Wednesday, 26 March 2014

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] MH370: UTABIRI WA TB JOSHUA WATIMIA?

Duh hawa wafuasi wa TB Joshua nao, kelele kama marehemu Sheikh Yahaya, ebo!! Kama mnamuamini si muendelee kufanya hivyo huko makwenu, why bother us???

wa Simbeye





On Wednesday, March 26, 2014 10:02 AM, Mwema Felix <mwema.felix@gmail.com> wrote:
"Baada ya ndege ya Air Malaysia kupotea Mtabiri TB Joshua Alisema Kuwa Ndege hiyo itakuwa 
imeanguka Kwenye Bahari ya Hindi na Hakuna Aliyepona ,,,Utabiri huo kwa wengi ulichukuliwa kama mzaha lakini leo imedhihirika tena kwa mara nyingine kuwa utabiri wake ni wa Kweli , kwani imethibitika kuwa ndege hiyo ilianguka kwenye bahari hiyo na hakuna aliye pona..."

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAEZBzkA3Tp79FY6Y5MBGiBfzG5mZozHQK%3D2awnPsBHBJq8L0DA%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment