Utasema nini Ndugu Ndaki pale ambapo kumepimwa plots, feeder na mairoads zimewekwa lakini wananchi wamejenga wameziba njia zote na kusogeza frame zao barabarani kiasi kwamba barabara pana imekuwa nyembamba. Wanajihatarisha wenyewe na moto na watoto hawana makazi ya kucheza. bado wale waliouza maeneo kwa mabilioni wakahamia kinyesini.
Baadhi ya wakazi wa DSM na miji mingine wamejenga juu ya mtaro wa maji ya mvua uliowazi na kuuziba, mtaro wa chini au bomba la majitaka, bomba la maji masafi na pia kuvamia maeneo ya shule.
Bomoa bomoa ya Tangi Bovu Dar hadi Bunju na maeneo mengine kuondoa majumba na viwanda vilivyozidisha majengo kuingia barabarani na kujengwa juu ya bomba ni mfano. Pia Sinza Petrol Station walibomoa kuelekea kwa Remmy walijenga juu ya bomba la maji. sasa wamerudisha upya majengo-vichaa.
Hata DSM tunalipia mlingoti wa umeme, meter etc na umeme na inakuchukua karne kuupata. Ila unaweza ukanunua solar, generator, kuchimba kisima kiregu ukaweka mitambo ya umeme yako binafsi-lakini utalipia hata kama ni yako kuna gharama za kujizalishia umeme binafsi. Ukijenga holela unapewa umeme, maji kwa vile unatoa rushwa. Utii wa sheria mdogo kwa mtoa na mpokea rushwa. maeneo yasiyo rasmi yanayorasimishwa yanaruhusiwa kupewa huduma under Community Infrastrural Upgrading Programme (CIUP) kama ile ya Squatter upgradining baada ya Uhuru badala ya Squatter Demolition kujenga NHC-houses. na sasa kuna wachina wanajenga majumba ya kisasa pia NHC. Kwa vile NHC hawahongi kuupata umeme kizungumkuti.
Hii nchi inataka diketa. kama ni kubomoa-inabomolewa kuonyesha mfano hakuna fidia; kama kumfukuza afisa-afukuzwe afirisiwe sio kumuhamisha eneo na ofisi ya kazi; mbunge akileta uzushi kuruhusu watu wasiharibu mahala afukuzwe au kupewa onyo; Kugawa madaraka-mtumishi wa umma asigombee ubunge kuwa mwanasiasa ili afanye kazi vema. Mtu kama Prof Muhongo-anatufaa sana kutekelesa sera na sheria. Anasema-unazo hela za kuwekeza-njoo; unataka ubia-nenda ktk shirika la kukuunganisha na wawekezaji wa ndani na wajao. Unasema unaonewa wa nje wanapendelewa-kwanza wewe una vitaru kadhaa kuanzia mwaka huu mahala hapa na pale na hujatoa hata kodi umevihodhi au hujalipa tu-tunakunyanga'nya by mwezi huu!! safi, kuondoa longolongo. Sian zaidi nami maendeleo yetu yalivyo na tabia zetu zinanikera
Inafurahisha lakini unapokuta siku hizi vituo vya rapid bus transport watu wa mabondeni wamehamia kulala hapo (usalama wa watoto males, female mbaya kutokana na ubakaji); wavuta bangi wamegeuza mapambo ya ngalawa zilizopo katika mizunguko barabarani (round-about) Ilala kuwa ndio lodges za kulala. Usiku wanaingia kulala, vuta bangi asubuhi anapiga debe; kulala chini ya madaraja. lakini, kupiga debe ktk vikundi vyao kwa siku wanapata 60,000-150,000/=. Mzoa takataka majumbani aliyejiajiri anapata 150,000/= kwa mwezi pamoja na kupewa chakula, nguo zinazowabana na anaokota chupa za plastiki na vyuma, vifaa wasivyotaka kaya anauza anapata pesa na anapata shibe ila matumizi ya pesa-konyagi, totos. Muuza taka za vyuma chakavu dampo la mtoni mwaka 2003 akipata laki 5 hadi milioni kwa mwezi. Bado kuna wauza vyama na nyanya zinazotupwa dampo, waokota na wauza viroba, magunia, kuni zinazotupwa hapo, mkaa na what have yo-wanapata pesa (Utafiti wangu funded by ILO). Kuna mpakua kinyesi kwa mkono na timu yake makumbusho utamkuta katia suti na ana gari ndogo huezi kuamini. akipakua choo kimoja anapata laki 3 hadi 8 anagawana na vibarua yake. Zidisha mara 30 kama atapakua angalau kimoja kwa siku!! Kwa sasa hela itakuwa kubwa zaidi maana nauli za abiria zimepanda vivyo malipo ya mpiga debe kwa gari. Mpakua kinyesi naye angeweza ktk kuzalisha mali lakini mara nyingi huwa kuwekeza kwao ni kwa mabinti sio kuwa na mjengo wa kiwanda, jumba na mashamba bali kuonekana akiranda na akitumia!!
Gooday.
Baadhi ya wakazi wa DSM na miji mingine wamejenga juu ya mtaro wa maji ya mvua uliowazi na kuuziba, mtaro wa chini au bomba la majitaka, bomba la maji masafi na pia kuvamia maeneo ya shule.
Bomoa bomoa ya Tangi Bovu Dar hadi Bunju na maeneo mengine kuondoa majumba na viwanda vilivyozidisha majengo kuingia barabarani na kujengwa juu ya bomba ni mfano. Pia Sinza Petrol Station walibomoa kuelekea kwa Remmy walijenga juu ya bomba la maji. sasa wamerudisha upya majengo-vichaa.
Hata DSM tunalipia mlingoti wa umeme, meter etc na umeme na inakuchukua karne kuupata. Ila unaweza ukanunua solar, generator, kuchimba kisima kiregu ukaweka mitambo ya umeme yako binafsi-lakini utalipia hata kama ni yako kuna gharama za kujizalishia umeme binafsi. Ukijenga holela unapewa umeme, maji kwa vile unatoa rushwa. Utii wa sheria mdogo kwa mtoa na mpokea rushwa. maeneo yasiyo rasmi yanayorasimishwa yanaruhusiwa kupewa huduma under Community Infrastrural Upgrading Programme (CIUP) kama ile ya Squatter upgradining baada ya Uhuru badala ya Squatter Demolition kujenga NHC-houses. na sasa kuna wachina wanajenga majumba ya kisasa pia NHC. Kwa vile NHC hawahongi kuupata umeme kizungumkuti.
Hii nchi inataka diketa. kama ni kubomoa-inabomolewa kuonyesha mfano hakuna fidia; kama kumfukuza afisa-afukuzwe afirisiwe sio kumuhamisha eneo na ofisi ya kazi; mbunge akileta uzushi kuruhusu watu wasiharibu mahala afukuzwe au kupewa onyo; Kugawa madaraka-mtumishi wa umma asigombee ubunge kuwa mwanasiasa ili afanye kazi vema. Mtu kama Prof Muhongo-anatufaa sana kutekelesa sera na sheria. Anasema-unazo hela za kuwekeza-njoo; unataka ubia-nenda ktk shirika la kukuunganisha na wawekezaji wa ndani na wajao. Unasema unaonewa wa nje wanapendelewa-kwanza wewe una vitaru kadhaa kuanzia mwaka huu mahala hapa na pale na hujatoa hata kodi umevihodhi au hujalipa tu-tunakunyanga'nya by mwezi huu!! safi, kuondoa longolongo. Sian zaidi nami maendeleo yetu yalivyo na tabia zetu zinanikera
Inafurahisha lakini unapokuta siku hizi vituo vya rapid bus transport watu wa mabondeni wamehamia kulala hapo (usalama wa watoto males, female mbaya kutokana na ubakaji); wavuta bangi wamegeuza mapambo ya ngalawa zilizopo katika mizunguko barabarani (round-about) Ilala kuwa ndio lodges za kulala. Usiku wanaingia kulala, vuta bangi asubuhi anapiga debe; kulala chini ya madaraja. lakini, kupiga debe ktk vikundi vyao kwa siku wanapata 60,000-150,000/=. Mzoa takataka majumbani aliyejiajiri anapata 150,000/= kwa mwezi pamoja na kupewa chakula, nguo zinazowabana na anaokota chupa za plastiki na vyuma, vifaa wasivyotaka kaya anauza anapata pesa na anapata shibe ila matumizi ya pesa-konyagi, totos. Muuza taka za vyuma chakavu dampo la mtoni mwaka 2003 akipata laki 5 hadi milioni kwa mwezi. Bado kuna wauza vyama na nyanya zinazotupwa dampo, waokota na wauza viroba, magunia, kuni zinazotupwa hapo, mkaa na what have yo-wanapata pesa (Utafiti wangu funded by ILO). Kuna mpakua kinyesi kwa mkono na timu yake makumbusho utamkuta katia suti na ana gari ndogo huezi kuamini. akipakua choo kimoja anapata laki 3 hadi 8 anagawana na vibarua yake. Zidisha mara 30 kama atapakua angalau kimoja kwa siku!! Kwa sasa hela itakuwa kubwa zaidi maana nauli za abiria zimepanda vivyo malipo ya mpiga debe kwa gari. Mpakua kinyesi naye angeweza ktk kuzalisha mali lakini mara nyingi huwa kuwekeza kwao ni kwa mabinti sio kuwa na mjengo wa kiwanda, jumba na mashamba bali kuonekana akiranda na akitumia!!
Gooday.
On Thursday, 8 May 2014, 7:44, "hosea.ndaki@gmail.com" <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:
Hoja kuu ni kwanini wafanyabiashara wetu wanapendelea kuagiza bidhaa ''Import'' kuliko kuzalisha hapa nchini ''manufacture'' point ni kwamba hakuna usumbufu kuuza imported goods kuliko kujenga kiwanda, nikatolea mfano ni rahisi kutoboa mafremu ya maduka na kuanzisha grosary na bar kuliko kubadili godown kuwa kiwanda.
Tunapeleka umeme vijijini kwa gharama ya serikali lakini ukijenga kiwanda mkuranga utajinunulia transfoma nguzo na nyaya. Barabara na maji itabidi ujitafutie achilia wananzengo kuziba barabara kwa mawe wakitaka fidia ya makaburi na mazindiko ya kimila.
Mkijenga holela serikali inaleta maji umeme na barabara, nssf NHC wakijenga makazi wajitafutie maji umeme na barabara!
Kiwasila hatukatai kufuata hizo taratibu na ni za msingi kabisa, tatizo si vibali tu, ni mfumo mzima wa uendeshaji na usimamizi wa shughuli za kiuchumi.
----------
Sent from my Nokia phone
------Original message------
From: 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, May 7, 2014 9:32:31 PM GMT+0100
Subject: Re: [wanabidii] CHINA IS KILLING OUR INDUSTRIES
Nielewavyo mimi ni kuwa-kuna maeneo ya kujenga viwanda na maeneo ya makazi. Kwa dar kwa Mfano ni Pugu Road, Mbagala maeneo fulani, Tangi bovu-Africana, Eneo la radio TZ la zamani; ukienda nje ya Dar-Kibaha.Kabla ya kiwanda kupata leseni au kibali sheria inataka design ya kiwanda iwakilishwe for approval. Hivyo wataangalia mchoro, aina ya uzalishaji, taka zitakazotolewa na utupaji taka wake. kama taka ngumu, taka maji zitatupwaje na wapi. kama taka maji za kemikali waste stabilization pond ni lazima design yake iwepo na kuonyesha level za kemikali zitakazotoka na level ya mwisho baada ya processing/treatment kabla ya kuingia mtoni ay baharini. Na ukaguzi wa kushtukiza na kupima level za emissions ni kazi ya GVT industrial officers waliokuwa chini ya Wizara ya Afya zamani siku hizi ni kazi ya NEMC.
NEMC haimjengei mtu oxidation au waste stabilization ponds. Wanachotakiwa ni kufunga kiwanda mpaka atimize masharti.
Ndio maana nilichangia kusema-inapotokea kiwanda kimejengwa ktk makazi ya watu au hakina waste treament kabla ya disposal au hakina waste stabilization ponds-kamata na fukuza kazi ofisa wa kwanza waliokagua mchoro na eneo na kuthibitisha kijengwe na kupitisha upper level-wamedanganya ni vibaka wala rushwa. Hao au hiyo timu kila mtu na wajibu wake wamedanganya maofisa wakubwa wa juu kwa kula rushwa, leseni ikatolewa na kiwanda kikajengwa. Waliothibitisha kukamilika jengo na vilivyotakiwa-Fukuza kazi mafao yao yalipe gharama za serikali na uchafuzi mazingira. Aliruhusu vipi kianze kazi na kutoa leseni ya kazi na anatoa carcinogenic chemicals kuingia mto Kizinga, Ruvu, au maeneo ya jamii? Kiwanda cha nguo au chochote kile cha kutumia kuni za miti na hana msitu aliopata-Funga na kamata afisa mthibitisha production leseni ikatolewa.
Watanzania hatujithamini hata utu wetu, hata saluni zinamwaga maji ya kemikali hovyo barabarani watoto na watu watembeao bila viatu wanakanyaga. Bomba zilizopasuka kemikali zinaingiza bombani watu kunywa ktk maji. Garage kila mahala na beer bars kila baada ya nyumba chache, matusi yanasikika next house na watoto. Mibaba iliyolewa inatoa nonino nje inakwenda haja ndogo watoto wanachungulia madirishani. Dust na na harufu na moshi wa rangi za mbao, chuma zinapumuliwa na watoto maana nyumba poorly ventilated. Bado moshi wa mapishi ndani ya majumba na nje moto wa mkaa na emissions zake kupika chips na mavyakula mengine nje ya kila baraza ya nyumba mtaani. Bado moshi wa viwanda, garage unaathiri afya zetu hasa watoto na wazee.
Viongozi wa Mtaa ndio shibe yao ya rushwa, ulinzi shirikishi au ulinzi jamii ndio kula yao hizo biashara kupita kuwatishia na kuchukua vijisenti. Wafukuze/waondoe na uwe unakaa mitaa hiyo kama hujaokotwa kichwa hapa miguu mtaa wa pili-Visasi zaidi kuliko kujali ethics za uzafi mazingira, mipango miji, vijiji na afya za binadamu. Noise levels zinazidi na kuathiri watoto kila mtu anachonga chuma, radio ndani na nje ya nyumba. Matokeo ya noise ni watoto watukutu.
Kwa sababu tunapenda easy come easy go na tumboni street ya bei za kuokota-matajiri wetu si wa kujiunga kufufua na kuzalisha vile ambavyo tunaviagiza nje. Na ndio hizo karakana za used spare parts, used bicycles, pikipiki, magari zimejaa badala ya kufufua hata vile viwanda vya baiskeli, viatu, mablanketi, Mutex, Mwatex, Sunguratex, Urafiki, Sabuni Pex etc. Na ukiingia viwanda vya vyuma chang.ombe utawahurumia wafanyakazi wake hawana protective gear na kwa mwaka wangapi hufa kwa kuchomwa na ndondo? Vumbi la chuma mpaka kwenye kope!!
Maji ya kinyesi cha mifugo, watu yatakuwa tatizo vipi na tunajenga nyumba kinyesini, magodoro yanajaa kinyesi na hatutaki kuhama mabondeni. hao walevi na matusi, mikojo watakuwaje tatizo na wanapotukana sote wazazi na watoto tunatoka kushuhudia na kucheka jamani. Kuna tatizo kubwa katika mipango miji vyombo husika kuzingatia sheria wanaachia hata planned/surveyed areas ziwe maeneo ya makorokoro. Kuna tatizo la sisi wananchi kuwa na usugu wa kutokusikia, kushaurika, kuharibu mazingira yetu kwa kisingizio cha kuganga njaa na kulipiza kisasi hatua inapochukuliwa. Utawala wa madaraka kwa wananchi kupitia serikali za Mtaa unaonekana kutokuwa efficient and effective. Vyama vya siasa havishindani kuboresha majimbo na maeneo yao kimaendeleo wanashindana matusi, kusutana na kuwaachia wananchi huru wafanye wapendavyo eti ndio demokrasia. tutavuna tunachombanda na ndio hicho cha viwanda mpaka residential areas, kuvuta poisonous gases, kuungua moto kiwanda
kinaporipuka na kuvuka katika kinyesi mvua inyeshapo, kufa mapema au kuwa na chronic diseases na kujiongezea umasikini-Sisi SIKIO LA KUFA Mike Zunzu.
On Wednesday, 7 May 2014, 12:50, 'Mike Zunzu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Mimi nilishughudia watu walioungua moto wa gesi iliyolipuka kwenye kiwanda kilichokuwa kimejengwa kati kati ya makazi Arusha mwaka 1982, watu walioungua ni pamoja na wafanyakazi, watu wa mitaani, watu waliokuwa wakinywa Pombo kwenye baa zilizokuwa karibu na kiwanda.
Kumbuka kunataratibu za usafi na usalama wa maisha ya watu, na hilo huwa siyo juu ya mtu mwingine amfanyie mwenye kiwanda, ni jukumu lake kuhakikisha taratibu za usalama zinafuatwa, taratibu za kutochafua mazigira zinafuatwa, ndiyo ni gharama za ziada nje ya malighafi, mishahara ya wafanyakazi, pesa za kununulia mitambo, na mwenye kiwanda hafahamu pesa ya kutimiza mashariti ya usalama wa raia na usafi wa mazingira zitarudije, ni kweli hazi rudi , lakini ni wajibu.
Kama ungelisema Serikali itafute njia za kuwapatia mikopo yenye unafuu hapo utaeleweke, au kama ni Serikali ishughulikie suala la mazingira, lakini mwenyekiwanda itabidi kulipa gharama hizo, lakini muda wake utakuwa umeokolewa kwa vile mtu mwingine kamfanyia, siyo bure.
On Wednesday, 7 May 2014, 9:20, "hosea.ndaki@gmail.com" <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:
Hilde, hapa ndo tatizo lilipo badala ya kumsaidia mwenye kiwanda kujenga pond ya maji machafu tunafunga kiwanda! Sasa kwanini asiagize nguo kutoka pakistan na kuziuza hapa nchini badala ya kuhangainga na nemc.
Ukianzisha kiwanda unakuwa mhalifu usiyefikishwa mahakamani, mara kelele za mashine sijui umejenga makazi ya watu, achilia msululu wa vibali na leseni.
Makelele ya miziki ya bar na grosary sio tatizo, moshi wa mishikaki sio tatizo, harufu ya mikojo ya walevi sio tatizo, ila maji yenye rangi za khanga ndo tatizo kweli?
Iweje iwe rahisi kuagiza runinga majokofu na viyoyozi lakini iwe vigumu kujenga asembly plant za bidhaa hizohizo?
----------
Sent from my Nokia phone
------Original message------
From: 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, May 7, 2014 7:15:13 AM GMT+0100
Subject: Re: [wanabidii] CHINA IS KILLING OUR INDUSTRIES
Kanyarara umesema ya ukweli, kubadili mitazamo na kufanya mapinduzi ya akili. Mtazamo ya mtanzania ni kuletewa na serikali au mhisani. Ndio hata ktk TV ukiona wama media wanauliza anamuuliza mtu-unaiambia nini serikali? Jibu-serikali ije ituondolee uchafu huu unanuka!! Sio mtu wa media amuulize tena au kabla ya hapo kuwa-kwani huu uchafu unatoka wapi; kwani siku hizi si kuna ukusanyaji na uzoaji taka kimtaa mnaingia mkataba na mkandarasi au wakandarasi wenye magari ya kuzoa taka
kwani mmehusishwaje? Kwa nini msiulize serikali ya mtaa badala ya kusema serikali ije iondoe? Kwani hata yeye mtu wa Media hajafanya utafiti kuhusiana na sekta hiyo anajiendea tu na kuishia kusema-unaiagiza nini GVT.
wasomi huenda study tour Ulaya hata china katika mashamba na viwanda na nchi mbali mbali. Wengine wamesoma huko. lakini hata ukiwapeleka wananchi study tour baada ya mafunzo, wakaona mashamba ya vyo, au migombe minene kituo cha mifugo akirudi haigi hata wapewe mbegu za muda mfupi na dume la ng'ombe, mbuzi la kisasa-mila kwanza ndio kipaumbele maana mifugo mingi ndio utajiri. Ladha ya mahindi ya kizamani ndio faraja sio haya ya muda mfupi. Hapo penye kilimo duni yupo bwana/bibi kilimo na mifugo naye wala hana shamba la mfano hapo kijijini. Kafungua saluni, beer bar au jioni naye anakunywa ulanzi, wala hana mifugo ya kisasa-anao muda? Wala hakuna kazi nyingi yupo yupo tu. Ukimuuliza anasema-motisha ya kazi. Lakini kama angekuwa na
shamba na mifugo ya kisasa ya mfano na kutengeneza chakula cha mifugo na kuuza ni motisha tosha huenda wangemuiga kama angewabidiisha.
Upo chuo cha mainjinia wa ujenzi lakini ngazi za zege hapo chuoni zote zimeboboka. Ujiangalie ukizikanyaga usije ukavunja mguu. Practical field training wanafanyia wapi? Akili zetu zipo sawasawa kweli. Wanapofanya material testing kwa nini wasiadopt mtaa, kijiji wakajenga nyumba, ofisi za kijiji, kukarabati kiwanda kwa mfano kutumia tested materials?-Mapinduzi ya akili ili kuweza kuwa na utendaji efficient and effective.
Inakuwaje Kiwanda cha mazao yoyote kianzishwe ktk maeneo ya makazi? Kosa kubwa tena anafanya mgeni kwa kurahisishiwa na mzawa wa taifa letu. Alipataje leseni Ezekiel na kabla ya leseni ya kiwanda kutolewa lazima eneo likaguliwe na mahitaji ya mazingira yathibitishwe-Noise level, dust and waste emissions etc. Inakuwaje kiwanga cha nguo -textile ambacho maji yake ya kemikali yanasababisha
cancer, kiruhusiwe kujengwa bila ya kuwa na proper waste stabilization ponds. Nani alithibitisha mchoro wa kiwanda hicho mpaka ukapata kibali cha ujenzi? huyu afukuzwe kazi iwe fundisho. Wakati tunasheria ya mazingira, nani anathibitisha umwagaji waste water ya textile industry directly mtoni (KTM, Morogoro textiles) na kukubali kiendeshwe kwa kutumia magogo ya miti kama kuni na hana msitu aliopanda mwenyewe? kisha ni kuitia GVT gharama kwa timu za ukaguzi toka NEMC etc badala tu ukaguzi mara kwa mara wa emission levels na District Industrial Health Officer tu akisaidiana
na District Environmental Engineer/Officer? Akili tunazo tunapoharibu mazingira yetu, kujiathiri wenyewe na kuruhusu viwanda hata kama vinatusaidia lakini kujiua wenyewe kiafya na kimazingira? Wageni wanatudharau tunapowasaidia kuimaliza nchi-kuwa ukitaka kufanya lolote lile na tena kinyume na sheria-Nenda tanzania chochote kinawezekana mradhi tu una pochi.
Externalization
of Error ndio hulka kubwa kwetu sio kujituna na internalization of errors ili tuseme mimi ni mhusika wa maendeleo yangu na ulinzi wa mazingira na nchi. Pia ninahusika kubadilika ili kubadili haya yaliyopo yenye mapungufu ili tuendeleze nchi yetu ipae maana tuna kila kitu kasoro juhudi za utendaji. Sera na sheria zipo ila kuziheshimu na kutenda ipasavyo.
Kusema kuwa-wanaganga njaa waache wapiga kura wangu ni ugonjwa wa akili mbunge huyo au kiongozi huyo aondolewe maana anatetea uzembe na uharibifu ambapo kama ni mercury ktk maji naye anainywa, misitu ikikatwa maporomoko yakitokea asiiite serikali kufukua wafu agharimie yeye. Ujinga na kukiuka maadili ya kazi ndio inaachia miji na vijiji ijengwe hovyo, maeneo ya rutuba kwa kilimo yapimwe viwanja vya majengo na ni majumba ya starehe. Mji umekuwa ndio sababu kila mtu kukimbilia mjini. Tumwe na miji na mashamba ya kilimo nje ya miji sio kote kuwe majumba mradi tu mtu alipe kodi. Hii itapunguza watu
kupenda kuhamia mijini. Mtu akipewa eneo la kulima shamba, akijenga majumba ya biashara-anyang'anywe, ikijengwa open space hakuna negotiation pabomolewe. Yeye awashitaki mwenyewe na kuwadai waliompa hati mafao yao yamlipe. Hii itakomesha ujinga wa akili, rushwa na ulafi.
On Wednesday, 7 May 2014, 8:09, 'ezekiel kunyaranyara' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Wenzetu wachina wana tabia moja ya kufanya kazi kwa bidii na nguvu baada ya kuwa akili imefanya sehemu yake.
Nafikiri tuanze na mapinduzi ya akili kwanza.
Utegemezi hasa wa akili tulionao watz hautatusaidia sana tuendako.
Wachina wamesukumwa na viwanda vya uzalishaji na vimewekwa hata nyumbani kwa mtu. Tuwashauri watanzania wenzetu waondokane na tabia ya kutaka kuuza mali za watu wengine bali waanza kuzalisha kiviwanda.
Kama mchina anazalisha Gypsum
nyumbani kwa mtu kwa nini tusiweze. Tiles zinazalishwa sana na mashine zake zinapatikana tena kwa bei ya Dola 8,000 tu je wale wanaofanya biashara hiyo ya kuagiza kutoka huko kwa nini wasilete viwanda hivyo hapa nchini ili wazalishe hapa kwetu.
Mali ghafi hata wachina baadhi wananunua kutoka nchi nyingine. Kata Tiles zinahitaji Calcium mbona kila sehemu hapa nchini inapatikana. Ukienda njia ya Tanga karibu na Chalinze utakuta malundo barabarani.
K.E.M.S.
On Tuesday, 6 May 2014, 17:18, Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com> wrote:
Mchina anasera gani kwa wawekezaji wa nje kwenye nchi yake? Kama kuna mtu anaufahamu na hilo basi tujuzane. Waafrika tuache kulalamika tunapenda vitu vya bure tunapenda kuwa nyuma kwa kila kitu. Hivi kama tuna vyuo vya veta na techinical colleges na hatuna uwezo hata wa kutengeneza vinu vya kukoboa kahawa na korosho au
kukausha alizeti huu upuuzi wa kuambizana kilimo ni uti wa mgongo unatoka wapi?
Pengine tunaweza sema uongozi umeshindwa lakini tujiangalie katika ngazi ya chini kabisa kifamilia au watu binafsi kiukweli tuko mabingwa sana wa kuongea lakini ukiangalia tunavyovishabikia havina maana. Kuna tabia hata ya kukatishana tamaa au kutokumkubali mtu anaetaka kuja na kitu cha kuleta mabadiliko, atafanyiwa kampeni mbaya ataonekana mjuvi ilimradi anaongea au anafanya jambo zuri.
Upenzi wa kukumbatia vya watu na kutokuwa tayari kuamshana kweenye usingizi unatufikisha hapa mchina asilaumiwe hata kidogo. Hivi mchina ndo kaaribu elimu yetu
2014-05-05 7:08 GMT-05:00 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Mchina amejaa UK anafanya kila kazi iliyopo hata ya kufagia mabweni na kuzoa taka na kuuza restaurant,
kupika kuliko huko nyuma kazi ambazo wakifanya weusi zaidi na restaurants wahindi na waturuki. kavamia UK. huko USA ndio balaa.Kitoto cha kichina kimeweza kuingia ktk kompyuta ya usalama wa nchi-kaingiaje? wanamwita na wanampa ajira. Mshinde lugha ya kiingereza lakini mahesabu na electronic-huoni ndani. Wapo bongo sasa kujenga majumba-kwani hatuna mainjinia? Tulijifunza wakati wa ujenzi wa reli ya TAZARA-Mchina manager ni dreva, ni kuli anapakia mizigo; ni kibarua anazoa zege na kujaza lori kisha anaendesha na kubwaga vinapotakiwa. Sisi na mipaka yetu ya kazi na kutaka rahisi rahisi tunajiangamiza.
>
>Kwani si tunakwenda wenyewe kuleta vitu kutoka China badala ya kwenda UK, Germany etc? Kule unapata cha bei poa cha
kukatika tu ukikifungua, cha bei ghali quality na high quality cha gharama-wewe unataka kipi. Tunaleta vilipuka vya bei poa tunajiangamiza. Si tumezoea kuchakachua?
>
>Kwani hakuna matajiri hapa wenye mihela? Mbona
hawachukui viwanda na kuvifufua? Wakaunda makampuni ya pamoja na kuwekeza, kuzalisha quality products? Kuwa na mikataba na wakulima na kununua mazao yao? Kuajiri maijinia toka nchi mbali mbali na kuweka ushindani wa bidhaa? nani atanunua chupi inayotengenezwa bongo ikiwa ukiivaa siku moja tu na upya wake kesho mpira unalegea na inaweza kukudondoka hadharani? Utanunua chupi ya mtumba inadumu isikudondoke hadharani.
>
>Mashamba na processing industries ngapi zimelala-mkonge. Wakipewa kiwanda wafufue wanaagiza na kujaza katika godown za kiwanda hicho mitumba, used cars, used spareparts za mashine, magari etc. hao ni wazalendo? Akija mchina, mhindi kuchukua maelfu ya shamba la mamlaka ya pamba, mkonge, kahawa, miwa-tunamvamia na
kumchomea mali zake lakini hatujiungi wananchi tukaomba, tukamila, tukasafirisha nje ya nchi hata kama ni nyanya, tikiti. Mbona ulaya wanauza viazi vitamu, unga wa muhogo, dagaa, mnavu, bamia kutoka nchi za africa
hadi India? ile gari iliyoanzishwa na Jeshi imeishia wapi-zilitengenezwa Nyumbu nyingine ngapi?-kabang!!
>
>Ukienda vijijini Lindi kunawaka taa porini-Solar toka China. hapa hatuna mainjinia? Kijana akigundua kitu cha technolojiwa anasaidiwa? inaishia magazetini na radioni hakuna anayemsaidia manufacturing kisasa kiuzwe. kila tajiri ni kuwekeza katika mabasi, malori, mpira, mikate, soda za rangi, media. lakni kiwanda cha kuzalisha cement-Waswedish, Nigerians etc.
>Wananchi wakipewa ardhi iliyokuwa mashamba ya serikali mfano-Hale-Pangani ukitokea Segera. Angalia plantation za katani hadi Tanga, na hata ukielekea Korogwe, Same, Moshi-mikatani tu na mipori. Hapo Hale Mhindi plantation owner kakimbia baada ya kupewa mokopo, kaenda kujenga
Canada bila ya shaka kasepa. Wananchi wanaopewa ardhi hawalimi bali wanaiuza na majengo ya kukaa-sio kilimo yanazuka nayo ni beer bars, lodges etc. Waliomba mashamba, wanapewa, waanuza mpaka kwa
wageni toka nchi jirani. Ni hivyo njia ya Bagamoyo- Msata-rice farms sasa ni bar, bar, bar, lodges-ndio utajiri wetu. Si mchele na mananasi tena ya Kiwangwa na maembe ya kutoka Bunju.
>
>Morogoro na Mbeya si zilikuwa ziwe Industrial area ndogo kupokea mlimbikizo wa viwanda Dar? viwanda vingapi vimekufa Moro na kuna Waarabu na Wahindi Matajiri? Abood, Hood, etc; Kuna Greeks, Goa, Iringa pia. Wamefanya nini kufufua kiwanda cha magunia, canvas, Tumbaku etc. Huko Tanga jee-ikivuma kwa viwanda zamani vya sabuni, dawa za mswaki, vyuma etc-Kulikoni? Tanga ikiongoza baada ya DSM. hata kishule kwa sekondari bora ikishindana na Moshi. Wapi yale maviwanda sasa. akija mchina kuchukua tutapiga kelele. Hatuna umoja kamilifu wa matajiri na uwekezaji maneno tu mengi. Hivyo
TIC ikatae ajae kutaka kuwekeza eti inaua viwanda vyetu ambavyo vilishakufa au vipo ICU na drip haiendi mishipa imeziba?
>
>
>Tunajiua wenyewe. Hii ni karne ya
ushindani kitechnolojia, quality products sio kukimbilia Indonesia na uarabuni kujaza madela na china kujaza simu na mapikipiki bila kufufua viwanda na kuzalisha vitu hivyo na vya mahitaji ya hapa kwetu.
>Hatujifunzi wala hatufundishiki. Ukiingizwa ubia-unaingiza ufisadi na kumsaidia mgeni kuibia nchi yako wewe unasomesha wanao ulaya na kujenga huko. Ubinafsi ndio asili ya mikataba mibovu na ubia mfano katika madini kuwa hausaidii sana maendeleo ktk taifa na wananchi jirani ya makampuni na machimbo. Private sekta wanakohusishwa wazawa kampuni ni wezi na umangimeza kuliko hata GVT sekta na kulipa mishahara midogo wafanyakazi ambao hata protective gear, bima ya maisha na afya ni ndoto.Kudhulumu wakulima na waajiriwa ndio mrahaba wa faida kwao. hata kuchakachua bidhaa wanafanya ndio za China
zisiwadidi zao wazalishazo?
>Naipenda nchi yangu lakini vya kutia vizunguzungu
vingi.
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>On Monday, 5 May 2014, 14:16, Yona Fares Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
>
>Sehemu nyingine huruhusiwi kuwekeza kama mzawa hana share kwenye mradi huo , maeneo kadhaa ya asia ya mbali wamefaidika kwa mikataba ya hivyo haswa wale wa pwani wanaotoa maeneo yao kwa mahoteli , wale wa mashamba makubwa na miradi ya migodi .
>
>
>Hapa pia tunaweza kufanya hivyo , je tutaweza kuendeleza na kuleta ushindani ? elimu kwanza ni muhimu kwa wananchi wote kabla ya kuingizwa kwenye mikataba au chochote .
>
>On Monday, May 5, 2014 2:21:47 AM UTC-7, Leila Abdul wrote:
> the circles of domination 1100 to 2012 west white domination and colonial governments to us. 2013 to 3000 the Asians spiritual and economic domination and 3001 plus the Blacks takes
over to be ruling the entire world as this is God choose people purified by learning from other Nations. they no right and wrong who dominate us. Our culture restoration to claim our heritage as we baptized by west and east we do not have what is ours because we are paradises, DOMINATED BY OTHER NATION IN BUSINESS IS A BREAD OF SHAME TO OUR PEOPLE
>>
>>On Monday, May 5, 2014 2:15:40 AM UTC-7, Sam Muigai wrote:
>>Apparently the whole whole is looking east...rembember EU countries at one requested China to invest billions in their countries, UK as well refurbishments of nuclear plants etc. All we can do is to go for a fair deal without overprotecting local industries. Whats the use of producing good s that are not affordable to the majority of the people.
>>>
>>>On Sunday, May 4, 2014 11:34:37 AM UTC-7, ekunyaranyara wrote:
>>>Fakhi, this is a good observarion and vibrant advice. May the Gov
take it seriously before things starts to fall apart.
>>>>
>>>>
>>>>
>>>>
>>>>Sent from Samsung Mobile
>>>>
>>>>-------- Original message --------
>>>>From: Fakhi
Karume
>>>>Date:04/05/2014 23:23 (GMT+05:30)
>>>>To: wana...@googlegroups.com
>>>>Subject: [wanabidii] CHINA IS KILLING OUR INDUSTRIES
>>>>
>>>>
>>>>Local industry is the backbone of each country's economy . One reason why so many companies are closing business in Tanzania is because of China . China is dumping its cheap products onto our markets . Go into any shop you will find Chinese zhing-zhongs there . The government need to control the influx of Chinese cheapies thereby protecting the
workers . China has now overtaken the US as Africa's biggest trading partner . We need a vibrant industry to create employment and be self sufficient in supplying local needs .
>>>>The partneship
with China must be reviewed and readjusted .CHINESE PRESIDENT .......is he a good friend ?
--
>>>>Send Emails to wana...@googlegroups.com
>>>>
>>>>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>>>wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>>>>
>>>>Disclaimer:
>>>>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>>>---
>>>>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>>>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com .
>>>>For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.
>>>>
--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Tunapeleka umeme vijijini kwa gharama ya serikali lakini ukijenga kiwanda mkuranga utajinunulia transfoma nguzo na nyaya. Barabara na maji itabidi ujitafutie achilia wananzengo kuziba barabara kwa mawe wakitaka fidia ya makaburi na mazindiko ya kimila.
Mkijenga holela serikali inaleta maji umeme na barabara, nssf NHC wakijenga makazi wajitafutie maji umeme na barabara!
Kiwasila hatukatai kufuata hizo taratibu na ni za msingi kabisa, tatizo si vibali tu, ni mfumo mzima wa uendeshaji na usimamizi wa shughuli za kiuchumi.
----------
Sent from my Nokia phone
------Original message------
From: 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, May 7, 2014 9:32:31 PM GMT+0100
Subject: Re: [wanabidii] CHINA IS KILLING OUR INDUSTRIES
Nielewavyo mimi ni kuwa-kuna maeneo ya kujenga viwanda na maeneo ya makazi. Kwa dar kwa Mfano ni Pugu Road, Mbagala maeneo fulani, Tangi bovu-Africana, Eneo la radio TZ la zamani; ukienda nje ya Dar-Kibaha.Kabla ya kiwanda kupata leseni au kibali sheria inataka design ya kiwanda iwakilishwe for approval. Hivyo wataangalia mchoro, aina ya uzalishaji, taka zitakazotolewa na utupaji taka wake. kama taka ngumu, taka maji zitatupwaje na wapi. kama taka maji za kemikali waste stabilization pond ni lazima design yake iwepo na kuonyesha level za kemikali zitakazotoka na level ya mwisho baada ya processing/treatment kabla ya kuingia mtoni ay baharini. Na ukaguzi wa kushtukiza na kupima level za emissions ni kazi ya GVT industrial officers waliokuwa chini ya Wizara ya Afya zamani siku hizi ni kazi ya NEMC.
NEMC haimjengei mtu oxidation au waste stabilization ponds. Wanachotakiwa ni kufunga kiwanda mpaka atimize masharti.
Ndio maana nilichangia kusema-inapotokea kiwanda kimejengwa ktk makazi ya watu au hakina waste treament kabla ya disposal au hakina waste stabilization ponds-kamata na fukuza kazi ofisa wa kwanza waliokagua mchoro na eneo na kuthibitisha kijengwe na kupitisha upper level-wamedanganya ni vibaka wala rushwa. Hao au hiyo timu kila mtu na wajibu wake wamedanganya maofisa wakubwa wa juu kwa kula rushwa, leseni ikatolewa na kiwanda kikajengwa. Waliothibitisha kukamilika jengo na vilivyotakiwa-Fukuza kazi mafao yao yalipe gharama za serikali na uchafuzi mazingira. Aliruhusu vipi kianze kazi na kutoa leseni ya kazi na anatoa carcinogenic chemicals kuingia mto Kizinga, Ruvu, au maeneo ya jamii? Kiwanda cha nguo au chochote kile cha kutumia kuni za miti na hana msitu aliopata-Funga na kamata afisa mthibitisha production leseni ikatolewa.
Watanzania hatujithamini hata utu wetu, hata saluni zinamwaga maji ya kemikali hovyo barabarani watoto na watu watembeao bila viatu wanakanyaga. Bomba zilizopasuka kemikali zinaingiza bombani watu kunywa ktk maji. Garage kila mahala na beer bars kila baada ya nyumba chache, matusi yanasikika next house na watoto. Mibaba iliyolewa inatoa nonino nje inakwenda haja ndogo watoto wanachungulia madirishani. Dust na na harufu na moshi wa rangi za mbao, chuma zinapumuliwa na watoto maana nyumba poorly ventilated. Bado moshi wa mapishi ndani ya majumba na nje moto wa mkaa na emissions zake kupika chips na mavyakula mengine nje ya kila baraza ya nyumba mtaani. Bado moshi wa viwanda, garage unaathiri afya zetu hasa watoto na wazee.
Viongozi wa Mtaa ndio shibe yao ya rushwa, ulinzi shirikishi au ulinzi jamii ndio kula yao hizo biashara kupita kuwatishia na kuchukua vijisenti. Wafukuze/waondoe na uwe unakaa mitaa hiyo kama hujaokotwa kichwa hapa miguu mtaa wa pili-Visasi zaidi kuliko kujali ethics za uzafi mazingira, mipango miji, vijiji na afya za binadamu. Noise levels zinazidi na kuathiri watoto kila mtu anachonga chuma, radio ndani na nje ya nyumba. Matokeo ya noise ni watoto watukutu.
Kwa sababu tunapenda easy come easy go na tumboni street ya bei za kuokota-matajiri wetu si wa kujiunga kufufua na kuzalisha vile ambavyo tunaviagiza nje. Na ndio hizo karakana za used spare parts, used bicycles, pikipiki, magari zimejaa badala ya kufufua hata vile viwanda vya baiskeli, viatu, mablanketi, Mutex, Mwatex, Sunguratex, Urafiki, Sabuni Pex etc. Na ukiingia viwanda vya vyuma chang.ombe utawahurumia wafanyakazi wake hawana protective gear na kwa mwaka wangapi hufa kwa kuchomwa na ndondo? Vumbi la chuma mpaka kwenye kope!!
Maji ya kinyesi cha mifugo, watu yatakuwa tatizo vipi na tunajenga nyumba kinyesini, magodoro yanajaa kinyesi na hatutaki kuhama mabondeni. hao walevi na matusi, mikojo watakuwaje tatizo na wanapotukana sote wazazi na watoto tunatoka kushuhudia na kucheka jamani. Kuna tatizo kubwa katika mipango miji vyombo husika kuzingatia sheria wanaachia hata planned/surveyed areas ziwe maeneo ya makorokoro. Kuna tatizo la sisi wananchi kuwa na usugu wa kutokusikia, kushaurika, kuharibu mazingira yetu kwa kisingizio cha kuganga njaa na kulipiza kisasi hatua inapochukuliwa. Utawala wa madaraka kwa wananchi kupitia serikali za Mtaa unaonekana kutokuwa efficient and effective. Vyama vya siasa havishindani kuboresha majimbo na maeneo yao kimaendeleo wanashindana matusi, kusutana na kuwaachia wananchi huru wafanye wapendavyo eti ndio demokrasia. tutavuna tunachombanda na ndio hicho cha viwanda mpaka residential areas, kuvuta poisonous gases, kuungua moto kiwanda
kinaporipuka na kuvuka katika kinyesi mvua inyeshapo, kufa mapema au kuwa na chronic diseases na kujiongezea umasikini-Sisi SIKIO LA KUFA Mike Zunzu.
On Wednesday, 7 May 2014, 12:50, 'Mike Zunzu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Mimi nilishughudia watu walioungua moto wa gesi iliyolipuka kwenye kiwanda kilichokuwa kimejengwa kati kati ya makazi Arusha mwaka 1982, watu walioungua ni pamoja na wafanyakazi, watu wa mitaani, watu waliokuwa wakinywa Pombo kwenye baa zilizokuwa karibu na kiwanda.
Kumbuka kunataratibu za usafi na usalama wa maisha ya watu, na hilo huwa siyo juu ya mtu mwingine amfanyie mwenye kiwanda, ni jukumu lake kuhakikisha taratibu za usalama zinafuatwa, taratibu za kutochafua mazigira zinafuatwa, ndiyo ni gharama za ziada nje ya malighafi, mishahara ya wafanyakazi, pesa za kununulia mitambo, na mwenye kiwanda hafahamu pesa ya kutimiza mashariti ya usalama wa raia na usafi wa mazingira zitarudije, ni kweli hazi rudi , lakini ni wajibu.
Kama ungelisema Serikali itafute njia za kuwapatia mikopo yenye unafuu hapo utaeleweke, au kama ni Serikali ishughulikie suala la mazingira, lakini mwenyekiwanda itabidi kulipa gharama hizo, lakini muda wake utakuwa umeokolewa kwa vile mtu mwingine kamfanyia, siyo bure.
On Wednesday, 7 May 2014, 9:20, "hosea.ndaki@gmail.com" <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:
Hilde, hapa ndo tatizo lilipo badala ya kumsaidia mwenye kiwanda kujenga pond ya maji machafu tunafunga kiwanda! Sasa kwanini asiagize nguo kutoka pakistan na kuziuza hapa nchini badala ya kuhangainga na nemc.
Ukianzisha kiwanda unakuwa mhalifu usiyefikishwa mahakamani, mara kelele za mashine sijui umejenga makazi ya watu, achilia msululu wa vibali na leseni.
Makelele ya miziki ya bar na grosary sio tatizo, moshi wa mishikaki sio tatizo, harufu ya mikojo ya walevi sio tatizo, ila maji yenye rangi za khanga ndo tatizo kweli?
Iweje iwe rahisi kuagiza runinga majokofu na viyoyozi lakini iwe vigumu kujenga asembly plant za bidhaa hizohizo?
----------
Sent from my Nokia phone
------Original message------
From: 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, May 7, 2014 7:15:13 AM GMT+0100
Subject: Re: [wanabidii] CHINA IS KILLING OUR INDUSTRIES
Kanyarara umesema ya ukweli, kubadili mitazamo na kufanya mapinduzi ya akili. Mtazamo ya mtanzania ni kuletewa na serikali au mhisani. Ndio hata ktk TV ukiona wama media wanauliza anamuuliza mtu-unaiambia nini serikali? Jibu-serikali ije ituondolee uchafu huu unanuka!! Sio mtu wa media amuulize tena au kabla ya hapo kuwa-kwani huu uchafu unatoka wapi; kwani siku hizi si kuna ukusanyaji na uzoaji taka kimtaa mnaingia mkataba na mkandarasi au wakandarasi wenye magari ya kuzoa taka
kwani mmehusishwaje? Kwa nini msiulize serikali ya mtaa badala ya kusema serikali ije iondoe? Kwani hata yeye mtu wa Media hajafanya utafiti kuhusiana na sekta hiyo anajiendea tu na kuishia kusema-unaiagiza nini GVT.
wasomi huenda study tour Ulaya hata china katika mashamba na viwanda na nchi mbali mbali. Wengine wamesoma huko. lakini hata ukiwapeleka wananchi study tour baada ya mafunzo, wakaona mashamba ya vyo, au migombe minene kituo cha mifugo akirudi haigi hata wapewe mbegu za muda mfupi na dume la ng'ombe, mbuzi la kisasa-mila kwanza ndio kipaumbele maana mifugo mingi ndio utajiri. Ladha ya mahindi ya kizamani ndio faraja sio haya ya muda mfupi. Hapo penye kilimo duni yupo bwana/bibi kilimo na mifugo naye wala hana shamba la mfano hapo kijijini. Kafungua saluni, beer bar au jioni naye anakunywa ulanzi, wala hana mifugo ya kisasa-anao muda? Wala hakuna kazi nyingi yupo yupo tu. Ukimuuliza anasema-motisha ya kazi. Lakini kama angekuwa na
shamba na mifugo ya kisasa ya mfano na kutengeneza chakula cha mifugo na kuuza ni motisha tosha huenda wangemuiga kama angewabidiisha.
Upo chuo cha mainjinia wa ujenzi lakini ngazi za zege hapo chuoni zote zimeboboka. Ujiangalie ukizikanyaga usije ukavunja mguu. Practical field training wanafanyia wapi? Akili zetu zipo sawasawa kweli. Wanapofanya material testing kwa nini wasiadopt mtaa, kijiji wakajenga nyumba, ofisi za kijiji, kukarabati kiwanda kwa mfano kutumia tested materials?-Mapinduzi ya akili ili kuweza kuwa na utendaji efficient and effective.
Inakuwaje Kiwanda cha mazao yoyote kianzishwe ktk maeneo ya makazi? Kosa kubwa tena anafanya mgeni kwa kurahisishiwa na mzawa wa taifa letu. Alipataje leseni Ezekiel na kabla ya leseni ya kiwanda kutolewa lazima eneo likaguliwe na mahitaji ya mazingira yathibitishwe-Noise level, dust and waste emissions etc. Inakuwaje kiwanga cha nguo -textile ambacho maji yake ya kemikali yanasababisha
cancer, kiruhusiwe kujengwa bila ya kuwa na proper waste stabilization ponds. Nani alithibitisha mchoro wa kiwanda hicho mpaka ukapata kibali cha ujenzi? huyu afukuzwe kazi iwe fundisho. Wakati tunasheria ya mazingira, nani anathibitisha umwagaji waste water ya textile industry directly mtoni (KTM, Morogoro textiles) na kukubali kiendeshwe kwa kutumia magogo ya miti kama kuni na hana msitu aliopanda mwenyewe? kisha ni kuitia GVT gharama kwa timu za ukaguzi toka NEMC etc badala tu ukaguzi mara kwa mara wa emission levels na District Industrial Health Officer tu akisaidiana
na District Environmental Engineer/Officer? Akili tunazo tunapoharibu mazingira yetu, kujiathiri wenyewe na kuruhusu viwanda hata kama vinatusaidia lakini kujiua wenyewe kiafya na kimazingira? Wageni wanatudharau tunapowasaidia kuimaliza nchi-kuwa ukitaka kufanya lolote lile na tena kinyume na sheria-Nenda tanzania chochote kinawezekana mradhi tu una pochi.
Externalization
of Error ndio hulka kubwa kwetu sio kujituna na internalization of errors ili tuseme mimi ni mhusika wa maendeleo yangu na ulinzi wa mazingira na nchi. Pia ninahusika kubadilika ili kubadili haya yaliyopo yenye mapungufu ili tuendeleze nchi yetu ipae maana tuna kila kitu kasoro juhudi za utendaji. Sera na sheria zipo ila kuziheshimu na kutenda ipasavyo.
Kusema kuwa-wanaganga njaa waache wapiga kura wangu ni ugonjwa wa akili mbunge huyo au kiongozi huyo aondolewe maana anatetea uzembe na uharibifu ambapo kama ni mercury ktk maji naye anainywa, misitu ikikatwa maporomoko yakitokea asiiite serikali kufukua wafu agharimie yeye. Ujinga na kukiuka maadili ya kazi ndio inaachia miji na vijiji ijengwe hovyo, maeneo ya rutuba kwa kilimo yapimwe viwanja vya majengo na ni majumba ya starehe. Mji umekuwa ndio sababu kila mtu kukimbilia mjini. Tumwe na miji na mashamba ya kilimo nje ya miji sio kote kuwe majumba mradi tu mtu alipe kodi. Hii itapunguza watu
kupenda kuhamia mijini. Mtu akipewa eneo la kulima shamba, akijenga majumba ya biashara-anyang'anywe, ikijengwa open space hakuna negotiation pabomolewe. Yeye awashitaki mwenyewe na kuwadai waliompa hati mafao yao yamlipe. Hii itakomesha ujinga wa akili, rushwa na ulafi.
On Wednesday, 7 May 2014, 8:09, 'ezekiel kunyaranyara' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Wenzetu wachina wana tabia moja ya kufanya kazi kwa bidii na nguvu baada ya kuwa akili imefanya sehemu yake.
Nafikiri tuanze na mapinduzi ya akili kwanza.
Utegemezi hasa wa akili tulionao watz hautatusaidia sana tuendako.
Wachina wamesukumwa na viwanda vya uzalishaji na vimewekwa hata nyumbani kwa mtu. Tuwashauri watanzania wenzetu waondokane na tabia ya kutaka kuuza mali za watu wengine bali waanza kuzalisha kiviwanda.
Kama mchina anazalisha Gypsum
nyumbani kwa mtu kwa nini tusiweze. Tiles zinazalishwa sana na mashine zake zinapatikana tena kwa bei ya Dola 8,000 tu je wale wanaofanya biashara hiyo ya kuagiza kutoka huko kwa nini wasilete viwanda hivyo hapa nchini ili wazalishe hapa kwetu.
Mali ghafi hata wachina baadhi wananunua kutoka nchi nyingine. Kata Tiles zinahitaji Calcium mbona kila sehemu hapa nchini inapatikana. Ukienda njia ya Tanga karibu na Chalinze utakuta malundo barabarani.
K.E.M.S.
On Tuesday, 6 May 2014, 17:18, Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com> wrote:
Mchina anasera gani kwa wawekezaji wa nje kwenye nchi yake? Kama kuna mtu anaufahamu na hilo basi tujuzane. Waafrika tuache kulalamika tunapenda vitu vya bure tunapenda kuwa nyuma kwa kila kitu. Hivi kama tuna vyuo vya veta na techinical colleges na hatuna uwezo hata wa kutengeneza vinu vya kukoboa kahawa na korosho au
kukausha alizeti huu upuuzi wa kuambizana kilimo ni uti wa mgongo unatoka wapi?
Pengine tunaweza sema uongozi umeshindwa lakini tujiangalie katika ngazi ya chini kabisa kifamilia au watu binafsi kiukweli tuko mabingwa sana wa kuongea lakini ukiangalia tunavyovishabikia havina maana. Kuna tabia hata ya kukatishana tamaa au kutokumkubali mtu anaetaka kuja na kitu cha kuleta mabadiliko, atafanyiwa kampeni mbaya ataonekana mjuvi ilimradi anaongea au anafanya jambo zuri.
Upenzi wa kukumbatia vya watu na kutokuwa tayari kuamshana kweenye usingizi unatufikisha hapa mchina asilaumiwe hata kidogo. Hivi mchina ndo kaaribu elimu yetu
2014-05-05 7:08 GMT-05:00 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Mchina amejaa UK anafanya kila kazi iliyopo hata ya kufagia mabweni na kuzoa taka na kuuza restaurant,
kupika kuliko huko nyuma kazi ambazo wakifanya weusi zaidi na restaurants wahindi na waturuki. kavamia UK. huko USA ndio balaa.Kitoto cha kichina kimeweza kuingia ktk kompyuta ya usalama wa nchi-kaingiaje? wanamwita na wanampa ajira. Mshinde lugha ya kiingereza lakini mahesabu na electronic-huoni ndani. Wapo bongo sasa kujenga majumba-kwani hatuna mainjinia? Tulijifunza wakati wa ujenzi wa reli ya TAZARA-Mchina manager ni dreva, ni kuli anapakia mizigo; ni kibarua anazoa zege na kujaza lori kisha anaendesha na kubwaga vinapotakiwa. Sisi na mipaka yetu ya kazi na kutaka rahisi rahisi tunajiangamiza.
>
>Kwani si tunakwenda wenyewe kuleta vitu kutoka China badala ya kwenda UK, Germany etc? Kule unapata cha bei poa cha
kukatika tu ukikifungua, cha bei ghali quality na high quality cha gharama-wewe unataka kipi. Tunaleta vilipuka vya bei poa tunajiangamiza. Si tumezoea kuchakachua?
>
>Kwani hakuna matajiri hapa wenye mihela? Mbona
hawachukui viwanda na kuvifufua? Wakaunda makampuni ya pamoja na kuwekeza, kuzalisha quality products? Kuwa na mikataba na wakulima na kununua mazao yao? Kuajiri maijinia toka nchi mbali mbali na kuweka ushindani wa bidhaa? nani atanunua chupi inayotengenezwa bongo ikiwa ukiivaa siku moja tu na upya wake kesho mpira unalegea na inaweza kukudondoka hadharani? Utanunua chupi ya mtumba inadumu isikudondoke hadharani.
>
>Mashamba na processing industries ngapi zimelala-mkonge. Wakipewa kiwanda wafufue wanaagiza na kujaza katika godown za kiwanda hicho mitumba, used cars, used spareparts za mashine, magari etc. hao ni wazalendo? Akija mchina, mhindi kuchukua maelfu ya shamba la mamlaka ya pamba, mkonge, kahawa, miwa-tunamvamia na
kumchomea mali zake lakini hatujiungi wananchi tukaomba, tukamila, tukasafirisha nje ya nchi hata kama ni nyanya, tikiti. Mbona ulaya wanauza viazi vitamu, unga wa muhogo, dagaa, mnavu, bamia kutoka nchi za africa
hadi India? ile gari iliyoanzishwa na Jeshi imeishia wapi-zilitengenezwa Nyumbu nyingine ngapi?-kabang!!
>
>Ukienda vijijini Lindi kunawaka taa porini-Solar toka China. hapa hatuna mainjinia? Kijana akigundua kitu cha technolojiwa anasaidiwa? inaishia magazetini na radioni hakuna anayemsaidia manufacturing kisasa kiuzwe. kila tajiri ni kuwekeza katika mabasi, malori, mpira, mikate, soda za rangi, media. lakni kiwanda cha kuzalisha cement-Waswedish, Nigerians etc.
>Wananchi wakipewa ardhi iliyokuwa mashamba ya serikali mfano-Hale-Pangani ukitokea Segera. Angalia plantation za katani hadi Tanga, na hata ukielekea Korogwe, Same, Moshi-mikatani tu na mipori. Hapo Hale Mhindi plantation owner kakimbia baada ya kupewa mokopo, kaenda kujenga
Canada bila ya shaka kasepa. Wananchi wanaopewa ardhi hawalimi bali wanaiuza na majengo ya kukaa-sio kilimo yanazuka nayo ni beer bars, lodges etc. Waliomba mashamba, wanapewa, waanuza mpaka kwa
wageni toka nchi jirani. Ni hivyo njia ya Bagamoyo- Msata-rice farms sasa ni bar, bar, bar, lodges-ndio utajiri wetu. Si mchele na mananasi tena ya Kiwangwa na maembe ya kutoka Bunju.
>
>Morogoro na Mbeya si zilikuwa ziwe Industrial area ndogo kupokea mlimbikizo wa viwanda Dar? viwanda vingapi vimekufa Moro na kuna Waarabu na Wahindi Matajiri? Abood, Hood, etc; Kuna Greeks, Goa, Iringa pia. Wamefanya nini kufufua kiwanda cha magunia, canvas, Tumbaku etc. Huko Tanga jee-ikivuma kwa viwanda zamani vya sabuni, dawa za mswaki, vyuma etc-Kulikoni? Tanga ikiongoza baada ya DSM. hata kishule kwa sekondari bora ikishindana na Moshi. Wapi yale maviwanda sasa. akija mchina kuchukua tutapiga kelele. Hatuna umoja kamilifu wa matajiri na uwekezaji maneno tu mengi. Hivyo
TIC ikatae ajae kutaka kuwekeza eti inaua viwanda vyetu ambavyo vilishakufa au vipo ICU na drip haiendi mishipa imeziba?
>
>
>Tunajiua wenyewe. Hii ni karne ya
ushindani kitechnolojia, quality products sio kukimbilia Indonesia na uarabuni kujaza madela na china kujaza simu na mapikipiki bila kufufua viwanda na kuzalisha vitu hivyo na vya mahitaji ya hapa kwetu.
>Hatujifunzi wala hatufundishiki. Ukiingizwa ubia-unaingiza ufisadi na kumsaidia mgeni kuibia nchi yako wewe unasomesha wanao ulaya na kujenga huko. Ubinafsi ndio asili ya mikataba mibovu na ubia mfano katika madini kuwa hausaidii sana maendeleo ktk taifa na wananchi jirani ya makampuni na machimbo. Private sekta wanakohusishwa wazawa kampuni ni wezi na umangimeza kuliko hata GVT sekta na kulipa mishahara midogo wafanyakazi ambao hata protective gear, bima ya maisha na afya ni ndoto.Kudhulumu wakulima na waajiriwa ndio mrahaba wa faida kwao. hata kuchakachua bidhaa wanafanya ndio za China
zisiwadidi zao wazalishazo?
>Naipenda nchi yangu lakini vya kutia vizunguzungu
vingi.
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>On Monday, 5 May 2014, 14:16, Yona Fares Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
>
>Sehemu nyingine huruhusiwi kuwekeza kama mzawa hana share kwenye mradi huo , maeneo kadhaa ya asia ya mbali wamefaidika kwa mikataba ya hivyo haswa wale wa pwani wanaotoa maeneo yao kwa mahoteli , wale wa mashamba makubwa na miradi ya migodi .
>
>
>Hapa pia tunaweza kufanya hivyo , je tutaweza kuendeleza na kuleta ushindani ? elimu kwanza ni muhimu kwa wananchi wote kabla ya kuingizwa kwenye mikataba au chochote .
>
>On Monday, May 5, 2014 2:21:47 AM UTC-7, Leila Abdul wrote:
> the circles of domination 1100 to 2012 west white domination and colonial governments to us. 2013 to 3000 the Asians spiritual and economic domination and 3001 plus the Blacks takes
over to be ruling the entire world as this is God choose people purified by learning from other Nations. they no right and wrong who dominate us. Our culture restoration to claim our heritage as we baptized by west and east we do not have what is ours because we are paradises, DOMINATED BY OTHER NATION IN BUSINESS IS A BREAD OF SHAME TO OUR PEOPLE
>>
>>On Monday, May 5, 2014 2:15:40 AM UTC-7, Sam Muigai wrote:
>>Apparently the whole whole is looking east...rembember EU countries at one requested China to invest billions in their countries, UK as well refurbishments of nuclear plants etc. All we can do is to go for a fair deal without overprotecting local industries. Whats the use of producing good s that are not affordable to the majority of the people.
>>>
>>>On Sunday, May 4, 2014 11:34:37 AM UTC-7, ekunyaranyara wrote:
>>>Fakhi, this is a good observarion and vibrant advice. May the Gov
take it seriously before things starts to fall apart.
>>>>
>>>>
>>>>
>>>>
>>>>Sent from Samsung Mobile
>>>>
>>>>-------- Original message --------
>>>>From: Fakhi
Karume
>>>>Date:04/05/2014 23:23 (GMT+05:30)
>>>>To: wana...@googlegroups.com
>>>>Subject: [wanabidii] CHINA IS KILLING OUR INDUSTRIES
>>>>
>>>>
>>>>Local industry is the backbone of each country's economy . One reason why so many companies are closing business in Tanzania is because of China . China is dumping its cheap products onto our markets . Go into any shop you will find Chinese zhing-zhongs there . The government need to control the influx of Chinese cheapies thereby protecting the
workers . China has now overtaken the US as Africa's biggest trading partner . We need a vibrant industry to create employment and be self sufficient in supplying local needs .
>>>>The partneship
with China must be reviewed and readjusted .CHINESE PRESIDENT .......is he a good friend ?
--
>>>>Send Emails to wana...@googlegroups.com
>>>>
>>>>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>>>wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>>>>
>>>>Disclaimer:
>>>>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>>>---
>>>>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>>>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com .
>>>>For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.
>>>>
--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment