Wednesday, 21 November 2012

Re: [wanabidii] VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA MATAWI MAALUM YA VYUO VIKUU

Tony, naamini kama umesoma shule ni watu wachache sana waliofikia ngazi ya uzamili au uzamivu au uprofesa ambao walikuwa vilaza shuleni - anywhere in the world. Viongozi wetu wengi nawafahamu au kwa kufundishwa nao, kusoma nao, kufundisha nao au kuwafundisha. Hakuna hata mmoja ambaye naweza kusema alikuwa mjinga shuleni japo hii haina maana walikuwa geniuses.

La kimsingi zaidi ni kwa nini wewe na wapambe wa CCM mnatetea hoja ya uongo wa wazi kuhusu uongozi wa CHADEMA na tena kwa kutumia hoja mama itokanayo na hoja ya uongo kuhusu ukabila na udini kwenye vyama vya CHADEMA na CUF? How intellectually bankrupt has the ruling party become? Believe me if I were a CCM stalwarth there is enough policy difference between CCM and the opposition to launch a formidable defense on, but instead uongozi wa chama chako na wapambe mmejikita kwenye hizi hoja uchwara zisizo na maslahi kwa wananchi. By the way, do you think the people are that stupid not to see through the emptiness of your asault on CHADEMA's constituent leadership? How low do you think our University students are as to elect or accept appointees originating from one part of the country?

Why dont you address pertinent national issues brought up by the opposition such as the 12 billion dollars deposited in foreign financial institutions by corrupt Tanzanians?
Issues such as the systemic corruption, mismanagement and fire-sale of our national assets to some lewd foreign characters, lack of investment in growth sectors, youth unemployment, universal loans for tertiary education, free primary and secondary education, 20 percent inflation that is decreasing peoples purchasing power by 15 percent per year, usury interest rates in our banking system, untenable monetary and fiscal policy, collapsing national infrastructure especially in the power sector that requires at least 3 billion dollars to rehabilitate, etc etc etc. Baada ya kusikia shutuma za vijisenti vya Swiss banks ambazo viongozi wa CCM wanasema wananchi tuwapelekee ushahidi, ndio vihoja uchwara na vya kupandikiza kama ukabila kwenye uongozi wa CHADEMA vyuo vikuu inashupaliwa.

I expected people like you having riden this fake leadership posting for miles, you should at the very least apologize for believing the fake post and propounding its merits as if it was a quote from the bible. Hata baada ya kupewa ukweli na msemaji wa CHADEMA inakushinda kuomba msamaha? Has CCM no shame? No shame at all??

Miffed!
 

mchilyi7.0

Willy Makundi
wrlmakundi@aol.com


-----Original Message-----
From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Wed, Nov 21, 2012 11:43 am
Subject: Re: [wanabidii] VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA MATAWI MAALUM YA VYUO VIKUU

Willy,

Hivi unataka kusema wote uliowataja walikuwa nazo nyingi wakiwa shuleni/vyuoni? Wengi wamejanjaruka baada ya kumaliza vyuo na wengine wamesukumiwa humo bila kujua.

Hivi mfano, uchumi unaendeshwa inavyotakiwa? Hivi sekta ya nishati inakwenda inavyotakiwa au sekta ya elimu na sehemu nyingine nyingi? Siasa sio lazima uwe na akili nyingi ni kuwa na udiriki wa mambo mkubwa. Mfano Kagame hajasoma kihivyo na wala sio profesa, lakini akili za kawaida na kudiriki kwake ni kukubwa kiasi kwamba anasukuma mambo ipasavyo.

Maana yangu ya kusema wanasiasa sio lazima wawe na akili darasana alivyobashiri dada LK, bali ni uwezo wa kudiriki na kutambua matatizo na suluhisho lake. Kubwa ni kutopenda kufumia tumbo, tatizo la walio wengi, wenye na wasio na akili nyingi.
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.

From: Willy Makundi <wrlmakundi@aol.com>
Date: Wed, 21 Nov 2012 03:26:42 -0500 (EST)
Subject: Re: [wanabidii] VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA MATAWI MAALUM YA VYUO VIKUU

Tony, tunaomba ufafanuzi angalau mifano michache toka kwa hawa wanasiasa wetu ni kina nani ambao walikuwa vilaza shuleni -

Mwl Julius Kambarage Nyerere - M.A

Ali Hassan Mwinyi - M.A

Benjamin William Mkapa - M.A

Jakaya Mrisho Kikwete - M.A

Or may be these other nincompoops?

Dr Bilal, Dr Shein Prof Muhongo, Dr Mwinyi, Dr Anna Rose Migiro, Prof Mwandosya, Dr Huviza, Dr Kagoda, Prof Jumanne Maghembe, Dr Mary Nagu, Dr Nchimbi, Dr Mgimwa, Prof Ndulu, Prof Mwakyembe, Prof Mbarawa, Dr David Mathayo, Prof Tibaijuka, Dr Mukangara, Dr Kawambwa, Dr Othman

Au labda una maana kina Dr Slaa, Prof Lipumba, Prof Baregu, Dr Mkumbo, Prof Mvungi, Prof Safari, Mzee Mtei, na wengine wa hulka kama hii?

Kama hawa ni vilaza, wale vichwa walikuwa kina nani?

In fact, the reason CCM or in fact our political leadership can NEVER be absolved by history for the state of our country is the sheer amount of brain power endowed to them by God the Almighty that is incommensurate to the ineptitude and dastard theft prevailing in all the machinery of governance in Tanzania.

Naomba kutoa hoja

mchilyi7.0




From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, November 21, 2012 8:53 AM
Subject: Re: [wanabidii] VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA MATAWI MAALUM YA VYUO VIKUU

LK,

Hivi unafahamu wanaopenda kujiingiza kwenye siasa wengi wao ni vilaza shuleni? Fuatilia utakubaliana na observation hizi! Na kwa taarifa zenu, nimeambiwa kuwa hapakuwa na uchaguzi isipokuwa hao wameteuliwa tu. Uchaguzi Chadema haupo kwa makatibu, wanateuliwa kama ccm inavyofanya! Huo ni uteuzi toka senta.
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.

From: Lutgard Kagaruki <lutgardk@yahoo.com>
Date: Tue, 20 Nov 2012 20:00:12 -0800 (PST)
Subject: Re: [wanabidii] VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA MATAWI MAALUM YA VYUO VIKUU

gm26 nakuunga mkono kabisa. Ule ulikuwa uchaguzi, watu wakajinadi na wakachaguliwa, hakuna Uchagga hapo, ila uwezo. Nahisi hata ukiingia darasani, utakuta kitaaluma wanaongoza hao hao, hapo sijui utasemaje? Sasa wenye nia mbaya na CHADEMA watalitumia hili kukipaka chama matope kuwa ni cha Wachagga, lakini wenye akili inabidi wauone ukweli huu. LKK
 


From: "gm26may@gmail.com" <gm26may@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, November 20, 2012 11:09 PM
Subject: Re: [wanabidii] VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA MATAWI MAALUM YA VYUO VIKUU


Kama Chaguzi zilifanyika, watu wakagombea kisha wakashinda sioni tatizo

Ile Secretariate ya Chama fulan waliteuliwa na hata waliopigiwa kura zilikuwa ni zile za " NDIYO" - Ndio ni Yeye
"HAPANA" - Hapana mwingine ila yeye

Mwisho wa siku mtu anashindwa kwa asilimia 100 kisha wakitoka nje ya ukumbi malalamiko na vijembe vinaanza

Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: lilian timbuka <liliantimbuka@yahoo.co.uk>
Date: Tue, 20 Nov 2012 19:57:36 +0000 (GMT)
Subject: Re: [wanabidii] VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA MATAWI MAALUM YA VYUO VIKUU

mfumo wa CHADEMA unajulikana mi nawashangaa mnaohangaika na hawa jamaa, Chaga people imetawala hii chama, nini vyuo vikuu, nendeni mkapekenyue makao makuu sambamba na vijana walio front katika masuala yao, mtashangaa!
 
Hebu tutafuteni ugali wa kila siku achaneni na haya mambo bhana! yapo mengi ya kujali katika jamii hii inayotuzunguka mi nadhani cha msingi hapa ni kutafuta shekeli kwa kwenda mbele, lakini tukianza kutazama fulani ana cheo gani sehemu fulani, tutaumizana roho bure.
Kwa sababu ukiingia kwa kina utakumbana na mambo lukuki yanayochusha, inafika mahali mtu unajiuliza hivi kwanini huyu ana mnyooshea kidole mwenzake wakati yeye na huyo anayenyooshewa kidole ni bora huyu anayenyooshewa kuliko yeye.

--- On Tue, 20/11/12, Vincent Mhangwa <vmhangwa@gmail.com> wrote:

From: Vincent Mhangwa <vmhangwa@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA MATAWI MAALUM YA VYUO VIKUU
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, 20 November, 2012, 19:47

Sasa kama Wasukuma na wanyamwezi, Wajita na Wakurya na wengineo hawana interest tuseme je? Wachaga wako aggressive bhana, hongereni sana chagga boys/girls.
Vin 

2012/11/20 Peter Kafumu <kafumu@yahoo.com>
Kama majina hayakuchakachuliwa huu ni ukabila uliokithiti na ni hatari kwa nchi...

On 20 Nov 2012, at 19:42, "Tony PT" <tony_uk45@yahoo.co.uk> wrote:

> Juma,
>
> Duuuh! Matawi yote viongozi wa Chadema ni Wachagga? Kama ni hivyo, basi hongereni sana! Maana juzi tuliambiwa secretariat ya ccm ni waislam, leo haya tenaaaa!
>
> Mungu Ibariki Tanzania.
> Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
> Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.
>
> -----Original Message-----
> From: Juma Mzuri <jumamzuri@gmail.com>
> Sender: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Tue, 20 Nov 2012 06:28:58
> To: Wanabidii<wanabidii@googlegroups.com>
> Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
> Subject: [wanabidii] VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA MATAWI MAALUM YA VYUO VIKUU
>
> (i) University of Dodoma maarufu kama UDOM ni ELISANTE MUSHI.,
>
> (ii) Chuo Kishiriki cha MWENGE ni JAMES KIMARO.
>
> (iii) Sokoine University of Agriculture (SUA) ni JOHN KIMARIO.
>
> (iv) Chuo Kishiriki cha DUCE ni ELIBARIKI MUSHI.
>
> (v) Chuo Kikuu cha MZUMBE ni FRANCIS TAIRO.
>
> (vi) Chuo cha Teknolojia Dar es salaam (DIT) ni ABSOLOM TEMBA.
>
> (vii) Chuo kikuu Cha Mtakatifu Joseph (ST JOSEPH) ni JAMES URIO.
>
> (viii) Chuo Kikuu kishiriki cha JURDAN UNIVERSITY ni ESTER MASAWE.
>
> (ix) Chuo kikuu Cha Mtakatifu John (ST JOHN) ni GEORGE KIMAMBO.
>
> http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/356625-safu-ya-uongozi-chadema-vyuo-vikuu-ni-hii-2.html
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk
CORE 2 DUO
2.0 GHZ CPU
2 GB RAM
DVD/CD - RW
WINDOWS 7 /WINDOWS XP
WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0718 637905
0786 806028
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk
CORE 2 DUO
2.0 GHZ CPU
2 GB RAM
DVD/CD - RW
WINDOWS 7 /WINDOWS XP
WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0718 637905
0786 806028
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk
CORE 2 DUO
2.0 GHZ CPU
2 GB RAM
DVD/CD - RW
WINDOWS 7 /WINDOWS XP
WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0718 637905
0786 806028
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment