Neatness,
Nakubaliana na wewe. Angelikuwa hajaokoka, isingelikuwa tatizo. Mtu akishasema, ameokoka, tayari ana kikomo, tayari ana miiko. Tunatakiwa kuwa mawe yaliyo hai. TUNATAKIWA KUWA BARUA ZILIZO HAI. – TUONEKANE NA KUSOMWA NA WATU WOTE. Kwa maneno mengine, tunatakiwa kumruhusu Kristo aumbike ndani mwetu – katika kiwango kile ambacho watu watatuangalia na kujua kwamba sisi ni wa kwake.
Sasa, je, hivyo si ndivyo Paulo alivyosema? "Nifuateni mimi kama nami ninavyomfuata Kristo." Kwa maneno mengine, "nimemruhusu Kristo anishughulikie, sasa na wewe mruhusu akushughulikie – ili uweze kusogezwa mbele katika kile Mungu anachotaka kwako."
Hata imekuwa mtu akiwa ndani ya Kristo Yesu amekuwa KIUMBE KIPYA; YA KALE YAMEPITA tazama YAMEKUWA MAPYA [2Kor.5:17]
Lakini mambo yale yaliyokuwa FAIDA kwangu, naliyahesabu kuwa HASARA kwa ajili ya Kristo. [Wafilipi 3:7] . Katika wokovu kuna faida na hasara. Mambo ya dunia inabidi kukubali kupata hasara, ili upate faida katika mambo ya mbinguni.
KUOKOKA NI GHARAMA. Wengi hawataweza. Yesu alisema, jitahidini kuingia katika ule mlango mwembamba,….maana wengi watajitahidi lakini hawataweza.
Dada Hapiness, mimi nami nimeokoka kama wewe, na kama binadamu hatujawa wakamilifu. Tunajikwaa katika mengi, na tunatubu na kugeuka. Ujumbe wako umefika, sasa kwa ajili ya Kristo, makala inayofuata naomba ionyeshe mabadiliko. Ubarikiwe na uwe baraka. Materu
On Sunday, October 5, 2014 6:40 PM, Neatness Msemo <nmuzeh@gmail.com> wrote:
Happy,
Mwandishi wa habari za mahakamani, unatisha.
Nimesikitika sana kwa jinsi unavyochanganya mambo.
Nimeona jinsi unavyohukumu wakati si kazi yako.Je nani anakulinda dada yangu kwani umeongea kana kwamba unajaribu luonyesha hisia zako ambacho si dhambi.
Lakini kama kweli wewe unasomea sheria naamin umeenda kinyume na maadili ya sheria na uandishi wa habari.
Kwani hupaswi kumshambulia mwingine bila kuwa na sheria inayokulinda kufanya hayo.
Kama unavyoandika habari kwa mtazamo wa kukilinda chama ndivyo wengine wanafanya kwa kulinda maslahi ya vyama vyao au utashi wao.hupaswi kuwashambulia na kibaya zaidi unatumia maneno ya biblia na kuwaita mashetani na kwamba wapo jehenam wewe mtotobona unachanganya mada.mchungaji wako nadhani inamwaibisha kwani wewe huna hata chembe ya ukristo.
Mtu anayemjua Mungu na kumfuata siku zote anakusanya pamoja na Kristo na sio kutawanya.maana alikuja kuokoa na sio kuwapeleka watu jehenamu.wanakwenda kwa kukosa maarifa.
Wewe unawaita watu wajinga .wapuuzi n.k nasikitika sana.wewe ni wa ndugu yao ibilisi kwani unawahukumu usiowajua na unavaa ngozi ya kondoo wakati wewe ni mbwamwitu.
Mwandishi wa habari za mahakamani, unatisha.
Nimesikitika sana kwa jinsi unavyochanganya mambo.
Nimeona jinsi unavyohukumu wakati si kazi yako.Je nani anakulinda dada yangu kwani umeongea kana kwamba unajaribu luonyesha hisia zako ambacho si dhambi.
Lakini kama kweli wewe unasomea sheria naamin umeenda kinyume na maadili ya sheria na uandishi wa habari.
Kwani hupaswi kumshambulia mwingine bila kuwa na sheria inayokulinda kufanya hayo.
Kama unavyoandika habari kwa mtazamo wa kukilinda chama ndivyo wengine wanafanya kwa kulinda maslahi ya vyama vyao au utashi wao.hupaswi kuwashambulia na kibaya zaidi unatumia maneno ya biblia na kuwaita mashetani na kwamba wapo jehenam wewe mtotobona unachanganya mada.mchungaji wako nadhani inamwaibisha kwani wewe huna hata chembe ya ukristo.
Mtu anayemjua Mungu na kumfuata siku zote anakusanya pamoja na Kristo na sio kutawanya.maana alikuja kuokoa na sio kuwapeleka watu jehenamu.wanakwenda kwa kukosa maarifa.
Wewe unawaita watu wajinga .wapuuzi n.k nasikitika sana.wewe ni wa ndugu yao ibilisi kwani unawahukumu usiowajua na unavaa ngozi ya kondoo wakati wewe ni mbwamwitu.
Usijidanganye.chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.mimi sipingi kuonyesha utashi wako lakini usipitilize kwani neno linasema utatoa hesabu ya maneno yako na kwa kadiri ya neema uliyopewa kujua mema utatKwa kuyatolea hesabu.
Nijuavyo mimi kuhusu siasa najua ni mchezo mchafu na wengi huchafuana.sasa kama na wewe ni mwanasiasa sidhani kama hapa ni jukwaa lako.huwa tunapenda haki na ukweli.ninachokuomba ni kuwa kama nia yako ni kupata umaarufu ama una kitu unataka basi andika proposal uzipeleke au uzitume naamin itapata unalotakiwa.
Bahati mbaya niliyonayo labda utanielewa vibaya binti mzuri unayechipukia.kama mwanasheria.na mwana habari tumia kalamu yako vizuri.utafanikiwa.kwani hili tunalojaribu kuliongelea ni jambo linalohusu nchi na vizazi vijavyo.sasa kulifanyia mchezo siku moja tutahukumiwa kwani kila jambo linanukuliwa.
Kanisa la Elishadai ni kanisa linaloheshimika usitake kuonyrsha kuwa mchungaji anakufundisheni kuandika maneno kama haya.kwani bibilia inasema tusinie yasiyotupasa kunia.kwanini ujifanye unajua kila kitu na unajiamini kama vile hakuna mtu anayejua zaidi yako hata kusikiliza ushauri hutaki ujue WeWe Hujajua kitu kabisa nadhani ungechukua muda kusoma unayoyaandika na kuyatathimini ungegundua kuwa bado wewe ni mtoto mdogo ambaye unatakiwa unywe maziwa yasiyoghoshiwa ili uukulie wokovu.kama kweli uko Elishadai kwani uko mbali na kweli huwezi kuwa unamjua Mungu na kisha ukamkataa kwa kupingana naye.kama kweli wewe ni kisima cha upendo kwanini unatoa maji machungu yanayo waumiza watu.
Bahati mbaya niliyonayo labda utanielewa vibaya binti mzuri unayechipukia.kama mwanasheria.na mwana habari tumia kalamu yako vizuri.utafanikiwa.kwani hili tunalojaribu kuliongelea ni jambo linalohusu nchi na vizazi vijavyo.sasa kulifanyia mchezo siku moja tutahukumiwa kwani kila jambo linanukuliwa.
Kanisa la Elishadai ni kanisa linaloheshimika usitake kuonyrsha kuwa mchungaji anakufundisheni kuandika maneno kama haya.kwani bibilia inasema tusinie yasiyotupasa kunia.kwanini ujifanye unajua kila kitu na unajiamini kama vile hakuna mtu anayejua zaidi yako hata kusikiliza ushauri hutaki ujue WeWe Hujajua kitu kabisa nadhani ungechukua muda kusoma unayoyaandika na kuyatathimini ungegundua kuwa bado wewe ni mtoto mdogo ambaye unatakiwa unywe maziwa yasiyoghoshiwa ili uukulie wokovu.kama kweli uko Elishadai kwani uko mbali na kweli huwezi kuwa unamjua Mungu na kisha ukamkataa kwa kupingana naye.kama kweli wewe ni kisima cha upendo kwanini unatoa maji machungu yanayo waumiza watu.
Maneno hayo hayo ungeweza kuyaleta vizuri tu kwa nini utimie mizaha na maneno yasiyofaa au yenye kumtuliza muhitaji.
Kutumia maneno kama marehemu wakati inajua ule ulikuwa muungano wa vyama au watu fulani sidhani kama inajenga kama mtu unayemwamini Mungu.umetumia kejeli chungu mzima ambazo hazikuwa za lazima.bado story yako ingependeza kama ungeiandika tu kama inavyowafaa watakatifu kwani hatupaswi kubadilika na kuwaweupe mahali fulani na kuwWeusi mahali pengine.soma Ufunuo wa Yohana 3 ujue ni wapi ulupoanguka na kutubu. Usihukumu usije ukahukumia.nimejaribu kukupa angalizo kama utasikia sawa la kama hutasikia naamin Mungu atasema nawe na namna nyingine.Paulo Mtume lwenye Warumi anasema mwingine anakula hiki mwingine analula hiki basi tunapaswa kuchukuliana na udhaifu wa kila mwingine.hata ikibidi kutokula kama kinamkwaza mwingine.Happy unawakwaza wengine acha mizaha katika mambo ya msingi ujue demokrasia inaruhusu kila mtu kutoa aliyonayo kwauhuru.kama CCM ilijipanga vizuri inaonyesha kukomaa kisiasa.lakini swali la kujiuliza je hao wengine je nao hawakujipanga?lakini je wanao uhuru uliowazi wa kufanya lama hao baba zetu.kama hawana usisifie tu kwani kama mwana sheria unajua hakuna haki.
Kutumia maneno kama marehemu wakati inajua ule ulikuwa muungano wa vyama au watu fulani sidhani kama inajenga kama mtu unayemwamini Mungu.umetumia kejeli chungu mzima ambazo hazikuwa za lazima.bado story yako ingependeza kama ungeiandika tu kama inavyowafaa watakatifu kwani hatupaswi kubadilika na kuwaweupe mahali fulani na kuwWeusi mahali pengine.soma Ufunuo wa Yohana 3 ujue ni wapi ulupoanguka na kutubu. Usihukumu usije ukahukumia.nimejaribu kukupa angalizo kama utasikia sawa la kama hutasikia naamin Mungu atasema nawe na namna nyingine.Paulo Mtume lwenye Warumi anasema mwingine anakula hiki mwingine analula hiki basi tunapaswa kuchukuliana na udhaifu wa kila mwingine.hata ikibidi kutokula kama kinamkwaza mwingine.Happy unawakwaza wengine acha mizaha katika mambo ya msingi ujue demokrasia inaruhusu kila mtu kutoa aliyonayo kwauhuru.kama CCM ilijipanga vizuri inaonyesha kukomaa kisiasa.lakini swali la kujiuliza je hao wengine je nao hawakujipanga?lakini je wanao uhuru uliowazi wa kufanya lama hao baba zetu.kama hawana usisifie tu kwani kama mwana sheria unajua hakuna haki.
Kama katiba imeisha kujadiliwa hakuna haja ya kushabikia kuwa wamefariki umoja bora ungesema kuwa umoja wao sasa umevunjika.kusema amezikwa ukawa je kiswahili sanifu ni kweli au unaharibu lugha.
Mwisho nakupongeza kwani unalijua vilivyo somo la propaganda za siasa naamin mwakani utafaa kwenda jimboni kwako unapotoka.angalizo kwenye kutoa maamuzi kama hutabadika hutafaa kuwa mbunge wala mkuu wa wilaya.
On Oct 5, 2014 9:42 AM, "Ireneus Kakuru Mushongi" <ireneuskakurumushongi@gmail.com> wrote:
-- We mtoto,Juzi ulishea na sisi life progress ya kwako tukaona uko kwenye trend nzuri ya professionalism, tukakuencourage kukeep up kumbe unknowingly we never know you have a troubled mind.Sasa unajaribu kutuprove wrong kwamba wewe si yule tuliyemfikiria alivyo.Hatupingi wewe kuonyesha hisia zako za kisiasa ama ni njaa driven ili baadaye ufikirike katika tunu zao.. but this is too wrong!Hii ni personal hatred unayoonyesha kwa kutumia kalamu yako but as well ni kinyume na taaluma ya sheria unayohangaika kuisoma kwa sababu inahitaji a critical thinker ambaye si wewe kwa akili hii.Stop and think before allowing your pen to sail through a paper and place yourself on the other side then you will decide a way forward.Njaa isikusumbue. Mgema akisifiwa..tembo hulitia maji.. this way you are distorting your image and professionalism.I bet ungeanza kuandika riwaya uuze kwani una muda mzuri wa kutengeneza hadithi ili kuwafurahisha mashabiki wako...unless you are a propagandist wao.. ukamsaidie bwana mdogo yule majukwaani..unaonekana unapataka kwa nguvu. Kadi si unayo tayari?Nimemaliza.. Ngambila balinsi... Kajungu malizia...On Oct 4, 2014 8:05 PM, "Erick Maro" <rikmaro@gmail.com> wrote:--Maneno mengi kumbe zote Pumba.On Oct 3, 2014 5:55 PM, "'jabir yunus' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:--Kwa hivo tulikuwa na marehemu UKAWA, ambaye tunaarifiwa kuwa amefariki dunia, siyo? Marehemu anafariki dunia!!!!
Duh, ama kweli, kazi ipo.
Jabir+
--------------------------------------------
On Fri, 10/3/14, 'ezekiel kunyaranyara' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, October 3, 2014, 3:21 PM
Wanajamvi
Si kila kitu kinaweza kuguswa kwenye Katiba.
Mengine tena Mengi yataingizwa kwenye sharia zitakazotungwa
na BUNGE. K.E.M.S.
On Friday, 3 October
2014, 10:47, Boniface Magessa <magessabm@gmail.com>
wrote:
Njaa ni mbaya sana...halafu huyu
dada si yuko chini ya kituo cha sheria na haki za binadamu
kinachomiliki university of bagamoyo!!!!napenda atambue kuwa
mwajiri wake anapingana na yeye....kama sujakosea...
On 3 Oct 2014 10:14,
"Selemani Rehani" <srehani@hotmail.com>
wrote:
Domilia,
Hongera kwa uvumilivu wako. Mimi nilipona anarudia rudia
nikadelete wala sikusoma. Hongera kwa uvumilivu wako wa
kusoma visivyosomeka.
Date: Fri, 3 Oct 2014 00:11:20 -0700
From: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA
To: wanabidii@googlegroups.com
Dear Katabazi,
Nimesoma
ujumbe wako: jibu fupi ni hili:
MAMBO
YA MSINGI YANAYOKOSEKANA KWENYE KATIBA:1.0
Mfumo mbovu wa uongozi na utendaji serikalini na
taasisi zake Tanzania bado
haujaguswa kwenye katiba......2.0
Nani atawadhibiti wanasiasa kwa kuweka ukomo wa ubunge?
Wananchi wamenyimwa hiyo fursa ndani ya katiba
"mpya".......
3.0
Uwajibikaji na kutenganisha serikali, bunge na
mahakama: kuharamisha mbunge kuwa waziri,
kusitisha teuzi lukuki za Rais........4.0 Idadi ya
mawaziri kuwa 30 badala ya 15 ya mapendekezo ya wananchi.
Kwa nini mawaziri 30? Ni wa nini? Kwa
rasilmali gani tulizo nazo kubeba mzigo wote huo? Watafanya
kazi gani?
5.0 Idadi ya
wabunge 390 ya nini badala ya 75 Bunge la Muungano? Ni wa
nini?
6.0
Kwa nini hakuna miiko ya uongozi iliyo inayotamkwa na
Katiba, wakati tatizo kubwa la viongozi (ni wengi) TZ ni
ukosefu wa maadili, uwajibikaji, uzalendo, uwazi
nk.?7.0 Taifa la
Tanzania linajivunia TUNU gani? Amani hakuna tena wala umoja
- ni hadithi tu sasa hivi!
8.0 Nani
atashughulikia mambo ya Muungano, na yasiyo ya
Muungano?
Uwe mwangalifu
Katabazi
Domilia
On Thursday, October 2, 2014
11:43 PM, 'Happiness Katabazi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
BURIANI UKAWA
Na
Happiness Katabazi
HAPPINESS
Katabazi nimepokea kwa furaha kifo Cha Marehemu
Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kilichotokea jana
saa nne asubuhi ya Oktoba 2 mwaka huu, jijini Dar es Salaam,
kutokana na maradhi ya shinikizo la Damu (BP).
Marehemu
Ukawa alikumbwa na umauti Jana wakati
akitaka kuingizwa Kwenye Gari akimbizwe hospitalini
akatibiwe.
Kwa
mujibu wa mashuhuda tukio Hilo, walisema
Marehemu Huyo alikuwa ameketi kwenye
Televisheni akifuatilia kikao cha Bunge Maalum la Katiba
lilokuwa likiitimisha kazi yake mjini Dodoma, na ghafla
Ukawa Alipomuona na kumsikia Katibu wa Bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Thomas Kashilila
akitangaza matokeo ya kura zilizokuwa zimepigwa na wajumbe
wa bunge hilo na kumsikia Dk.Kashilila akisema theluthi
mbili ya Zanzibar imepatikana na kwamba Katiba
iliyopendekezwa na Bunge imepitishwa kwa kupigiwa kura
nyingi za ndiyo.
Ndipo
marehemu Ukawa hali yake ya kiafya ikabadilika ghafla na
alianza Kulalamika kuwa anajisikia vibaya anaomba
apepewe ili apate hewa kwani anaona Giza na anapumua
kwa Shida sana.
Jamaa
waliokuwa wamekaa na Ukawa,walianza kumpepea huku wengine
wakimfungua Vifungo Vya shati na Kumvua viatu na kumpepea na
wengine wakitafuta Gari ili wamkimbize Hospitali , lakini
wakati wakimtoa Ukawa ndani ya nyumba yake wampakize Kwenye
Gari ,Ukawa aliwafia mikononi Kabla ya kapakizwa Kwenye Gari
Hilo.
Hata
hivyo mashuhuda walisema waliukabidhi mwili wa Marehemu
Ukawa hospitalini ', ukiwa Tayari wa baridi na Daktari
na kwamba hadi marehemu huyo anakumbwa na umauti
hakufanikiwa kupata nafasi ya kututubu dhambi
zake.
Na
walisema kwa mujibu wa ripoti ya daktari ,Daktari amesema
Chanzo Cha kifo Cha Ukawa ni ugonjwa wa
shinikizo la Damu lilompata baada ya kusikia tangazo kuwa
Katiba iliyopendekezwa na Bunge imepitishwa na
theluthi mbili ya wajumbe toka Zanzibar imepatikana maana
Enzi za Uhai wake Marehemu Ukawa Aliaminisha umma Kuwa
theluthi mbili ya wajumbe toka Zanzinar
haitapatikana.Marehumu Ukawa amekumbwa
na aibu licha ni Marehemu.
Msiba
wa Marehemu Ukawa ulifanyika jana ile ile na mwili wake
ukazikwa Kinondoni Mtaa wa Ufipa yaani Makao Makuu ya
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Na
waombolezaji walipata fursa ya Kuweka mashada ya maua
Kwenye Jeneza Hilo la Marehemu Ukawa , na Jana jioni
ndugu wa Marehemu Ukawa walianza kuweka tanga ndugu
ambapo tanga ndugu hiyo ya siku Tatu inamalizika
Kesho.
Waombolezaji
walikuwa wakitoa sifa za Marehemu Kuwa Marehemu alikuwa ni
mkorofi, Ana maneno makali, Mzushi Kwani alikuwa akijitapa
ametumwa na Watanzania Kumbe muongo maana hata
hajawahi kutoa orodha ya Majina ya Hao Watanzania
waliomtuma, mchonganishi,hakutaka Katiba
iliyopendekezwa na Bunge ipatikane na alisusia vikao vya
bunge akaamua kwenda kusiko julikana maana jimboni alikuwa
haonekani,mbinguni haonekani.
Marehemu
Ukawa Enzi za Uhai wake alijiapiza na kuaminisha umma
Kuwa ni lazima Bunge livunjwe Kwani
theluthi mbili ya wajumbe wa Zanzibar
haitapatikana.
Lakini
Jana theluthi mbili ya wajumbe toka Zanzibar ilipatikana
na Katiba iliyopendekezwa na Bunge ikapitishwa na
Oktoba 8 Mwaka huu, Bunge Hilo litamkabidhi Rais
Jakaya Kikwete. Ukawa ndiyo akajikuta amepatwa na
ugonjwa wa BP na kufariki Dunia ghafla bin vuu.Poleni
sana Wafiwa.
Marehemu
Ukawa amefariki Kipindi Kizuri wakati Watanzania Wengi
hatukuwa tukimuamini tena na Kumuunga mkono mAana
tulishambaini Ukawa ni kiongozi
asiyeitakia Mema Tanzania ,alikuwa anaamasisha wananchi
wavunje Sheria za nchi na waandamane na wagome
bila kikomo na Matokeo yake baadhi ya wafuasi wake
walijaribu kuandamana lakini jeshi la polisi mikoa yote
iliweza kuyasambaratisha maandamano Kabla hata
hawajaandamana.
Unapoizuzungumzia
Ukawa ,hasa Unaizungumzia Chadema na CUF. Lakini
Katika Ukawa , Chadema ndiyo ilikuwa na Nguvu na sauti
Kwani hapa Tanzania Bara ndiyo Chama Kikuu Cha upinzani na
ndicho chenye wabunge wengi kuliko CUF, NCCR- Mageuzi
na ilikuwa Ikiungwa mkono na baadhi ya viongozi wa Taasisi
za kidini.
Wakati
Bunge Maalum lililokuwa linafanyakazi yake kuliibuka vitendo
Vya baadhi ya wajumbe toka kundi la Ukawa, CCMkutolea maneno
yaliyofaa na niliwahi kukemea tabia hii kupitia Moja ya
makala zangu.
Lakini
Marehemu UKAWA ambaye naye alikuwa ni miongoni mwa wajumbe
wa Bunge hilo yeye alidai ameshindwa kuimarisha vijembe
hivyo na kwamba Akiamua kwenda kushitaki kwa wananchi Kuwa
wajumbe wa Bunge Hilo toka CCM wamekuwa wakiwadhalilisha
sana.
Watanzania
waliwasilikiliza na kuwapima na Mimi Nikiwa mmoja wao
nilimsikiliza Ukawa na kumuona Hana hoja ya
Msingi maana Kama kutolewa lugha ya kejeli hata wao
nao walikuwa wakiwatolea wenzao lugha za kejeli Cha Msingi
wasisusie vikao Vya Bunge.
Ushahidi
wa kuthibitisha Kuwa nilimshauri Marehemu UKAWA kupitia
makala yangu ya Agosti 3 Mwaka huu,iliyokuwa na kichwa Cha
Habari kisemacho " Ukawa Rudini Bungeni", huo hapo
ndani ya makala hiyo nilimshauri Marehemu Ukawa arudi ndani
ya Bunge akatetee Katiba ya wananchi akiwa ndani ya Bunge,na
kwamba kususia bunge siyo suluhisho na mwisho wa siku sisi
tutamfananisha Ukawa ni sawa na 'kamanda
aliyeama kambi vitani',Marehemu alinipuuza Hadi
Jana umauti wa ghafla ulimkuta na ameacha historia Mbaya na
rekodi yake hapa nchini imeifadhiwa Kuwa Ukawa alikuwa Hana
mapenzi Mema na nchi yake.
Kifo
hicho kilichomkuta Marehemu Ukawa Jana, ni Ishara Mbaya
kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu wa
Mwaka 2015 hasa kwa Chadema na CUF.
Hatua
ya Jana Bunge kupitisha Katiba iliyopendekeza ni wazi
'kisaani' kimepinduliwa pinduu.
Hakuna
Cha Ukawa tena kusikilizwa na wananchi, wananchi wanachotaka
sasa nikuiona na kuisoma Katiba iliyopendekezwa na Bunge
walisomea wenyewe na wataalamu wawaelimishe kuhusu kilichopo
ndani ya Katiba hiyo ya Bunge la Katiba na sisi wasomi wa
Sheria nao HIvi sasa tuna shahuku kubwa ya kuipata
nakala hiyo ili tuweze kuisoma na wahadhidhiri
wa Sheria waweze kuwafundishia wanafunzi wao wa fani ya
Sheria vyuoni.
Hivyo
ule Wimbo wa ' Rasimu ya Tume Warioba'. HIvi
sasa umechuja. Wimbo unaotamba sasa ni Wimbo wa '
Katiba iliyopendekezwa na Bunge au Katiba ya Mzee Sugu
,Samuel Sitta'.
Sasa
kwakuwa Marehemu Ukawa alisusia Bunge Hilo na yeye Ukawa
alikuwa Mtetezi wa rasimu ya Tume ya Jaji Warioba ambayo
Tayari ilishakufa tangu Jana na kuzaliwa Katiba
iliyopendekezwa na Bunge, sijui sasa Marehemu Ukawa
atafufuka aanze kuipinga Katiba iliyopendekezwa na
Bunge?
Jibu
hawezi kufufuka tena kwasababu Ukawa yupo jehanamu kwa baba
yake shetani na shetani Hana huwezo wa kumfufua
Marehemu.
Labda
Ukawa Angekuwa ameenda mbinguni , Mungu angeweza kumfufua
kwasababu Mungu Ana mamlaka ya kuumba, kuruhusu mtu
afe na kufufua Katika wafu. Pole sana Marehemu
Ukawa maana hivi sasa upo Katika ziwa la Moto
jehanamu na umekuwa Kuni huko jehanamu.
Na
ndiyo basi tena ulilolitaka halikuwa tulia huko huko
jehanamu uungue na Moto maana hayo ndiyo malipo ya sala za
watu tulizokuwa tu liloombea taifa, Bunge Hilo
limalize salama Kazi yake na wale wote wenye jicho la husuda
,wanaotaka kuleta machafuko
,Mungu awashughulikie ,sasa hiyo ndiyo Adhabu
yako.
Marehemu
Ukawa Enzi za Uhai wake aliposusia vikao Vya Bunge Hilo,
akajigeuza yeye ni mbunge wa Tanzania Kumbe siyo.
Wakati
Marehemu Ukawa analazimisha wananchi waamini Bunge lilikuwa
linafanya ubakaji wa Demokrasia ya kuichakachua kinyume Cha
Sheria Rais ya Warioba wakati akijua Kifungu Cha 25(2) Cha
Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya Mwaka 2014.
Chama
Cha Mapinduzi kupitia Katibu Mkuu wake,Abdullaman Kinana na
Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, walizidi kuchanja
Mbuga kuimarisha Chama ' kustimleti' wanachama
wake.Na wakati huo CCM kupitia wanachama wake wakawa
wanakiwalisha vyema Chama chao ndani ya Bunge Maalum
la Katiba kwa njia ya Amani.
Na
kwa mtazamo wangu ,mbinu hiyo inayotumiwa na CCM kupitia kwa
Kinana, Nape na waliokuwa wajumbe wa Bunge Maalum la
Katiba,ni Moja ya kujisafishia njia ya kupata ushindi mzito
wa CCM Katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na
Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015.
Wakati
CCM imejiimarisha na kujijenga hivyo kimkakati, Siyo
Chadema, CUF , NCCR Mageuzi Navyo kila Chama kwa wakati wake
havifanyi harakati za kustimuleti wanachama, zaidi
Tunaona Chadema viongozi wake wanaowaamasisha wanachama wao
waandae maandamano haramu ambayo Jeshi la Polisi lime
yapiga marufuku.
Tunachokishuhudia
ni kwa baadhi ya viongozi wa vyama hivyo Vya upinzani kila
mtu akijitafutia Umaarufu binafsi kwa Malengo yake binafsi
ya kupata Ubunge au kutetea Kiti Cha Ubunge na wengine
wabunge wa Ukawa nao wamenukuliwa
wakisema wa kiombwa Kugombea urais, watagombea.
Mbatia
ambaye ni Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi yeye anadaiwa kuwa
anataka Kugombea Ubunge jimbo la Vunjo.
Viongozi
wengine wa Ukawa nao Wanadaiwa Kuwa wanataka Kugombea urais
hivyo akili zao na Nguvu za wanazielekeza kwa jinsi ya
kuwashika wajumbe watakaopitisha Majina Yao ndani ya vikao
husika Vya vyama vyao na siyo kuvijenga kwanza vyama
vyao na kuviandaa kupata ushindi Katika uchaguzi wa
serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu Mwaka
2015.
Na
hapa ndipo vyama Vya upinzani hapa nchini vinapokosea na
mwisho wa siku uchaguzi ulifanyika wakishindwa wanaanza
kujitetea CCM imewaibia kura, Tume ya Uchaguzi wa Taifa,
haipo Huru.
Tafadhali
sana Vyama Vya upinzani hatutataka tena kusikia utetezi huo
Mara baada ya Uchaguzi wa serikali za mtaa, uchaguzi Mkuu
kumalizika.Maana mmejimaliza wenyewe ,badala ya Kujenga
vyama vyenu na kujiandaa kikamilifu na uchaguzi wa serikali
za mitaa karibu Mwaka mzima sasa mmeupoteza kwa kuzungumzia
Habari za Ukawa,Ukawa na mwisho wa siku
hamjafanikiwa.
Wakati
wenzenu wa CCM walikuwa wakifanya mambo yote kwa wakati
mmoja.Yaani CCM ilijigawa Makundi . Moja ya kundi Lao
linaloongozwa na Kinana, Nape linazunguka mikoani kuimarisha
Chama chao na kustimuleiti wachama wao na wengine kuingia
ndani ya Bunge Maalum la Katiba kutunga Katika
iliyopendekezwa.
Ipo
siku Chadema watakuja kukubaliana na Mimi Kuwa Huyo Mshauri
anayewashauri viongozi wa juu watoe matamko ya kuamasisha
wanachama wao washiriki maandamano yasiyo na Kibali ni
Mshauri Mbaya sana ambaye ala
Lengo Moja baya sana la kuisambaratisha Chadema na
Watanzania wameishaanza kuona Chadema ni Chama Cha Vurugu na
Watanzania ni wapenda Amani.
Mapema
kabisa niliisa Chadema Kuwa kijitambue Kuwa ni Chama
Kikuu Cha upinzani na kina wabunge Wengi, na siyo vyama Vya
upinzani vinapenda mafanikio hayo ya Chadema,Chadema
haikunielewa ila ikalazimisha urafiki na baadhi ya
vyama Vya upinzani ambavyo vyama hivyo havina mvuto tena wa
kisiasa hapa nchini ila vimeanza kusikika kupitia Marehemu
Ukawa.
Tangu
Jana
Katiba ilivyopitishwa na Bunge , wafuatiliaji wa mambo ya
siasa wanaamini hiyo ni Ishara Mbaya kwa Chadema na
siyo Ukawa tena ambao ilikuwa Ikiundwa na CUF, NCCR
Mageuzi.
Wafuatiliaji
Hao wameibuka na mtazamo huo Kwasababu ni wazi Chadema Ndio
ilikuwa na sauti na wajumbe Wengi Kwenye Ukawa kuliko Vyama
vingine.
Hivyo
ni Ishara Mbaya Kwa Chadema Kuwa jaribio la kutaka
kuandamana bila kukoma na kuvunja Sheria za nchi na
limeshindikana, Njama Yao ya upotoshaji umma Kuhusu Kuwa
Bunge Maalum la Katiba halipo
Kuhalili na linafuja Fedha za wananchi, Theluthi mbili ya
wajumbe wa Zanzibar haitatimia zimeshindwa vibaya sana na
wameumbuka wao Chadema na Marehemu Ukawa.
Nalipongeza
Bunge Hilo lilokuwa likiongozwa na 'Mzee Sugu au Mutu ya
Danjeee'- Samuel Tengeneza Sitta na Makamu wake
Samia Suluhu.
Pia
nimpongeze Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Katiba
iliyopendekezwa na Bunge, Mtemi Andrew Chenge na Aliyekuwa
Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni , Profesa Costa Ricky Mahalu.
Sitta, Chenge.Mahalu wote hawa
ni wasomi wa Sheria tena siyo wa kubabaisha.
Hongereni
na timu yenu mmefanyakazi ambayo mmeandika historia na
mmeacha alama Kwenu na vizazi vyenu.
Na
kwa wale Ukawa nao wameacha historia Mbaya ambayo siyo
ya kupigiwa mfano ya kususia Bunge hilo na Mara kwa Mara
wakawa wananukuliwa na vyombo Vya Habari wakiliombea dua
mbaya Bunge Hilo Kuwa akidi haijatimia Mara Bunge
litarejeshwa, Matokeo yake Bunge alikuhiishwa wala kuvunjwa
na akidi ikatimia na Katiba iliyopendekezwa na Bunge
imepatikana. Kweli dua la
Kuku halimpati Mwewe.
Na
kwa wale wasomaji wa makala zangu watakumbuka Kuwa tangu
mchakato wa Bunge Maalum la Katiba lianze kuandika Katiba
hiyo, nilijiokeza kuandika makala zaidi ya Tatu na makala
hii ya Leo ni ya nne.
Makala
ya kwanza niiliitoa Agosti 3 Mwaka huu, ilikuwa na
kichwa Cha habai kisemacho: " Ukawa Rudini
Bungeni'. Makala pili il ilichapishwa Kwenye
Gazeti la Rai la Septemba 18 Mwaka huu,
ambayo ilikuwa na kichwa Cha Habari " Freeman Mbowe,
Dozedozee".
Makala
ya tatu niliandika Septemba 22 mwaka huu,ilikuwa na kichw
acha habari kisemacho 'Wanaolazimisha maandamano ni
maajenti wa shetani". Makala ya nne ilichapishwa
Katika Gazeti la Rai la Septemba 25 Mwaka huu, ilikuwa
na Kichwa Cha Habari : " Tuna Chui wa
Karatasi,siyo waandamanaji. Na Leo naandika makala hii yenye
kichwa Cha Habari kisemacho ' Buriani
Ukawa'.
UKAWA
ambao wengine ni wabunge wakati wa Kipindi kile Cha Bunge
linaandaa Katiba iliyopendekezwa wakasusia Bunge. Hawakuweza
kujulikana wapo
Duniani au mbinguni! Maana majimboni Kwao walikuwa
hawaonekani wala bungeni hawaonekani.
Kwa
kitendo historia hii iliyoandikwa Jana na Bunge akidi ya
wajumbe kupatikana, Je Ukawa hawaoni hii ni aibu
Na fedhea kwao?
Kwa
Sababu ni Ukawa ndiyo alikuwa akipayuka
mitaani Kutaka Bunge Hilo livunjwe Kwani ni matumizi
Mabaya ya madaraka na ufujwaji wa Fedha za walipa kodi kwa
kitendo Cha Sitta kulazimisha Bunge liendelee wakati akijua
wazi theluthi mbili ya Wajumbe toka Zanzibar
haitapatikana.
Marehemu
UKAWA ambaye alikuwa akiitetea na hakutaka kabisa rasimu ya
Tume ya Jaji Joseph Warioba isiguswe wala kukosolewa
wala kupunguzwa kitu chochote kile ili wakifahamu kifungu
cha 25 (2) cha Sheria ya Mabadiliko Sura ya 8 kama
ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2014 ,yanalipa madaraka
Bunge Maalum la Katiba kuboresha rasmi ya Warioba au kuweka
vitu vipya.
Hadi
Jana umauti unamkumta Marehemu Ukawa,alikuwa hajatubu
dhambi zake Mbele ya Watanzania ikiwemo dhambi
ya kuchochea wananchi
waandamane bila vibali vya Polisi, uongo na upotoshaji
mkubwa kuhusu majukumu ya Bunge hilo, Marehemu alikuwa
akiwadanganya Watanzania Kuwa kura za kupitisha Katiba
iliyopendekezwa na Bunge hazitatosha Kwani theluthi mbili
toka Zanzibar haitapatikana, hakuungama.
Na
kwakuwa hakuungama, aliendelea kushupaza shingo hadi umauti
umemkuta , ni wazi Marehemu Ukawa amekwenda jehanamu ya Moto
kwenda kuonana na baba yake Shetani Kwani Biblia in atuambia
Shetani ni Baba wa Uongo, na Ukawa hapa Duniani alikuwa ni
muongo,mchonganishi, mkorofi, aambiliki na hizo ni miongoni
mwa sifa walizonazo wafuasi wa shetani.
Hivyo
Ukawa alikuwa ni Ajenti wa shetani ambaye alikuwa anaenda
kuona Katiba iliyopendekezwa na Bunge Hilo hazipatikani na
Tanzania I naingia Kwenye machafuko ya wenyewe kwa wenyewe
kwa kisingizio Cha mchakato wa Kuipata Katiba.
Lakini
Kwa Kuwa bado Mungu anaipenda Tanzania na watu wake
wanaipenda Kwasababu kuna baadhi ya viongozi wa dini akiwemo
kiongozi wa Kanisa la Elishadai la Boko Basiaya,Dar es
Salaam, Kanali Mstaafu ,Bruno Kinunda na waumini wake kila
Ibada ya Jumapili tulikuwa tunaanza ibada kwa
kujitakasa dhambi zetu na kuliombea taifa na mchakato
na Bunge Maalum la Katiba lifanyekazi zake kwa Amani
na utulivu na kweli Hilo limefanikiwa na Bunge Hilo
kumaliza Kazi yake Jana kwa Amani .
Hongera
Lilokuwa Bunge Maalum la Katiba kwa kumaliza Kazi yake
salama licha Bunge lilipitia Katika wakati mgumu wa
kurushiwa vijembe na kuonekana linawasaliti Wananchi jambo
ambalo Si la kweli .Binafsi nimefurahishwa na Hatua hiyo ya
Bunge Hilo kutuletea Katiba iliyopendekezwa na
Bunge.
Wasomo
wa Sheria tunasema Hatua inayofuata ni Katiba hiyo
kupelekwa Kwa wananchi ili wapigie kura ya ndiyo au
Hapana.
Hivyo
wananchi msipotoshwe ,kisheria bado Katiba mpya ya Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania haijapatikana.
Tutulie,
Tusikubali kushawishiwa na maajenti wachache wa
shetani kuingia mitaani kuanza kuipinga Katiba hiyo
iliyopendekezwa na Bunge wakati bado hata haijatangazwa
Katika Gazeti la Serikali ,na hatujaisoma na kuielewa na
mambo gani mazuri na mabaya yapo ndani ya Katiba
hiyo.
Na
ieleweke Kuwa kila Mtanzania mwenye umri wa kupiga kura
Ndiyo ataruhusiwa kupiga kura ya ndiyo au Hapana kuhusu
Katiba hiyo Katiba hiyo.
Tayari
kuna watu wameanza kutoa maneno ya kejeli kuhusu upitishwaji
wa Katiba hiyo,lakini wapingaji Hao hawana hoja zenye
mashiko na Hakuna hata mmoja aliyeipata nakala na kuisoma na
kuilewa. Wapingaji Hao ni sawa na Mfa Maji haishi
kutapatapa.
Ni
wajinga na wapuuzi wachache ambao wao kila
kitu kinachofanywa na serikali, Bunge wanapinga eti tu
kwasababu Taasisi zao zinaendeshwa na wanapata ufadhili
kutoka kwa 'mwabana' zao huko nje ya nchi kwa
Kigezo Kuwa wao ni wakosoaji wa kubwa kila kitu
kinachofanywa na serikali na ni Watetezi wa Haki za binadamu
huku wakisahau Haki inaendana na wajibu.
Wakati
Bunge Maalum la Katiba lilipokuwa likifayakazi yake
tulishuhudia Jaji Joseph Warioba baadhi ya Wanasheria ,
wanaharakati ambao wamesoma somo la Katiba wanafahamu hatua
za kutengenezwa kwa Katiba, wakitoa matamko ya kupotosha
umma kuhusu mamlaka ya Bunge Hilo.
Nao
baadhi ya waandishi wa Habari ambao hata somo la Sheria la
Katiba Hawajawahi kulisoma na hata hawafahamu Hatua
zinazotakiwa zipitiwe wakati taifa husika linatengeneza
Katiba yake.
Waandishi
hao baadhi ambao wamepachikwa jina la 'Mavuvuzela
ya Ukawa' , Katika Kipindi chote hicho hawakutaka
kujifunza Hatua hizo na Matokeo yake wakajikuta wao
wanaingia Kwenye Mkumbo wa kupelekeshwa na kuaminishwa uongo
na marehemu Ukawa na kisha wakauchapisha Kwenye vyombo
Vya Habari. Nao wameumbuka Kama alivyoumbuka Marehemu Ukawa
Jana.
Historia
ya maandishi Yao nayo itawahukumu kwasababu baadhi ya
waandishi nao walikuwa wakiandika Bunge litavunjwa,
Bunge limechakachua rasimu ya Warioba na kupuuza maoni
ya wananchi bila Kuwa na ushahidi wa hayo.
Na
Mbaya zaidi baadhi ya Wanasheria na waandishi wa Habari
walidiriki kupotosha umma kuhusu amri mbili tofauti
zilizotolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Katika
Kesi ya Kuomba Bunge Maalum la Katiba lisimame ambayo
imefunguliwa na Mwandishi wa Habari Saed
Kubenea.
Ambapo
Mahakama hiyo ilitoa amri ya kutupilia Mbali ombi la Kubenea
na kuruhusu Bunge Hilo liendelee na Kazi yake.Kuna baadhi ya
waandishi na Wanasheria baada ya Mimi kuandika Habari
kupitia Mtandao wakinipa ya Kuwa Mahakama hiyo haijatoa amri
hiyo ilihali ukweli ni kwamba Mahakama ilikuwa imetoa amri
ya kulitupa ombi la Kubenea lilokuwa linataka Bunge
lisimame. Kioja Cha aina yake.
Aidha
kwa makusudi Marehemu Ukawa na wafuasi na baadhi ya
waandishi wa Habari waliamua kupotosha ukweli kupitia
mitandao amri ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ya
Septemba 25 Mwaka huu, Katika ombi dogo Na. 28/2014
lilofunguliwa na Kubenea
dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambapo Mahakama
hiyo pamoja na mambo mengine ilisema Bunge Maalum la Katiba
Lina madaraka ya kufanyia maboresho na kuongeza vitu Katika
rasimu ya Tume ya Warioba kwa mujibu wa Kifungu ha 25(2) Cha
Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya Mwaka
2014.
Sijui
walikuwa na Lengo gani yarabi. Na wengine nao akiwemo
Warioba alisema hafahamu hiyo theluthi mbili ya
Wajumbe toka Zanzibar itapatikana wapi maana eti haipo
na kwamba Sitta ,ni jeuri sana.
Niitimishe
Kwa Kusema
Tanzania ni yetu sote ,hivyo sote Tushikamane kuilinda na
kuijenga.Mchakato wa kuipata Katiba mpya isiwe Kigezo Cha
kuisambaratisha Amani yetu.
Tutumie
majukwaa sahihi na wakati sahihi kuisoma Katiba
iliyopendekezwa na Bunge.Na Kwa Kuwa Ukawa Tayari
ameishafariki na kuzikwa na ile rasimu Tume ya Jaji Warioba,
ni imaini Yale malumbano na uchonganishi wa kipuuzi
hautakuwepo kabisa au utapungua sana.
Labda
Mzimu wa Ukawa uibuke na kuanza Kuzusha
sokomoko, lakini kwakuwa Tayari Watanzania
walishambaini
Marehemu Ukawa ndiyo alikuwa Mzushi ,Kisarata Mtaa,
kizabinazabina na aliwasaliti ,watajiuliza maswali
haya;
Je
Mzimu Ukawa ulikuwa ni miongoni mwa
wajumbe waliyoshiriki kuitunga Katiba iliyopendekezwa na
Bunge?
Watajijibu
Kuwa hakushiriki kwani alisusia bunge.Na Kama alisusia Bunge
atawezaje kufahamu kwa kina ni njema ya Bunge la Katiba
kutengeneza Katiba iliyopendekezwa?
Watajijibu
kuwa Mzimu wa Ukawa una nia ovu ya kutaka kuikwamisha kwa
makusudi Katiba iliyopendekezwa na Bunge .
Watanzania
hawausikiliza Mzimu huo wa Marehemu Ukawa, wataupuuza
na watamtimua Kwani anawezakuwaletea matatizo ya
kufunguliwa Kesi mahakamani na kupigwa virungu na Polisi na
kulala selo Kama Marehemu Ukawa alivyowasabishia wa kapigwa
virungu na Polisi na kufunguliwa Kesi za jinai mahakamani za
makosa Kama kuingia kwa jinai, kufanya mkusanyiko
haramu.
Buriani
Marehemu Ukawa ,hatutakuona tena.
Chanzo: Facebook:
Happy KatabaziBlog: www.katabazihappy.blogspot.com0716
774494Oktoba
3 Mwaka 2014.
Sent from my iPad
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment