Thursday, 5 June 2014

Re: [wanabidii] Majibu ya Dr. Slaa kwa mwanachama kuhusu kukwepa mazishi ya Mama Zitto

Watu wanataka wangeona Picha kama ile iliyomuonesha JK alipomtembelea! Tuambieni nini ilikuwa nafasi yenu katika cases zote hadi kufariki kwa mama! tusifanye cheap politics tu, let be serious. Tusiongee tu kwa kuwa tumeona fulani ameongea hayo hayo, je tuna uhakika wa haya mambo? Tunauhakika na huo ujumbe? 


2014-06-05 12:55 GMT+03:00 'lesian mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Kifupi Slaa hafai kuongoza nchi jamani hata chama chenyewe kinamfia......Hata busara au hekima hana, majibu yake alomjibu jamaa ni ya kitoto na yasio na logic, wanansiasa hawapaswi kuchukiana hv, yaani kwa kua ana shida nao basi hata akipata tatizo wanamuombea aishie kabisa
--------------------------------------------
On Thu, 6/5/14, 'marcuskabwella@yahoo.com' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Majibu ya Dr. Slaa kwa mwanachama kuhusu kukwepa mazishi ya Mama Zitto
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Thursday, June 5, 2014, 12:29 AM

 Hivi watu walitakaje kuhusu kuugua
 na kufariki kwa mama wa Zito? Ameanza kuugua na kulazwa
 hospital mbalimbali tena zenye gharama kubwa, ni kweli
 CHADEMA haikushiriki katika mlolongo wote huo?
 Tatizo letu wanadamu huwa hatujali wagonjwa
 badala yake kutafuta ufahari misibani au ukienda kumuona
 mgonjwa lazima uambatane na vyombo vya habari?
 Mbowe na Slaa nao ni binadamu wakati wa msiba
 huenda nao walikuwa na udhuru uliowafanya washindwe kwenda!

 Au ni wafuasi wa mvaa skafu?
 Nawasilisha!
 Marcus
 Sent
 from Yahoo Mail on Android








                                 From:

                             'Eberi Manya' via
 Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>;



                                 To:


 <wanabidii@googlegroups.com>;



                                 Subject:

                             Re: [wanabidii] Majibu ya Dr.
 Slaa kwa mwanachama kuhusu kukwepa mazishi ya Mama Zitto



                                 Sent:

                             Thu, Jun 5, 2014 4:11:16 AM





                             Naona huijui siasa ndugu, waachie
 wenyewe, badala ya kuendelea kulaumu...


 'ELISA MUHINGO' via
 Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 >Pamoja na ndugu
 'mabadiliko' kulenga kumchafulia Dr. Slaa mm
 imenisaidia kujua kuwa kumbe viongozi wa CHADEMA kuna kitu
 walifanya kwa mgonjwa. Ikumbukwe kuna wkt niliandika humu
 kuwa hawa viongozi wamtembelee mgonjwa huyu wkt wakimsulubu
 Zitto kuhusu fedha za tanapa. Pia kwa jibu la Dr. Slaa mambo
 ya magonjwa au vifo kwao sio jambo la vyombo vya habari.
 Kura zingetosha 2010 tungeona katiba mpya ya wa Tz bila
 mizengwe, Tungeona bei ya vifaa vya ujenzi ikishuka,
 Tungeona elimu bora bila malipo, etc. Lakini tusingemuona
 kwenye vilio. Mwana mabadiliko ulitaka tujue hivyo?
 Asante.
 >
 >----------
 >Sent from my
 Nokia
  Phone
 >
 >------Original message------
 >From: MABADILIKO CHADEMA <mabadilikochadema@gmail.com>
 >To: <wanabidii@googlegroups.com>
 >Date: Wednesday, June 4, 2014 12:53:36 PM
 GMT-0700
 >Subject: [wanabidii] Majibu ya
 Dr. Slaa kwa mwanachama kuhusu kukwepa mazishi ya Mama
 Zitto
 >
 >Majibu ya Dr.
 Slaa kwa mwanachama kuhusu kukwepa mazishi ya Mama Zitto
 >
 >Wadau,
 >
 >Katika ufuatiliaji
 zaidi nimegundua kwambakuna mwanachama wa CHADEMA ambaye
 >aliguswa na kisa cha viongozi wakuu wa
 chamakususia mazishi ya Shida Salum
 >aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA.
 Mwanachamahuyo baada ya kuumizwa
 >na
 kitendo hicho cha viongozi wake, alimwandikia smsifuatayo
 Dr. Slaa.
 >
 >Nimeihariri ili kuondoa vifupisho
  vya maneno alivyovitumia ili kila mmoja
 >aelewe:
 >“Kweli baba
 wewe na Mbowe mmeshindwa kabisa kushiriki mazishi ya mjumbe
 wa
 >kamati kuu!! Ninyi hamna kabisa utu
 hata chembe? Sababu za kisiasa
 >zimewafanya muwe na mioyo migumu kiasi
 hicho? Utadhani nyinyi hamtakaa mfe
 >milele?
 >
 >Mmeshangaza ulimwengu, ubinadamu kwenu siyo
 kitu kwa ajili yasiasa? Hivi
 >wewe
 utakuwa mwanasiasa milele? Kweli hamna hata hata hofu ya
 Munguhata
 >kidogo, hata wewe ambaye
 ulikuwa mtumishi wa Mungu kweli baba? Hata kamani
 >ubabe, wa kwenu haujawahi kutokea.
 >
 >Hata kama Zitto hayuko
 CDM mchango wakekatika kujenga chama mmeusahau
 >kabisa? Mmelipa kisasi kwa kususa hata
 maiti! Kwa ajili ya siasa tu! Duh!
 >Hongereni, fanyeni siasa milele. Watu wenye
 hekimawamepata somo toka kwenu.
 >Mungu
 awabariki sana”.
 >
 >Mwisho wa kunukuu.
 >
 >Sasa soma majibu ya mtu
  anayeitwa Dr.Willibrod Slaa ambaye kama kura
 >zingetosha mwaka 2010, eti leo angekuwa
 rais wa Jamhuri ya Muungano wa
 >Tanzania. Sms yake imetoka kwenye namba
 yake ya 0783967519 na ili-deliver
 >kwenye simu ya huyo kijana saa 18:40:27
 jana Jumanne tar 2/6/2014. Nainukuu
 >sms
 hiyo bila kuhariri chochote:
 >
 >“Acha ushabiki usiokuhusu. Makamu
 Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA, mhe. Issa
 >Mohamed alifiwa na mama yake mzazi siku 7
 zilizopita. Nani alihudhuria,
 >mbona
 hata wewe hukuhudhuria! Wala hukuandika sms kama hii, kumbe
 Utu wako
 >unapimwa kwa fulani tu!
 Upuuzi. Chadema haifanyi siasa ya misiba. Utu
 >unapimwa uliyomfanyia mgonjwa siyo kwenye
 mitandao na magazeti. Fanya
 >utafiti
 kabla ya kujifanya mjuaji. Dr Slaa”
 >
 >Mwisho wa kunukuu.
 Huyo ndiye rais wa UKAWA.
 >
 >Mohamedi Mtoi | Facebook
 ><https://www.google.co.tz/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=1&cad=rja&uact=8&ved=0CCEQFjAA&url=https%3A%2F%2Fwww.facebook.com%2Fmouddymtoi&ei=GXmPU8TsLafg4QTmvID4DQ&usg=AFQjCNGzi1WvNc69vPsECRWLWh_y4ZIyWQ&bvm=bv.68235269,d.bGE>
 >
 >--
 >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 >
 >Kujiondoa Tuma Email
 kwenda
 >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
 Email ya kudhibitisha ukishatuma
 >
 >Disclaimer:
 >Everyone
 posting to this Forum bears the sole responsibility for any
 legal
  consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 >---
 >You received this
 message because you are subscribed to the Google Groups
 "Wanabidii" group.
 >To
 unsubscribe from this group and stop receiving emails from
 it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 >For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.
 >
 >--
 >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 >
 >Kujiondoa Tuma Email
 kwenda
 >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
 Email ya kudhibitisha
  ukishatuma
 >
 >Disclaimer:
 >Everyone
 posting to this Forum bears the sole responsibility for any
 legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 >---
 >You
 received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 >To unsubscribe from this group and stop
 receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 >For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.

 --
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
 Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to
 this Forum bears the sole responsibility for any legal
 consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message
 because you are subscribed to the Google Groups
 "Wanabidii" group.
 To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails from it, send an
 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--
Ipyana Lwinga
Email:    ipyanalwinga@gmail.com

"Mpende Jirani yako kama nafsi yako..."

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment