Mashaka
Mseto haujabadilika bali kuna wale wanaotaka waongoze milele hawataki kuongozwa. Hakuna haki Tanzania hii tunaburuzana tu
Fatma
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
From: "'Mashaka Makana' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wed, 28 Oct 2015 22:52:29 -0700
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Re: [Wanazuoni] Re: [TPN] UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR KURUDIWA
Bora wafanye ule mseto uendelee hii gharama ya uchaguzi wa marudio ni kuumiza wananchi
Sent from Yahoo Mail on Android
| From:"fatma_elia via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> Date:Wed, Oct 28, 2015 at 16:57 Subject:Re: [wanabidii] Re: [Wanazuoni] Re: [TPN] UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR KURUDIWA
Pamoja na taarifa za kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar nimebaki na maswali ambayo sijui ni nani anayeweza kunijibu 1. Serikali iliyokuwepo ilikuwa imemaliza muda wake kwa maana hiyo haina uhalali wa kisheria kuendelea kuwa madarakani. Hadi hapo tutakaporudia uchaguzi ni nani atakuwa na jukumu la kuiongoza nchi? 2. Tume imedai kulikuwa na mapungufu mengi yaliyosababisha kufutwa kwa uchaguzi huo. Je wakati wa marudio ni Tume hiyo hiyo ndio itakayosimamia huo uchaguzi au ni Tume ipi? 3. Gharama za kurudia uchaguzi huo zitatoka wapi wakati tumeshuhudia watu wanakufa kwa kukosa huduma pamoja na madawa hospitalini?
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
From: Elias Mhegera <mhegera@gmail.com> Sender: wanabidii@googlegroups.com Date: Wed, 28 Oct 2015 15:57:35 +0300 To: Wanazuoni<Wanazuoni@yahoogroups.com> ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com Cc: wanataaluma@googlegroups.com<wanataaluma@googlegroups.com>; wanabidii<wanabidii@googlegroups.com> Subject: [wanabidii] Re: [Wanazuoni] Re: [TPN] UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR KURUDIWA
Implicitly ni kwamba uchaguzi wote wa urais unarudiwa ikiwemo ule wa rais wa Jamhuri ya Tanzania kwa sababu kama umevurugwa kwa rais wa Zanzibar tutaaminije kwa ule wa Rais wa Muugano? -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/d/optout. | |
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment