'lesian mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
sitanii, mimi ni muuumini wa serikali 3 daima, kuna baadhi ya maeneo sijaridhiki nayo hata kidogo lakini ndio hivo tena
On Saturday, October 4, 2014 2:55 AM, Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com> wrote:
Ewe Happyness Katabazi nani kakuloga?Kwa nini unajiangamiza mwenyewe?matendo yanayofanywa na watawala yatachochea hasira ya umma dhidi ya watawala na ni wazi vyombo vya dola havitaweza kuzuia umma unaodai mabadiliko
Wanaotubeza kama Katabazi tunawasamehe maana ni umbumbumbu unawasumbua2014-10-03 19:50 GMT-07:00 Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>:
Sijui niandike kuhusu alichoandika Happy au kuhusu yeye ngoja nitafute hedex kama bado inatibu maradhi ya kichwa kuumaOn Oct 3, 2014 2:17 PM, "'Sylvanus Kessy' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Katiba Mpya itapatikana kisheria. Lakini sheria hii ....mmmmmm...... napata mashaka. Kwa vyovyote vijana wengi wakipata VIROBO watapiga kura kadiri ya utashi wa mgawaji wa KIROBO!
--------------------------------------------
On Fri, 10/3/14, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA
To: "Godfrey Ngupula" <ngupula@yahoo.co.uk>
Cc: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, October 3, 2014, 9:28 PM
Godfrey, kumbuka hawa
75 ni bara na visiwani hivyo wa tanganyika wangekuwa
wachache zaidi.
On Oct 3, 2014 9:24
PM, "Ngupula GW" <ngupula@yahoo.co.uk>
wrote:
Binafsi sijapenda ubunge uwe na
ukomo,huko ndio hazina ya viongozi wa kesho
wanakopatikana..cha msingi wanachi wajifunze kuchagua
viongozi kwa kuwapima jinsi wanavyofaa na si vinginevyo
...rasimu ya warioba ilisema wabunge 75 wa muungano
tu,huwezi jua bunge la tanganyika lingekuwa na wabunge
wangapi,pengine jumla ingekuja idadi hiyohiyo...
Nakubaliana na uboresho wa tunu za taifa na maadili ya
viongozi....lkn suala la maadil ni la kijamii zaid kuliko
likikaa katika katiba...mfano,viongozi ni lazima wawe
waadilifu...hata hivyo,iadilifu wa viongoz hutegemea
uadilifi wa jamii husika pia...ngupula
Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com>
wrote:
safi sana sasa ukawa waandamane nchi nzima
kupongeza katiba mpya tena ukawa wawe mstari wa mbele
kuipeleka kwa wananchi ili waikubali na itumike kwenye
uchaguzi wa 2015.
On Oct 3, 2014 8:55
PM, "'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii"
<wanabidii@googlegroups.com>
&nbs --
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment