Hatuwezi kuwa na Baba wa Taifa wawili. Kwa kuwa Zanzibar iliolewa, Abeid Amani Karume inabidi aitwe Mama wa Taifa. Kwa kuwa baba kuitwa mama haipendezi, ni bora tukampotezea - tuendelee kumsoma kwenye vitabu tu.
Mt. B; Bukoba Municipal, Tanzania - East Africa.
--- On Fri, 11/16/12, Victor Mwita <victormwita@gmail.com> wrote:
From: Victor Mwita <victormwita@gmail.com> Subject: Re: [wanabidii] Marehemu Mzee Karume ana haki ya kuitwa BABA wa TAIFA la Tanzania – Mansoor Yussuf Himid - Mwanzo To: wanabidii@googlegroups.com Date: Friday, November 16, 2012, 4:29 AM
Ni sawa akitajwa naye kama Baba wa Taifa. Issue ni namna ya kuanza huo mjadala ili apate heshima yake. Maana huwezi kuitaja Tanzania bila kumtaja Abeid Amani Karume kama tunavyomtaja Julius Kambarage Nyerere. I can see the logic ya Himid japo katika mambo mengine hasa kuhusu Muungano wa Mkataba sikubaliani naye maana hata yeye haelewei huo muungano wa mkataba ni kitu gani na unafanyaje kazi na ni wapi kuna kitu kama hicho 2012/11/16 Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com> Hapa hapazungumwi U-Zanzibari ama Upemba na Uunguja bali Tanzania. Mbona suala liko wazi waliochanganya udongo pale alikuwa JKN na AAK sasa akipewa hiyo hadhi ni stahili kabisa ndiyo maana BOT wamewaweka hawa wawili kwenye sarafu na noti zetu. Unaposema charity begins at home kwani asili ya Karume wapi? yaliyo ya wazi wacha yaendelee kuwa wazi. Kama ingekuwa hoja ni suala la Mapinduzi ya Zanzibar basi tungeyaongelea kwa muktadha huo
-- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. -- Victor Caleb Mwita Ministry of Livestock and Fisheries Development
P.O. Box 9152 Dar Es Salaam Tel: 0766750673, 0789142275 -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
|
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment