Tuesday, 12 November 2013

Re: [wanabidii] MSAADA TUTAN KWA MADEREVAI: UWASHAJI WA AC KWENYE GARI

Hi  naomba  tafsiri  kwenye hili  la  fuel  consumption.

URBAN  12 L/100

EXTRA  URBAN  7 L/100

Regards
 xn


2013/11/13 Fredrick Mageni <freddymageni@yahoo.com>
Jamani Habari za wakati huu,

Tukiwa bado katika maada hii hii ya uhusiano wa kutumia kiyoyozi na mafuta katika gari. Naomba kuuliza swali moja, Je matumizi ya kiyoyozi (AC) ndani ya gari yana madhara yeyote kiafya?

Freddy.

From: Mwema Felix
Sent: 2013-11-12 07:53 PM
To: Mailing List

Subject: Re: [wanabidii] MSAADA TUTAN KWA MADEREVAI: UWASHAJI WA AC KWENYE GARI

Hallo Mwema,

Mimi ni Mwalimu Chuo cha Usafirishaji na moja ya kozi tunazotoa ni ufundi wa magari.

Kwa kifupi kabisa. Ili kiyoyozi kifanye kazi kinahitaji nguvu (power) itokanayo na nishaji ya kukifanya kifanye kazi.

Wote tunajua kuwa kiyoyozi kinahitaji compressor na hii compressor hufanya kazi kwa kuendeshwa na injini kupitia mifumo ya mikanda.

Ukweli ni huu. Fuel consumption ipo lakini ni kidogo mno kama alivyosema Xavery na inategemea.

Kumbuka, kila kitu ni sayansi. Ukifungua madirisha unakutana na air resistances na hizi huongeza matumizi ya mafuta. Ukifunga madirisha unapunguza air restances. Hivyo, ukifunga madirisha na kutumia kiyoyozi unaweza save mafuta kuliko aliyefungua madirisha.

Ni somo kubwa.

Nahitimisha kwa kusema - matumizi ya mafuta kwa kuwasha kiyoyozi ukweli ni madogo kama gari yako nzuri.

Betram Kiswaga


On Tue, Nov 12, 2013 at 5:42 PM, Xavery Njovu <njovucom@gmail.com> wrote:
Kwenu  Wote

Katika pita pita zangu. Nilikutana  na mtaalamu mmoja wa  magari  akaniambia. kutowasha ac  kwenye gari ni kujitesa. Kwa sababu  mfumo  wa  AC  unajitegemea  na auingiliani  na mfumo  wa mafuta.  na sio  kweli  eti ukiwasha  ac  gari lako  litakula  mafuta mengi.  Haya hebu  tupeni  utaalamu mafundi  wa  magari.

Regards

--
XAVERY  LANGA  NJOVU

0783 662681

" The Poor  man is  not  he without  cent, but  he who is  without  a dream"

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
XAVERY  LANGA  NJOVU

0783 662681

" The Poor  man is  not  he without  cent, but  he who is  without  a dream"

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment