Nafikiri ameshindwa kujieleza. anachomaanisha nilivyoelewa na kukubaliana naye ni kuwa KUBADILI KATIBA na kuongeza vipindi vya uongozi wa Rais kwa sababu amekwenda kumuona mgonjwa hospitali ukweli nuo ni upuuzi. Nafikiri ndiyo maana yake
--- On Tue, 11/6/12, Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com> wrote: From: Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com> Subject: Re: [wanabidii] JK ANATUPA MOYO - NI KOMANDA KWELI MWENYE HURUMA! To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> Date: Tuesday, November 6, 2012, 10:44 AM
Hivi ule uhuru wa mawazo kumbe haupo?? mtu akizungumza anachoamini ni upuuzi. Kweli tuna safari ndefu. Nafikiri kama ni upuuzi ulipaswa ukiishasoma futilia mbali lakini kitendo cha kujibu na kuona ni upuuzi inawezekana kinyume chake ukawa unahusika. Ni bora kama mtu kaongea unachoona ni tofauti na unachoamini basi wewe jitoe kaa mbali kabisa -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
|
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment