Sunday, 5 October 2014

Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA

sitanii, mimi ni muuumini wa serikali  3 daima, kuna baadhi ya maeneo sijaridhiki nayo hata kidogo lakini ndio hivo tena


On Saturday, October 4, 2014 2:55 AM, Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com> wrote:


Ewe Happyness Katabazi nani kakuloga?Kwa nini unajiangamiza mwenyewe?matendo yanayofanywa na watawala yatachochea hasira ya umma dhidi ya watawala na ni wazi vyombo vya dola havitaweza kuzuia umma unaodai mabadiliko
Wanaotubeza kama Katabazi tunawasamehe maana ni umbumbumbu unawasumbua

2014-10-03 19:50 GMT-07:00 Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>:
Sijui niandike kuhusu alichoandika Happy au kuhusu yeye ngoja nitafute hedex kama bado inatibu maradhi ya kichwa kuuma
On Oct 3, 2014 2:17 PM, "'Sylvanus Kessy' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Katiba Mpya itapatikana kisheria. Lakini sheria hii ....mmmmmm...... napata mashaka. Kwa vyovyote vijana wengi wakipata VIROBO watapiga kura kadiri ya utashi wa mgawaji wa KIROBO!

--------------------------------------------
On Fri, 10/3/14, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA
 To: "Godfrey Ngupula" <ngupula@yahoo.co.uk>
 Cc: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Friday, October 3, 2014, 9:28 PM

 Godfrey, kumbuka hawa
 75 ni bara na visiwani hivyo wa tanganyika wangekuwa
 wachache zaidi.
 On Oct 3, 2014 9:24
 PM, "Ngupula GW" <ngupula@yahoo.co.uk>
 wrote:
 Binafsi sijapenda ubunge uwe na
 ukomo,huko ndio hazina ya viongozi wa kesho
 wanakopatikana..cha msingi wanachi wajifunze kuchagua
 viongozi kwa kuwapima jinsi wanavyofaa na si vinginevyo
 ...rasimu ya warioba ilisema wabunge 75 wa muungano
 tu,huwezi jua bunge la tanganyika lingekuwa na wabunge
 wangapi,pengine jumla ingekuja idadi hiyohiyo...
 Nakubaliana na uboresho wa tunu za taifa na maadili ya
 viongozi....lkn suala la maadil ni la kijamii zaid kuliko
 likikaa katika katiba...mfano,viongozi ni lazima wawe
 waadilifu...hata hivyo,iadilifu wa viongoz hutegemea
 uadilifi wa jamii husika pia...ngupula

  Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com>
 wrote:

 safi sana sasa ukawa waandamane nchi nzima
 kupongeza katiba mpya tena ukawa wawe mstari wa mbele
 kuipeleka kwa wananchi ili waikubali na itumike kwenye
 uchaguzi wa 2015.
 On Oct 3, 2014 8:55
 PM, "'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii"
 <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:
 Oyee, Bravo Happiness!
  


      On Friday, 3 October 2014,
 17:55, 'jabir yunus' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:


  Kwa hivo tulikuwa na marehemu UKAWA, ambaye
 tunaarifiwa kuwa amefariki dunia, siyo? Marehemu anafariki
 dunia!!!!

 Duh, ama kweli, kazi ipo.

 Jabir+
 --------------------------------------------
 On Fri, 10/3/14, 'ezekiel kunyaranyara' via
 Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

  Subject: Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Friday, October 3, 2014, 3:21 PM

  Wanajamvi
  Si kila kitu kinaweza kuguswa kwenye Katiba.
  Mengine tena Mengi yataingizwa kwenye sharia
 zitakazotungwa
  na BUNGE. K.E.M.S.


       On Friday, 3 October
  2014, 10:47, Boniface Magessa <magessabm@gmail.com>
  wrote:
    

   Njaa ni mbaya sana...halafu huyu
  dada si yuko chini ya kituo cha sheria na haki za binadamu
  kinachomiliki university of bagamoyo!!!!napenda atambue
 kuwa
  mwajiri wake anapingana na yeye....kama sujakosea...
  On 3 Oct 2014 10:14,
  "Selemani Rehani" <srehani@hotmail.com>
  wrote:



  Domilia,
   
  Hongera kwa uvumilivu wako. Mimi nilipona anarudia rudia
  nikadelete wala sikusoma. Hongera kwa uvumilivu wako wa
  kusoma visivyosomeka.
   
  Date: Fri, 3 Oct 2014 00:11:20 -0700
  From: wanabidii@googlegroups.com
  Subject: Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA
  To: wanabidii@googlegroups.com

  Dear Katabazi,

  Nimesoma
  ujumbe wako: jibu fupi ni hili:



  MAMBO
  YA MSINGI YANAYOKOSEKANA KWENYE KATIBA:1.0       
  Mfumo mbovu wa uongozi na utendaji serikalini na
  taasisi zake Tanzania bado     
  haujaguswa kwenye katiba......2.0     
  Nani atawadhibiti wanasiasa kwa kuweka ukomo wa ubunge?
  Wananchi wamenyimwa hiyo fursa ndani ya katiba
  "mpya".......

  3.0    
  Uwajibikaji na kutenganisha serikali, bunge na
  mahakama: kuharamisha mbunge kuwa waziri, 
  kusitisha teuzi lukuki za Rais........4.0 Idadi ya
  mawaziri kuwa 30 badala ya 15 ya mapendekezo ya wananchi.
  Kwa nini mawaziri 30? Ni wa nini? Kwa
  rasilmali gani tulizo nazo kubeba mzigo wote huo?
 Watafanya
  kazi gani?
  5.0 Idadi ya
  wabunge 390 ya nini badala ya 75 Bunge la Muungano? Ni wa
  nini?
  6.0    
  Kwa nini hakuna miiko ya uongozi iliyo inayotamkwa na
  Katiba, wakati tatizo kubwa la viongozi (ni wengi) TZ ni
  ukosefu wa maadili, uwajibikaji, uzalendo, uwazi
  nk.?7.0 Taifa la
  Tanzania linajivunia TUNU gani? Amani hakuna tena wala
 umoja
  - ni hadithi tu sasa hivi!
  

  8.0 Nani
  atashughulikia mambo ya Muungano, na yasiyo ya
  Muungano?

  Uwe mwangalifu
  Katabazi
  Domilia


  

       On Thursday, October 2, 2014
  11:43 PM, 'Happiness Katabazi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
    

  
  <b



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--
Ephata Nanyaro
P.o.box 15359
Arusha
+255 754 834152
Skype.nanyaro.ephata

"truth shall set you free"
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment