleza fedha kiasi gani zimepelekwa na hospitali
haiboreshwi.
Jovin


--------
Original message --------
From: Zainul Mzige
<zmzige@gmail.com>
Date:
To:
Subject: [wanabidii]
NAIBU WAZIRI WA AFYA DK. KIGWANGALLA AUPA SIKU 90 UONGOZI WA
HOSPITALI YA MKOA WA NJOMBE-KIBENA KUBORESHA HUDUMA ZAKE LA
SIVYO KUIFUNGIA


Habari za asubuhi,
Tafadhali pokea CODES hapa
chini

<div style="text-align:
center;"><span style="color:
#000080;"><strong><a style="color:
#000080;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/DSC_0068.jpg"
rel="attachment wp-att-4328"><img
class="size-full wp-image-4328 aligncenter"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/DSC_0068.jpg"
alt="DSC_0068" width="702"
height="468"
/></a></strong></span></div><h4
class="rc" style="text-align: center;"
data-hveid="32"><span style="color:
#000080;"><strong><em>Naibu Waziri Dk.
Kigwangalla akikagua mahabara ya hospitali hiyo ambayo
alikutana na matatizo mbalimbali ikiwemo mashine na vifaa
kutotumika ipasavyo na kuagiza uongozi wa kufanya maboresho
ndani ya miezi mitatu huku akiahidi kuifungia endapo
itashindwa kutekeleza maagizo
hayo.</em></strong></span></h4><h4
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><em><a
style="color: #000080;" href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwangaccszz.png"
rel="attachment wp-att-4330"><img
class="size-full wp-image-4330 aligncenter"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwangaccszz.png"
alt="kigwangaccszz" width="702"
height="468"
/></a></em></span></h4><h4
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Dk Kigwangalla akiangalia moja ya maeneo ya wodi hizo
ambapo alikuta hali ya uchafu pamoja na kuwa na mpangilio
mbovu wa namna ya utoaji wa
huduma.</strong></em></span></h4><h4
style="text-align: center;"><em><a
href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwanj.jpg"
rel="attachment wp-att-4327"><img
class="size-full wp-image-4327 aligncenter"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwanj.jpg"
alt="kigwanj" width="702"
height="468"
/></a></em></h4><h4
style="text-align: center;"><em><span
style="color: #000080;"><strong>Dk.
Kigwangalla akitoa maelezo kwa Mganga mkuu wa hospitali ya
Mkoa wa Njombe-Kibena, Dk. Samwel Mgema  wakati wa maagizo
hayo ndani ya siku 90 na endapo hawatafanya utekelezaji
ataichukuia hatua ya
kuifungia.</strong></span></em></h4><h4
style="text-align: center;"><strong><a
href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwaza.jpg"
rel="attachment wp-att-4347"><img
class="size-full wp-image-4347 aligncenter"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kigwaza.jpg"
alt="kigwaza" width="702"
height="468"
/></a></strong></h4><h4
style="text-align:
center;"><strong><span style="color:
#000080;"><em>Naibu Waziri wa Afya, Dk
Kigwangalla akielekea kwenye baadhi ya majengo ya hospitali
hiyo wakati wa ukaguzi
huo.</em></span></strong></h4><h4
style="text-align: center;"><strong><a
href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/Kigwangala.jpg"
rel="attachment wp-att-4348"><img
class="size-full wp-image-4348 aligncenter"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/Kigwangala.jpg"
alt="Kigwangala" width="702"
height="468"
/></a></strong></h4><h4
style="text-align:
center;"><strong><span style="color:
#000080;"><em>Naibu Waziri wa Afya, Dk
Kigwangalla akikagua eneo la kutolea huduma ikiwemo wagonjwa
wanaoingia kumuonna Daktari. (Picha zote na Andrew
Chale,modewjiblog-Njombe).</em></span></strong></h4><div
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Uongozi
wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Njombe umepewa muda wa
siku 90 kurekebisha mapungufu ya utoaji wa huduma za afya,
lazima hospitali hiyo
itafungwa.</strong></span></div><div
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Kauli
hiyo imetolewa jana jioni na Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo
ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla
wakati akizungumza na viongozi Mganga Mkuu wa Mkoa, Samwel
Mgema na na Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Imelda Mwenda na
watumishi wa hospitali
hiyo.</strong></span></div><div
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Dkt.
Kigwangalla alitoa agizo kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa
hospitali, vituo vya afya na zahati  ili kuweza kubaini
changamoto na mafanikio waliyoyapata baada maagizo
mbalimbali kutolewa na
Serikali.</strong></span></div><div
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Miongoni
mwa maagizo hayo ni uboreshaji wa huduma kwa kuwepo na vifaa
tiba na vya maabara za  kisasa, dawa za kutosha, kuaanza
malipo ya
mtandao.</strong></span></div><div
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
ziara hiyo Naibu Waziri huyo alibaini kwamba hospitali hiyo
haina  baadhi ya vifaa vya maabara, ambavyo ni muhimu kwa
uchunguzi wa magonjwa mbalimbali, ikiwemo mashine ya CT-Scan
na kuwepo kwa vifaa vibovu ambayo havijafanyiwa matengenezo,
ukiwemo mfumo mbovu wa ukusanyaji taka ngumu na
nyepesi.</strong></span></div><div
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>"Sijaridhishwa na
uendeshaji wa hospitali hii na utoaji wa huduma
zinazotolewaa ninakuagiza Mganga Mkuu wa Wilaya, John Luanda
kurekebisha mapungufu yaliyopo baada ya miezi mitatu
nitarudi nikikuta huduma bado hairidhishi nitakifunga
kituo.," alisema
Dkt.Kigwangalla.</strong></span></div><div
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aliongeza
kuwa akikuta huduma hadhirishi atafunga hospitali hiyo licha
ya kuwa ya Serikali, hivyo hatasubiri kutumbuliwa
jipu.</strong></span></div><div
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Dkt.
Kigwangalla aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuandaa
mpango kazi na mkakati wa kuboresha mapungufu yaliyopo
katika hospitali hiyo na kuuwasilisha
kwake.</strong></span></div><div
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aliutaka
uongozi wa hospitali huo kujenga chumba cha upasuaji cha
wakina mama na
watoto.</strong></span></div><div
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Kwa
upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa Njombe, Mgema alisema
watatekeleza maagizo
hayo.</strong></span></div>

KAWAIDA
Naibu
Waziri Dk. Kigwangalla akikagua mahabara ya hospitali hiyo
ambayo alikutana na matatizo mbalimbali ikiwemo mashine na
vifaa kutotumika ipasavyo na kuagiza uongozi wa kufanya
maboresho ndani ya miezi mitatu huku akiahidi kuifungia
endapo itashindwa kutekeleza maagizo
hayo.Naibu
Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akiangalia moja ya maeneo ya
wodi hizo ambapo alikuta hali ya uchafu pamoja na kuwa na
mpangilio mbovu wa namna ya utoaji wa
huduma.Dk.
Kigwangalla akitoa maelezo kwa Mganga mkuu wa hospitali ya
Mkoa wa Njombe-Kibena, Dk. Samwel Mgema  wakati wa maagizo
hayo ndani ya siku 90 na endapo hawatafanya utekelezaji
ataichukuia hatua ya kuifungia.Naibu
Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akielekea kwenye baadhi ya
majengo ya hospitali hiyo wakati wa ukaguzi
huo.Naibu
Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akikagua eneo la kutolea
huduma ikiwemo wagonjwa wanaoingia kumuonna Daktari. (Picha
zote na Andrew
Chale,modewjiblog-Njombe).Uongozi
wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Njombe umepewa muda wa
siku 90 kurekebisha mapungufu ya utoaji wa huduma za afya,
lazima hospitali hiyo itafungwa.Kauli
hiyo imetolewa jana jioni na Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo
ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla
wakati akizungumza na viongozi Mganga Mkuu wa Mkoa, Samwel
Mgema na na Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Imelda Mwenda na
watumishi wa hospitali hiyo.Dkt.
Kigwangalla alitoa agizo kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa
hospitali, vituo vya afya na zahati  ili kuweza kubaini
changamoto na mafanikio waliyoyapata baada maagizo
mbalimbali kutolewa na Serikali.Miongoni
mwa maagizo hayo ni uboreshaji wa huduma kwa kuwepo na vifaa
tiba na vya maabara za  kisasa, dawa za kutosha, kuaanza
malipo ya mtandao.Katika
ziara hiyo Naibu Waziri huyo alibaini kwamba hospitali hiyo
haina  baadhi ya vifaa vya maabara, ambavyo ni muhimu kwa
uchunguzi wa magonjwa mbalimbali, ikiwemo mashine ya CT-Scan
na kuwepo kwa vifaa vibovu ambayo havijafanyiwa matengenezo,
ukiwemo mfumo mbovu wa ukusanyaji taka ngumu na
nyepesi."Sijaridhishwa
na uendeshaji wa hospitali hii na utoaji wa huduma
zinazotolewaa ninakuagiza Mganga Mkuu wa Wilaya, John
Luanda kurekebisha mapungufu yaliyopo baada ya miezi mitatu
nitarudi nikikuta huduma bado hairidhishi nitakifunga
kituo.," alisema
Dkt.Kigwangalla.Aliongeza
kuwa akikuta huduma hadhirishi atafunga hospitali hiyo licha
ya kuwa ya Serikali, hivyo hatasubiri kutumbuliwa
jipu.Dkt.
Kigwangalla aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuandaa
mpango kazi na mkakati wa kuboresha mapungufu yaliyopo
katika hospitali hiyo na kuuwasilisha
kwake.Aliutaka
uongozi wa hospitali huo kujenga chumba cha upasuaji cha
wakina mama na watoto.Kwa
upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa Njombe, Mgema alisema
watatekeleza maagizo
hayo.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment