sitanii, mimi ni muuumini wa serikali 3 daima, kuna baadhi ya maeneo sijaridhiki nayo hata kidogo lakini ndio hivo tena
On Saturday, October 4, 2014 2:55 AM, Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com> wrote:
Ewe Happyness Katabazi nani kakuloga?Kwa nini unajiangamiza mwenyewe?matendo yanayofanywa na watawala yatachochea hasira ya umma dhidi ya watawala na ni wazi vyombo vya dola havitaweza kuzuia umma unaodai mabadiliko
Wanaotubeza kama Katabazi tunawasamehe maana ni umbumbumbu unawasumbua2014-10-03 19:50 GMT-07:00 Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>:
Sijui niandike kuhusu alichoandika Happy au kuhusu yeye ngoja nitafute hedex kama bado inatibu maradhi ya kichwa kuumaOn Oct 3, 2014 2:17 PM, "'Sylvanus Kessy' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:--
Katiba Mpya itapatikana kisheria. Lakini sheria hii ....mmmmmm...... napata mashaka. Kwa vyovyote vijana wengi wakipata VIROBO watapiga kura kadiri ya utashi wa mgawaji wa KIROBO!
--------------------------------------------
On Fri, 10/3/14, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA
To: "Godfrey Ngupula" <ngupula@yahoo.co.uk>
Cc: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, October 3, 2014, 9:28 PM
Godfrey, kumbuka hawa
75 ni bara na visiwani hivyo wa tanganyika wangekuwa
wachache zaidi.
On Oct 3, 2014 9:24
PM, "Ngupula GW" <ngupula@yahoo.co.uk>
wrote:
Binafsi sijapenda ubunge uwe na
ukomo,huko ndio hazina ya viongozi wa kesho
wanakopatikana..cha msingi wanachi wajifunze kuchagua
viongozi kwa kuwapima jinsi wanavyofaa na si vinginevyo
...rasimu ya warioba ilisema wabunge 75 wa muungano
tu,huwezi jua bunge la tanganyika lingekuwa na wabunge
wangapi,pengine jumla ingekuja idadi hiyohiyo...
Nakubaliana na uboresho wa tunu za taifa na maadili ya
viongozi....lkn suala la maadil ni la kijamii zaid kuliko
likikaa katika katiba...mfano,viongozi ni lazima wawe
waadilifu...hata hivyo,iadilifu wa viongoz hutegemea
uadilifi wa jamii husika pia...ngupula
Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com>
wrote:
safi sana sasa ukawa waandamane nchi nzima
kupongeza katiba mpya tena ukawa wawe mstari wa mbele
kuipeleka kwa wananchi ili waikubali na itumike kwenye
uchaguzi wa 2015.
On Oct 3, 2014 8:55
PM, "'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii"
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Oyee, Bravo Happiness!
On Friday, 3 October 2014,
17:55, 'jabir yunus' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Kwa hivo tulikuwa na marehemu UKAWA, ambaye
tunaarifiwa kuwa amefariki dunia, siyo? Marehemu anafariki
dunia!!!!
Duh, ama kweli, kazi ipo.
Jabir+
--------------------------------------------
On Fri, 10/3/14, 'ezekiel kunyaranyara' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA
To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, October 3, 2014, 3:21 PM
Wanajamvi
Si kila kitu kinaweza kuguswa kwenye Katiba.
Mengine tena Mengi yataingizwa kwenye sharia
zitakazotungwa
na BUNGE. K.E.M.S.
On Friday, 3 October
2014, 10:47, Boniface Magessa <magessabm@gmail.com>
wrote:
Njaa ni mbaya sana...halafu huyu
dada si yuko chini ya kituo cha sheria na haki za binadamu
kinachomiliki university of bagamoyo!!!!napenda atambue
kuwa
mwajiri wake anapingana na yeye....kama sujakosea...
On 3 Oct 2014 10:14,
"Selemani Rehani" <srehani@hotmail.com>
wrote:
Domilia,
Hongera kwa uvumilivu wako. Mimi nilipona anarudia rudia
nikadelete wala sikusoma. Hongera kwa uvumilivu wako wa
kusoma visivyosomeka.
Date: Fri, 3 Oct 2014 00:11:20 -0700
From: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] BURIANI UKAWA
To: wanabidii@googlegroups.com
Dear Katabazi,
Nimesoma
ujumbe wako: jibu fupi ni hili:
MAMBO
YA MSINGI YANAYOKOSEKANA KWENYE KATIBA:1.0
Mfumo mbovu wa uongozi na utendaji serikalini na
taasisi zake Tanzania bado
haujaguswa kwenye katiba......2.0
Nani atawadhibiti wanasiasa kwa kuweka ukomo wa ubunge?
Wananchi wamenyimwa hiyo fursa ndani ya katiba
"mpya".......
3.0
Uwajibikaji na kutenganisha serikali, bunge na
mahakama: kuharamisha mbunge kuwa waziri,
kusitisha teuzi lukuki za Rais........4.0 Idadi ya
mawaziri kuwa 30 badala ya 15 ya mapendekezo ya wananchi.
Kwa nini mawaziri 30? Ni wa nini? Kwa
rasilmali gani tulizo nazo kubeba mzigo wote huo?
Watafanya
kazi gani?
5.0 Idadi ya
wabunge 390 ya nini badala ya 75 Bunge la Muungano? Ni wa
nini?
6.0
Kwa nini hakuna miiko ya uongozi iliyo inayotamkwa na
Katiba, wakati tatizo kubwa la viongozi (ni wengi) TZ ni
ukosefu wa maadili, uwajibikaji, uzalendo, uwazi
nk.?7.0 Taifa la
Tanzania linajivunia TUNU gani? Amani hakuna tena wala
umoja
- ni hadithi tu sasa hivi!
8.0 Nani
atashughulikia mambo ya Muungano, na yasiyo ya
Muungano?
Uwe mwangalifu
Katabazi
Domilia
On Thursday, October 2, 2014
11:43 PM, 'Happiness Katabazi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
<b
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Ephata Nanyaro
P.o.box 15359
Arusha
+255 754 834152
P.o.box 15359
Arusha
+255 754 834152
Skype.nanyaro.ephata
"truth shall set you free"
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment