Thursday, 25 June 2015

Re: [wanabidii] Tuwaulize wawania urais maswali magumu

Warioba akichukua fomu kwa ccm atatukanwa nanyi mpaka akome..maana kwa kariba yake hawezi kujiunga na wahuni.....hapo ndo tutawaona unafiki wenu...kama katiba  tayari makamu mwenyekiti wa tume ile anagombea.mpeni kura

On Jun 26, 2015 4:11 AM, "fatma_elia via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Warioba kwenye chama kubwa nahisi hata hiyo fomu hatapewa
Tuwashawishi hawa wengine ambao hawajamtaja mgombea wao wazungumze na huyu mzee ili tumpe miaka mitano tu ya kutunyooshea nchi kisha uchaguzi unaofuata watakuwa wamesoma na wanaweza kuwa na Candidate mzuri sana wa kumpokea kijiti

It is just a dream

Fatma
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

-----Original Message-----
From: "'ananilea nkya' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thu, 25 Jun 2015 14:41:12
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Tuwaulize wawania urais maswali magumu

Ndugu yangu, ukitaja Warioba si unataja mmoja wa wananchi. Ni nani katika chama hicho mwenye nia ya kuwasikiliza wananchi? Si ungewaona kwenye Bunge la Katiba?
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Thu, 6/25/15, 'fhkipamila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Tuwaulize wawania urais maswali magumu
 To: "'ananilea nkya' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Thursday, June 25, 2015, 9:16 PM

 Ananilea dadangu mbona unasita
 kutamka kuwa anayetufaa kwa sasa ni warioba
 SENT FROM ALCATEL ONETOUCH TABLET

 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

 >Na zaidi tunahitaji Rais mwenye  aliyeamua
 mwenyewe  na kwa dhati kabisa anaona  uongozi wake
 unaweza  kutoa mchango mkubwa  kwa nchi. Maana
 yake  awe ni mtu mwenye maono, utashi, mchapa kazi,
 hekima, asiye mbinafsi  na zaidi mwenye ujasiri wa
 kusimamia serikali yake iwajibike kwa wananchi na siyo
 kuwakandamiza na kuwaumiza kwa kutumia jeshi la polisi
 wanapodai haki ya afya, elimu, barabara na ajira yenye staha
 zinazotokana na utajiri wa nchi yetu na wala siyo kuomba
 omba kwa wafadhili ambao nao wanakwapua mali zatu.
 >
 >Mtu anaweza kuwa msafi lakini moga wa kupigania haki za
 wanyonge. Moga wa kufanya maamuzi mpaka amuulize
 aliyemsukuma kugombea hiyo nafasi.  Si mnakumbuka 
 Rais Kikwete awali alionekana kama vile alikuwa na
 dhamira  kusimamia upatikanaji wa Katiba Mpya
 iliyotokana na maoni ya wananchi lakini mwishoni alikosa
 ujasiri huo baada ya kuvutwa na chama chake maana Katiba ya
 wananchi ingeondoa ufisadi unaokinufaisha chama chake?
 Alikosa  sifa moja tu--ujasiri 
 akaitumbukiza  nchi kwenye mpasuko na zaidi
 kachelewesha mabadiliko chanya --rasilimali za nchi
 kunufaisha wananchi. 
 >
 >Hivyo mgombea anaweza kuonekana ana sifa ya usafi 
 lakini akaogopa kubomoa mfumo unaofukarisha  na kutesa
 wananchi walio wengi huku wakitajirika watawala wachache.
 >
 >Sidhani kwamba kwa  wananchi  hoja ni mtu
 anatoka Tanganyika au Zanzibar,Kusini au mashariki, 
 maana hoja siyo upande wa nchi  atokako mtu katika
 jamhuri yetu, bali ni mtu mweye uwezo na nia kiasi gani ya
 kujitoa kuongoza nchi ili wananchi wengi wanufaike na
 rasilimali za nchi na wasiwe wananyanyaswa na na kuteswa
 wanapodai  uwajibikaji wa serikali. Kuendelea
 kufanya  Ikulu kuwa  sehemu ya majaribio ya
 uongozi kutaendelea kutaigharimu nchi na
 wananchi.   
 >Ananilea Nkya
 > E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
 >
 >--------------------------------------------
 >On Thu, 6/25/15, 'mpombe mtalika' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:
 >
 > Subject: [wanabidii] Tuwaulize wawania urais maswali
 magumu
 > To: "'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
 > Date: Thursday, June 25, 2015, 12:15 PM
 >
 > Evarist Chahali
 >
 > Ninaomba pia kutumia fursa hii kuwatakia ndugu zangu
 > Waislamu mfungo mwema wa mwezi Mtukukufu wa Ramadhan.
 >
 > Katika makala ya hii nitaendelea kuzungumzia
 > kinyang'anyiro cha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa
 kufanyika
 > baadaye mwaka huu. Na zaidi nitaelemea katika nafasi
 ya
 > urais, hususan mchakato unaoendelea ndani ya chama
 tawala,
 > CCM, ambapo hadi wakati ninaandaa makala hii, makada 37
 wa
 > chama hicho wameshajitokeza kuomba ridhaa ya chama
 hicho
 > kuwapitisha kuwania nafasi hiyo.
 >
 > Lakini kabda sijaingia kwa undani, pengine ni muhimu
 > tukumbushane kuwa wakati idadi ya makada 37 (ambayo
 huenda
 > ikaongezeka) ni ya kihistoria, suala la kushtua zaidi
 ni
 > ukweli kwamba miongoni mwao ni pamoja na Makamu wa
 Rais,
 > Waziri Mkuu na mawaziri kamili saba, bila kujumuisha
 manaibu
 > waziri.
 >
 > Nimekumbushia suala hili kwa sababu ni vigumu kufahamu
 > serikali yetu muda huu inaendeshwaje, hasa ikizingatiwa
 kuwa
 > Rais Jakaya Kikwete nae amekuwa katika safari za mara
 kwa
 > mara nje ya nchi (wakati ninaandika makala hii yupo
 nchini
 > India).
 >
 > Ukiondoa Makamu wa Rais, ambaye anakuwa kaimu Rais
 wakati
 > Rais anapokuwa nje, licha ya majukumu ya kiwaziri,
 Waziri
 > Mkuu na hao mawaziri wengine pia ni wabunge. Katika
 hili ni
 > vigumu kufahamu wanamudu vipi kugawa muda wao kwa
 majukumu
 > yao ya kiserikali, kiubunge na hayo ya kuwania
 kuteuliwa
 > kuwania nafasi ya Urais.
 >
 > Hata hivyo, si vigumu kudhani kwamba kwa muda huu,
 akili na
 > nguvu kubwa kwa makada wote waliotangaza nia zitakuwa
 > zimeelekezwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais. Kwa
 kiasi
 > gani hilo linaathiri utumishi wao kwa umma, ni vigumu
 kwa
 > sisi wengine kufahamu.
 >
 > Nikirejea kwenye suala la makada wa CCM kutangaza nia
 zao
 > kuwania urais, jina lililosikika zaidi wiki iliyopita
 > lilikuwa la Jaji Mkuu wa zamani, Augustino Ramadhan.
 Japo
 > jina lake lilishawahi kutajwa huko nyuma kama mmoja wa
 watu
 > 'wanaoweza kuokoa jahazi,' lakini kwa kiasi
 kikubwa
 > habari zilizosikika huko nyuma zilionekana kama tetesi
 tu
 > pasi uthibitisho.
 >
 > Angalau mara mbili, gazeti hili la Raia Mwema lilibeba
 > habari zilizohusu uwezekano wa Jaji Ramadhani kugombea
 urais
 > kwa tiketi ya CCM.
 >
 > Binafsi, kwanza ninaheshimu uamuzi wa Jaji Ramadhani
 kwani
 > ni haki yake ya Kikatiba kuchukua uamuzi huo. Hata
 hivyo,
 > tayari kuna baadhi ya wananchi walioshtushwa kumsikia
 Jaji
 > huyo akielezea kuwa amekuwa mwanachama wa CCM tangu
 miaka ya
 > sitini.
 >
 > Kwanza ninadhani alipitwa tu kutoa kauli hiyo kwa
 sababu CCM
 > iliundwa mwaka 1977 baada ya TANU na ASP kuungana.
 Kwahiyo,
 > hakukuwa na CCM miaka ya sitini.
 > Jaji huyo alieleza kuwa alijiondoa CCM mwaka 1992
 kufuatia
 > mabadiliko ya sheria, ambapo mfumo wa vyama vingi
 > uliruhusiwa na hiyo kupelekea watumishi wa umma
 kutoruhusiwa
 > kuwa wanachama wa vyama vya siasa.
 >
 > Japo Jaji Ramadhan anasema alijiondoa CCM wakati huo,
 kuna
 > wanaokwenda mbali zaidi na kutaka uthibitisho katika
 suala
 > hilo. Sote tunaijua Tanzania yetu, na kwa hakika
 > tunawafahamu vema viongozi na wanasiasa wetu. Ni kwa
 mantiki
 > hiyo, kuna wanaotaka uthibitisho kuwa kweli Jaji huyo
 > alijiondoa CCM na kutokuwa mwanachama wa chama chochote
 cha
 > siasa katika utumishi wake, ikiwa ni pamoja na Ujaji
 Mkuu.
 >
 > Na kauli hiyo ya uana-CCM wake, kwa namna flani,
 imerejesha
 > tena suala la hukumu iliyotolewa na Jaji huyo kwa
 > kushirikiana na majiji wengine dhidi ya kesi ya
 Mchungaji
 > Christopher Mtikila aliyetaka mahakama itamke kuwa
 sheria
 > inayozuwia mgombea binafsi ni kinyume cha Katiba.
 > Pasi kuingiza kiundani katika kesi na hukumu hiyo,
 binafsi
 > ninaichukulia hukumu hiyo kuwa moja ya hiba (legacies)
 kuu
 > za utumishi wa Jaji Ramadhani.
 >
 > Kwa baadhi yetu tunadhani Jaji huyo angebaki shujaa
 kwa
 > demokrasia kwa sababu mfumo wa sasa unaolazimisha
 wawania
 > nafasi mbalimbali za uongozi ikiwa pamoja na urais
 kuwa
 > wanachama wa vyama vya siasa unatupunja fursa ya
 kupata
 > viongozi wa kisiasa wazalendo lakini wasiotaka
 kujihusisha
 > na vyama vya siasa.
 >
 > Hata hivyo, ili kumtendea haki, ni muhimu kutambua
 kuwa
 > hukumu hiyo haikuwa maamuzi binafsi ya Jaji Ramadhani
 bali
 > licha ya kuwahusisha majaji wengine pia, ilikuwa ni ya
 > kisheria na sio hisia binafsi.
 > Lakini kwangu, licha ya dalili zinazoonekana wazi kuwa
 kana
 > kwamba CCM imeshapata mgombea wake urais kufuatia
 uamuzi wa
 > Jaji Ramdhan kutangaza nia, nina wasiwasi kidogo
 kuhusu
 > ufanisi wake.
 > Kubwa zaidi ni ukweli kwamba Idara ya Mahakama, ambayo
 licha
 > ya Jaji Ramadhan kuitumikia muda mrefu bali pia aliwahi
 kuwa
 > mkuu wake kwa maana ya ujaji mkuu, imeendelea kuwa moja
 ya
 > taasisi sugu kwa rushwa.
 >
 >  Takribani kila ripoti inayotolewa kuhusu tatizo
 la rushwa
 > katika taasisi mbalimbali za serikali nchini mwetu,
 Idara ya
 > Mahakama haikosekani, na tena ikishika nafasi za juu.
 > Mara baada ya kuchukua fomu kuomba CCM imteue kuwania
 Urais,
 > Jaji Ramadhan aliwaambia waandishi wa habari kuwa
 atatumia
 > uzefu wake kupambana na ufisadi. Swali la msingi:
 uzoefu
 > upi? Huohuo ulioshindwa ukiondoa Idara ya Mahakama
 katika
 > orodha ya taasisi zinazoongoza kwa rushwa?
 >
 > Kwa upande mwingine, Jaji Ramadhan alikuwa mjumbe wa
 'Tume
 > ya Warioba' iliyokusanya maoni kuhusu mabadiliko ya
 > Katiba. Sote twakumbuka yaliyomsibu Jaji Joseph Warioba
 na
 > baadhi ya wasaidizi wake kupigania sio tu kazi nzuri
 > iliyofanywa na tume yao bali pia mustakabali wa Katiba
 > mpya.
 > Kwanini Jaji Ramadhani amekuwa kimya sana katika suala
 hilo?
 > Je ukimya wake ulitokana na kufahamu kuwa siku moja
 angeomba
 > kuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM?
 >
 > Na katika hilohilo, kwa vile mapendekezo ya Tume hiyo
 > iliyomshirikisha Jaji Ramadhani yalikuwa muungano
 wenye
 > muundo wa serikali tatu, je kwa vile CCM ambayo jaji
 huyo
 > anaiomba ridhaa ya kumteua awe mgombea wake ina msimamo
 wa
 > serikali mbili kama ilivyo sasa, hilo si tatizo
 angalau
 > kimsimamo na kimtizamo?
 >
 > Hadi muda huu, Jaji Ramadhani ni Rais wa Mahakama ya
 Afrika
 > kuhusu haki za binadamu. Sihitaji kuorodhesha matukio
 lukuki
 > ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania
 lakini
 > miongoni mwa matukio makubwa ni pamoja na ukatili
 unaofanywa
 > na Jeshi la Polisi na rushwa (naam, rushwa sio tu adui
 wa
 > haki bali pia inachangia ukiukwaji mkubwa wa haki za
 > binadamu).
 > Je Jaji Ramadhani amekuwa wapi wakati ukiukwaji wa haki
 za
 > binadamu ukiendelea kushamiri na kuwa kama
 umehalalishwa na
 > Katiba yetu? Ni nani anaweza kusimama hadharani na
 kuwaambia
 >
 >
 > Watanzania kuwa 'Urais wa Jaji Ramdhani katika
 Mahakama ya
 > Haki za Binadamu Afrika umechangia hili na lile katika
 > kutetea au kudumisha haki za binadamu nchini
 Tanzania'?
 > Niwe mkweli, binafsi ninamwona Jaji Ramadhani kama
 Rais
 > Kikwete alipojitambulisha mwaka 2005 kuwania urais na
 > hatimaye kushindwa nafasi hiyo.
 >
 > Alionekana mtu mwadilifu, aliyeitumikia nchi kwa muda
 mrefu,
 > na pengine kubwa zaidi, msafi (asiye na kashfa). Sifa
 hizo
 > zinalingana na tunazosikia kuhusu Jaji Ramadhan. Je,
 kwa
 > mfano, kuwa msafi ni sawa na kuwa na uwezo wa kuongoza
 > nchi?
 >
 > Lakini la mwisho kuhusu kada huyo ni taarifa za awali
 kuwa
 > amekuwa akiombwa na baadhi ya wana-CCM kuwania nafasi
 ya
 > urais (kuna wanaodai kuwa ndio mtu pekee anayeweza
 kumudu
 > 'kumzuia' Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa
 asiingie
 > Ikulu, na wengine wanasema Jaji huyo ndio 'msafi
 zaidi'
 > kuliko makada wengine wanazowania nafasi hiyo).
 >
 > Swali la msingi: je hao waliomwomba (kama ni kweli)
 > hawafanyi hivyo kwa maslahi yao binafsi? Na je,
 kumwomba
 > huko (kama ni kweli) hakutopelekea urais wa Jaji
 Ramadhan
 > (iwapo atashinda) ukaishia kuwa kama 'deni la kwa
 > wanamtandao' lilivyouandama utawala wa Rais Kikwete?
 > Nimalizie makala hii kwa kuwakumbusha tena Watanzania
 > wenzangu kuwa ni muhimu tujiulize na kuwauliza wawania
 urais
 > maswali magumu ili tusije kuishia kujiulaumu huko
 mbeleni.
 >
 > Nchi yetu ipo katika wakati mgumu; umasini wa
 kupindukia
 > huku ufisadi ukizidi kuimarika, uhaba mkubwa wa
 uzalendo,
 > utovu mkubwa wa maadili ya uongozi ikiwa na pamoja na
 uhuni
 > katika matumizi ya fedha za umma, shilingi inayporomoka
 kama
 > ipo kwenye mashindano ya marathoni na kadhalika.
 >
 > Tunahitaji rais ambaye si tu anajua matatizo yetu bali
 pia
 > ana uzalendo na uwezo wa kukabiliana nayo. Hatuhitaji
 Rais
 > msafi lakini mwoga wa kupambana na maharamia
 wanaoibomoa
 > nchi yetu kila kukicha.
 > Hatuhitaji mtu anayeahidi kupambana na rushwa ilhali
 hana
 > mfano japo mmoja wa jinsi alivyowahi kupambana na
 rushwa.
 >
 > chanzo raia mwema
 >
 > --
 > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 >
 > Kujiondoa Tuma Email kwenda
 > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 > Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 >
 > Disclaimer:
 > Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
 > for any legal consequences of his or her postings, and
 hence
 > statements and facts must be presented responsibly.
 Your
 > continued membership signifies that you agree to this
 > disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 > ---
 > You received this message because you are subscribed to
 the
 > Google Groups "Wanabidii" group.
 > To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails
 > from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 > For more options, visit
 > https://groups.google.com/d/optout.
 >
 >--
 >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 >
 >Kujiondoa Tuma Email kwenda
 >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 >
 >Disclaimer:
 >Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility for any legal consequences of his or her
 postings, and hence statements and facts must be presented
 responsibly. Your continued membership signifies that you
 agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules
 and Guidelines.
 >---
 >You received this message because you are subscribed to
 the Google Groups "Wanabidii" group.
 >To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 >For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.

 --
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment