Monday, 11 August 2014

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] HONGERA SIMBA SC...FUKUZENI NA UONGOZI JAMANI

Mashaka, hoyeeee!!! Avave hoyeeee!!! Nimeiona picha ya Kivamwo na Mwitumba wakiwa Simba Day pale Taifa wamenunaaaa!!!

wa Simbeye




On Monday, August 11, 2014 12:53 PM, 'Mashaka Mgeta' via Mabadiliko Forum <mabadilikotanzania@googlegroups.com> wrote:


Si jambo jema, lakini wanastahili pongezi Simba Sports Club, kwa maana ukomo wa upeo wao katika soka umefikia hapo, kwamba Kocha huyo hatakiwi.

Nitawapongeza zaidi ikiwa ukomo huo huo utawafikisha kuwatimua viongozi ambao tangu waingie madarakani kwa mara ya kwanza, kufungwa, mara ya kwanza kumfukuza kocha na iwe mara ya kwanza kwao kufukuzwa, ili rekodi nzuri ikae pale Msimbazi.
Simba oyeeeeeeeeeeeee
--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/1407750786.71454.YahooMailNeo%40web140904.mail.bf1.yahoo.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment