Wednesday, 9 December 2015

[wanabidii] MeTL GROUP YASHEREKEA SIKU YA UHURU KWA KUFANYA USAFI COCO BEACH

Habari za asubuhi,


Tafadhali pokea CODES hapo chini


<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Na Rabi Hume, Modewjiblog</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited <strong>(MeTL Group</strong>) imesherekea sherehe za Uhuru wa Tanganyika, Disemba 9 kwa kufanya usafi katika ufukwe wa <strong>Coco Beach</strong> kama jinsi alivyoagiza rais wa Tanzania, <strong>Dkt. John Pombe Magufuli</strong> kwa kuagiza kuwa siku ya Uhuru itumike kufanya usafi kutokana na kushamiri kwa uchafu katika mazingira yanayotuzunguka.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Kwa kufata agizo hilo la <strong>Dkt. Magufuli,</strong> <strong>MeTL Group</strong> kwa kujumuisha viongozi wa kampuni na wafanyakazi wake imefanya usafi kwa pamoja katika ufukwe wa<strong> Coco Beach</strong> ili kusafisha eneo hilo ambalo linatumiwa na watu wa aina mbalimbali kwenda kujipumzisha pamoja  ndugu na familia siku za mapumziko.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Hizi ni baadhi ya picha wakati wafanyakazi wa <strong>MeTL Group</strong> wakifanya usafi katika ufukwe wa <strong>Coco Beach;</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7859.jpg"><img class="aligncenter wp-image-152704" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7859.jpg" alt="IMG_7859" width="620" height="413" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya MeTL Group, Bi. Fatema Dewji-Jaffer (kulia) akiongoza na Afisa Afya wa Manispaa ya Kinondoni, Bw. Kijumbe kuelekea kwenye eneo la usafi mara baada ya kuwasili kwenye fukwe za Coco Beach ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote Dec 9, 2015.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7779.jpg"><img class="aligncenter wp-image-152705" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7779.jpg" alt="IMG_7779" width="620" height="413" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wafanyakazi wa makampuni ya MeTL Group wakiwasili  kwenye fukwe za Coco Beach kushiriki zoezi la usafi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7812.jpg"><img class="aligncenter wp-image-152794" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7812.jpg" alt="IMG_7812" width="632" height="421" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><span style="color: #0000ff;">#HapaKaziTu.</span>.......Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya MeTL Group, Bi. Fatema Dewji-Jaffer (kulia) akisaidiana na Kiongozi Mahusiano ya Kazi wa MeTL Group, Subrina Gulamali Bhatti kubeba moja ya gogo lililokuwa linazagaa kwenye fukwe hizo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7815.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152795" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7815.jpg" alt="IMG_7815" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7820.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152796" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7820.jpg" alt="IMG_7820" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wafanyakazi wa makampuni ya MeTL Group wakiendelea na zoezi la usafi katika fukwe za Coco Beach ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote Dec 9, 2015.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7739.jpg"><img class="aligncenter wp-image-152793" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7739.jpg" alt="IMG_7739" width="630" height="420" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Zoezi la kukusanya  takataka na kuchoma mifuko ya nailoni iliyokuwa imezagaa kwenye fukwe za Coco Beach likiendelea.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7733.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152792" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7733.jpg" alt="IMG_7733" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_77391.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152807" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_77391.jpg" alt="IMG_7739" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7765.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152803" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7765.jpg" alt="IMG_7765" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wengine wakiendelea kufyeka vichaka vya majani katika fukwe za Coco Beach.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7717.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152805" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7717.jpg" alt="IMG_7717" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Zoezi likiendelea.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7704.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152806" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7704.jpg" alt="IMG_7704" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Takataka zikiendelea kukusanywa na kuchomwa moto.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7746.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152804" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7746.jpg" alt="IMG_7746" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Takataka zikikusanywa kwenye viroba.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7832.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152797" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7832.jpg" alt="IMG_7832" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Zoezi likiendelea kwa ushirikiano wa hali ya juu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7879.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152799" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7879.jpg" alt="IMG_7879" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7881.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152800" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7881.jpg" alt="IMG_7881" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><span style="color: #0000ff;">#HapaKaziTu</span> ndio maneno waliyokuwa wakisema wafanyakazi wa MeTL Group wakiendelea na zoezi la kusafisha fukwe za Coco Beach jijini Dar.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7809.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152802" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7809.jpg" alt="IMG_7809" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7847.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152798" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7847.jpg" alt="IMG_7847" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wafanyakazi wa MeTL Group katika picha ya pamoja.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7662.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152808" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7662.jpg" alt="IMG_7662" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Picha za kumbukumbu baada ya kazi zilipigwa.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7955.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152747" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7955.jpg" alt="IMG_7955" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkuu kitengo cha Rasimali watu anayeshughulikia wafanyakazi wa ndani (Local) kampuni ya MeTL Group, Masuma Mushtak (waliosimama wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Makao Makuu ya Ofisi za MeTL Group.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7964.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152748" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7964.jpg" alt="IMG_7964" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7971.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-152749" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7971.jpg" alt="IMG_7971" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"></p>


KAWAIDA

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group) imesherekea sherehe za Uhuru wa Tanganyika, Disemba 9 kwa kufanya usafi katika ufukwe wa Coco Beach kama jinsi alivyoagiza rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuagiza kuwa siku ya Uhuru itumike kufanya usafi kutokana na kushamiri kwa uchafu katika mazingira yanayotuzunguka.

Kwa kufata agizo hilo la Dkt. Magufuli, MeTL Group kwa kujumuisha viongozi wa kampuni na wafanyakazi wake imefanya usafi kwa pamoja katika ufukwe wa Coco Beach ili kusafisha eneo hilo ambalo linatumiwa na watu wa aina mbalimbali kwenda kujipumzisha pamoja  ndugu na familia siku za mapumziko.

Hizi ni baadhi ya picha wakati wafanyakazi wa MeTL Group wakifanya usafi katika ufukwe wa Coco Beach;

IMG_7859

Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya MeTL Group, Bi. Fatema Dewji-Jaffer (kulia) akiongoza na Afisa Afya wa Manispaa ya Kinondoni, Bw. Kijumbe kuelekea kwenye eneo la usafi mara baada ya kuwasili kwenye fukwe za Coco Beach ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote Dec 9, 2015.

IMG_7779

Baadhi ya wafanyakazi wa makampuni ya MeTL Group wakiwasili  kwenye fukwe za Coco Beach kushiriki zoezi la usafi.

IMG_7812

#HapaKaziTu........Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya MeTL Group, Bi. Fatema Dewji-Jaffer (kulia) akisaidiana na Kiongozi Mahusiano ya Kazi wa MeTL Group, Subrina Gulamali Bhatti kubeba moja ya gogo lililokuwa linazagaa kwenye fukwe hizo.

IMG_7815

IMG_7820

Wafanyakazi wa makampuni ya MeTL Group wakiendelea na zoezi la usafi katika fukwe za Coco Beach ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote Dec 9, 2015.

IMG_7739

Zoezi la kukusanya  takataka na kuchoma mifuko ya nailoni iliyokuwa imezagaa kwenye fukwe za Coco Beach likiendelea.

IMG_7733

IMG_7739

IMG_7765

Wengine wakiendelea kufyeka vichaka vya majani katika fukwe za Coco Beach.

IMG_7717

Zoezi likiendelea.

IMG_7704

Takataka zikiendelea kukusanywa na kuchomwa moto.

IMG_7746

Takataka zikikusanywa kwenye viroba.

IMG_7832

Zoezi likiendelea kwa ushirikiano wa hali ya juu.

IMG_7879

IMG_7881

#HapaKaziTu ndio maneno waliyokuwa wakisema wafanyakazi wa MeTL Group wakiendelea na zoezi la kusafisha fukwe za Coco Beach jijini Dar.

IMG_7809

IMG_7847

Baadhi ya wafanyakazi wa MeTL Group katika picha ya pamoja.

IMG_7662

Picha za kumbukumbu baada ya kazi zilipigwa.

IMG_7955

Mkuu kitengo cha Rasimali watu anayeshughulikia wafanyakazi wa ndani (Local) kampuni ya MeTL Group, Masuma Mushtak (waliosimama wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Makao Makuu ya Ofisi za MeTL Group.

IMG_7964

IMG_7971

 



--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment