Sunday, 24 November 2013

Re: [wanabidii] MAUAJI NA UKATILI DHIDI YA WATANZANIA NCHINI KENYA

Wewe Shamrock ni uthibitiaho gani unaohitaji? Ingia jamii forum utaona picha ya huyo Dr

Rgrds
Magora

On Nov 25, 2013 10:00 AM, "shedrack maximilian" <shedrack_maximilian@yahoo.co.uk> wrote:

Yona;
Muhimu kwanza ni kuwa na takwimu sahihi ili kuwa na uhakika kama kweli wanaouwawa nai watz pekee au kuna raia wengine wakiwemo wakenya wenyewe wanauwawa. Matatizo ya uhalifu yamekuwa mengi hapa Africa mashariki na hasa jiji la Dar Es Salaam na ni changamoto kubwa,

Ulivyoliandika ni kama watz Wanauwawa kwasababu ya chuki ,toa uhakika zaidi ili mwisho tuamue cha kufanya.

--------------------------------------------
On Mon, 25/11/13, Yona Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:

 Subject: [wanabidii] MAUAJI NA UKATILI DHIDI YA WATANZANIA NCHINI KENYA
 To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>, "wanakenya@googlegroups.com" <wanakenya@googlegroups.com>, "Wanazuoni" <wanazuoni@yahoogroups.com>, "youngprofessionals_ke@googlegroups.com" <youngprofessionals_ke@googlegroups.com>, "wanataaluma@googlegroups.com" <wanataaluma@googlegroups.com>
 Date: Monday, 25 November, 2013, 6:34

 MAUAJI NA UKATILI
 DHIDI YA WATANZANIA NCHINI KENYA



 Ndugu zangu
 ,



 Kumekuwa na matukio
 ya kutisha dhidi ya raia wa watanzania
 wanaosoma , kuishi Kenya au kwenda tu kwa ajili ya safari
 zao mbalimbali za
 kikazi nchini humo matukio haya ni ya kutisha kama sio ya
 kuogofya na
 ukizingatia hali ilivyo afrika mashariki kwa sasa ya usalama
 ndio matukio haya
 yanaongezeka .


 Binafsi niliwahi
 kupoteza ndugu yangu miaka 3 iliyopita kule Mombasa
 , huyu ndugu yangu alikuwa anaishi huko na wazazi wake
 kwenye biashara ya
 mahoteli basi wakamvizia usiku wakaenda wakanyonga mpaka leo
 kesi yake
 haijulikani ilivyoisha isha .


 Wiki iliyopita kuna
 mtanzania ameuwawa kinyama alipokuwa
 anatoka kwenye ukumbi wa disko , kutokana na maelezo ya
 awali wanasema
 alishawasiliana na rafiki zake kwamba ndio anatoka ukumbini
 kurudi nyumbani
 lakini hakufika mpaka alipokuja kuokotwa akiwa ameshafariki
 dunia .


 Weekend hii ya
 kuamkia leo kuna mtanzania amepatikana
 hospitali Fulani huko jijini Nairobi akiwa hajitambui kabisa
 ikagundulika ni
 daktari na mfanyakazi wa wizara ya afya huko Zanzibar mpaka
 naandika hivi mkewe
 ameshaenda huko lakini hajitambui inaonekana walimpiga na
 kitu kizito usoni
 upande wa jicho .Hatujui baada ya uhalifu huu wamemwibia
 taarifa gani au nini .


 Inaonyesha
 watanzania wamekuwa target ya uhalifu wa kikenya
 haswa jijini Nairobi na Mombasa na muda wote huko serikali
 yetu kupitia balozi
 wetu huko Kenya hajawahi kutoa tamko lolote wala chochote
 hata hii habari ya
 huyu daktari pia watu wako kimya sijui wanataka sasa watu
 wafanye nini ?
 wajilinde wenyewe ?


 Hali hii
 inanikumbusha kipindi Fulani wakati wa machafuko ya
 kibaguzi huko afrika kusini dhidi ya watu wasiokuwa raia wa
 afrika kusini ,
 siku moja makundi ya vijana wa afrika kusini walikuwa
 wanaenda kuvamia kwenye
 sehemu walizokuwa wanakaa raia wa afrika magharibi haswa
 naigeria hawa jamaa wa
 naigeria walikuwa wamejiandaa na silaha zao bastoli ,
 bunduki na nyingine
 mbalimbali wakawa wanawangoja hawa vijana wa zuma
 .


 Wale vijana wa
 zuma
 kuona vile na jeshi la polisi kuona vile
 ndio mzozo ukaishia hapo .


 Tusingependa itokee
 hivi kwa ndugu zetu na jirani zetu hapo Kenya
 pale ambapo watanzania watachoka kuumizwa na kuuwawa kwa
 kunyongwa kila mara .


 Naomba serikali
 kupitia waziri mhusika wa mambo ya nje au wa
 afrika mashariki na balozi wetu hapo Kenya watoe tamko la
 kuhusu kile
 kinachoendelea huko Kenya na kuhakikishia watanzania hao
 usalama wao huko Kenya
 .
 --
 Find Jobs in
 Africa Jobs in AfricaInternational Job
 Opportunities International Job Opportunities
 Jobs in
 Kenya Jobs in Kenya





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment