Nadhani hata waandishi nao hawatendi haki. Kwangu sioni kosa la mawaziri kushtukiza walio chini yao maana kufanya hivyo wanaujua ukweli kwa macho na kusikia toka jikoni
Sent from my Huawei Mobile
'Lesian' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
>Hizi habar za hawa mawazir kushtukiza sjui ni kucopy strategy ambazo hawanayo in their minds, wabuni mbinu mbadala waache kukariri,so wats next ukishashtukiza....
>Mm nafurah makyembe na wazir mwenzake wao wameenda kutembelea magereza na kusikikiza challenges and wakatoa siku za kupatkana suluhu....wakaunda team
>Big up wakuu,lakini kigwa na huyu dada wao ni kukimbia kimbia tu kutisha watu,mara wafunge maget and so on
>We need solutions,sio kucopy mbinu ambazo hazij na suluhu bana
>
>'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
>
>>
>>
>>Sasa ugonjwa ni kuvamia badala ya toka huko nyuma kushughulikia vikwazo vya manpower, tools, facilities ambazo vituo vya afya, zahanati na hospitali havina na kila bajeti ikipita hawapewi hela. Ikiwezekana Rais aliyeanzia mtindo huu akemee uishe wakae maofisini na kamati zao wapange mikakati ya kutatua matatizo ya vifaa etc ambayo yapo ni changamoto za utendaji. Hata mawizarani unakuta photocipy machine hazifanyi kazi, uwekaji mafaili utata yanaliwa na mchwa au kunyeshewa, vyoo vimefungwa kwa kuwa vimeziba au vibovu-Unavamia Kituo vya Afya!???!
>>--------------------------------------------
>>On Sun, 20/12/15, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com> wrote:
>>
>> Subject: [wanabidii] WAZIRI UMMY MWALIMU AVAMIA HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO MKOANI TANGA, KUKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA LEO
>> To:
>> Date: Sunday, 20 December, 2015, 17:39
>>
>> Habari za jioni,
>> Tafadhali pokea CODES hapo chini
>>
>>
>> <span style="color:
>> #000000;"><em><strong><a
>> style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0011.jpg"><img
>> class="size-full wp-image-153688 aligncenter"
>> src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0011.jpg"
>> alt="IMG-20151220-WA0011" width="640"
>> height="392"
>> /></a></strong></em></span><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong>Waziri wa Afya,
>> Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu
>> akizungumza na mmoja wa wahudumu wa afya (jina lake
>> halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha la dawa katika
>> Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya
>> kushtukiza mchana wa leo Disemba 20,
>> 2015.</strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong><a
>> style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg"><img
>> class="aligncenter size-full wp-image-153689"
>> src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg"
>> alt="IMG-20151220-WA0012" width="640"
>> height="444"
>> /></a></strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong>Waziri wa Afya,
>> Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu
>> akizungumza na mmoja wa wakina mama anayemhudumia mwanae
>> katika wodi ya watoto Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani
>> Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza leo mchana Disemba 20,
>> 2015.</strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong><a
>> style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg"><img
>> class="aligncenter size-full wp-image-153690"
>> src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg"
>> alt="IMG-20151220-WA0019" width="640"
>> height="466"
>> /></a></strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong>Waziri wa Afya,
>> Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu
>> akimsikiliza mmoja wa akina mama aliyelazwa kwenye wodi ya
>> wazazi wakati wa ziara ya kushtikiza aliyoifanya mchana wa
>> leo Desemba 20, 2015 katika Hospitali ya rufaa ya Bombo
>> mkoani
>> Tanga.</strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong><a
>> style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0020.jpg"><img
>> class="aligncenter size-full wp-image-153691"
>> src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0020.jpg"
>> alt="IMG-20151220-WA0020" width="480"
>> height="607"
>> /></a></strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong>Kaimu Mganga Mkuu
>> wa Mkoa wa Tanga (RMO), Dkt. Clement Marceli akimwelezea
>> changamoto wanazokabiliana nazo katika Hospitali ya rufaa ya
>> Bombo mkoani Tanga Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
>> Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu (hayupo
>> pichani).</strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong><a
>> style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0017.jpg"><img
>> class="aligncenter size-full wp-image-153692"
>> src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0017.jpg"
>> alt="IMG-20151220-WA0017" width="540"
>> height="480"
>> /></a></strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong>Daktari aliyekuwa
>> kwenye mafunzo, Dkt. Zuberi (Medical Intern) akitoa maelezo
>> ya namna wanavyohudumia wananchi wanaofika hospitalini hapo
>> Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto,
>> Mh. Ummy Mwalimu (kulia) aliyefanya ziara ya kushtukiza
>> katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani Tanga mchana wa
>> leo Desemba 20, 2015 ambapo Waziri huyo alikutana na
>> changamoto utoro wa madktari wa zamu kutokuwepo kwenye kituo
>> chao cha kazi katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani
>> Tanga.</strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong><a
>> style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0016.jpg"><img
>> class="aligncenter size-full wp-image-153694"
>> src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0016.jpg"
>> alt="IMG-20151220-WA0016" width="480"
>> height="532"
>> /></a></strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong><a
>> style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA00191.jpg"><img
>> class="aligncenter size-full wp-image-153693"
>> src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA00191.jpg"
>> alt="IMG-20151220-WA0019" width="640"
>> height="466"
>> /></a></strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong>Mratibu wa
>> Hospitali ya Rufaa ya Bombo, mkoani Tanga kutoka Idara ya
>> Tiba, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na
>> Watoto, Dkt. Ibrahimu Maduhu (mwenye tai) akitoa maelezo kwa
>> Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto,
>> Mh. Ummy Mwalimu namna wanavyokabiliana na changamoto ya
>> kuzuia vifo vya mama na mtoto katika hospitali hiyo wakati
>> wa ziara ya kushtukiza iliyofanywa na Mh. Ummy Mwalimu
>> katika wodi ya wazazi leo mchana Disemba 20,
>> 2015.</strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong><a
>> style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0014.jpg"><img
>> class="aligncenter size-full wp-image-153695"
>> src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0014.jpg"
>> alt="IMG-20151220-WA0014" width="627"
>> height="480"
>> /></a></strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong>Baadhi ya
>> madaktari waliokuwa mafunzoni wakizungumza na Waziri wa
>> Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy
>> Mwalimu aliyefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya
>> Rufaa ya Bombo, mkoani Tanga mchana wa leo Disemba 20,
>> 2015.</strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong><a
>> style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0023.jpg"><img
>> class="aligncenter size-full wp-image-153696"
>> src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0023.jpg"
>> alt="IMG-20151220-WA0023" width="640"
>> height="403"
>> /></a></strong></em></span></p><p
>> style="text-align: center;"><span
>> style="color:
>> #000000;"><em><strong>Waziri wa Afya,
>> Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu
>> akipitia orodha ya mahudhurio ya zamu za Madaktari na
>> Wauguzi ambao wengi hawakuwepo kazini wakati wa ziara yake
>> ya kushtukiza katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani
>> Tanga aliyoifanya leo mchana Disemba 20,
>> 2015.</strong></em></span></p><p
>> style="text-align:
>> center;"></p>
>>
>>
>> KAWAIDA
>> Waziri wa Afya,
>> Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu
>> akizungumza na mmoja wa wahudumu wa afya (jina lake
>> halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha la dawa
>> katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya
>> ziara ya kushtukiza mchana wa leo Disemba 20,
>> 2015.Waziri wa Afya,
>> Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu
>> akizungumza na mmoja wa wakina mama anayemhudumia mwanae
>> katika wodi ya watoto Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani
>> Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza leo mchana Disemba 20,
>> 2015.Waziri wa Afya,
>> Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu
>> akimsikiliza mmoja wa akina mama aliyelazwa kwenye wodi ya
>> wazazi wakati wa ziara ya kushtikiza aliyoifanya mchana wa
>> leo Desemba 20, 2015 katika Hospitali ya rufaa ya Bombo
>> mkoani Tanga.Kaimu Mganga Mkuu wa
>> Mkoa wa Tanga (RMO), Dkt. Clement Marceli akimwelezea
>> changamoto wanazokabiliana nazo katika Hospitali ya rufaa ya
>> Bombo mkoani Tanga Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
>> Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu (hayupo
>> pichani).Daktari aliyekuwa
>> kwenye mafunzo, Dkt. Zuberi (Medical Intern) akitoa maelezo
>> ya namna wanavyohudumia wananchi wanaofika hospitalini
>> hapo Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na
>> Watoto, Mh. Ummy Mwalimu (kulia) aliyefanya ziara ya
>> kushtukiza katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani Tanga
>> mchana wa leo Desemba 20, 2015 ambapo Waziri huyo alikutana
>> na changamoto utoro wa madktari wa zamu kutokuwepo kwenye
>> kituo chao cha kazi katika Hospitali ya rufaa ya Bombo,
>> mkoani Tanga.Mratibu wa Hospitali
>> ya Rufaa ya Bombo, mkoani Tanga kutoka Idara ya Tiba, Wizara
>> ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Dkt.
>> Ibrahimu Maduhu (mwenye tai) akitoa maelezo kwa Waziri wa
>> Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy
>> Mwalimu namna wanavyokabiliana na changamoto ya kuzuia vifo
>> vya mama na mtoto katika hospitali hiyo wakati wa ziara ya
>> kushtukiza iliyofanywa na Mh. Ummy Mwalimu katika wodi ya
>> wazazi leo mchana Disemba 20,
>> 2015.Baadhi ya madaktari
>> waliokuwa mafunzoni wakizungumza na Waziri wa Afya,
>> Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu
>> aliyefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa
>> ya Bombo, mkoani Tanga mchana wa leo Disemba 20,
>> 2015.Waziri wa Afya,
>> Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu
>> akipitia orodha ya mahudhurio ya zamu za Madaktari na
>> Wauguzi ambao wengi hawakuwepo kazini wakati wa ziara yake
>> ya kushtukiza katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani
>> Tanga aliyoifanya leo mchana Disemba 20,
>> 2015.
>>
>>
>>
>>
>> --
>>
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>>
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
>> kudhibitisha ukishatuma
>>
>>
>>
>> Disclaimer:
>>
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
>> for any legal consequences of his or her postings, and hence
>> statements and facts must be presented responsibly. Your
>> continued membership signifies that you agree to this
>> disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>
>> ---
>>
>> You received this message because you are subscribed to the
>> Google Groups "Wanabidii" group.
>>
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails
>> from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>
>> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>>
>>--
>>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>>
>>Disclaimer:
>>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>---
>>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment