Tuesday, 10 July 2012

[wanabidii] KISWAHILI SANIFU

Bwana Mganga,
Kiswahili chako hakijapitwa, kwa "usanifu" uliosomeshwa.
Lakini kumbuka, kabla ya "kusanifishwa", Kiswahili kilikua na "wenyewe",
yaani Waswahili.
Sijapata kujigamba kua ninachosema ni "kisanifu". Mimi ni Mswahili wa
mila na temedeni. Lugha ninayotumia ni ya muundo wa lahaja za
Waswahili wenyewe, yaani watu wa kingo za Pwani ya Afrika Mashariki
(tokea Benadir/Somalia hadi Sofala/Mozambique) na makundi ya visiwa
vyake.
-------
Na kwa kanuni za muundo-sauti ("morphophonology") wa lugha hii,
SUNGURA wawili ... huweza pia kuhesabiwa kwa kalima la MASUNGURA
WAWILI, kama ilivyo kwa RAIA na MARAIA, ASKARI na MAASKARI n.k.
Lakini, kama usemavyo, kusema hivyo si "kisanifu", na mimi si "msanifu"!
Upo hapo?
Bwanatosha
Paris, France.



Date: Tue, 10 Jul 2012 04:54:07 -0700
From: kitiluj@yahoo.com
Subject: RE: KIMBEMBE CHA SENSA NA WOGA WA KANISA/2-3-4-5-6


Mheshimiwa mataalam wetu, Salim himid. Kwa kiswahili sanifu hakuna wingi wa neno raia kwa kadri ya ufahamu mdogo nilio nao kuna maneno ambayo huwa  hayana wingi moja wapo ni raia.. Mheshimiwa labda kama kiswahili changu kimepitwa na wakati kwa kuwa kiswahili kinakua. Nakutakia siku njema
JMKF
Japan.

--- On
Tue, 7/10/12, Salim Himidi <bwanatosha@hotmail.com> wrote:

From: Salim Himidi <bwanatosha@hotmail.com>
Date: Tuesday, July 10, 2012, 6:34 AM

Mheshimiwa mtukufu Kitiluj,
Kwa kua unafahamu Kiswahili kuliko mimi, bora nikukumbushe kua
iwapo RAIA ni "mtu ...", MARAIA ni "watu ...", yaani MARAIA ni "plural"
ya RAIA!
Au vipi?
Nitafurahi kusoma Kiswahili ziada kwa MSAADA wako, mtandaoni.
Upo hapo?
Bwanatosha


Date: Mon, 9 Jul 2012 16:44:02 -0700
From: kitiluj@yahoo.com

Hujamjibu bwna kaaya  (RAIA nm 1 mtu mwenye haki za kisheria kutokana na kuzaliwa au kujiandikisha katika taifa fulani na
zinazomwezesha kushiriki katika shughuli zote za taifa hilo)
Je? Maraia ni kitu gani hicho. usiharibu kiswahili we.
......
 Siku njema
JMKF
Japan
On Mon, 7/9/12, Salim Himidi <bwanatosha@hotmail.com> wrote:

From: Salim Himidi <bwanatosha@hotmail.com>
Date: Monday, July 9, 2012, 9:51 PM

KAMUSI ya Kiswahili SANIFU/Toleo la Pili/Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili, Dar-es-Salam (Page 346),
latuambia:
RAIA nm 1 mtu mwenye haki za kisheria kutokana na kuzaliwa au kujiandikisha katika taifa fulani na
zinazomwezesha kushiriki katika shughuli zote za taifa hilo. 2 mtu asiyekuwa askari.

Natumai umetosheka.
Kwani huna Kamusi nyumbani?
Una Dictionary tu?

Bwanatosha
P. S. Tizama katika Dictionary, fasiri ya:
1)-CITIZEN
2)-CIVILIAN

-------
> From: kaayashilia@hotmail.com
> Date: Mon, 9 Jul 2012 17:41:47 +0000
>
> Maraia maana yake nini? Wengine huenda Kiswahili kinatupiga chenga!
> Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom
>
> -----Original Message-----
> From: Salim Himidi <bwanatosha@hotmail.com>
> Date: Mon, 9 Jul 2012 17:07:59
>
>
> Mwenzangu Mkatoliki,
> Tatizo liliopo hapa ni kuwa TAKWIMU RASMI, za Serikali, ndizo zinazosambaza
> sura hii, ambayo inakosolewa na wahusika.
> Dai, la taasisi husika, ni kuwa Serikali inasema UWONGO.
> Wao, kama nyinyi, wanazo taratibu zao za kujihisabu, ndio maana wanasema
> kuwa yanaosemwa na Serikali ni UZUUSHI wa Kanisa fulani, lenye mikakati ya
> kupotosha wananchi/maraia, pamoja na Ulimwengu kamili, kwa njama za kudhibiti
> amri za Dola na Vyombo Vinginevyo Vya Serikali, kwa "kuvihodhi", na "kukandamiza"
> maraia wenzao, kwa njama za UDINI. Na haya kusemeka, wahusika wameshafanya
> hisabu zao, na wanaamini kuwa yanaochapishwa na Serikali, kwa kusalitiwa na Viongozi
> wa Kanisa hilo, ni DHULUMA kwao.
> Ufafanuzi ni wa Serikali tu!
> Serikali inawajibika kuwa "neutral" ndio maana ya  "secular".
> Haiwezi kutumiwa na upande mmoja dhidi ya upande mwingine wa Umma, wa Taifa la pamoja!
> Upo hapo?
> Bwanatosha
>
>
>
>
> ----------------
> From: jmwanya@hotmail.com
> Date: Mon, 9 Jul 2012 16:43:35 +0000
>
>
> Mh! Kweli hz hbr za udini naona kama zinatuelekeza korongoni. Kwa nini taasisi husika zisisimame zenyewe bila kuihusisha serikali?! Yaani waislamu wafanye sensa yao, RC wafanye yao, EAGT wafanye yao etc, etc. kama wanaona kuna issue! Mie ni mkatoliki, Jimbo kuu la Dsm, Parokia ya Kilungule, Kigango cha Mt.Salome KANA, Jumuiya ya Mt. Salome. Kila mwaka nimeshuhudia viongozi wetu wakifanya sensa kuanzia ngazi ya kaya, then jumuiya, kigango, parokia mpaka ngazi ya Jimbo kiasi cha kuwa rahisi mno kupata idadi ya wakatoliki ngazi ya familia, jumuiya, kigango, parokia hadi Jimbo. Tuiache serikali ifanye sensa ya watu wote.
>  
> Napata kigugumizi kwa kweli!! Mungu tuepushe na kikombe hiki UDINI!
>  
> JM

> ----------------
> From: bwanatosha@hotmail.com
> Date: Mon, 9 Jul 2012 01:15:53 +0000
>
>
> Suala hili lilianza kwa malumbano ya madai, ya baadhi ya watu na taasisi za kiraia, wenye kutaka
> Serikali ikubali kutia kipengele cha DINI GANI, katika fomu za SENSA ijao, kutokana na kile kinacho
> onekana kuwa ni UWONGO RASMI wa J. K. Nyerere, na washiriki wake wa CHAMA TAWALA, pale
> walipoamua kutokuuliza suala hili, baada ya takwimu za 1957, na kuamua, baadae, kuandika katika
> maandishi rasmi, kuwa, dini za Tanzania hugawika kwa namna ifuatavyo:
> 33% Wakristo
> 31% Waisilamu
> 32% Wapagani
> 04% "Wengine"
> Na kwamba haya yanaosemwa kua ni UWONGO.
> Na chanzo ni KANISA LA KIKATOLIKI, kwa nyenzo za waongozi wake, kutaka "kuhodhi" Tanzania,
> kupitia nyanja na daraja nyeti zote za Serikali na Taifa, kwa kubana na "kudhulumu" Waisilamu.
> Sasa, suala ni hili: TUFANYEJE?
> Serikali inawajibika kubuni njia ya KUSAHIHISHA haya, au kuchanua UZUSHI wa wanaoyasema!
> Jawabu na ya Serikali, sio sisi maraia, tunao "chochea", ili tujue ya KWELI na ya UWONGO!
> Mpo hapo?
> Bwanatosha
> +33-6-33071051.

>
> From: rashid martin <rashidtz@hotmail.com <mailto:rashidtz@hotmail.com> >
> Date: Sat, 7 Jul 2012 21:49:00 +0300

> Lyimo naomba nikupe maana ya neno KAFIR

> ni neno la kiarabu    kiswahili-----mpingaji
>                               kingereza-----protestant
> nashangaa kunawatu wanajita madehehebu yao kuwa ni protestants yaani wapingaji na pia yaani makafir
> neno hili linatumiwa vibaya na waislamu walio wengi kwani ni Mungu pekee anaejua nani kafir na nani sio
>
>
>
>
> ----------------
> Date: Fri, 6 Jul 2012 10:40:58 -0700
> From: abachamani@yahoo.com <mailto:abachamani@yahoo.com>
>
>
>
> We Lyimo,
> Kwani mfumo mbadala wa mfumo kristo ni upi katika nchi isiyokuwa na dini mbona mnapenda kupotosha? Kuna sehemu Mzee Mohamed kasema hayo au anadai hayo?
> Kwani Jumapili ikiwa siku ya kazi pana ubaya gani na Ijumaa ikaendele kuwa siku ya kazi?
> Kumbuka madai ya Waswahili siyo hayo mnapotosha kusudi.Waswahili kwamfano wanataka japo masaa 2 tu Ijumaa wakasali basi lakini nyinyi muda huu ndiyo mnapanga vikao.Kumbuka kwa imani ya Waswahili hawana Sabato kwa hiyo anayesema habari ya Ijumaa ana lake.
> Unamalizia kuwa nchi yetu haina dini nawe unaamini hivyo.
> Nami nakukubalia kweli nchi yetu HAINA DINI YA KISWAHILI ILA INA DINI YENU na huo ndiyo mfumo tunaouzungumza.MFUMO KRISTO.
> Walewale.

>
> From: mohamed said <mohamedsaid54@gmail.com <mailto:mohamedsaid54@gmail.com> >
> Date: Mon, 2 Jul 2012 23:15:46 +0300
>
> Amani ni kudumisha haki na uadilifu.
> Haiwi Kanisa likahodhi fursa zote wakatuwekea walevi katika Baraza la Mitihani na kwengineko wanadhulumu na kuwahujumu Waislam sisi tukamsikiza mtu anatuhubiria amani.
> Huko ni kupoteza muda.
> Amani ahubiriwe dhalimu.
> M
> On Jul 2, 2012 11:08 PM, "Bariki Mwasaga" <bmwasaga@gmail.com <mailto:bmwasaga@gmail.com> > wrote:
> Kiu yangu kila mmoja aishi kwa amani na kama kuna njia bora ya kuwafanya watu wawe na Amani basi tuitumie vyema
>
>
> On 2 July 2012 23:02, mohamed said <mohamedsaid54@gmail.com <mailto:mohamedsaid54@gmail.com> > wrote:
>
> Ahsante sana ndugu yangu.
> Ni wajibu wetu kuwafahamisha ukweli kuwa Waislam wanadhulumiwa na serikali ambayo imehoodhiwa na Kanisa Katoliki.
> Hili hatulifichi Waislam wote kwa sasa wanalijua na ndiyo sababu leo unaona uongozi wa Waislam uko nje ya mikono ya BAKWATA na leo Waislam wanaongozwa na viongozi ambao hata serikali hawawajui.
> Imetuchukua miaka mingi kufikia hapa.
> M
>
>
> On Jul 2, 2012 10:58 PM, "Bariki Mwasaga" <bmwasaga@gmail.com <mailto:bmwasaga@gmail.com> > wrote:
> Mzee(Sheikh) Mohamed Said. you have my support. Keep on fighting for your rights. Hata mimi nafikiri ningekuwa kwenye viatu vyako ningekuwa labda kama wewe....Endeleza mapambano hadi kieleweke. Usikate tamaa.
>
>
> On 2 July 2012 19:34, mohamed said <mohamedsaid54@gmail.com <mailto:mohamedsaid54@gmail.com> > wrote:
>
> Haiwezekani babu yangu apiganie uhuru wa nchi hii kisha mie nije nibomoe.
> Ahsante ya babu yangu na wenzake wengi walopambana na ukoloni ilikuwa kutupwa gerezani na Nyerere na majina yao kuondolewa katika historia.
> M
>
> On 2 Jul 2012 17:01, "mohamed said" <mohamedsaid54@gmail.com <mailto:mohamedsaid54@gmail.com> > wrote:
> Indeed it is a waste of time.
>
> That is why we went out on a nationwide campaign to alert Muslims on
> Mfumo Kristo.
> If the government was deaf let us speak to the umma.
>
> M
>
> > On Mon, Jul 2, 2012 at 3:04 PM, method francis ngonge
> > <mngonge@gmail.com <mailto:mngonge@gmail.com> >wrote:
> >
> >> Mr Mohamed Said
> >>
> >> Please note that I am not after protecting any kind of evils being done
> >> by
> >>> government officials nor I am saying the government is clean. No no no,
> >>> what I am trying to reveal is that we should not think that our problems
> >>> are just a result of religious discriminations. Do you want to tell us
> >>> that
> >>> all christians are being favoured by the current system? neither all
> >>> muslims are unfavoured by the system. Therefore it is not a matter of
> >>> being
> >>> a muslim or christian but a struggle between the haves and have not. Let
> >>> us
> >>> join hands for the better struggle
> >>>
> >>
> >> On Mon, Jul 2, 2012 at 2:43 PM, mohamed said
> >> <mohamedsaid54@gmail.com <mailto:mohamedsaid54@gmail.com> >wrote:
> >>
> >>> No it is not ability.
> >>>
> >>> If you were in our shoes you would have understood our predicament.
> >>>
> >>> NECTA NECTA NECTA...
> >>>
> >>> We are not joking.
> >>>
> >>> M
.......
> >>>> On Mon, Jul 2, 2012 at 1:16 PM, Asanterabi Sang'enoi <
> >>>> asangenoi@yahoo.com <mailto:asangenoi@yahoo.com> > wrote:
> >>>>
> >>>>>
> >>>>> Watu wanaoendekeza udini ni wa hatari sana. Wanataka kuwagawa
> >>>>> watanzania kwa misingi tu ya dini ambayo kila mtu aliipokea kwa
> >>>>> matakwa
> >>>>> yake mwenyewe. Kwani Waislamu wakiwa wengi au wakristo au wapagani
> >>>>> kuna
> >>>>> tatizo gani? Mie najua kuwa kwa kanisa wajibu iliyopewa ni kuhubiri
> >>>>> injili
> >>>>> ili watu wengi wamwamini  Yesu hivyo kadri wanavyofanya bidii ya
> >>>>> kuhubiri
> >>>>> ndivyo na idadi inavyoongezeka. Sijajua dini nyingine kama na wenyewe
> >>>>> wanahubiri habari za dini zao ili waongezeke au wanategemea tu kuzaana.
> >>>>> Pia
> >>>>> kama kila dini ina taratibu zake kwanini wengine wanataka kuiingiza
> >>>>> Serikali kwenye mambo ya dini ilhali Katiba imeshasema kuwa Tanzania
> >>>>> ni
> >>>>> nchi isiyofuata dini yoyote (Secular state) ila wananchi wana uhuru
> >>>>> kufuata
> >>>>> dini yoyote? Kwanini tusiuheshimu huo uhuru wa kuabudu na kuiacha
> >>>>> Serikali
> >>>>> ifanye kazi zake badala ya kuisumbua kila wakati kwa masuala ya dini
> >>>>> isiyohusika nayo?

> >>>>>   ------------------------------
> >>>>> *From:* Emma Kaaya

>
> >>>>> "In the 1957 census Muslims outnumbered Christians at a ratio of three
> >>>>> to two.[1]  Ten years after
> >>>>> in 1967, in the post independence census Muslims were 30%, Christians
> >>>>> 32
> >>>>> and local belief 37%. Reasons were not given for this sudden decrease
> >>>>> of
> >>>>> Muslims or the growth of pagans. It is on record that the 1967
> >>>>> statistics
> >>>>> were doctored to show that Muslims were trailing behind Christians in
> >>>>> numerical strength. It is worthwhile to quote in full a letter by one
> >>>>> Amiri
> >>>>> Mchomvu which appeared in the *Family Mirror* about the 1967 census:
> >>>>>
> >>>>> Last month I chanced to come across Africa Information Newsletter,
> >>>>> (September 26, 1994 issue) in which there was an article on Tanzania
> >>>>> titled: Islamic fundamentalism worries the government.
> >>>>>
> >>>>> I found the article by a renewed Tanzanian journalist, Lawrence
> >>>>> Kilimwiko to be very anti-Islam. Besides, Mr. Kilimwiko says that about
> >>>>> 40%
> >>>>> of Tanzanians are Christians and 30% Muslims. I think that is a
> >>>>> statistical
> >>>>> error.
> >>>>>
> >>>>> During the 1967 Population Census, the first census since
> >>>>> independence,
> >>>>> I was one of the census enumerators in Tabora Region. It is believed
> >>>>> that
> >>>>> this was the only successful of the population census conducted since
> >>>>> independence (i.e. 1967, 1978 and 1988) as it was wholly conducted by
> >>>>> the
> >>>>> form V students. Corruption, embezzlement, etc. of census funds and
> >>>>> other
> >>>>> administrative vices that plagued the last two census (1978 and 1988)
> >>>>> were
> >>>>> things unknown at that time.
> >>>>>
> >>>>> It was the only census which had probed Tanzanians' religious
> >>>>> adherence. I clearly remember the bulky questionnaire form, one
> >>>>> question of
> >>>>> which asked the persons' religion, whether he was Christian, Muslim,
> >>>>> Other
> >>>>> (e.g. Hindu, Budhist etc.) or traditional, e.g. pagan.
> >>>>>
> >>>>> I also remember the census results; published by the then Tanganyika
> >>>>> Standard late that year 1967 (I have forgotten the date of the issue)
> >>>>> in
> >>>>> which it was shown that Muslim constituted 63% of the population.
> >>>>>
> >>>>> Now whoever thinks that such verdict is not correct I challenge
> >>>>> him/her
> >>>>> to substantiate otherwise with official results of the 1967 Census if
> >>>>> they
> >>>>> at all can get hold of them."
> >>>>>
> >>>>> ------------------------------
> >>>>>
> >>>>> [1] *Africa South of the Sahara*, Europa Publication, London, No. 20
> >>>>> 1991, p. 1027.
>
> >>>>> On Sun, Jul 1, 2012 at 11:50 AM, mohamed said
> >>>>> <mohamedsaid54@gmail.com <mailto:mohamedsaid54@gmail.com>
> >>>>> > wrote:
> >>>>>
> >>>>> Wanabidii,
> >>>>>
> >>>>> Hebu tustaladhi na haya katika attach.
>
> >>>>> Mohamed Said
>
>
> --

0 comments:

Post a Comment