Saturday 31 May 2014

[wanabidii] SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI 6.7 BILIONI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA

<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_04731.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107688" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_04731.jpg" alt="DSC_0473" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi wengine wa Mkoa wa Singida  kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, wakati Kinana alipokuwa Mkoani Singida kwa ziara ya kikazi ya siku saba.(Picha na Zainul Mzige wa <span style="color: #003300;">modewjiblog)</span>.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Nathaniel Limu, Singida</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoani hapa iliyoko kijiji cha Madewa nje kidogo ya Singida mjini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Dk.Kone amesema hospitali hiyo itakapokamilika,itahudumia wagonjwa kutoka mikoa yote ya kanda ya kati.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mkuu huyo alitoa rai hiyo wakati akitoa akitoa taarifa yake kwa katibu mkuu CCM taifa,Abrahamani Kinana aliyetembelea hospitali hiyo hivi karibuni.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amesema mkoa umetegewa eneo la ekari 283 kwa ajili ya uendelezaji wa mradi wa hospitali hiyo, ambayo itakuwa ya mfano hapa nchini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Dorothy Gwajima amesema lengo la mradi huo ni kuimarisha huduma za afya mkoani pamoja na mikoa jirani.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_04292.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107690" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_04292.jpg" alt="DSC_0429" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong> Katibu Mkuu wa CCM akiweka saini kwenye kitabu cha hospitali ya Rufaa huku Naibu Katibu Mkuu wake Mwigulu Nchemba na mkuu wa Mkoa wa Singida Kone wakishuhudia.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Dk.Gwajima amesema mradi huo utakapomalizika,utakuwa na majengo 29 yatakayotumika kutoa huduma mbali mbali.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mganga huyo mkuu,amesema changamoto inayowakabili ni pamoja na uhaba wa watumishi,nyumba za kuishi watumishi na ufinyu mdogo wa bajeti ya dawa kutoka bohari kuu ya madawa (MSD).</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kwa upande wake Kinana,alitumia fursa hiyo kumpongeza Dk.Kone kwa utendaji kazi wake ambao umesaidia kujengwa kwa hospitali hiyo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0446.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107691" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0446.jpg" alt="DSC_0446" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong> Mganga mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Singida (RMO) Bi. Doroth Bwajima akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amesema baada ya mradi huo kukamilika mkoa wa Singida utaondokana na matatizo ya huduma za afya.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Ili kumuunga mkono Dk.Kone kwa hili jambo nzuri la ujenzi wa hospitali ya rufaa ambayo itasaidia Watanzania wengi kupata huduma ya afya kwa kiwango kizuri,nitahakikisha nina muunganisha na baadhi ya marafiki zangu wa ndani na nje ya nchi ili waweze kusaidia kumalizika kwa ujenzi wa hospaitali hii inayovutia",amesema Kinana.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0453.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107692" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0453.jpg" alt="DSC_0453" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong> Mganga mfwawidhi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, Dkt Joseph Malunda, akiwaonesha michoro ya hospitali hiyo viongozi walioambatana na Kinana.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0463.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107693" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0463.jpg" alt="DSC_0463" width="640" height="461" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Viongozi mbalimbali wa mkoa huo wakimsikiliza Dkt Malunda.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0481.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107694" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0481.jpg" alt="DSC_0481" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong> Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida Pendael Maasai akisisitiza jambo kwa Kinana.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0499.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107696" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0499.jpg" alt="DSC_0499" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida Pendael Maasai akimwonyesha Katibu Mkuu kinana vifaa mbalimbali vilivyopo kwenye hospitali hiyo ya rufaa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0506.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107695" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0506.jpg" alt="DSC_0506" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mbunge MO akiangalia mojawapo ya vifaa vya hospitali ya rufaa ya singida.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0496.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107697" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0496.jpg" alt="DSC_0496" width="427" height="640" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Mohammed Dewji akisalimiana na Daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama wa mkoa wa Singida Dkt, Seleman Mutani wakati wa ukaguzi wa hospitali hiyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_05221.jpg"><span style="color: #008000;"><img class="aligncenter size-full wp-image-107689" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_05221.jpg" alt="DSC_0522" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Katibu Mkuu wa CCM Taifa akiongozana na mkuu wa Mkoa Kone, Mbunge wa jimbo la Singida Mjini Mh. Mohammed Dewji, wasaidizi wa Mbunge Duda Mugheny na David Mkufya wakimwongoza Kinana kutoka nje mara baada ya kukagua hospitali ya Rufaa ya Mkoa huo.(Picha zote na Zainul Mzige wa <span style="color: #003300;">modewjiblog</span>).</strong></em></span></p>

KAWAIDA

DSC_0473

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi wengine wa Mkoa wa Singida  kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, wakati Kinana alipokuwa Mkoani Singida kwa ziara ya kikazi ya siku saba.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoani hapa iliyoko kijiji cha Madewa nje kidogo ya Singida mjini.

Dk.Kone amesema hospitali hiyo itakapokamilika,itahudumia wagonjwa kutoka mikoa yote ya kanda ya kati.

Mkuu huyo alitoa rai hiyo wakati akitoa akitoa taarifa yake kwa katibu mkuu CCM taifa,Abrahamani Kinana aliyetembelea hospitali hiyo hivi karibuni.

Amesema mkoa umetegewa eneo la ekari 283 kwa ajili ya uendelezaji wa mradi wa hospitali hiyo, ambayo itakuwa ya mfano hapa nchini.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Dorothy Gwajima amesema lengo la mradi huo ni kuimarisha huduma za afya mkoani pamoja na mikoa jirani.

DSC_0429

 Katibu Mkuu wa CCM akiweka saini kwenye kitabu cha hospitali ya Rufaa huku Naibu Katibu Mkuu wake Mwigulu Nchemba na mkuu wa Mkoa wa Singida Kone wakishuhudia.

Dk.Gwajima amesema mradi huo utakapomalizika,utakuwa na majengo 29 yatakayotumika kutoa huduma mbali mbali.

Mganga huyo mkuu,amesema changamoto inayowakabili ni pamoja na uhaba wa watumishi,nyumba za kuishi watumishi na ufinyu mdogo wa bajeti ya dawa kutoka bohari kuu ya madawa (MSD).

Kwa upande wake Kinana,alitumia fursa hiyo kumpongeza Dk.Kone kwa utendaji kazi wake ambao umesaidia kujengwa kwa hospitali hiyo.

DSC_0446

 Mganga mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Singida (RMO) Bi. Doroth Bwajima akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo.

Amesema baada ya mradi huo kukamilika mkoa wa Singida utaondokana na matatizo ya huduma za afya.

"Ili kumuunga mkono Dk.Kone kwa hili jambo nzuri la ujenzi wa hospitali ya rufaa ambayo itasaidia Watanzania wengi kupata huduma ya afya kwa kiwango kizuri,nitahakikisha nina muunganisha na baadhi ya marafiki zangu wa ndani na nje ya nchi ili waweze kusaidia kumalizika kwa ujenzi wa hospaitali hii inayovutia",amesema Kinana.

DSC_0453

 Mganga mfwawidhi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, Dkt Joseph Malunda, akiwaonesha michoro ya hospitali hiyo viongozi walioambatana na Kinana.

DSC_0463

Viongozi mbalimbali wa mkoa huo wakimsikiliza Dkt Malunda.

DSC_0481

 Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida Pendael Maasai akisisitiza jambo kwa Kinana.

DSC_0499

Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida Pendael Maasai akimwonyesha Katibu Mkuu kinana vifaa mbalimbali vilivyopo kwenye hospitali hiyo ya rufaa.

DSC_0506

Mbunge MO akiangalia mojawapo ya vifaa vya hospitali ya rufaa ya singida.

DSC_0496

Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Mohammed Dewji akisalimiana na Daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama wa mkoa wa Singida Dkt, Seleman Mutani wakati wa ukaguzi wa hospitali hiyo.

DSC_0522

Katibu Mkuu wa CCM Taifa akiongozana na mkuu wa Mkoa Kone, Mbunge wa jimbo la Singida Mjini Mh. Mohammed Dewji, wasaidizi wa Mbunge Duda Mugheny na David Mkufya wakimwongoza Kinana kutoka nje mara baada ya kukagua hospitali ya Rufaa ya Mkoa huo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment