Hayo mafuta ya Ubuyu wanayanywa au!?
Sample imefanyika kwa watu wangapi?
Please share the case study
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
From: eva mushi <mushieva2000@yahoo.co.uk>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Fri, 16 Nov 2012 13:03:30 +0000 (GMT)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] TATIZO LA WANAUME SURUALI LINAZIDI KUONGEZEKA
Kwa muda mrefu nimepata kusikia pamoja na virutubisho vingi vya kuongeza nguvu za kiume mara nyingi nguvu za kike hazitajwi.Kuna wajasiriamali mkoani Mwanza wamegundua kuwa Mafuta ya Ubuyu ni dawa tosha kwa kuongeza nguvu za kike na za kiume.Mpo?????
From: mngonge <mngonge@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Friday, 16 November 2012, 15:29
Subject: Re: [wanabidii] TATIZO LA WANAUME SURUALI LINAZIDI KUONGEZEKA
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Friday, 16 November 2012, 15:29
Subject: Re: [wanabidii] TATIZO LA WANAUME SURUALI LINAZIDI KUONGEZEKA
Ndugu wanabidiiHivi karibuni nilisoma kwenye gazeti moja kwamba siku hizi wapo akina mama wengi wenye tatizo la kupata watoto kwenye ndoa zao. Inawezekana kwa kiasi kikubwa tatizo si wao bali tatizo ni waume kama nimeielewa makala ya Rehema vizuri. Ingekuwa kula vyakula vinavyowafanya wanaume kuwa wanaume suruali vinaleta tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa baada ya kuwa na watoto, mimi ningemuunga mkono mia kwa mia ndugu Mbuba. Tatizo la wanaume suruali yawezekana lipo ata kwa vijana ambao hawajaoa wala kupata watoto. Kama tatizo hilo lipo ata kwa vijana na likaendelea kuwa kubwa ina maana mbele ya safari dunia itakuwa haina watu. Mbaya zaidi mbali na kusababisha umwanaume suruali ukosefu wa virutubisho muhimu mwilini husababisha magonjwa mengi na hivyo uufanya mwili wa mtu kuwa dhaifu. Mtu wa namna hii hawezi kuzalisha vya kutosha na hivyo taifa litakuwa maskini. Nimejifunza maana nyingine kuhusu neno mwanaume suruali mimi nilijua ni mwanaume asiyekuwa mkakamavu au asiyekuwa na chochote kitu, kumbe ni mwanaume asiyeiweza shughuli? Kwa mtindo huo lazima wanaume suruali wapo wengi na ni watu wa makamo ya kati na wazee Ipo haja ya kueneza elimu hii ili jamii iendelee kuwa na sura ya jamii yenye ustawi. Elimu hii itaweza kutolewa vizuri baada ya kujua ukubwa wa tatizo kulinga na umri pamoja na jinsia kupitia njia za utafiti wa kisayansi -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
2012/11/16 Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com>
utafiti wangu na uzoefu umenionyesha kuwa wanawake ndo hawana nguvu za kike,au mimi ndo nina matatizo?2012/11/16 <gm26may@gmail.com>
Yah Na wale wachache wenye nguvu za kutosha watakuwa wana kazi kubwa kufidia maana wanawake wengi watakuwa wanahitaji huduma zao Hapo hujazingatia kuwa idadi ya wanawake ni kubwa mara 3 ya wanaume ( sijui na sensa ya mwaka huu itadhibitisha hilo) Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania NetworkFrom: Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>Sender: wanabidii@googlegroups.comDate: Fri, 16 Nov 2012 10:36:34 +0300To: wanabidii<wanabidii@googlegroups.com>ReplyTo: wanabidii@googlegroups.comSubject: Re: [wanabidii] TATIZO LA WANAUME SURUALI LINAZIDI KUONGEZEKADuh MbubaHapa umemaliza kila kitu, ila ujue kwamba kama mmoja wa wanandoa akiwa na hilo tatizo maana yake atafungua mlango kwa mwenzake kutoka ndani ya ndoa japo kwa kuiba -- 2012/11/16 weston mbuba <matutetz@yahoo.com>
Rey,Nadhani hii ni habari njema. Kama nguvu zinapungua ina maana uzinzi unapungua, UKIMWI utapungua, watoto wasotarajiwa watapungua, mfumuko wa wingi wa watu utapungua hivyo kuimarisha uchumi, watu kwenda nje ya ndoa kutapungua kama si kuisha kabisa, na hivyo kupunguza mifarakano katika ndoa, nk, nk, nk.Hamna haja ya kuhangaikia utafutaji wa suluhu kwa jambo hili.--- On Thu, 11/15/12, Rehema Kikwete <rehemaki@gmail.com> wrote:
From: Rehema Kikwete <rehemaki@gmail.com>
Subject: [wanabidii] TATIZO LA WANAUME SURUALI LINAZIDI KUONGEZEKA
To: "Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, November 15, 2012, 11:17 PM KWA mujibu wa ripoti za Shirika la Afya Duniani (WHO), idadi yawanaume ambao wanakuwa wanaume suruali inazidi kuongezeka kwa kasi huku kukiwa hakuna dalili za kupungua kwa tatizo hilo.Sababu kubwa kwa sasa ni kukua kwa matumizi ya vyakula vya viwandani. Vyakula hivi kwa bahati mbaya huwa vina kemikali nyingi. Hakuna shaka kwamba hata wewe umekuwa shahidi, kwa mfano maji mengi yanayouzwa siku hizi yamesafishwa kwa kemikali, juisi nyingi hazijatengenezwa kwa matunda halisi, bali zimetokana na harufu ya matunda na kemikali. Ulaji usiofaa unaonekana kuwa ni mojawapo ya sababu kubwa za wanaume kwa wanawake kusumbuliwa na tatizo la nguvu au uwezo katika kushiriki jambo hili. Ingawa tatizo la upungufu wa uwezo huo linaonekana zaidi kwa wanaume, hata wanawake nao wanasumbuliwa nalo, kwa maana ya kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Hata hivyo tiba ambayo wanaume wanaweza kutumia, ni ile ile ambayo wanawake wanapaswa kuitumia, kwa maana ya kula aina fulani ya vyakula ili nao waweze kuwa sawasawa kama walivyo watu wengine. Wengine wanakula tu ili mradi tumbo limejaa, bila kuangalia hiki nakula kwa ajili ya kwenda kufanya nini katika mwili. Mafunzo mengi yametolewa kuhusu vyakula kuanzia shule za msingi hadi sekondari na vyuo, kwamba mayai yanasaidia nini, vyakula vyenye kuongeza nguvu, wanga nk ni vipi. Lakini bado si wengi wanaojali walichofundishwa. Pombe inasaidia nini katika mwili? Sigara inasaidia nini katika mwili? Kahawa, soda na vyakula unavyotumia vina msaada gani mwilini? Ni mambo ambayo unapaswa kuyajua. Ndugu yangu acha tabia ya kula tu vitu ili mradi unashiba. Unaharibu mwili wako, kwani baadhi ya vyakula vinachangia ugonjwa wa kisukari au magonjwa mengine mwilini kama moyo au nguvu za kiume kupungua hasa vile vya jamii ya mafuta. Hata matumizi ya mafuta ya kula ni lazima kuwa nayo makini, kuna baadhi ya mafuta yanachangia mirija ya kupitisha damu katika mwili kuganda, matokeo yake damu haipiti vizuri, kitendo ambacho kinachangia mwili wa mwanadamu kuwa dhaifu. Wengi ni wazuri wa kusoma na kushukuru kwa mada nzuri, lakini hilo silo ninalotaka; ninachotaka ni kuona mtu anachukua hatua ili kuleta mabadiliko. Viko vyakula maalumu vilivyotengenezwa tayari kwa ajili ya kuondoa tatizo la nguvu za kiume, lakini unaweza kujaribu kutumia baadhi ya vyakula kama tangawizi vina msaada katika mwili. Kitaalam, tangawizi ni moja ya vyakula vinavyoweza kurejesha nguvu za kiume; Jinsi ya kufanya ni kwamba unaweza kuichemsha tangawizi na ukatumia kwa kuinywa kama chai asubuhi, mchana na jioni. NJIA NYINGINE YA KUFANYA: Unaweza pia kuchukua kitunguu saumu kisha changanya na asali pamoja na mmea fulani unaitwa habat soda na uwe unakunywa mchanganyiko huo mara tatu kwa siku. Ugali wa mtama asilia, mchuzi wa matembele, pweza, mrenda na maziwa navyo vina msaada katika mwili wa mwanadamu. Mambo yanayochangia kuwa na nguvu imara ni mawili nayo ni kula chakula bora pamoja, kupata mahitaji muhimu ya mwili na kisaikolojia unahitajika uwe na amani. Ukiwa na hofu japo kidogo tu, au msongo wa mawazo hata mwanamke wako afanyeje kukuliwaza ni ngumu kusisimka ipasavyo. Katika kushiriki jambo hili la ndoa, unapaswa kuwa katika mazingira na muda ambao unajisikia huru. Zaidi ya yote pendelea kunywa maziwa yaliyo changanywa na asali mbichi, kunywa maji mengi, punguza kula vitu vyenye sukari, na kula matunda, mboga za majani kwa wingi. Pendelea kufanya mazoezi ya viungo, jizoeshe kutembea kwa miguu au kutumia baiskeli angalau nusu saa kwa siku. Kama unakunywa pombe acha kabisa, punguza mawazo pale unapokuwa na matatizo, elewa kuwa matatizo ni sehemu ya maisha. http://rosemarymizizi.blogspot.com/ -- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/ Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/ Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. -- Bariki G. Mwasaga, P.O. Box 3021, Dar es Salaam, Tanzania +255 754 812 387 Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/ Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/ Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. -- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/ Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment