Saturday, 19 April 2014

Re: [wanabidii] Nafasi za Kazi Nyingi - Kampuni ya Simu Viettel Tanzania

na walaaniwe kwa kuwa matapeli naingia katika maombi kuomba wapewe stahiki yao


On Friday, April 18, 2014 9:34 PM, F Kitigwa <kitigwa@gmail.com> wrote:
Jamani hawa watu naona kama matapeli,
hawana simu wala fax,
hawana headed paper zenye details zao,

Ndani ya moyo wangu ninawahisi kuwa ni matapeli maana hata email iliyotuma hili tangazo ni nyingine na unayotakiwa kutuma application ni nyingine

Watakachofanya ni kwamba kwa wale wa mikoani watakaoomba wataambiwa wako shortlisted ila kesho wanahitajika wawe kwenye interview na kama hawawezi basi wachukue au wafanye CAAT TEST kwenye kituo kinachotambulikana au inabidi ulipie kwenye kituo wanachokipendekeza wao, na kwamba hiyo test watakutumia kwa email ili ufanye online

Ukishalipa pesa kwa ajili ya kufanya hiyo CAAT TEST ndo umekuwa umeliwa hela zako na kazi hupati tena, wala kuwasikia

Natoa tahadhari kama watadai pesa kwa namna yoyote ile hao ni MATAPELI, MIMI YALISHANIKUTA


On Fri, Apr 18, 2014 at 7:12 PM, <ozzanne@gmail.com> wrote:
Viettel Tanzania holds a national Network Facilities (NF) license for fixed line and mobile networks, and is thought to be looking to roll out a third-generation mobile network based on UMTS/W-CDMA technology. We are telecommunication Company duly established under the laws of the United Republic of Tanzania whose headquarters is located at Plot 145, Regent Estate, Migombani street, Mikocheni, P.O. Box 110230, Dar es Salaam, Tanzania.
For implementing business plan in 2014 and 2015 and our development strategy, we will hold a mass recruitment to all over the country with 617 talent and excellent candidates who are specialized in Telecommunication, Information Technology, Marketing, Business Administration, Accountant sectors…as follow: See attachments
Candidates who apply first will be interviewed first.
Kindly fill the form in the attached file and send to email: Viettelrecruitment@gmail.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment