Thursday, 31 March 2016

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Press Releases


31/03/2016 - The Board of Directors of the African Development Bank approved on Wednesday, March 30, a US $228-million loan to the Government of Kenya to rehabilitate 172-kilometre road, linking the towns of Isebania and Ahero, an axis located southeast of Lake Victoria. The renovation of this route will facilitate trade between Kenya and Tanzania, while the social aspects associated with the project will accelerate the socio-economic development of the regions along the road, benefitting nearly two million people.

Categories: Kenya, Tanzania, Transport, Regional Integration, Employment, Human Capital Development, Health


You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 20 26 10 20
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

Re: [wanabidii] Kusitishwa Msaada wa Marekani Uwe Mwanzo wa Kusitishwa Mingine

Magobe,

1. Msaada umesitishwa kwa madai kwamba Demokrasia haikufanyika uchaguzi wa ZNZ. (Demokrasia ni moja ya vigezo vya kupata msaada huo)
2. Waziri wa fedha Dr Mpango ameshasema walijipanga na hilo mapema maana walijua litatokea.
3. Wanajua sisi ni wanyenyekevu kwao siku zote. Labda tuseme walitaka tuendelee kunyenyekea.
4. Mambo yepi yanapindishwa?

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] Kusitishwa Msaada wa Marekani Uwe Mwanzo wa Kusitishwa Mingine"

[wanabidii]

Rais George Bush alipofanya ziara ya kwanza enzi za awamu ya nne, kulikuwa na kundi kubwa la wanaharakati wakiwemo maprofesa maarufu wa vyuo vikuu, ambao walijitokeza hadharani na kupinga lengo zima la ziara ile.

Vyombo vya habari vikawaonyesha wakiwa kwenye maandamano hayo. Kama kawaida katika ile mida ya jioni kwenye vipindi vya runinga vya mahojiano, maprofesa maarufu wakajenga hoja nyingi na nzito za kuipinga ziara ya George Bush.

Leo Rais JPM ni kama vile anakifanya kile kilichokuwa ndani ya mioyo yao kwa wakati ule, anasisitizia katika kujenga nchi mpaka iwe na uwezo wa kuwa "donor country", na wote tunatambua kuwa nchi inayofadhili nchi nyingine inakuwa na kiburi kikubwa. Inawezekana awamu hii inaongozwa na dhana za kutaka kujitawala, kwa maana ya kutotaka kuwa bendera hufuata upepo.

Nadhani huu ni wakati muafaka kwa maprofesa wale walioipinga ziara ya George Bush kuingia kazini katika kutumia kuelimika kwao katika kutoa mawazo mbadala kwa uongozi wa awamu ya tano ili wazo lao la kujitegemea, ambalo msingi wake na unaanzia awamu ya kwanza, liweze kuwekwa katika uhalisia wa maisha yetu.

Siasa za harakati zilizofanywa na maprofesa wakati wa ziara ya Bush, kwa sasa zimepata kiongozi anayeziunga mkono kivitendo. Ni jukumu la maprofesa wetu kuja na fikra ambazo zitajenga ushawishi wa sisi wenyewe kuweza kujitegemea.

Maprofesa walitumia nguvu nyingi katika kupinga udhalimu wa George Bush, wanayo nafasi na kila sababu ya kuonyesha ni kwanini walikuwa sahihi kufanya vile, kupitia constructive ideas zitakazoelekezwa kwa rais wa sasa na wasaidizi wake, katika mfumo wa ushauri au katika mtindo wa zile hoja zao wakati wanahojiwa na watangazaji wa vituo vya runinga.

Huu ni wasaa muafaka kwa wananchi hii kwa wananchi wengi wa nchi kuyasikia mawazo mapya na ya kimaendeleo kutoka kwa maprofesa wetu.
Read More :- "[wanabidii] "

Re: [wanabidii] WAZIRI WA AFYA AKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KATIKA MAJIMBO YA MTWARA VIJIJINI, MASASI NA NDANDA

(Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto). Wizara hii inahitaji umakini la sivyo itajikuta inaishia kuwa wizara ya Afya tu. Vipengele vingine vitatelekezwa.
--------------------------------------------
On Thu, 3/31/16, zainul mzige <zainul.mzige21@gmail.com> wrote:

Subject: [wanabidii] WAZIRI WA AFYA AKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KATIKA MAJIMBO YA MTWARA VIJIJINI, MASASI NA NDANDA
To:
Date: Thursday, March 31, 2016, 3:44 PM

Habari za
mchana,
Tafadhali pokea CODES hapa chini
<img class="size-full wp-image-10770
aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0021.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="640"
height="480" /><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu (wa pili kushoto) akiwasili katika hospitali ya
Rufaa Ndanda
Mission.</strong></em></span></p><span
style="color: #000000;"><strong>Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu pamoja na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed
Bakari wametembelea Hospitali ya Mji wa Masasi (Mkomaindo),
Hospitali ya Rufaa Ndanda Mission na Kituo cha Afya cha
Nanguruwe kilichopo Jimbo la Mtwara
Vijijini.</strong></span><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
ziara hiyo ya siku 2 Mh. Ummy alipata fursa ya kukagua
shughuli mbalimbali za sekta ya afya ikiwemo kukagua wodi za
wagonjwa, maabara pamoja na kusikiliza kero mbalimbali
kutoka kwa watumishi wa idara ya afya na wananchi katika
utoaji wa huduma za afya katika maeneo
hayo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mh. Ummy
alisema kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya Mhe Dk. John
Pombe Magufuli imejikita zaidi katika kuwahudumia wananchi
hasa wa kipato cha chini kwa kuimarisha Nidhamu na
Uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma. Pamoja na kusimamia Uwazi
na matumizi bora ya rasilimali za
Taifa.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Licha ya
kukiri kuwa sekta ya Afya inakabiliwa na changamoto
mbalimbali Mh. Ummy aliwapongeza na kuwashukuru madaktari na
wauguzi kwa kazi na nzuri wanayoifanya ktk kutoa huduma kwa
wananchi. Alieeleza kuwa Serikali inatambua na kuthamini
kazi yao na imedhamiria kutatua changamoto zilizoko katika
utoaji wa huduma ikiwemo kuongeza watumishi wa afya na
kununua vifaa tiba na kuboresha mazingira ya kazi ya
watumishi wa afya hasa walioko
pembezoni.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aliwaasa
wananchi  kuwathamini madaktari na waaguzi na iwapo kuna
malalamiko dhidi ya watumishi hao basi wananchi wazingatie
Sheria, Kanuni na Taratibu ktk kuonyesha malalamiko yao
badala ya kujichukulia sheria
mkononi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Alisema,
Hata hivyo wapo watumishi wachache ambao wanafanya kazi kwa
kutozingatia maadili ya kazi na viapo vyao, hivyo aliwataka
wabadilike kwani Serikali ya awamu ya 5 haitamvumilia
mtumishi yeyote anaejihusisha na vitendo vya rushwa na
uzembe
kazini.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10757 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0017.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="633"
height="405" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu akiongea na wananchi Ndanda
mission.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Pia
aliwaasa watumishi hao kujiepusha na mambo ambao yanaweza
kuleta mgongano na hisia mbaya kwa wananchi. Mfano tuhuma
dhidi ya mfamasia wa Wilaya kumiliki maduka matatu ya 3
ambapo mhe Waziri ameelekeza uchunguzi wa TAKUKURU
ufanyike.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
Hospitali ya Mkomaindo, Mhe Ummy ameipongeza Halmashauri ya
Mji wa Masasi kwa mafanikio waliyopata ktk ukusanyaji wa
mapato ambapo baada ya kufunga mfumo wa kukusanya mapato wa
kielektronik mapato yao yameongezeka kutoka shs 500,000 hadi
1,500,000 kwa siku. Amezitaka Halmashauri zote nchini kuiga
mfano wa hospitali ya Mkomaindo kwa sababu hatua hii
itachangia sana kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa
wananchi ikiwemo uwezo wa Halmashauri wa kununua dawa na
vifaa
tiba.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
Kituo cha Afya cha Nanguruwe Mh. Ummy aliihimiza Halmashauri
kukamilisha ujenzi wa wodi mbili ili Kituo hicho kiweze
kupandishwa hadhi kuwa Hospitali ya Wilaya. Pia aliwataka
kuongeza jitihada katika kuingiza wananchi/kaya nyingi
katika Bima ya Afya kwani asilimia 5 wa waliojiunga ni ndogo
sana.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong><img
class="wp-image-10765 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0026.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="630"
height="419"
/></strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu akiongea na wananchi ili kujua kero zao katika ziara
ya siku mbili mkoani
humo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
Hospitali ya Rufaa ya Mission Ndanda Mhe Ummy ameipongeza
kwa kufanyia kazi agizo lake la wiki mbili zilizopita la
kuzitaka hospitali za Taasisi za Dini zinazopokea ruzuku ya
Serikali (Fedha na au Watumishi) kutekeleza kwa vitendo sera
za Taifa za Serikali ikiwemo ya Matibabu Bure kwa
Wajawazito, Watoto chini ya umri wa miaka 5 na Wazee.
Hospitali ya Rufaa Ndanda imekubaliana na Halmashauri ya
Wilaya ya Masasi kuanza utekelezaji wa jambo hili kuanzia
Julai 1,
2016.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mh. Ummy
pia amepongeza upatikanaji wa huduma za uchunguzi na
matibabu bure ya Ugonjwa wa Kifua kikuu hospitalini hapo
ambapo alisema ni asilimia 10 tu ya vituo vya afya/Hospitali
binafsi nchini zinazotoa huduma hizo licha ya Serikali kuwa
tayari kuvipatia vifaa vya uchunguzi na dawa bure. Mhe Ummy
amezitaka hospitali nyingine binafsi kuunga mkono jitihada
za Serikali za kutokomeza ugonjwa wa Kifuu kikuu kama sehemu
ya mchango wao kwa
jamii.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mhe Ummy
pia ametembelea Chuo  cha Maafisa Tabibu na Chuo cha uuguzi
vilivyoko
Masasi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10766 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0025.jpg"
alt="IMG-20160331-WA0025" width="626"
height="416" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri Ummy
akiongea na wagonjwa aliowakuta wakisubiri huduma katika
hospitali ya Mkomaindo
Masasi.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class="size-full wp-image-10773 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0019.jpg"
alt="Mohammed Bakari " width="640"
height="480" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Mganga Mkuu wa
Serikali Prof. Mohammed Bakari akizungumza na Watumishi wa
Afya Ndanda Mission katika ziara aliyoambatana na Waziri wa
Afya Mh. Ummy
Mwalimu.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class="size-full wp-image-10772 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0018.jpg"
alt="Mohammed Bakari " width="640"
height="480" /></p><p
style="text-align: center;"><img
class="wp-image-10774 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0023.jpg"
alt="IMG-20160331-WA0023" width="419"
height="278" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Baadhi ya
watumishi wa afya wakimsikiliza kwa makini Waziri wa afya
Mh.Ummy Mwalimu (hayupo pichani) wakati ziara yake tar 30
Machi.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10776 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0024.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="613"
height="408" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu akizungumza na mmoja wa wakinamama aliyelazwa kwenye
wodi ya wazazi alipokua akikagua maeneo mbalimbali ya
hospitali
hiyo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10779 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0029.jpg"
alt="Mussa Rashid" width="630"
height="419" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Kaimu Mganga mkuu
Halmashauri ya mji wa Masasi DK. Mussa Rashid akitoa taarifa
kwa Waziri wa afya alipotembelea chumba cha vipimo katika
hospitali hiyo. Kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Prof.
Muhammed
Bakari.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10777 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0016.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="615"
height="461" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri Mh. Ummy
Mwalimu akibadilisha mawazo na Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe.
Bernard Nduta. Kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya
Rufaa Ndanda, Fr. Silvanus
Kessy.</strong></em></span></p>

KAWAIDA
Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu (wa pili kushoto) akiwasili katika hospitali ya
Rufaa Ndanda Mission.Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu pamoja na Mganga Mkuu wa Serikali Prof.
Mohammed Bakari wametembelea Hospitali ya Mji wa Masasi
(Mkomaindo), Hospitali ya Rufaa Ndanda Mission na Kituo cha
Afya cha Nanguruwe kilichopo Jimbo la Mtwara
Vijijini.Katika
ziara hiyo ya siku 2 Mh. Ummy alipata fursa ya kukagua
shughuli mbalimbali za sekta ya afya ikiwemo kukagua wodi za
wagonjwa, maabara pamoja na kusikiliza kero mbalimbali
kutoka kwa watumishi wa idara ya afya na wananchi katika
utoaji wa huduma za afya katika maeneo
hayo.Mh.
Ummy alisema kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya Mhe Dk.
John Pombe Magufuli imejikita zaidi katika kuwahudumia
wananchi hasa wa kipato cha chini kwa kuimarisha Nidhamu na
Uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma. Pamoja na kusimamia Uwazi
na matumizi bora ya rasilimali za
Taifa.Licha
ya kukiri kuwa sekta ya Afya inakabiliwa na changamoto
mbalimbali Mh. Ummy aliwapongeza na kuwashukuru madaktari na
wauguzi kwa kazi na nzuri wanayoifanya ktk kutoa huduma kwa
wananchi. Alieeleza kuwa Serikali inatambua na kuthamini
kazi yao na imedhamiria kutatua changamoto zilizoko katika
utoaji wa huduma ikiwemo kuongeza watumishi wa afya na
kununua vifaa tiba na kuboresha mazingira ya kazi ya
watumishi wa afya hasa walioko
pembezoni.Aliwaasa
wananchi  kuwathamini madaktari na waaguzi na iwapo kuna
malalamiko dhidi ya watumishi hao basi wananchi wazingatie
Sheria, Kanuni na Taratibu ktk kuonyesha malalamiko yao
badala ya kujichukulia sheria mkononi.Alisema,
Hata hivyo wapo watumishi wachache ambao wanafanya kazi kwa
kutozingatia maadili ya kazi na viapo vyao, hivyo aliwataka
wabadilike kwani Serikali ya awamu ya 5 haitamvumilia
mtumishi yeyote anaejihusisha na vitendo vya rushwa na
uzembe kazini.Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu akiongea na wananchi Ndanda
mission.Pia
aliwaasa watumishi hao kujiepusha na mambo ambao yanaweza
kuleta mgongano na hisia mbaya kwa wananchi. Mfano tuhuma
dhidi ya mfamasia wa Wilaya kumiliki maduka matatu ya 3
ambapo mhe Waziri ameelekeza uchunguzi wa TAKUKURU
ufanyike.Katika
Hospitali ya Mkomaindo, Mhe Ummy ameipongeza Halmashauri ya
Mji wa Masasi kwa mafanikio waliyopata ktk ukusanyaji wa
mapato ambapo baada ya kufunga mfumo wa kukusanya mapato wa
kielektronik mapato yao yameongezeka kutoka shs 500,000 hadi
1,500,000 kwa siku. Amezitaka Halmashauri zote nchini kuiga
mfano wa hospitali ya Mkomaindo kwa sababu hatua hii
itachangia sana kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa
wananchi ikiwemo uwezo wa Halmashauri wa kununua dawa na
vifaa tiba.Katika
Kituo cha Afya cha Nanguruwe Mh. Ummy aliihimiza Halmashauri
kukamilisha ujenzi wa wodi mbili ili Kituo hicho kiweze
kupandishwa hadhi kuwa Hospitali ya Wilaya. Pia aliwataka
kuongeza jitihada katika kuingiza wananchi/kaya nyingi
katika Bima ya Afya kwani asilimia 5 wa waliojiunga ni ndogo
sana.Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu akiongea na wananchi ili kujua kero zao katika
ziara ya siku mbili mkoani humo.Katika
Hospitali ya Rufaa ya Mission Ndanda Mhe Ummy ameipongeza
kwa kufanyia kazi agizo lake la wiki mbili zilizopita la
kuzitaka hospitali za Taasisi za Dini zinazopokea ruzuku ya
Serikali (Fedha na au Watumishi) kutekeleza kwa vitendo sera
za Taifa za Serikali ikiwemo ya Matibabu Bure kwa
Wajawazito, Watoto chini ya umri wa miaka 5 na Wazee.
Hospitali ya Rufaa Ndanda imekubaliana na Halmashauri ya
Wilaya ya Masasi kuanza utekelezaji wa jambo hili kuanzia
Julai 1, 2016.Mh.
Ummy pia amepongeza upatikanaji wa huduma za uchunguzi na
matibabu bure ya Ugonjwa wa Kifua kikuu hospitalini hapo
ambapo alisema ni asilimia 10 tu ya vituo vya afya/Hospitali
binafsi nchini zinazotoa huduma hizo licha ya Serikali kuwa
tayari kuvipatia vifaa vya uchunguzi na dawa bure. Mhe Ummy
amezitaka hospitali nyingine binafsi kuunga mkono jitihada
za Serikali za kutokomeza ugonjwa wa Kifuu kikuu kama sehemu
ya mchango wao kwa jamii.Mhe
Ummy pia ametembelea Chuo  cha Maafisa Tabibu na Chuo cha
uuguzi vilivyoko Masasi.Waziri
Ummy akiongea na wagonjwa aliowakuta wakisubiri huduma
katika hospitali ya Mkomaindo
Masasi.Mganga
Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Bakari akizungumza na
Watumishi wa Afya Ndanda Mission katika ziara aliyoambatana
na Waziri wa Afya Mh. Ummy
Mwalimu.Baadhi
ya watumishi wa afya wakimsikiliza kwa makini Waziri wa afya
Mh.Ummy Mwalimu (hayupo pichani) wakati ziara yake tar 30
Machi.Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wakinamama aliyelazwa
kwenye wodi ya wazazi alipokua akikagua maeneo mbalimbali ya
hospitali hiyo.Kaimu
Mganga mkuu Halmashauri ya mji wa Masasi DK. Mussa Rashid
akitoa taarifa kwa Waziri wa afya alipotembelea chumba cha
vipimo katika hospitali hiyo. Kulia ni Mganga Mkuu wa
Serikali Prof. Muhammed Bakari.Waziri
Mh. Ummy Mwalimu akibadilisha mawazo na Mkuu wa Wilaya ya
Masasi Mhe. Bernard Nduta. Kulia Mwenyekiti wa Bodi ya
Hospitali ya Rufaa Ndanda, Fr. Silvanus
Kessy.


--
Zainul A.
Mzige,Operation
Manager,MO BLOG,www.modewjiblog.com+255714940992.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] WAZIRI WA AFYA AKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KATIKA MAJIMBO YA MTWARA VIJIJINI, MASASI NA NDANDA"

[wanabidii] PONGEZI KWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI

PONGEZI KWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI

Wahenga wasema "asiye mpongeza mtenda mema ni mnafiki". Napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kwa mambo mengi mazuri uliyoyafanya kwa muda mfupi uliopo madarakani.Japo sitaweza kueleza yote nitaelewa machache sana. Yakiwemo yafuatayo-:

Kutokomeza Rushwa na Ufisadi, Katika kampeni zako alipenda kutumia usemi usemao "mafisadi mtaisoma namba", wengi hawakujua dhana ya usemi huu kwani wengine walisema "CCM ni walewale, rushwa na ufisadi ndio zao" Sasa naona rais unatimiza dhamira yako na ahadi yako ya kutomeza rushwa na ufisadi kwa kuwatumbua waharifu hata kama ni wanaccm wazawa.Jambo hili limewaacha wapinzani midomo wazi na watanzania kuwa na imani na wewe katika ujenzi wanchi hii. kiukweli Hajawai tokea katika nchi hii rais aliye na kasi na nguvu ya ajabu ya kupambana na ufisadi na rushwa kama wewe baada ya Mwalimu. Jambo hili linafanya vyama vya upinzani kutokuwa na nguvu tena katika mawanda ya kisiasa nchini kwani imani ya watanzania wa ari ya chini juu ya utawala wako inakua kila siku ukilinganisha na utawala uliopita ambapo imani ya watanzania ilikufa juu ya utawala huo. Pongezi hizi pia zimuendee Waziri Mkuu Mhe: Kassim Majaliwa, kwa kweli kajaliwa kuwa mstari wa mbele kuijenga Tanzania mpya yenye heshima kwa watu wote bila kujali vyeo, chama cha kisiasa au udugu.

Kuleta heshima kazini, Kauli mbiu yako ya "HAPA KAZI TU" imekuwa chachu ya uwajibikaji makazini ukilinganisha na kipindi cha nyuma ambapo watumishi wa umma walikuwa wanafanya kazi kimazoea bila kufuata taaratibu za kazi zao jambo ambalo lilipelekea kuongezeka kwa wimbi la rushwa na ufisadi katika sekta za serikali.Sasa heshima imerudi makazini kwani watumishi wa umma wanawajali na kuwanyenyekea wananchi na kufanya kazi kwa bidii kwa kufuata taratibu za kazi zao. Kitendo cha mtumishi wa umma kwenda kinyume na taratibu za kazi yake na kuharibu kazi "kutumbuliwa" kimeleta umakini na ufanisi makazini. Kwa hilo nakupongeza sana Rais kwa kasi na nguvu uliyonayo ya kufanya kazi kizalendo bila upendeleo wakichama au wakisiasa.

Hakika wewe ni MZALENDO wa kweli kama mwalimu. Halmashauri na sekta nyingi za serikali zilioza kwani watumishi walijiona wao ni waungu watu kwa raia, hawakuwajali wala kuwathamini juu ya matatizo yao.Piga kazi baba na sisi tuishi kama ulaya kwani mali tunayo, nguvu kazi tunazo na nia tunayo tupo pamoja nawe kuijenga nchi yetu. Kilicho nifurahisha zaidi mawaziri uliowateua wana profession ya kazi za wizara zao na uzoefu mkubwa, hapo heshima imerudi.


Lililo gusa mioyo ya wazalendo wengi wanchi hii ni hili sakata la kuwasaka watumishi hewa ambao wanapokea mishahara bila kazi yoyote jambo ambalo linawanyima watumishi walio harari kulipwa madeni yao ya muda mrefu na kuongezewa mishahara yako au posho.watumishi hao wachukuliwe hatua kama waujumu uchumi pamoja na wale waliowaingiza kwenye mfumo wa malipo ya mishahara hiyo. Kwani wameliingizia taifa hasara kubwa sana.
Pia napenda kutoa ushauri kuwa watumishi kama vile walimu, manesi na madaktari muwafikirie kwa fikra pevu juu ya masrahi yao.

Kwa haya machache sana kati ya mengi sana uliyo yafanya nakupongeza sasa wewe Rais JPM, makamu SSH na waziri mkuu KM. Mungu hawape amani na nguvu nyingi zaidi muwashinde mafisadi na walarushwa wanaonufaika kupitia mgongo wa watanzania maskini,murudishe heshima ya nchi na wananchi iliyopotoe kwa muda mrefu na Mungu awajalie afya na uzima mpate kuiongoza nchi hii kwa misingi ya HAKI NA USAWA, AMANI NA UPENDO kwa watu wote kama ilivyo sasa.Na tunazidi kuwaombea.



AMINAAAA


MWALIMU: MOHAMED NINDI HAMIS.

KILINDI -TANGA -TANZANIA

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] PONGEZI KWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI"

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Specific procurement notices

Expressions of interest

Documents

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 20 26 10 20
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Expressions of interest

Documents

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 20 26 10 20
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"