Thursday, 2 July 2015

Re: [wanabidii] (Lowasa maji yamekushinda utaweza foleni au porojo za kisiasa?)

Mimi sipo kwenye NGO yyt. Nasikitika na shamba lako kuharibiwa na madhila mengine na kwa kweli ni ya kulaaniwa. Lakini ningependa urudi nyuma usome historia kdg: mkomazi lilikuwa eneo la malisho. So is Ngorongoro, Serengeti na Tarangire na Manyara. Ukichukua eneo lote la KIA na chuo cha jeshi cha Monduli na mengine mengi yalikuwa ni maeneo ya kulisha mifugo. Yamechukuliwa kwa ajili ya matumizi mengine. Kwa nn hao watu wasipewe maeneo mengine? Fikiria eneo lote la hifadhi ya Serengeti, Tarangire na Ngorongoro likibaki kuwa la ufugaji nani angekuja Morogoro? Hayo mashamba ya mikonge yalikuwa maeneo ya kuchungia mifugo. So wakihama ni kwa sababu wamelazimishwa. Documents zipo za kuonesha extent ya land grabbing in pastoral and agro-pastoral areas. Matokeo yake ndio hayo ya kuhamahama.
Nakubaliana na ww kuhusu corruption kama source ya migogoro kati ya wakulima na wafugaji na ulegevu katika kuandaa na kusimamia land use plans kwa ardhi ya vijiji.
The issue is: nani anatusikia na ni nani atachukua maamuzi muhimu ili migogoro iishe?
Nadhani migogoro ni mtaji wa kisiasa
Naomba kutoa hoja

Sent from My Ipad

On 2 Jul 2015 08:31, "'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Kwanza sehemu kubwa yenye protected catchment forests ni kwa wakulima hazipo semi-arid areas.
Mbuga chache sana na protected forests zipo semi-arid areas. Ila labda mbuga kuu ya hifadhi tu ya Serengeti yenye jina kuu ipo huko. Kama kuna mhifadhi mazingira na uoto asili-Mpare ndio namba moja wanafuatilia weengine.

Mito mikuu inaanzia misitu kwa wakulima na ikilindwa kwa mila na desturi TZ. Na ndiko huko wanakohamia Sasa-Sumbawanga, Rufiji, Lindi, Morogoro ndio usiseme na kuharibu hata irrigation scheme. Kutokana na kuona hoja za wazungu kutetea wafugaji ndio bora kuna kusahau indigenous knowledge na practices za ulinzi wa mazingira kwa wakulima na wakulima wafugaji. Hata nami nimetembea kute huko unakosema na degradation ipo kubwa. Ila yale maeneo ambayo wawekezaji waliweka tented camps kisheria au maeneo ya zoo-breeding wanyama pori ndiko huko wanafanya uvamizi na kudai ardhi imeporwa. Na kama wakoloni wasingeanzisha protected area na GVT kwa miaka kufanya nguvu ya kuweka corridors na buffer zone-kiukweli TZ ingekuwa jangwa. angalia juhudi za kupanda miti dodoma zinavyobadili sura ya mji na vijiji. Lakini-ukifika mfano Maswa Game Reserve-utatembea kilometa za machaka na ukifika karibu na hiyo reserve ndio kuna nyumba mbanano na kuingia kulima mpaka ndani ya hiyo
 GM (Fika Nyanza village) na serikali kuwatoa humo ndani kwa kuchoma vibanda. Fika Mikumi National Park-utapita machaka lakini kabla ya kuingia Park-nyumba na kilimo kipana. Jiulize-kwa nini wasonge kule badala kinyume chake. Kwa sasa hakulimiki Mikumi-mifugo inapita kuhamia ndani ya N.P. ya kutoka limoleta maefu. Lakini fika Loliondo, NCAA, Vijiji vya Simanjiro uone kilimo kinachoendelea ndani ya wildlife conservation area. Change ya livelihoods za wafuigaji zikubalike na mbinu za matumizi ardhi kiendelevu ziboreshwe na kuzingatiwa. Kwa wakulima pia. Kukata misitu asili hovyo, kilimo kisich endelevu ardhi haitotosha daima na mito itakauka.

Source ya migogoro ni rushwa na kutozingatia sheria ya ardhi na ethnocentrism. Mbona hilishii shamba lako ukilima ulikohamia au place of origin. Kama carrying capacity ni eka tano kwa livestock unit-unao elfu 5 katika ekari mbili. Hupandi majani na eneo leupe-hata conservation area ipunguzwe tatizo halitatatulika. Tuna centres za kilimo na mifugo zonal zinajulikana na mikoa mingine zaidi ya 1 ya mifugo. Support zipo tuzitumie. Tafiti kibao na ushauri mpaka za kuangalia Value chain ya Red meat na matatizo katika ufugaji. Soma UNIDO (2012) Tanzania Red Meat Value Chain. A diagnistc study na nyinginezo kibao. Studies za Farmer-Pastoral Conflicts zipo kibao na ushauri. Hatuzingatii. Na land use planning inakwepwa kwani hela zipo mbona posho nene hatuachi kujipa ktk vikao lakini LUP ni 8-10 million kwa kijiji. Tuone kupimwe, wapate hati za kimila za makazi na mashamba au maeneo ya ufugaji halafu tumuone atakayezurura na kusabisha mapigano na mauaji.

Kama eneo ni la kufuga, mfugaji akianzisha kilimo cha kupanuka eneo la kuchunga kijiji chake kimfanye nini? Siku hizi hata wazee wa mila corrupt ndio maana mtu anaweza kuingiza wafugaji wageni, kulima ktk common grazing land. Kuwakemea-tutakosa kura. Miaka ya nyma Kijiji cha Robanda kilikuwa cha waikoma-wafugaji na kilimo kiasi. Baada ya hoteli ya Grumeti kujenga-ugomvi wa waikoma na wamasai kutoka serengeti ukamalizwa in mid-1990s kwa kusainiana mkataba wa kimila. Kumejaa wafugaji wa kimasai. si mbaya ila mafao ya kutoka grumrti hayataonekana kutokana na population growth, overconcentration of people and livestock, business-petty and major. Ardhi itakuwa ndogo na kutaka degazettement ya Grumeti na Ikorongo na ardhi ya Robanda ni rocky mawe ya gypsum. In 1980s STDs na TB vikiongoza sasa itakuwa balaa na vitakuwa vinapaa pamoja na malnutrition kwani chakula cha nafaka na kimoro itakuwa tabu. Solution sio kupunguza mbuga na mwisho kuona tunaonewa. Pale
 ulipo unazingatia matumizi bora hata ukizaa sana? Mifugo mpaka Mgeta mlimani morogoro, Bunju, Kiromo bagamoyo kwa visingizio vya kila aina? Ndio tunauliza wengine. Uhuru wa wengine kuzurura watatako ila mkulima hawezi kuhamia NCAA, Loliondo Game Reserve area akalima atakavyo-atahamiaje? Kwa nini tusikubali kutumia research, ushauri tukaendelea? hata ukichukua ramani za ukoloni za social anthropologist na maps zao za makabila mbali mbali na maeneo yao na protected areas-kisha uchukue satellite images kwa miaka kadhaa uone ulinganishe na mipaka ya zamani na uoto over years utaona uharibifu wetu wenyewe kimipaka-hiyo research ilifanyika chini ya DIFD funds likapatikana lisilotegemea waliokuwa wakidhani serikali ndio mkosa mkuu kuonea jamii moja tu. Hiyo ndio ilikuwa dhana ya wahisani hao na NGO funded nao zilizokuwa zikileta tafrani Mkomazi na ndani ya Serengeti NP. na NCAA na vijiji vyake  ndani na nje yake. Vijiji 92 vinavyozunguka National Park ya
 Serengiti vilifanyiwa utafiti kwa kuzinguka sampled areas kuangalia matumizi na kufaidika na NP. Report kama hizi ziopo ndani ya makabati na matatizo yanakua. Tufike mahali watanzania tukubali kubadilika na viongozi wawajibike kikamilifu. Sera na sheria zitekelezwe na kila sekta tuache kuwa na sheria, sera, mikakati mizuri, raslimali zipo lakini tunabali kuwa
kichwa cha mwendawazimu. Inapofika uchaguzi tu-kusema yasioyo kweli na kurahisisha utatuzi wa mambo ambayo miaka yote tulikuwa tunayaangalia tu. Ni nadharia tu na changa la macho. Utatatua hata tatizo la msongamano wakati Wizara moja magari mia kila kiongozi anatoka na lake? Kila nyumba familia inatoka na gari? Walioziba njia za mkato huwabomolei?

Transport sector-wataalamu wake wanasoma na kwenda ulaya-wanaona wenzetu walivyotenganisha njia/barabara tofauti za magari na matumizi yake zipo parallel hazikutani- wewe unachanganya tankers za petroli, lori za trela za mizigo, mabasi ya abiria, taxi, bajaji, bodaboda na kuruhusu wauza biashara kuzuia njia kwa kutumia magari yao ya biashara za kuuza mbao; wapanga biashara njia za mapito ya miguu, garage na frame za biashara kwenye feeder roads/ ujenzi katika right of way ya barabara kuu ambapo wenye bajaji hawawezi kukaa mbali na main road; kituo cha bus kinakuwa meza za biashara kiasi bus linabidi lisimame barabarani kutokana na meza za mauzo kuwa njiani. Leo unatudanganya na suluhisho la msongamano wa magari-SIKU ZOTE UPO WAPI na ni mshauri Bungeni au Serikalini? Ufugaji kisasa-Mbona jimboni kwako hakuna mfano? Kwa ni jirani na chuo cha kilimo milima iwe haina misitu watu wanalima unsustainably nawe hilo ni jimbo lako-umewaweka wawajibike na
 kuwasaidia vipi? tunauliza-upo DSM, Mbunge na Waziri au Mbunge-kwa nini mito katika jimbo lako ichimbwe mchang imomonyoke na kuhatarisha majumba na usalama wa watoto waendao shule huchukui hatua kuwaunganisha vijana wajitengenezee ajira katika vikundi hivyo vyao vya mchanga na kuvuta bangi na donors wapo. Chama chako kina wasomi na wanasheria wa kuwasaidia mafunzo, katiba zao na kupata mikopo bank na donor support. Upo kuilaumu CCM tu na serikali yake, kelele bungeni unalala kusoma kipengee hadi kipengee cha sera na sheria na mengineo. Wewe umewajibikaje na yote haya unayajua ya kuwezesha? Kuhoji dhambi? wanasoma michango ya wanazuoni na wanabidii na mitandao mingine. Ndio maana tunaandika hivi ili waingize katika utendaji wao. Tumechoka kuchapwa barora Mkoa wa Morogoro!! Kilimo kinakufa wazee wenye watoto yatima wanateseka. Siku hizi ukifukuza mfugo shambani kama ni mama/mwanamke-unabakwa. Yupo aliyebakwa mama mtu mzina hadi leo kesi imeishia. Mume
 kapata shock kaanguka kafa. Inaniuma mimi watu wakwetu wanateseka. Hata shamba langu halilimiki tena limeliwa kila kitu mpaka miti iliyopandwa. Ndio maana ninaongea daima kuhusu kilimo na ufugaji endelevu iewe kama sheria. Mbuzi na ng'ombe za kisasa za maziwa wano zaidi kwa uchache. Mbona zipo sokoine University na vituo vingine kibao? Why no mabadiliko. Support ya panda miti kibiashara ya donors (Finnida) ipo. Mkuhumi na carbon money ipo. Kwa nini hatutaki kubadilika? Tumelogwa Baha na mchawi wetu-Kafa. Kutuokoa ni sheria tu iwe msumeno. Kuhamasisha na kuelimisha bila sheria kukaziwa na kutekelezwa bure, matokeo chanya ni % ndogo sana.
--------------------------------------------
On Wed, 1/7/15, 'bernard baha' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] (Lowasa maji yamekushinda utaweza foleni au porojo za kisiasa?)
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Wednesday, 1 July, 2015, 23:40he
 Namchukulia
 Kiwasila kama mwanamazingira ambaye kafumbwa macho na
 umazingira ila maelezo yake kuhusu Mheshimiwa na nafasi yake
 kuleta mabadiliko inapaswa tenganishwa na imani yake juu ya
 ulinzi wa mazingira. Binafsi nimeshiriki kutafiti kiasi
 mambo ya migogoro, Mwita upo sahihi, sasa si ndio changa la
 macho hapa? Lowassa na hawa watangaza nia wengineo ama
 walikuwa sehemu ya maamuzi ama blander wengine toka enzi za
 Nyerere juu ya suala la wafugaji, ati tupo namba tatu Afrika
 ila hatuoni manufaa..tunafikiria usasa. Nilipendekeza
 upimwaji wa vijiji na kuangalia uwezo wa eneo kuingiza
 ufugaji nk. But study zetu zipo kavazini. Ila baadhi yetu
 tumeshuhudia binadamu wenzetu waliozikwa kwenye shallow
 graves,kisa Ardhi, Tanzania. Acheni nadharia hapa.Kama
 Mhishimiwa haya yalimshinda enzi hizo mnafikiri ana
 mwarobaini? Kiwasila yupo sahihi, ebu tafuteni namna
 alivyoshughulika hapo awali na kero ya traffic jams na idadi
 ya ajali baada ya kulazimisha maono yake.
         From: Emmanuel Muganda
 <emuganda@gmail.com>
  To:
 "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>
  Sent:
 Wednesday, July 1, 2015 11:13 PM
  Subject:
 Re: [wanabidii] (Lowasa maji yamekushinda utaweza foleni au
 porojo za kisiasa?)

 NI
 mentality hii hii ya zimwi likujualo itakayoizika kabisa
 Tanzania yetu.em
 2015-07-01
 14:44 GMT-04:00 Neatness Msemo <nmuzeh@gmail.com>:


 hebu tumpe naye akajaribu ni bora zimwi likujualo
 kuliko ambao hawatabiriki
 On Jul 1,
 2015 9:08 PM, "Victor Mwita" <victormwita@gmail.com>
 wrote:
 Sipendi
 sana kubishana na Hilde Kiwasila na napenda umahiri wake wa
 kuchambua masuala mbalimbali, lakini hili la wafugaji
 nadhani anahitaji kuliangalia upya. Maeneo hayo anayodai
 yametunzwa na wawekezaji na watu wengine anaowasifia
 yalikuwa maeneo ya malisho. KIA, Monduli TMA, Basotu,
 Serengeti National Park, NCAA, Maswa Game Reserve na mengine
 mengi zilikuwa rangelanda ambazo zilichukuliwa na
 kubadilishwa matumizi bila kuwapa wafugaji na watumiaji
 halali maeneo mbadala. Achilia mbali maeneo ambayo miji kama
 Arusha inazidi kupanuka ni rangelands. Zaidi ya hayo maeneo
 ambayo walikuwa wanatumia kwa kulisha wakati wa kiangazi
 kama wembere plains ambayo ina-extend hadi Tabora, bonde la
 mgongola na mengineyo sasa ni maeneo ya umwagiliaji na
 kilimo. Watu wakiongeza maeneo ya kilimo na hata kuziba njia
 za mifugo kwenda kwenye maji hakuna anayesema. Ila mfugaji
 akilazimika kwenda kunywesha mifugo anapigiwa kelele. Lazima
 tutambue kwamba ufugaji ni sehemu ya maisha. Na hizo tuhuma
 za kuharibu mazingira ni za kufikirika zaidi. Research
 haisemi hivyo. Ni pale wafugaji wanapolazimishwa kuwa
 squeezed sana ndio kuna effect. Na sio kubwa kiasi hicho.
 Kuna madhara makubwa zaidi kwa mfano kutokana na kilimo cha
 tumbaku kuliko mifugo.

 Nimeenda Kiteto na kuona madhara makubwa yanayotokana na
 kilimo cha kuhamahama ambayo ni ya kiwango kikubwa.

 Tuache kuwaonea wafugaji kwa kila baya na tuwe rational dada
 yangu Hilde
 Sent from My Ipad
 On 1 Jul 2015 19:28,
 "'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii"
 <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:
 Mollel,
 nichambe laniki nipo ngangari sina upendeleo wala chuki na
 mtu wako. Tunahoji ya uhalali.



 Labda nisipate uongozi-nitahakikisha kila kijiji kimefanya
 land use planning na certification. Tuone kama mifugo
 itakuwa inaingia kutoka Mwanza. Arusha, Manyara. Wenyeji wa
 Pwani mpaka Zanzibar ng'ombe hawaachii wakazagaa hovyo,
 huwafunga kamba. Wana mbuzi wa kienyeji na sasa za Maziwa
 vituo vya kilimo na miradi ya ufugajii huwasaidia kwa ajili
 ya lishe.



 Coastal areas huheshimu ardhi ya mtu mwingine hawezi kuingia
 hovyo kulishia mifugo, kukata miti au kulima bila ruhusa.
 Ninyi mkitoka kwenu mna tribalism. Mnadharau mtu mwingine
 yeyote ambae si Mmasai. Hivyo huingiza mifugo na kulishia
 mashambani, mkulima akiwafukuza-anapigwa bakora. Mna hela za
 kuhonga polisi na mahakama. Mnalima mwakenu ila hamlishii
 mifugo yenu hata siku moja. Ila mkifika kwa wenzenu iwe
 mbali Rukwa, Tunduru, Kisarawe, Morogoro, Kilosa-mnalishia
 hata ekari tano plus kwa mchana au usiku-ni dharau.
 mmepimiwa vijiji vyenu kilosa-mnalima kwa plau na treka,
 mifugo mnahamishia kwingine na kusema mnaonewa.



 Ardhi haipanuki Simanjiro, Monduli, babati hata
 Loliondo-mnavuna madini mererani mnaongeza mifugo.
 Mnalimbikiza mifugo ardhi inakuwa nyeupe kisha mnataka
 wildlife conservation areas ziwe degazetted eti mnaonewa
 ardhi wanapewa wageni. Wildlife raching, game hunting
 inaruhusiwa kisheria na OBC kawapa mafao mamilioni ushahidi
 upo mafao kibao wilaya na vijiji-mnamvamia eti mnaonewa.
 Kumbe mnaharibu mazingira vijijini mwenu halafu hoteli
 zimelinda mazingira yao na wawekezaji-mnaingiza mifugo. Kama
 mnaweza kupambana mbona hatujasikia mkilishia mashamba ya
 mchaga jirani yenu? Mnawaogopa na kuwaonea hao wa kisarawe
 etc.



 Sasa mchangieni aje kutawala ili mzagae na mifugo hadi
 Ikulu. Hatumchukii kama uonavyo wewe team Lowasa, tunahoji
 issues kama tunavyohoji kwa wagombea wengine. Mbona wewe
 tumbo joto na Lowasa? umepewa vijisenti nini? umo kwenye
 hayo magari yaliyokodishwa yanayotembea mikoa yote na wamama
 kupiga vigelegele na kutamka maneno tunayosikia ktk TV na
 radio? kinidhamu-ukiambiwa maombi haya ulete referees 3
 huleti referee 6 ukafanya wasaini karatasi yenye nafasi 3 au
 kutaka watatu tu. Tunachosema-kila mgombea amefanya nini
 jimboni kwake na alikuwa mbunge? Kama ni muhudumu wa
 afya-eti huwezi kutembelea kata na kuhamasisha maendeleo kwa
 kuwa huna usafiri. SAWA. Lakini pamoja na kukosa
 usafiri-umefanikisha maendeleo gani kile kijiji unachoishi
 pale katani? Kama kijiji ni kikumbwa kuna wanyamapori-jee
 pale kitongoji unapoishi una cha kuonyesha? Utaona nani
 anawajibika sawasawa. Sikatai kama mimi ni researcher-sawa
 na nimeimaliza TZ hii nitakuwekea picha za Maasai

  area kibao hapa kukuonyesha mazuri na mabaya katika
 kuhoji. Vuneni madini Mererani na ongezeni mifugo, ozeni
 vichanga-ongezeni mifugo-Rais mimi naja-ukizidisha beyond
 land's carrying capacity-unalipa fine tuinazipora.
 Tunataka maendeleo endelevu ya kilimo, uvuvi na ufugaji.
 Tumechoka lele mama ya hadithi za alinacha.



 Ninakuwekea kiambata kingine uone kwamba tunachohoji katika
 maendeleo ni kile realistic sio lele mama hadithi ya kuahidi
 ahadi za kushusha mana kwa waliojangwani ambao wanazembea
 maendeleo yao wenyewe na kuchakachua resources. Mbona kuna
 visima vya gar na mafuta Mafia na minara yake toka 1950s.
 Unapigia kelele Gas ya Mtwara kulikoni na kuweka ahadi kibao
 watu kuandamana kuchoma nyumba na wanasiasa kushabikia? Ipo
 minara ya Shell BP Mafia ya 1950s. Tunawasubiri akina
 Dangote kwani matajiri wa hapa kama ninyi melala!! Aluta
 continua.

 --------------------------------------------

 On Tue, 30/6/15, 'Lesian Mollel' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] (Lowasa maji yamekushinda
 utaweza foleni au porojo za kisiasa?)

  To: wanabidii@googlegroups.com

  Date: Tuesday, 30 June, 2015, 2:57



  Hilder dada wee na wee nshakuona

  hujui unachozungumza bse akways ur against
 lowasa'hv haaya

  unyoyasema yako monduli tu sister....amazing words or
 a

  serious long served researcher,mbn wasomi wetu
 mnashindwaga

  kua analytical,wee,aaaggh napata shaka na watu hawa

  Najibu kdg kdg...suala la mifugo sidhan kama ni
 ng'ombe toka

  monduli ndo zikomihefu sister,wafugaji can come
 from

  simanjro na tena simanjiro na kiteto ndo wanaopakna na
 hayao

  maeneo ulotaja na si wamasai tu,ni wafugaji na sio
 suaka la

  lowasa pekee hili na si mbaya watu kua na wafugaji
 kisarawe

  au hata mbeya issue ni hii,arre those land properly
 planned

  to allow all activities to be done,si dhambi hata
 kdg

  mfugaji kuwepo kisarawe...nimefanya mradi pale
 kisarawe na

  ngo yangu 2010 nikiwa na ufadhili wa action aid uk
 na

  nikifanya vjj kumi na vie vya wafugaji tulifanya
 kule

  gwata,nyani,marumbo etc.....lakin shida wanasiasa

  wanaingilia technical matters na ndio maaana land
 planning

  bado hazifanikiw

  Shortly nisiingie ndani...ni hv lowasa si kweli
 kuna

  asiloweza na amefanya mengi jimbon kwake usitake
 kuaminisha

  wt kasoro chache ambazo zipo monduli kua ndio iwe
 weakness

  ya kumfanya asiwe presida,hujui kua leo mikoa ya

  shy,geita,wana mai ya victoria na huyu mwanaume ndo
 kapigana

  na wamisri,huju kabisa wee,staki sina muda wa
 kuandika

  meengi wee mchukie lakini usitushawishimkwa hoja
 dhaifu

  kumchukuia lowasa,hata kama kweli utagombea ubunge
 unatakiwa

  ujipange kweli hoja zako ziwe realistic maana naona

  unaokoteza hazina mashiko ,unapotaka kumshushia mtu
 basi

  mpime kwa haki,look at membe,jauar,wasira,sumaye et
 al

  halafu sema hawa wamefanya vyem a but lowasa hajfanya
 kitu

  na uje na option or your choice,acheni kulalamikaaaa
 bila

  kuja na suluhu,argue kisome sio'kitoto



  Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>

  wrote:



  >Ngulupa,

  >Sema linakuudhi wewe and the likes. Mimi hainiudhi
 kwa

  sababu nisingependa kuona fisadi mwingine ndani ya
 Ikulu. I

  am speaking for myself lakini nitafarijika kuona
 kuna

  Watanzania wengine wenye msimamo huu.

  >em

  >

  >Sent from my iPhone

  >

  >> On Jun 29, 2015, at 2:52 PM,
 "'ngupula' via

  Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:

  >>

  >> Kama kuna jambo linaudhi watu kwa kiasi
 kikubwa ni

  hili la kumpinga Lowassa kila kukicha....hivi hao
 wengine

  hawahaidi? Mbona Lowassa tu? Inawezekana hili ndio
 jiwe

  wanalolikataa waashi? ....swali langu bado ni

  lilelile....kumbukeni, mnapompinga Lowassa mtupe na
 jibu

  nani anafaa na kwa lipi?........kwa kuwa ni kwel
 wananchi

  wanampenda, nashauri tu ni vema kuwa makini na huyu

  jamaa.....  bila kumungunya maneno...nasema
 Tanzania

  watu wanaoweza kuisadia ni Lowassa na Mwigulu

  tu   hawa ndio wenye muarobaini wa
 shida za

  watz......hawa hawaamin katika misaada ni ni watenda
 kazi

  hodari........na mtu akitaka kuzungumzia Richmond
 asisahau

  kuwa...ipo escrow na mwenyewe wanamjua...

  >>

  >> 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:

  >>

  >>> Lowasa akatatue tatizo la maji kwa mwaka
 mmoja

  au muda mfupi ambapo mifugo ya kutoka kwao na Mwanza
 imejaa

  kwa mamilioni au maelfu hadi Milima ya Uluguru kwenye
 vyanzo

  vya maji? Kilombelo kwenye Ramsa Site kwa malaki,
 wetlands

  zinazopeleka pia maji Rufiji-kwisha; Ruaha imezagaa
 baada ya

  kuondolewa Ihefu Ruvuma, Tunduru, Rukwa, Kisarawe,
 Rufiji,

  Morogoro vijijini wanakoma kwa bakora sio wilaya
 Kilosa tu.

  Angemudu kusaidia jimboni kwake ufugaji na kilimo
 endelevu

  lakini hajafanya hivyo; kusaidia wananchi wake wawe na
 muono

  wa mbali wa mifugo katika kukuza kipato na kulinda
 mazingira

  na kuboresha ng'ombe na mbuzi wa kienyeji kwa
 value added

  products za kuingiza kipato. kuhamahama,
 kulimbikiza

  mifugo  sio tija. Kisha, uharibifu wa
 mazingira

  ufwanyao na wananchi wennyewe ndio wa kuhangaika nao
 ili

  maji yapatikane. Kuacha tabia ya kuharibu na kuvamia
 vyanzo

  vya maji, uchafuzi wa mazingira ndio akazanie ili
 baada ya

  miaka kadhaa matokeo ya maji mengi (sio muda

  >>> mfupi tu) yaonekane kutokana na re-charge
 ktk

  mazingira. Ikiwa sisi watanzania hatutobadilika
 kiakili na

  kimatendo-tusitegemee kubadili maendeleo yakue
 ghafla.

  Tunatiana umasikini na kujifanya masikini wenyewe.

  >>>

  >>> Cha kujiuliza-huko Monduli kuna land

  degradation, utata wa maji wananchi kuchota barabarani
 mvua

  ikinyesha maji huwa machafu, kuchangia maji na
 mifugo

  -amefanya nini miaka yote hiyo? Anaweza kuonyesha
 miradi ipi

  akigharimia yy binafsi au kutafuta donors kwa
 proposals zake

  na kushirikiza watumishi ugani? Kuna boreholes za
 toka

  ukoloni kwenye maeneo yaliyokuwa estate farms. Ni hivi
 basi

  wagombea wengine ambao walikuwa wabunge na mawaziri
 pia

  waulizwe walichokifanya miaka yote iliyopita.i Unaweza
 ukawa

  waziri lakini utendaji unategemea walio chini yako
 lakini

  mbunge upo jimboni. Jee kijiji chako pale ulipo
 wananchi

  wako wanatofauti gani na hao wa vijiji vingine vya
 mbali?

  Hapo ulipo-nyumba bora, choo bora, shule bora na
 ufaulu

  mzuri maji safi yapo na huduma ya mifugo na ufugaji
 na

  kilimo cha kisasa na endelevu. Huenda hivi vichache
 havipo

  hata kata na kijiji cha mbunge! Leo unadai taifa
 zima

  utabadili kwa sekunde? Jee, wabunge hufanyiwa
 evaluation ya

  >>> majukumu yao na kila mmoja kila baada ya
 miaka

  5 kutoa taarifa ya utekelezaji ya mipango binafsi na
 ile

  ambayo anashiriki kupitisha ktk Halmashauri ya Wilaya
 chini

  ya O&OD na ile inayopita bungeni ya national
 vertical

  programs?  Bila ya kutathiminiwa-kunawekwa uwazi
 wa

  kutumia hela, kuruhusu rushwa itumike kupitisha
 wagombea

  vilaza. Daima maendeleo yapo duni wakati kuna kila
 aina ya

  resources vijijini, wataalamu wa serikali, vituo vya
 mifugo

  na vya kilimo, uvuvi na VETA juu na bajeti

  inawekwa.Tubadilike ili tusonge mbele viongozi na
 wananchi

  mijini na vijijini tuwe na muono chanya wa mbali.

  >>>

  >>> Ona malalamiko ya bandari huko
 Zinga-Mlingotini

  yanayoonyeshwa ktk TV. Inasikitisha na
 ilinisikitisha

  binafsi kuona jinsi wavuvi walivyojijengea nyumba
 nzuri sana

  kwa juhudi za karne; miembe na minazi inayowapa
 chakula na

  fedha. Iliwezekana kabisa kukwemba nyumba za
 wanavijiji,

  kuchukua eneo ambalo ni arable land ya kilimo pia
 kuweka

  bandari ambapo yapo maeneo mengine yasiyo makazi kama
 hayo.

  Ila hapo -inaonekana-lililengwa pia shamba kubwa la

  mheshimiwa mmoja liondoke ambalo ni maelfu ya ekari
 amepanda

  pamoja na maembe dwarf burunge ya kisasa ambaye ana
 kesi

  moja ambayoimeleta utata. Shamba hilo litakuwa bandari
 kavu.

  Inatokea sasa kukomoa wananchi. Ni muda mrefu
 hawakutakiwi

  kuendelezwa maeneo yao lakini hawajalipwa. fikiria
 historia

  ya eneo kutoka utumwa, fikiria ya kuwa population
 kubwa ya

  huko ni ya wazee ambao wanategemea nazi, embe, mihogo
 wauze

  wale. Miembe inaumri wa zaidi ya miaka 60+ licha ya
 hiyo

  mipya. Leo kibibi/kibabu kianze moja atafute

  >>> pa kuhamia, alime, apande na climate
 chage hii,

  nguvu za kilimo zimekwisha, utata upo ktk jamii zetu
 wa

  kuamini hata vijukuu vibaka kuvipa hela za mafao au
 za

  valuation na compensation watekeleze ujenzi-vinasepa
 navyo.

  >>>

  >>> Ofisi ya kijiji cha Mlingotini
 (Mgotini)

  inaishinda hata ofisi ya RC au DC. Niliipiga picha
 mwenyewe

  wakati wa utafiti usiohusu uhamishaji mwingine kabisa
 mwaak

  2010 nililikuta zahama hilo la kihamo hadi leo
 hawajalipwa

  na hawaendelezi makazi au mashamba! Hiyo ofisi
 imejengwa na

  mwekezaji kama mafao yao na ipo katika kubomolewa.
 Sijui

  huyo mwekezaji kama atapona. Nimeiambatisha ofisi ya
 kijiji

  hicho uone.Majumba ya tofari za simenti waliyojenga
 wavuvi

  yanaumiza sana kuona yatabomolewa. Mungu atusaidie.

  >>>

  >>>

  >>>
 --------------------------------------------

  >>> On Sun, 28/6/15, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>

  wrote:

  >>>

  >>> Subject: Re: [wanabidii] (Lowasa maji

  yamekushinda utaweza foleni au porojo za kisiasa?)

  >>> To: "wanabidii@googlegroups.com"

  <wanabidii@googlegroups.com>

  >>> Date: Sunday, 28 June, 2015, 20:16

  >>>

  >>> Ni mwizi tu na

  >>> mwongo!em

  >>> 2015-06-28 12:35

  >>> GMT-04:00 fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com>:

  >>>

  >>>

  >>> Wakati

  >>> Lowasa akitangaza nia katika uwanja wa
 sheikh

  Amri Abeid

  >>> Arusha,  a

  >>

  >> --

  >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  >>

  >> Kujiondoa Tuma Email kwenda

  >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  >>

  >> Disclaimer:

  >> Everyone posting to this Forum bears the
 sole

  responsibility for any legal consequences of his or
 her

  postings, and hence statements and facts must be
 presented

  responsibly. Your continued membership signifies that
 you

  agree to this disclaimer and pledge to abide by our
 Rules

  and Guidelines.

  >> ---

  >> You received this message because you are

  subscribed to the Google Groups "Wanabidii"
 group.

  >> To unsubscribe from this group and stop
 receiving

  emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  >> For more options, visit

  https://groups.google.com/d/optout.

  >

  >--

  >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  >

  >Kujiondoa Tuma Email kwenda

  >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  >

  >Disclaimer:

  >Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility for any legal consequences of his or
 her

  postings, and hence statements and facts must be
 presented

  responsibly. Your continued membership signifies that
 you

  agree to this disclaimer and pledge to abide by our
 Rules

  and Guidelines.

  >---

  >You received this message because you are
 subscribed to

  the Google Groups "Wanabidii" group.

  >To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  >For more options, visit

  https://groups.google.com/d/optout.



  --

  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  Kujiondoa Tuma Email kwenda

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



  Disclaimer:

  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to
 this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

  ---

  You received this message because you are subscribed
 to the

  Google Groups "Wanabidii" group.

  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit

  https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment