Sunday, 18 November 2012

Re: [wanabidii] Re: Semina ya Ujasiriamali

Mafunzo ya ujasiriamali kwa email bila malipo

Tembelea tovuti yangu na ujiunge kupata mafunzo ya ujasiriamali kwa email bila malipo. Pia utapata taarifa mbali mbali zinazohusu mambo ya ujasiriamali na utaweza kupata ushauri kutoka kwangu kwa kunitumia email. Kujiunga bofya hapa;
http://mshauriwabiashara.weebly.com/

CHARLES NAZI
 
Charles ni mshauri wa biashara Kwa ushauri tembelea blogu; http://www.squidoo.com/mshauricharles

Pia ni  mtunzi wa kitabu cha mbinu za biashara tembelea blogu; http://www.squidoo.com/kitabu-mbinu-za-biashara


From: lucas haule <kisacha2003@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Friday, August 14, 2009 2:03 PM
Subject: [wanabidii] Re: Semina ya Ujasiriamali

Mmoja wa washiriki nitakuwa mimi,
Tunalipia wapi, hapohapo ukumbini au ?

--- On Fri, 8/14/09, charles nazi <cnazi2002@yahoo.com> wrote:

From: charles nazi <cnazi2002@yahoo.com>
Subject: [wanabidii] Re: Semina ya Ujasiriamali
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, August 14, 2009, 12:42 AM


Grace
Unaweza kuwasiliana na sisi ili tupange namna ya kuja huko. Kwa kuwa masuala ya semina kama hizo yana gharama kama ukiweza kupata watu wengi wanaohitaji hiyo semina tunaweza kuja baada ya kuangalia gharama. Naomba tuwasiliane kwa simu namba 0755394701. Watu wengine pia ambao wanahitaji semina tunaweza kuwasiliana.
CHARLES NAZI
Kwa ushauri wa biashara tembelea blogu yangu.    http://charles-bcb.blogspot.com /> wrote:

> From: grace mhina <gracemhina@yahoo.co.uk>
> Subject: [wanabidii] Re: Semina ya Ujasiriamali
> To: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Friday, August 14, 2009, 8:17 AM
> Nadhani hujambo?
>  
> Asante kwa taarifa ya Semina hiyo ila sie wa huku
> Mikoani tutafaidika vipi na Semina hiyo muhimu kwetu?
> Tafadhali nasi utufikirie walao siku moja mje na huku Tanga
> tufanye Semina na jinsi hiyo.
>  
> Asante kwa ushirikiano uliopo
>  
> Goldern Hair
>
> --- On Thu, 13/8/09, Theodor Congos
> <tkcongos@yahoo.com> wrote:
>
>
> From: Theodor Congos <tkcongos@yahoo.com>
> Subject: [wanabidii] Re: Semina ya Ujasiriamali
> To: wanabidii@googlegroups.com
> Cc: cnazi2002@yahoo.com
> Date: Thursday, 13 August, 2009, 4:19 PM
>
>
>
>
>
>
> Asante sana Charles Nazi, tutakuja kwenye
> hiyo semina ya ujasiriamali.
>
>
>  
>  
>  
> Theodor Kaijanante
> email: tkcongos@yahoo.com
>
> EDC
> Ltd: Result-oriented, Business skills and Entrepreneurship
> training for Enterprise
> Development
>
> --- On Thu, 8/13/09, babalao
> <cnazi2002@yahoo.com> wrote:
>
>
> From: babalao <cnazi2002@yahoo.com>
> Subject: [wanabidii] Semina ya Ujasiriamali
> To: "Wanabidii"
> <wanabidii@googlegroups.com>
> Cc: cnazi2002@yahoo.com
> Date: Thursday, August 13, 2009, 5:11 AM
>
>
>
> Kwa wana Bidii,
> Charles Nazi mtunzi wa kitabu cha mbinu za biashara
> akishirikiana na
> James Mwang'amba wa Mwang'amba Communication, Eric
> Shigongo na Shirati
> wanakuletea semina ya ujasiriamali ambayo itaendeshwa
> katika jengo la
> Milenium Tower Kijitonyama Dar es salaam siku ya Jumamosi
> tarehe
> 15/8/09 na Jumapili tarehe 16/8/09 saa 8 alasiri. Mada
> zitakazozungumziwa ni Siri ya utajiri,namna ya kubuni na
> kuanzisha
> biashara yako, namna ya kutafuta masoko, kutangaza biashara
> na jinsi
> ya kupambana na vikwazo katika biashara yako. Pia utapata
> fursa ya
> kununua vitabu vya ujasiriamali vya kiingereza na
> kiswahili, kikiwepo
> kitabu cha Mbinu za biashara na maarifa ya kupata pesa na
> utajiri.
> Kiingilio ni sh. 5,000.00 kila siku. Nyote mnakaribishwa.
> Kwa
> mawasiliano piga simu namba 0755394701
> CHARLES NAZI
> Mshauri wa biashara na mtunzi wa kitabu cha Mbinu za
> biashara na
> maarifa ya
> kupata pesa na
>  utajiri.
>
>
>
>
>
>     
>
> >
>
>
>


     


--~--~---------~--~----~------------~-------~--~----~
To post to this group, send email to wanabidii@googlegroups.com
To unsubscribe from this group, send email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
For more options, visit this group at
http://groups.google.com/group/wanabidii?hl=en?hl=sw
-~----------~----~----~----~------~----~------~--~---



0 comments:

Post a Comment