Monday, 6 October 2014

Re: [wanabidii] Edward Ngoyai Lowassa: Mchapa kazi mwenye nakisi ya uadilifu na falsafa

Daudi alikuwa masiah,saul pia,Yesu,nk...Daudi,Solomon,hezekiah walikuwa watawala na wanasiasa hao...wenye haki wakitawala watu hufurahi...taifa lisilotendeka haki,halitosimama...unategemea haki katika utawala itapatikana kwa watu wasiokuwa na Mungu ktk fahamu zao? ....mnaponia mambo basi nieni kwa kadri ya imani zenu..
.

'frank patrick materu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Ngupula,
Huwezi kumfananisha mwanadamu symbolically na Yesu. Kwa mfano hakuna mwanadamu anayeweza kuwa jiwe kuu la pembeni. Ni Yesu pele yake. Wala huwezi kumwila mtu Mesia. Mesia ni Yesu pele yake. No divinity in a human being hata kama unampenda kiasi gani Edo.
Siasa ni mchezo mchafu na ni mtego mbaya sana. Kwa mtu aliyeokoka kama wewe na mimi kuwa patriot kwenye siasa ni machukizo tu mbele za Mungu. Frank


On Monday, October 6, 2014 7:35 PM, 'Ngupula GW' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Frank,tunaongea kitu kimoja,nami nakuelewa kabisa...katika agano la kale tunaona wana wa israel walikunywa maji katika mwamba,na tukajifunza mwamba huo ni Yesu...katika agano jipya tunaona Yesu anambadilisha Petro jina na kumuita Kefa,maana yake ni Jiwe.....pia tunajifunza injili ya Kristo pia imejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii....kwa hiyo tukubaliane kuwa upo msingi mkuu na ipo misingi midogo...kumfananisha Lowassa na msingi wa matarajio mema ya Tanzania ijayo symbotically,sioni dhambi...
YESU aliitwa masiha wa Bwana,lkn daudi pia...leo hii kumuita mtu masiha si dhambi kwani maana ya masiha ni mpakwa mafuta wa Bwana..

'frank patrick materu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Ngupula,
 
Isaiah Chapter 28

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment